< Warumi 2 >

1 Basi, rafiki, kama unawahukumu wengine, huwezi kamwe kujitetea haidhuru wewe ni nani. Kwa maana, kwa kuwahukumu wengine, unajilaani wewe mwenyewe kwa vile nawe unayafanya mambo yaleyale unayohukumu.
pe lino nutavulilue, uve ghwejuno ghuhigha ulwakuva ku ghala ghano ghuhigha ujunge ikujivika jujuo mu nkole. ulwakuva ghwenjuo ghuhigha najuve ghuvomba ghala ghala.
2 Tunajua kwamba hukumu ya Mungu kwa wale wanaofanya mambo kama hayo ni hukumu ya haki.
neke tukagula kuuti, uvuhighi vwa Nguluve vwa lweli ku vano vivomba ndavule aghuo.
3 Lakini wewe, rafiki, unayewahukumu wale wanaofanya mambo kama hayo bali wewe pia unayafanya, je unadhani utaiepa hukumu ya Mungu?
neke uve usaghaghe ili kuuti uve ghwe juno ghuhigha vala vano vivomba aghuo nambe najuve ghuvomba ghaghaghuo. pe uve naghuli highua nu Nguluve?
4 Au labda unaudharau wema wake mkuu, uvumilivu wake na saburi yake, bila kutambua kwamba wema wake huo una shabaha ya kukuongoza upate kutubu?
neke ghusagha padebe ku vwinga vwa vunono vwake, kudila kwa ng'alasi jake, nu lugudo lwake? pe naghukagula kuuti uvunono vwake vunoghiile kukuvulanisia kulaata?
5 Lakini unao ugumu na ukaidi wa moyo, na hivyo unajilundikia adhabu kwa Siku ile ambayo ghadhabu ya Mungu na hukumu zake za haki vitadhihirishwa.
pe kuling'ana nu vwumu vwa mwoojo ghwako ghuno naghwa kulaata, ghukujivika juve mu ng'alasi ja kighono kila. looli mu kighono kya vusyuko vwa vuhighi vwa kyang'haani vwa Nguluve.
6 Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
umwene ihomba kuling'ana ni kighelelo kya maghenndele ghake.
7 Wale wanaozingatia kutenda mema, kutafuta utukufu na heshima ya Mungu na kutokufa, watapata uzima wa milele. (aiōnios g166)
vala vano ku lukangasio lwa maghendele amanono valondile ulufunyo, uvukoola na kuleka kunangika, ikivapela uvwumi vwa kusila na kusila. (aiōnios g166)
8 Lakini wale wengine wenye ubinafsi, wenye kukataa mambo ya haki na kufuata uovu, wataangukiwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
neke ku vala vano ku numbula saave navitiki vwa kyang'haani looli vikwitika uvukunyi, ing'halasi ing'ali jikwisa.
9 Mateso na maumivu yatampata binadamu yeyote atendaye uovu. Yatawapata Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia.
uNguluve ileta injala nu lupumuko ku numbula ja muunhu ghweni juno avombile uvuhosi, kutengulila kwa muyahudi taasi pe kwa muyunani kange.
10 Lakini Mungu atawapa utukufu, heshima na amani wale wanaotenda mema; Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia.
neke ulufunyo, uvukoola nu lutengano fikwisa kwa muunhu ghweni juno ivomba inono, kwa vayunani taasi pe umuyunani kange.
11 Maana Mungu hambagui mtu yeyote.
ulwakuva kusila lughano kukila kwa Nguluve.
12 Wale wanaotenda dhambi bila kuijua Sheria ya Mose wataangamia ingawaje hawajui Sheria. Na wale wanaotenda dhambi wakiwa wanaijua Sheria watahukumiwa kisheria.
ulwakuva nave vinga vahokile kisila ndaghilo visova kisila ndaghilo, kange nave vinga vahokile kuling'ana ni ndaghilo vihighua ku ndaaghilo.
13 Mtu hafanywi kuwa mwadilifu mbele yake Mungu kwa kuisikia Sheria, bali kwa kuitii Sheria.
ulwakuva natuli vaanhu va kupulika indaghilo, avanya kyang'haani pa maaso gha Nguluve, looli ve vala vano vivomba indaghilo vano vailivalilua ikyang'haani.
14 Mathalan: watu wa mataifa mengine hawana Sheria ya Mose; lakini kila wanapotimiza matakwa ya Sheria wakiongozwa na dhamiri zao, wao wenyewe wanakuwa kipimo cha Sheria ingawa hawaijui Sheria.
ulwakuva avaanhu ava pa iisi avasila ndaghilo vivomba isa mundaghilo aveene vali ndaghilo mu numbula saave, nambe aveene vasila ndaghilo.
15 Mwenendo wao unaonyesha kwamba matakwa ya Sheria yameandikwa mioyoni mwao. Dhamiri zao zinashuhudia pia jambo hilo, maana fikira zao mara nyingine huwashtaki, na mara nyingine huwatetea.
ku ulu vivonesia kuuti amaghendele ghano ghanoghile ku vutavike vwa ndaghilo ghalembilue nkate ja moojo ghave. uvufumbue vwave vuvoneka na masaghe ghave ghikuvahigha nambe kukuvalolelela vavuo
16 Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo.
kange na kwa Nguluve. agha ghilihumila mu kighono kino uNguluve ilikusihigha inyivi sa vaanhu vooni kuling'haana ni livangili lya Nguluve, kusila ja Yesu Kilisite.
17 Na wewe, je? Wewe mwenyewe unajiita Myahudi; unaitumainia Sheria na kujivunia kuwa wa Mungu;
tujove kuuti ghukujikemela muYahudi, juuno ikalile mu ndaghilo, lulutila kwa kujighinia mwa Nguluve,
18 kwa njia ya Sheria unajua matakwa ya Mungu na unaweza kuchagua jambo jema;
lukagule ulughano lwake, na kughelela sino nasilutana ye jilaghisivue ni ndaghilo.
19 wewe unajiona kuwa kiongozi wa vipofu na mwanga kwa wale walio gizani;
pe tujove kuuti uli nulukangasio kuva uve uli mulongosi ghwa vabofu amaaso, lumuli kuvala vano vali mu ng'iisi,
20 unajiona kuwa mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa wale wasiokomaa bado. Unayo katika Sheria picha kamili ya elimu na ukweli.
m'bulanisi ghwa vajaasu, m'bulanisi ghwa vaanha, na kuuti mu ndaghilo uli ni mbuanisio sa lweli.
21 Basi, wewe unawafundisha wengine; kwa nini hujifundishi wewe mwenyewe? Unawahubiria wengine wasiibe, lakini kumbe wewe mwenyewe unaiba.
pe uve lino ghwe juno ghukun'dalikila ujunge, pe naghukujivulanisia juve ghwe mwene? ghwe juno ghudalikila kuleka kuhija pe uve naghuhija?
22 Unasema: “Msizini,” na huku wewe unazini; unachukia sanamu za miungu hali wewe unajitajirisha kwa kuiba katika nyumba za miungu.
uve ghwejuno ghujova nungavwafukaghe, pe ghuvwafuka? uve ghwe juno ghukalala ikihwanikisio, pe ghuhija mu nyumba inyimike ja kufunyila?
23 Kwa kujigamba ati unayo Sheria ya Mungu, je huoni kwamba kwa kuivunja Sheria unamdharau Mungu?
ghwe juno ghukughinia mu ndaghilo, pe naghukunsukunalisa uNguluve kwa kudenya indaghilo?
24 Kama vile Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Watu wa mataifa mengine wamelikufuru jina la Mungu kwa sababu yenu ninyi Wayahudi!”
ulwakuva ilitavua lwa Nguluve lisukunalisivua ku vaanhu va mu iisi kukilila umue, “ndavule jilembilue”.
25 Kutahiriwa kwako kutakuwa na maana kama ukiitii Sheria. Lakini kama unaivunja Sheria, basi, ni afadhali ungalibaki bila kutahiriwa.
ulwakuva kudumulivua ingola lweli kunoghile nave ghukwitikila indaghilo, neke nave uve naghuvomba isa mu ndaghilo kudumulivua kwave kuuva vuvule.
26 Kama mtu wa mataifa mengine ambaye hakutahiriwa akitimiza matakwa ya Sheria, hakika atafikiriwa kana kwamba ametahiriwa.
pe nave umuunhu nadumulivue kange ighendelela kukola uvutavike vwa ndaghilo, pe nambe kisila kudumulivua kwa mwene nakulitolua kuuti adumulivue ingola?”.
27 Watu wa mataifa mengine watakuhukumu wewe Myahudi kama ukiivunja Sheria, ingawaje unayo maandishi ya Sheria na umetahiriwa, hali wao wanaitii Sheria ingawa hawakutahiriwa.
ghwope juno nadumulivue kuvutengulilo vwa iisi naihighua nave angavombe isa ndaghilo? ulu lwe lwakuva uli na malembe ghano ghalembilue na kudumulua ingola neka kange naghuvomba isa mundaghilo!
28 Ndiyo kusema, si kila anayeonekana kwa nje kuwa Myahudi ni Myahudi wa kweli, wala mtu hawi Myahudi wa kweli ati kwa kuwa ametahiriwa kimwili.
ulwakuva umwene na Muyahudi juno ali mulwa kunji, nambe kudumulua na lwelula ulwa m'bili lwene.
29 Myahudi wa kweli ni yule aliye Myahudi kwa ndani, yaani yule ambaye ametahiriwa moyoni. Hili ni jambo la Roho, na si jambo la maandishi ya Sheria. Mtu wa namna hiyo anapata sifa, si kutoka kwa watu, bali kutoka kwa Mungu.
neke umwene ghwe Muyahudi ghwa munkate, nuludumuluo lwa mwoojo mu numbula, nambe mu malembe. ulufunyo lwa muunhu ughwa nahele naluhumila ku vaanhu looli kwa Nguluve.

< Warumi 2 >