< Warumi 7 >
1 Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo, maana ninawazungumzia watu wanaojua Sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai.
Przyjaciele! Dobrze znacie Prawo Mojżesza. Czy nie wiecie więc, że obowiązuje ono człowieka tylko za życia?
2 Mathalan: mwanamke aliyeolewa anafungwa na sheria muda wote mumewe anapokuw hai; lakini mumewe akifa, hiyo sheria haimtawali tena huyo mwanamke.
Dlatego zamężna kobieta, zgodnie z Prawem, związana jest z mężem aż do śmierci. Jeśli jednak jej małżonek umrze, w świetle Prawa przestaje być mężatką.
3 Hivyo mwanamke huyo akiishi na mwanamume mwingine wakati mumewe yungali hai, ataitwa mzinzi; lakini mumewe akifa, mwanamke huyo yu huru kisheria, na akiolewa na mwanamume mwingine, yeye si mzinzi.
Gdyby za jego życia chciała zmienić męża, dopuściłaby się grzechu niewierności małżeńskiej. Jeśli jednak on umrze, jest wolna i zgodnie z Prawem może powtórnie wyjść za mąż—bez narażania się na grzech niewierności.
4 Hali kadhalika ninyi ndugu zangu: ninyi pia mmekufa kuhusu Sheria kwa kuwa ninyi ni sehemu ya mwili wa Kristo; sasa mmekuwa wake yeye aliyefufuliwa kutoka wafu ili tupate kuzaa matunda mema kwa ajili ya Mungu.
Wy właśnie, moi przyjaciele, będąc częścią ciała Chrystusa, umarliście dla Prawa, aby żyć dla Tego, który zmartwychwstał, i aby wydawać w życiu duchowe owoce dla Boga.
5 Maana, tulipokuwa tukiishi kimaumbile tu, tamaa mbaya zikichochewa na Sheria, zilifanya kazi katika miili yetu, na kuchuma pato la kifo.
Gdy żyliśmy dla naszego grzesznego ciała, Prawo pobudzało nas do grzechu, co z kolei prowadziło nas do śmierci.
6 Lakini sasa tumekuwa huru kutoka vifungo vya Sheria, kwa sababu tumekufa kuhusu lile jambo lililotufanya sisi watumwa. Sasa tunatumikia kufuatana na maisha mapya ya Roho, na si kufuatana na hali ile ya kale ya Sheria iliyoandikwa.
Ale teraz nie podlegamy Prawu, bo jesteśmy dla niego martwi. Możemy więc służyć Bogu jako nowi ludzie, poddający się Duchowi, a nie jak dawniej, zgodnie z samą literą Prawa.
7 Je, tuseme basi, kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa imesema: “Usitamani.”
Czy można zatem powiedzieć, że Prawo Mojżesza jest grzeszne? Ależ skąd! Gdyby nie ono, nie zrozumiałbym czym jest grzech. Nie wiedziałbym nawet, czym jest grzeszne pragnienie, gdyby Prawo nie mówiło: „Nie pożądaj”.
8 Kwa kuitumia hiyo amri, dhambi ilipata fursa ya kuamsha kila aina ya tamaa mbaya ndani yangu. Maana, bila Sheria dhambi ni kitu kilichokufa.
Ale sprytny grzech dzięki przykazaniu wzbudził we mnie grzeszne pragnienia. Bez Prawa bowiem grzech jest martwy.
9 Wakati mmoja mimi nilikuwa hai mbali na Sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka,
Kiedyś żyłem nie podlegając Prawu. Gdy jednak poznałem przykazania, grzech we mnie ożył,
10 nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.
a ja umarłem. Przykazania, które odkryłem, zamiast dać mi życie, doprowadziły mnie do śmierci.
11 Maana, dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya na kuniua.
Grzech oszukał mnie, wykorzystując przykazanie, i doprowadził mnie do śmierci!
12 Basi, Sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
Ale Prawo samo w sobie pozostało święte, tak jak święte, słuszne i dobre są jego przykazania.
13 Je, hii inamaanisha kwamba kile kilicho kizuri kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri kuwa ni dhambi, imekitumia kile kilicho kizuri na kusababisha kifo changu. Hivyo dhambi, kwa njia ya ile amri, ilijionyesha kikamilifu jinsi ilivyo mbaya mno.
Czy zatem to, co dobre, doprowadziło mnie do śmierci? Absolutnie nie! To grzech, ujawniając swoją naturę, zadał mi śmierć przez to, co jest dobre. W ten sposób, dzięki przykazaniu, wyszła na jaw jego przewrotność.
14 Tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi.
Wiemy więc, że Prawo Mojżesza dotyczy ducha, a ja jestem istotą cielesną i niewolnikiem grzechu.
15 Sielewi nifanyacho, maana kile ninachotaka sikifanyi, bali kile ninachochukia ndicho nikifanyacho.
Zupełnie nie rozumiem siebie i tego, co czynię. Nie robię bowiem tego, co chcę, ale to, czego nienawidzę!
16 Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile Sheria ni nzuri.
Jeśli robię więc coś, czego nie chcę, to przyznaję Prawu rację,
17 Basi, si mimi hasa ninayefanya kitu hicho, bali ile dhambi iliyo ndani yangu.
bo to nie ja tak postępuję, ale mieszkający we mnie grzech.
18 Najua kwamba hamna jema lolote ndani yangu mimi, kadiri ya ubinadamu wangu. Kwa maana, ingawa nataka kufanya jambo jema, siwezi kulitekeleza.
Wiem, że we mnie, to znaczy w moim ciele, nie mieszka dobro. Pragnę postępować dobrze, ale nie potrafię tego wykonać!
19 Yaani, badala ya kufanya lile jambo jema ninalotaka, nafanya lile baya nisilotaka.
Nie czynię dobra, którego pragnę, ale popełniam zło, którego nie chcę!
20 Basi, kama ninafanya kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba si mimi ninayefanya hayo, bali ni ile dhambi iliyo ndani yangu.
Jeśli robię więc to, czego nie chcę, znaczy to, że nie ja to czynię, ale mieszkający we mnie grzech.
21 Basi, nimegundua kanuni hii: ninataka kufanya jema, lakini najikuta kwamba lile lililo baya ndilo ninalochagua.
Widzę więc taką prawidłowość: chcę dobra, a narzuca mi się zło.
22 Ndani kabisa katika moyo wangu naifurahia sheria ya Mungu.
W głębi serca Boże Prawo sprawia mi radość.
23 Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria ambayo inapingana na ile inayokubaliwa na akili yangu. Hiyo inanifanya niwe mtumwa wa sheria ya dhambi ifanyayo kazi mwilini mwangu.
Natomiast w moim ciele dostrzegam inne prawo, które walczy z moim umysłem i zwycięża, czyniąc ze mnie niewolnika grzechu.
24 Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?
Marny mój los! Kto mnie wyrwie z tego śmiertelnego ciała?
25 Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi.
Dzięki niech będą Bogu, który posłał Jezusa Chrystusa, naszego Pana! Podsumowując więc: Umysłem służę Prawu Bożemu, a ciałem—prawu grzechu.