< Ufunuo 6 >
1 Kisha nikamwona Mwanakondoo anavunja mhuri mmojawapo wa ile mihuri saba. Nikasikia kimoja cha vile viumbe hai vinne kikisema kwa sauti kama ya ngurumo, “Njoo!”
Nikalanga wakati mwanakondoo bho abhopuili moja jha mihuri jhela saba, ni kapeleka mmonga ghwa bhala bhenye uhai bhancheche ajobhili kwa sauti jhajhawaningene ni radi, “Hidayi!”
2 Mimi nikatazama, na kumbe palikuwa na farasi mmoja mweupe hapo. Na mpanda farasi wake alikuwa na upinde, akapewa na taji. Basi, akatoka kama mshindi aendelee kushinda.
Nikalanga na pajhele ni bakuli, na apelibhu litaji. Ahomili kama mshindi jhaashindili ili ashindayi.
3 Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa pili. Nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, “Njoo!”
Wakati mwanakondoo abhopoili mihuri ghwa pili nikapeleka mwenye uhai ghwa pili ijobha, “Hidayi!”
4 Nami nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mwingine hapo, mwekundu. Mpanda farasi wake alikabidhiwa jukumu la kuondoa amani duniani, watu wauane, akapewa upanga mkubwa.
Kisha farasi jhongi akahida - n'dughu kama muoto. Jhaakwelili apelibhu ruhusa jha kubhosya amani paduniani, ili kwamba bhanu bhachinjanayi ojho jhaakwelili apelibhu upanga mbaha.
5 Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tatu. Nikamsikia yule kiumbe hai wa tatu akisema, “Njoo!” Nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mmoja hapo, mweusi. Mpanda farasi wake alikuwa na vipimo viwili vya kupimia uzito mkononi mwake.
Wakati mwanakondoo abhopuili bhola mihuri ghwa tatu, ijobha, “Hidayi!” Nikabhona farasi jhititu, na jhaakwelili ajhe ni mizani mumabhoko mwa muene.
6 Nikasikia kitu kama sauti itokayo kwa vile viumbe hai vinne. Nayo ilisema, “Kibaba kimoja cha unga wa ngano wa kiasi cha fedha dinari moja, na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja. Lakini usiharibu mafuta wala divai!”
Nikapeleka sauti jhajhabhonekene jha mmonga ghwa bhala bhenye uhai jhijobha, “kibaba kya ngano kwa dinari jhimonga ni fibaba fidatu fya shayiri kwa dinari jhimonga. Lakini ufighadhuru kwa mafuta gha divai.”
7 Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa nne. Nikamsikia yule kiumbe hai wa nne akisema, “Njoo!”
Wakati mwanakondoo abhopuili muhuri ghwa nne, nikapeleka sauti jha mwenye uhai ghwa nne jhijobha, “Hidayi!”
8 Nami nikatazama, na kumbe alikuwapo farasi mmoja hapo, rangi yake kijivu. Na jina la mpanda farasi wake lilikuwa kifo, na Kuzimu alimfuata nyuma. Hao walipewa mamlaka juu ya robo moja ya dunia, wawaue watu kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs )
Kisha nikabhona farasi ghwa kijivu, jhaakwelili akutibhu lihina lya muene mauti, ni kuzimu jhikajhajhikan'kesya. Bhapelibhu mamlaka panani jha robo jha nchi, kukoma kwa upanga, kwa njala ni kwa bhutamu, ni kwa bhanyama bha mwitu mu nchi. (Hadēs )
9 Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tano. Nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa Mungu, na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa.
Wakati mwanakondoo abhopuili muhuri ghwa tano, nikabhona pasi pa madhabahu roho sya bhala bhabhajhele bhakomibhu kwandabha jha litobhi lya K'yara ni kutokana ni ushuhuda bhwabhaukamuili kwa uthabiti.
10 Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu?”
Bhakalela kwa sauti mbaha, “mpaka ndali, mtawala ghwa fyoha, mtakatifu ni mkweli, wibeta kuhukumu bhabhitama panani pa nchi, ni kulepesya kisasi damu jha tete?”
11 Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watawaua kama wao wenyewe walivyouawa.
Kisha mmonga jha apelibhu likanzu libhalafu na bhajobhibhu kujha bhilondeka kulendela kidogo hata pajhibeta kutimila hesabu kamili jha bhatumishi bhajhabhi ni bhalongo bhabhi bha kidala ni bhakigosi pajhibeta kutimila ambabho bhibeta kukomibhwa, kama fela ambafyo bhene bhakomibhu.
12 Kisha nikatazama, na wakati Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa sita, kukawa na tetemeko kubwa la ardhi; jua likawa jeusi kama gunia; mwezi wote ukawa mwekundu kama damu;
Wakati mwanakondoo abhopuili muhuri ghwa sita, nalolili na pajhele ni litetemeko libhaha. Lijobha lyajhele lititu kama ligunila lya singa, ni mwesi bhuoha bhwajhele kama damu.
13 nazo nyota za mbingu zikaanguka juu ya ardhi kama matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali.
Matondo gha kumbinguni ghabinili mu nchi, kama mtini kyaghwibinisya matunda ghake gha wakati bhwa mepu pa wihugusibhwa ni kingongola.
14 Anga likatoweka kama vile karatasi inavyokunjwakunjwa; milima yote na visima vyote vikaondolewa mahali pake.
Anga jhabhokili kama gombo lyalisyongosibhu. khila kidonda ni kisiwa fya hamisibhu mahali pake.
15 Kisha wafalme wa duniani, wakuu, majemadari, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa na mtu huru, wakajificha mapangoni na kwenye majabali milimani.
Kisha bhafalme bha nchi ni bhanu maarufu ni majemadari, matajiri, bhenye nghofu, ni khila mmonga jhaajhele mtumwa ni huru, bbhakakifigha mu mapango ni mu miamba jha fidonda.
16 Wakaiambia hiyo milima na hayo majabali, “Tuangukieni, mkatufiche mbali na yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na mbali na ghadhabu ya Mwanakondoo!
Bhakajhijobhela fidonda ni miamba, “Tubinilayi! Tufighai dhidi jha uso bhwa muene jhaitama pa kiti kya enzi ni kuhoma ligoga lya mwanakondoo.
17 Maana siku maalum ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?”
Kwa kujha siku kuu jha gadhabu jhabhene jhihida, niani jhaibhwesya kujhema?”