< Warumi 10 >
1 Ndugu zangu, ninataka na kutazamia kwa moyo wangu wote hao wananchi wenzangu wakombolewe. Tena nawaombea kwa Mungu daima.
Браттє, бажаннє мого сердя і молитва (йде) до Бога за Ізраїля про спасеннє.
2 Maana naweza kuthibitisha kwa niaba yao kwamba wanayo bidii ya kumtafuta Mungu; lakini bidii hiyo haikujengwa juu ya ujuzi wa kweli.
Сьвідкую бо їм, що ревність Божу мають, та не по розуму.
3 Maana hawakufahamu jinsi Mungu anavyowafanya watu wawe waadilifu, na wamejaribu kuanzisha mtindo wao wenyewe, na hivyo hawakuikubali njia hiyo ya Mungu ya kuwafanya wawe waadilifu.
Не розуміючи бо праведності Божої, і шукаючи свою праведність поставити, праведності Божій не корили ся.
4 Maana kwa kuja kwake Kristo, Sheria imefikia kikomo chake, ili kila mtu anayeamini akubaliwe kuwa mwadilifu.
Кінець бо закону - Христос, на праведність кожному віруючому.
5 Kuhusu kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, Mose aliandika hivi: “Mtu yeyote anayetimiza matakwa ya Sheria ataishi.”
Мойеей пише про праведність, що від закону; що которий чоловік робити ме се, жити ме ним.
6 Lakini, kuhusu kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa njia ya imani, yasemwa hivi: “Usiseme moyoni mwako: Nani atapanda mpaka mbinguni? (yaani, kumleta Kristo chini);
А та, що од віри, праведність, так говорить: Не кажи в серці твоїм: Хто зійде на небо? (се єсть: Христа звести додолу; )
7 wala usiseme: Nani atashuka mpaka Kuzimu (yaani, kumleta Kristo kutoka kwa wafu).” (Abyssos )
або: Хто зійде в безодню? (се єсть: Христа з мертвих угору звести.) (Abyssos )
8 Maandiko Matakatifu yesema hivi, “Ujumbe huo wa Mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako” nao ndio ile imani tunayoihubiri.
А що ж глаголе (писаннє)? Близько тебе слово в устах твоїх і в серцї твоїм, се єсть слово віри, що ми проповідуємо;
9 Kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba Yesu ni Bwana na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka wafu, utaokoka.
щоб, коли визнавати меш устами твоїми Господа Ісуса, і вірувати меш в серцї твоїм, що Бог Його підняв з мертвих, ти спас ся.
10 Maana tunaamini kwa moyo na kukubaliwa kuwa waadilifu; na tunakiri kwa midomo yetu na kuokolewa.
Серцем бо віруєть ся на праведність, устами ж визнаєть ся на спасеннє.
11 Maandiko Matakatifu yasema: “Kila amwaminiye hatakuwa na sababu ya kuaibika.”
Глаголе бо писаннє: Всяк, хто вірує в Него, не осоромить ся.
12 Jambo hili ni kwa wote, kwani hakuna tofauti kati ya Wayahudi na wasio Wayahudi; Bwana wa wote ni mmoja, naye ni mkarimu sana kwao wote wamwombao.
Бо нема ріжницї між Жидовином і Греком; Він бо Господь усіх, богатий для всїх, хто призиває Його.
13 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”
Всяк бо, хто призове імя Господнє, спасеть ся.
14 Basi, watamwombaje yeye ambaye hawamwamini? Tena, watamwaminije kama hawajapata kusikia habari zake? Na watasikiaje habari zake kama hakuna mhubiri?
Як же призивати муть Того, в кого не увірували? як же вірувати муть, про кого не чули, як же чути муть без проповідаючого?
15 Na watu watahubirije kama hawakutumwa? Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri Habari Njema!”
А як же проповідати муть коли не будуть послані? яко ж писано: Що за красні ноги благовіствуючих впокій, благовіствуючих про добре?
16 Lakini wote hawakuipokea hiyo Habari Njema. Maana Isaya alisema: “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?”
Та не всї послухали благовістя. Ісаїя бо глаголе: Господи, хто увірував голосу нашому?
17 Hivyo basi, imani inatokana na kuusikiliza ujumbe, na huo ujumbe unatokana na neno la Kristo.
Тим же то віра (приходить) через слуханнє, слуханнє ж через слово Боже.
18 Lakini nauliza: je, hawakuusikia huo ujumbe? Naam, waliusikia; kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Sauti yao imeenea duniani kote; maneno yao yamefika mpaka kingo za ulimwengu.”
Тільки ж глаголю: Хиба вони не чули? Нї, по всїй землі бо розійшов ся гомін їх і до кінцїв вселенної глаголи їх.
19 Tena nauliza: je, yawezekana kwamba watu wa Israeli hawakufahamu? Mose mwenyewe ni kwa kwanza kujibu: “Nitawafanyeni mwaonee wivu watu ambao si taifa; nitawafanyeni muwe na hasira juu ya taifa la watu wapumbavu.”
І ще питаю: Хиба не розумів Ізраїль? Первий Мойсей глаголе: Завдам вам зависти через (тих, що) не (єсть мій) нарід, народом безумним завдам жалю вам.
20 Tena Isaya anathubutu hata kusema: “Wale ambao hawakunitafuta wamenipata; nimejionyesha kwao wasiouliza habari zangu.”
Ісаїя ж зосьміливсь і глаголе: Знайшли мене ті, що не шукали, обявивсь я тим, що не питали про мене.
21 Lakini kuhusu Israeli anasema: “Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii.”
До Їзраїля ж глаголе: Увесь день простягав я руки мої до людей непокірних і суперетних.