< Ufunuo 6 >

1 Kisha nikamwona Mwanakondoo anavunja mhuri mmojawapo wa ile mihuri saba. Nikasikia kimoja cha vile viumbe hai vinne kikisema kwa sauti kama ya ngurumo, “Njoo!”
Minto ki kwamawr be kwame wumom win mordokka kangeko nibeereu, dils minuwa win mor birombo fwelfwele kidume naareu toki dir na diikwaama, “Bou!”
2 Mimi nikatazama, na kumbe palikuwa na farasi mmoja mweupe hapo. Na mpanda farasi wake alikuwa na upinde, akapewa na taji. Basi, akatoka kama mshindi aendelee kushinda.
Lamator; minto; tuwa f; uwo; r;; wuro yim wiyeu tamki cin neco lala duwektak. cin ceri turin naci ma turini.
3 Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa pili. Nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, “Njoo!”
Kambo bekwsme wom dokka kangeko yoberi, dila min nuwo dume fwefwele wo yobeceu yikii, Bou!”
4 Nami nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mwingine hapo, mwekundu. Mpanda farasi wake alikabidhiwa jukumu la kuondoa amani duniani, watu wauane, akapewa upanga mkubwa.
La tuwa kange cerou kale-fiye kwiu. Dila nii kwikace ciin nemco kange ciya tum fuwor nervo dorbitiner, na nabceba twalamgum bwiticeu. Nii kwikakowo cii neco kulendo dur.
5 Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tatu. Nikamsikia yule kiumbe hai wa tatu akisema, “Njoo!” Nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mmoja hapo, mweusi. Mpanda farasi wake alikuwa na vipimo viwili vya kupimia uzito mkononi mwake.
Kambo bekwame wom dokka kangeko taareri, iarnin nuwa dume fwelfuwe wo taarecu yikii, “Bou!” Minto tuwa fir, nii kwikaceka tamki bidigle cuwaka mor kangece.
6 Nikasikia kitu kama sauti itokayo kwa vile viumbe hai vinne. Nayo ilisema, “Kibaba kimoja cha unga wa ngano wa kiasi cha fedha dinari moja, na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja. Lakini usiharibu mafuta wala divai!”
Lamin nuwea nadiro kange mor biro fwelfuwe kidume naareu yikii, “Bidigle bikateu win yaka yiwkakukem, bidigle shair taartak. Dila kangre nuwengo kange mwembo twiber—-”
7 Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa nne. Nikamsikia yule kiumbe hai wa nne akisema, “Njoo!”
Kanbo be kwame wume dokko kangeko naarer min nuwo dir fwelkarowo kidume naareceu yikii, “Bou!”
8 Nami nikatazama, na kumbe alikuwapo farasi mmoja hapo, rangi yake kijivu. Na jina la mpanda farasi wake lilikuwa kifo, na Kuzimu alimfuata nyuma. Hao walipewa mamlaka juu ya robo moja ya dunia, wawaue watu kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs g86)
Laminto tuwa kange Mwom bituwamen Nii kwiikaceko cii neco den buwar bwangfen cotitak ciin neco bikwan duret dor wumero naar wo dorbitineroceu ciiya twalangum ki kulen, wura, buwaratinim, kange nannagentindo kiyetak wo dorboitinerocu. (Hadēs g86)
9 Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tano. Nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa Mungu, na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa.
Kambo bekweame wom dokka kangeko nungeri, laminto dume nubo wuro cii twalanglum ke, kwaamareu cuga tanjdanek kange warko cii tabi takeu.
10 Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu?”
Ciin ciwiye ki diro dur, “Dilan fiy ang nii liyae gwamm, Nii bilenke kange wucakeu, mwan ma dubo yimror bitinernin bolang natum ceerka boiyale nyeko?
11 Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watawaua kama wao wenyewe walivyouawa.
Dila krearubce ciinnecii kulenolofuwor lacii yitencii ciiys cobten ningtang biduwar tamo kilatum kebceb cangabo kebciibo nabarob kambo cii twalangum ciyeu.
12 Kisha nikatazama, na wakati Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa sita, kukawa na tetemeko kubwa la ardhi; jua likawa jeusi kama gunia; mwezi wote ukawa mwekundu kama damu;
Kanbo bekwame wumom dokko kangeko nukkunreri, mititoiri dila bikutakumyo dor wo bitine. kakuko yilam fije bwer wer na kulendo fiv, cwakko yilam na bwiyaletak
13 nazo nyota za mbingu zikaanguka juu ya ardhi kama matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali.
Bitiron diyeu yaruu bifine, kambo ti nyingjing nye tikam bitutti ce wuro birngbeu, tamo yuwako dur mokiri.
14 Anga likatoweka kama vile karatasi inavyokunjwakunjwa; milima yote na visima vyote vikaondolewa mahali pake.
Dil kwamau lem na bifumero cii kumom kume. Bangtirimbo kange diiyele cii tungumco fiye ciwiyeu.
15 Kisha wafalme wa duniani, wakuu, majemadari, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa na mtu huru, wakajificha mapangoni na kwenye majabali milimani.
Dila liyabbo dorbitinereu kange nuboketimin kange liyal kweneb, nob cwekab, kange wob bikwanob, wori kange nubo wuyak, canga kange wuro friyam ceerkan cii yurangum mor bangtinim kange bidukletin.
16 Wakaiambia hiyo milima na hayo majabali, “Tuangukieni, mkatufiche mbali na yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na mbali na ghadhabu ya Mwanakondoo!
ciinyi dukletinibo kange bangtinimbo, “kom yaruu dornyer! kutile liyareu kange funer be kwarnaro.
17 Maana siku maalum ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?”
Wori kume funereco durko bou. we atiritiye?

< Ufunuo 6 >