< Warumi 6 >

1 Tuseme nini basi? Je, twendelee kubaki katika dhambi ili neema ya Mungu iongezeke?
ARI, da me kitail en inda? Kitail en dadaurata dip, pwe mak en lalaudala?
2 Hata kidogo! Kuhusu dhambi sisi tumekufa—tutaendeleaje kuishi tena katika dhambi?
O so! Pala kitail pan dadaurata dip, me kitail mela sanger?
3 Maana, mnajua kwamba sisi tuliobatizwa tukaungana na Kristo Yesu, tulibatizwa na kuungana na kifo chake.
De komail sota asa, me karos, me paptaise ong Kristus Iesus, paptaise ong a matala?
4 Tulipobatizwa tuliungana na kifo chake, tukazikwa pamoja naye, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka wafu kwa kitendo kitukufu cha Baba, sisi pia tuweze kuishi maisha mapya.
Kitail ari iang i saredier ni paptais ong mela, pwe duen Kristus kaiasa kidar lingan en Sam sang ren me melar akan, iduen kitail en pil weweideki ni maur kap.
5 Maana, kama sisi tumeungana naye katika kufa kama yeye, vivyo hivyo tutaungana naye kwa kufufuliwa kutoka wafu kama yeye.
Pwe ma kitail kaparoki ong i ni a matala, nan kitail pil pan paroki ong i ni a iasadar.
6 Tunajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja na Kristo, ili hali ya dhambi iharibiwe, tusiwe tena watumwa wa dhambi.
Pwe kitail asaer, me atail aramas maring iang kalopuelar, pwe war en dip en mokonaidier, pwe kitail solar papa dip.
7 Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka katika nguvu ya dhambi.
Pwe me melar, maiodar sang dip.
8 Basi, ikiwa tumekufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba tutaishi pia pamoja naye.
A ma kitail iang Kristus matalar, nan kitail kamelele, me kitail pil pan iang i ieiasata.
9 Maana, tunajua kwamba Kristo amekwisha fufuliwa kutoka wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena.
Kitail asa, me Kristus kotin iasadar sang ren me melar akan, ap solar pan pur ong matala; mela solar pan poedi i.
10 Hivyo, kwa kuwa alikufa—mara moja tu—dhambi haina nguvu tena juu yake; na sasa anaishi maisha yake katika umoja na Mungu.
Pwe ni a kotin matalar, a kotin matalar pan metapak pweki dip, a ni a kotin ieiasata, a kotin ieiasadang Kot.
11 Hali kadhalika nanyi lazima mjione kuwa mmekufa kuhusu dhambi, lakini kama mnaoishi katika umoja na Mungu kwa njia ya Kristo Yesu.
Iduen komail, komail en wia kin komail me melar sang dip, ap memaur ong Kot ren Kristus Iesus.
12 Kwa hiyo, dhambi isiitawale tena miili yenu ambayo hufa, na hivyo kuzitii tamaa zake.
Ari, komail ender mueid ong dip, en kaunda war omail luet; pwen papa a inong sued akan.
13 Wala msitoe hata sehemu moja ya miili yenu iwe chombo cha kutenda uovu na dhambi. Badala yake, jitoleeni ninyi wenyewe kwa Mungu kama watu waliofufuliwa kutoka wafu; toeni nafsi zenu zote kwa Mungu kwa ajili ya uadilifu.
Komail pil der mueid ong dip o kokon omail akan, pwen men wia sapung a komail mueid ong Kot pein komail, duen me kamauradar sang ren me melar akan, o kokon omail akan en papa me pung ong Kot.
14 Maana, dhambi haitawatawala ninyi tena, kwani hamko chini ya Sheria, bali chini ya neema.
Pwe dip sota pan kak poe komail edi, pwe komail solar mi pan kapung, pwe pan mak.
15 Basi, tuseme nini? Je, tutende dhambi ati kwa sababu hatuko chini ya Sheria bali chini ya neema? Hata kidogo!
Ari da, kitail en wia dip, pwe kitail solar mi pan kapung, a pan mak? O so!
16 Mnajua kwamba mkijitolea ninyi wenyewe kama watumwa na kumtii fulani, mnakuwa kweli watumwa wake mtu huyo—au watumwa wa dhambi, na matokeo yake ni kifo, au wa utii, na matokeo yake ni kukubaliwa kuwa waadilifu.
Komail sota asa, ma komail pan wiala pein komail ladu en peik, ari komail pan ladu en me komail kin pepeiki ong? Ma dip komail pan mekila, a ma peik, komail pan pung kida.
17 Ingawa mlikuwa watumwa wa dhambi zamani, sasa lakini—namshukuru Mungu—mmetii kwa moyo wote yale maazimio na mafundisho mliyopokea.
A danke ong Kot pwe komail solar ladu en dip; pwe met komail kin peiki ong tiak en padak me komail ianger sang mongiong omail.
18 Mlikombolewa kutoka utumwa wa dhambi, mkawa watumwa wa uadilifu.
Komail ari maioda sang dip, komail id wiala ladun pung.
19 (Hapa natumia lugha ya kawaida ya watu kwa sababu ya udhaifu wenu wenyewe.) Kama vile wakati fulani mlivyojitolea ninyi wenyewe kutumikia uchafu na uhalifu kwa ajili ya uovu, vivyo hivyo sasa jitoleeni nafsi zenu wenyewe kutumikia uadilifu kwa ajili ya utakatifu.
Ngai me inda met nin tiak en aramas, pweki luet en uduk omail. Pwe duen omail pangalang kokon omail akan, en ladun samin o sapung kan, pwen palian kapung, iduen komail en pang ong kokon omail, en lidui me pung, pwen sarauila.
20 Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na uadilifu.
Pwe ni ansau me komail ladun dip, komail maio sang me pung.
21 Sasa, mlipata faida gani siku zile kutokana na mambo yale ambayo mnayaonea aibu sasa? Maana, matokeo ya mambo haya ni kifo!
A iaduen wan mepukat ni ansau o, me komail kin namenokki ansau wet? Pwe imwi pan mepukat mela.
22 Lakini sasa, mmekwisha kombolewa kutoka utumwa wa dhambi na mmekuwa watumishi wa Mungu; faida mliyo nayo sasa ni utakatifu, na matokeo yake ni uzima wa milele. (aiōnios g166)
A met komail maiodar sang ni dip, ap id wialar ladun Kot, o omail wan saraui mia o imwi pan maur soutuk. (aiōnios g166)
23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni kifo; lakini zawadi anayotoa Mungu ni uzima wa milele katika kuungana na Kristo Yesu, Bwana wetu. (aiōnios g166)
Pwe pwain en dip mela, a pai en mak en Kot maur soutuk ren Kristus Iesus atail Kaun. (aiōnios g166)

< Warumi 6 >