< Warumi 5 >

1 Sasa, kwa vile tumekubaliwa kuwa wadilifu kwa imani, basi, tunayo amani na Mungu kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Kunsoko kapegwa itai kunzila auhuili, kutite uupolo ni Tunda kunzila ang'wa mukulu witu Yesu Kilisto.
2 Kwa imani yetu, yeye ametuleta katika hali hii ya neema ya Mungu ambamo sasa tunaishi. Basi, tunajivunia tumaini tulilo nalo la kushiriki utukufu wa Mungu.
Kua kukiila ng'wenso kwa nzila auhuili muukende uwu kitalakwe kuimika. Kuloilwe kunsoko auhuili nukupee Itunda kunsoko amahiku napembilye, nikuihanguila muukulu wang'wi Tunda.
3 Naam, si hayo tu, bali tunafurahi pia katika taabu tukijua kwamba taabu huleta saburi,
Sunga uu du ingi kulowe muagigwi witu. Kunsoko kuine kina uagigwa wituga wimiki kuawa niilindiila.
4 nayo saburi huleta uthabiti, na uthabiti huleta tumaini.
Uulindiili witugo ugombeki nu gombeki wituga ugimya kunzila na mahiku napembilye.
5 Tumaini hilo haliwezi kutuhadaa, maana Mungu amekwisha miminia mioyoni mwetu upendo wake kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetujalia.
Uugimya uwu shawikepya insula kunsoko ulowa wang'wi Tunda uhunuiwe munkolo yetu kukiila ng'waung'welu uyu naupumigwe kitaitu.
6 Tulipokuwa bado wanyonge, Kristo, wakati ulipotimia, alikufa kwa ajili yetu sisi waovu.
Ungi apo naikukili kiagila ingulu, imatungo ikapika, Ukilisto akasha kunsoko aunyamilandu.
7 Si rahisi mtu kufa kwa ajili ya mtu mwadilifu; labda mtu anaweza kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.
Ingi ibi umuntu kusha kunsoko amuntu ni munya tai; kululo ihumikile umuntu kugema kusha kunsoko amuntu numaza.
8 Lakini Mungu amethibitisha kwamba anatupenda, maana wakati tulipokuwa bado wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.
Ingi Tunda walagiila uulowa wakwe kitaitu kunsoko naaikili kukoli mumilandu Ukilisto aukule kunsoko itu.
9 Kwa kuwa sasa tumekubaliwa kuwa waadilifu kwa damu ya Kristo, ni dhahiri zaidi kwamba atatuokoa katika ghadhabu ya Mungu.
Ingi gwa agakutule kapegwa itai kukiila sakami akwe kuugunika kukiila lilo kupuma muutaki wang'wi Tunda.
10 Maana, tulipokuwa bado adui zake, Mungu alitupatanisha naye kwa kifo cha Mwanae. Na kwa vile sasa tumepatanishwa naye, ni dhahiri zaidi kwamba tutaokolewa kwa uzima wa Kristo.
Kulola gwa ang'wi imatungo naikialugu kikakamantanigwa ni Tunda kunzila ansha ang'waakwe hangi anga kakondya kukamatanigwa kugunika kunzila aupanga wakwe.
11 Wala si hayo tu, ila tunafurahi pia katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ametupatanisha na Mungu.
Singa uu du, ingi kuloilwe kung'wi Tunda kukiila Yesu Kilisto, kukiila ng'wenso kasingiilya uiungamili uwu.
12 Kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. Hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
Kulola gwa ang'wi kukiila muntu ung'wi imilandu aingie mihi, kua mila iyi isha aingie kukiila milandu. Ni nsha ikenda kuantu ihi kunsoko ihi aitumile imilandu.
13 Kabla ya Sheria kuwako, dhambi ilikuwako ulimwenguni; lakini dhambi haiwekwi katika kumbukumbu bila sheria.
Kupuma ung'wandyo nuamiko, imilandu aikoli muunkumbigulu, kululo imilandu singa ialigwa pana kutile imiko.
14 Lakini tangu wakati wa Adamu mpaka wakati wa Mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao hawakutenda dhambi kama ile ya Adamu, ya kumwasi Mungu. Adamu alikuwa kielelezo cha yule ambaye atakuja baadaye.
Ingi insha ai temile kupuma kung'wa Adamu ikapika sunga kung'wa Musa, nao ga nisinga ailumile imilandu, kunsoko ang'wa Adamu nauuiye ikulyo, mpyani ang'wa uyo nuuziza.
15 Lakini ipo tofauti: neema ya Mungu si kama dhambi ya Adamu. Maana, ingawa dhambi ya mtu mmoja ilisababisha kifo kwa wote, kwa fadhili ya mtu mmoja, yaani Yesu Kristo, Mungu amewazidishia wote neema na zawadi zake.
Kululo ang'wi uu, isongeelyo la nakanda singa angi gazo, angwi gazo la muntu ung'wi idu aiakule, uukende wang'wi Tunda ni kipegwa nikikoli kuukende wake muntu ung'wi yesu Kilisto kongeelekile kunsoko kuantu ao niidu.
16 Kuna tofauti baina ya zawadi ya Mungu, na dhambi ya mtu yule mmoja. Maana, baada ya kosa la mtu mmoja, Mungu alitoa hukumu; lakini baada ya makosa ya watu wengi, Mungu aliwapa zawadi yake kwa kuwasamehe.
Kululo isongeelyo singa ailizile kung'wa uyo naiwitumile imilandu, kunkigi ningiza, ikipegwa kanakanda nikiza kuuailigwa nuatai aikizile kumagazo nidu.
17 Kweli, kwa dhambi ya mtu mmoja kifo kilianza kutawala kwa sababu ya huyo mtu mmoja; lakini, ni dhahiri zaidi kwamba alichokifanya yule mtu mmoja, yaani Yesu Kristo, ni bora zaidi. Wote wanaopokea neema na zawadi hiyo ya kukubaliwa kuwa waadilifu, watatawala katika uzima kwa njia ya huyo mmoja, yaani Yesu Kristo.
Ingi gwa kukiila igazo la muntu ung'wi, insha ikenela kukiila ung'wi, ingi gwa ao nikusingiilya uukende nuidu palung'wi nikipegwa nikatai akuamba uutemi kukiita upanga wang'wa Yesu Kilisto.
18 Basi, kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta hukumu kwa binadamu wote, kadhalika kitendo kimoja kiadilifu kinawapa uhuru na uzima.
Ingi gwa, ang'wi kukiila igazo la muntu, antu ihi akatwalwa muulamulwa, kukiila witumi ung'wi nuatai ikahuma kuleta tai naupanga kuantu ihi.
19 Na kama kwa kutotii kwa mtu mmoja watu wengi walifanywa wenye dhambi, kadhalika kutii kwa mtu mmoja kutawafanya wengi wakubaliwe kuwa waadilifu.
Kuhita kutula nikulyo kumuntu ung'wi idu akatula akoli mumilandu, kululo kukiila ikulyo la muntu ung'wi, idu akutula akoli mtai.
20 Sheria ilitokea, ikasababisha kuongezeka kwa uhalifu; lakini pale dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi.
Kululo imiko aingie palung'wi igazo lihume kusambaila. Apo nimilandu aiongeelekile kutula idu, Uukende ukatula widu kukilinkila.
21 Kama vile dhambi ilivyotawala kwa kifo, kadhalika neema inatawala kwa njia ya uadilifu, na kuleta uzima wa milele kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)
Iyi ingi aipumie kina, anga imilandu naihoile utemi wa insha, uuingi nuukende uhumile kuhola utemi kukiila tai kunsoko a upanga nuakilunde kukiila Yesu Kilisto Mukulu witu. (aiōnios g166)

< Warumi 5 >