< Ufunuo 7 >

1 Baada ya hayo nikawaona malaika wanne wamesimama katika pembe nne za dunia wakishika pepo nne za dunia ili upepo usivume hata kidogo: wala katika nchi, wala baharini, wala kwenye miti.
Haniyere il awd melakiwots awd dats túngúshatse boned'efere t bek'i, boowere datsats wotowa aats k'araats wee mitats jongo b́ jongerawok'o aawud kaaton datsats weyiru jongwotsi dets bodek'i.
2 Kisha nikamwona malaika mwingine akipanda juu kutoka mashariki akiwa na mhuri wa Mungu aliye hai. Akapaaza sauti na kuwaambia hao malaika wanne waliokabidhiwa jukumu la kuiharibu nchi na bahari,
Beyar beetwo Izar Izewerko mahatabo detstso k'osh melakiyo aawu keshon b́ wafere t bek'i, datsonat aats k'aron bo awaashish alo boosh imets awd melakiwots maants b́ k'aaro eenshdek't,
3 “Msiharibu nchi, wala bahari, wala miti, mpaka tutakapokwisha wapiga mhuri watumishi wa Mungu wetu katika paji la uso.”
«Ik'o guutswots barats mahatabo no togfetsosh, datso wotowa aats k'aro wee mitwotsi t'afik'ayere» ett b́ kúhi.
4 Kisha nikasikia idadi ya hao waliopigwa mhuri: Watu mia moja arobaini na nne elfu wa makabila yote ya watu wa Israeli.
Boats maatab togets ashuwots taawo t shishi, Israe'el jir jamotse matabon togets ashuwots taawo bale habe awd kumno botesh.
5 Kabila la Yuda walikuwa watu kumi na mbili elfu; kabila la Reubeni, kumi na mbili elfu, kabila la Gadi, kumi na mbili elfu;
Matabo boats togetswots Yihud jirotse tatse git kumo, Robel jirotse tatse git kumo, Gad jirotse tatse git kumo,
6 Kabila la Asheri, kumi na mbili elfu; kabila la Naftali, kumi na mbili elfu; kabila la Manase, kumi na mbili elfu;
Aser jirotse tatse git kumo, Nftalem jirotse tatse git kumo, Minaase jirotse tatse git kumo,
7 kabila la Simeoni, kumi na mbili elfu, kabila la Lawi, kumi na mbili elfu, kabila la Isakari, kumi na mbili elfu;
Sm'on jirotse tatse git kúmo, Lewi jirotse tatse git kumo, Yisakor jirotse tatse git kumo,
8 kabila la Zabuloni, kumi na mbili elfu; kabila la Yosefu, kumi na mbili elfu, na kabila la Benyamini, kumi na mbili elfu.
Zablon jirotse tatse git kumo, Yosef jirotse tatse git kumo, Biniyam jirotse tatse git kumne bo teshi.
9 Kisha nikatazama, nikaona umati mkubwa wa watu wasiohesabika: watu wa kila taifa, ukoo, jamaa na lugha. Nao walikuwa wamesimama mbele ya kiti cha enzi na mbele ya Mwanakondoo, wakiwa wamevaa mavazi meupe na kushika matawi ya mitende mikononi mwao.
Haniyere il t s'iili, konwor taaw b́faleraw ashuwotsno t bek'i, boowere ash ashonat naarotse, b́ jironat noon keewiru jamotse keeshkne boteshi, boowere nas' tahi geenzo tahdek't woli maaro bokishats detsdek't naashi jooronat mereero shinatse boned'efera bo teshi,
10 Wakapaaza sauti: “Ukombozi wetu watoka kwa Mungu wetu aketiye juu ya kiti cha enzi, na kutoka kwa Mwanakondoo!”
een k'ááron kúhefetst, «Kashiyo naashi jooratse beyirwo no Ik'o Izar Izewernat mereroke!» bo etiri.
11 Malaika wote wakasimama kukizunguka kiti cha enzi, wazee na vile viumbe hai vinne. Wakaanguka kifudifudi mbele ya kiti cha enzi, wakamwabudu Mungu,
Melaki jamwotswere naashi jooronat eenashúwots azeets kashets awdwotsi gúrdek't bo need'efere bo teshi, naashi jori shinatsowere bobaron gúp'gúp'at Ik'osh bosagadi,
12 wakisema, “Amina! Sifa, utukufu, hekima, shukrani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu, milele na milele! Amina!” (aiōn g165)
hank'o bo eti, «Amen! shiimo, een woto, dani teleefo, udo, mango, ango, kúp'o no Ik'o Izar Izewersh dúre dúron b́ tuutso dúre dúrosh b́ borfetsosh wotowe! Amen!» (aiōn g165)
13 Mmoja wa hao wazee akaniuliza, “Hawa waliovaa mavazi meupe ni watu gani? Na wametoka wapi?”
Enashwotsitsere iko t maants aanat «Nas' tahi geenzo tahtsanots kone bo? Aawokneya boweyi?» bí etí.
14 Nami nikamjibu, “Mheshimiwa, wewe wajua!” Naye akaniambia, “Hawa ni wale waliopita salama katika ule udhalimu mkuu. Waliyaosha mavazi yao katika damu ya Mwanakondoo, yakawa meupe kabisa.
Taawere «Doonzono, nee danfnee» tieti. Bíwere taash hank'o bíeti, «Hanots gond bek' eenotse kesht waakne, botahonowere mereero s'atson mashdek't nas' woshk'rerne,
15 Ndiyo maana wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Humtumikia Mungu mchana na usiku katika Hekalu lake; naye aketiye juu ya kiti cha enzi atatandaza hema lake juu yao kuwalinda.
Manshowere Ik'i naashi jori shinatse wotde'er t'úwonat aawon Ik' mootse bísh finitúne, b́ naashi jorats bedek'tsonwere boosh beyi moo wotitwe.
16 Hawataona tena njaa wala kiu; jua wala joto kali halitawachoma tena,
Eshe haniyak k'aak'eratsno, shashweratsno, aawo boon jod'atse, aaw k'angro boon daatsratse,
17 kwa sababu Mwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi atakuwa mchungaji wao, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji ya uzima. Naye Mungu atayafuta machozi yote machoni mwao.”
Naashi jooro dagotse fa'a mereero boon jintsi wotitwe, kashi aatsi t'úp'okowere boon jishitwe, Ik'o aac'u jamo bo ááwatse firitwe.»

< Ufunuo 7 >