< Ufunuo 5 >
1 Kisha katika mkono wa kulia wa huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, nikaona kitabu; nacho kilikuwa kimeandikwa ndani na nje na kufungwa na mihuri saba.
Na da Gode (E da Fisu da: iya fibi) amo Ea lobodafa ganodini, bioi meloa gagui dialebe ba: i. Amo da la: ididili la: ididili dedei, amola mae fadegama: ne, gobele ga: su liligi fesuale amoga ga: i dagoi ba: i.
2 Tena nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kubwa: “Nani anayestahili kuvunja hiyo mihuri na kukifungua kitabu hicho?”
Na da gasa bagade a: igele dunu ba: i. E ha: giwane wele sia: i, amane, “Nowa da amo gobele ga: su liligi fima: bela: ? Meloa bioi fadegamusa: , nowa da defele esalabala: ?”
3 Lakini hakupatikana mtu yeyote mbinguni, wala duniani, wala chini Kuzimu, aliyeweza kukifungua hicho kitabu au kukitazama ndani. ()
Be Hebene ganodini, osobo bagade ganodini amola hagudu bogoi soge amo ganodini, amo bioi meloa ganodini ba: musa: gobele ga: su fadegama: ne, dunu da amo defele hamomusa: hamedafa ba: i.
4 Basi, mimi nikalia sana kwa sababu hakupatikana mtu aliyestahili kukifungua, au kukitazama ndani.
Dunu da amo bioi meloa fadegale, ganodini ba: mu amo defele hamoma: ne dunu da hogoi helele hame ba: beba: le, na da bagadewane di.
5 Kisha mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama! Simba wa kabila la Yuda, mjukuu maarufu wa Daudi, ameshinda. Yeye anaweza kuivunja mihuri yake saba na kukifungua hicho kitabu.”
Amalalu, asigilai dunu afadafa da nama amane sia: i, “Mae dima! Ba: ma! Yuda fi Laione, amo da Da: ibidi ea gasa bagade mano, E da osobo bagade hou hasaliba: le, E da gobele ga: su liligi fesuale gala fili, meloa bioi fadegamusa: dawa:”
6 Kisha nikaona pale katikati ya kiti cha enzi Mwana kondoo amesimama, akizungukwa kila upande na vile viumbe hai vinne, na wale wazee. Huyo Mwanakondoo alionekana kana kwamba amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba ambayo ni roho saba za Mungu zilizokuwa zimepelekwa kila mahali duniani.
Amalalu na da Sibi Mano Fisu dogoa amoga lelebe ba: i. Ema sisiga: le, esalebe liligi biyaduyale gala amola asigilai dunu, lelebe ba: i. Sibi Mano da medole legei agoane ba: i. E da bese (hono) fesuale galu amola si fesuale galu. Amo da fedege agoane, Gode Ea a: silibu fidisu fesuale gala Gode da osobo bagadega lalaloma: ne, ili asunasi.
7 Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono wa kulia wa yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi.
Sibi Mano da asili, bioi meloa Gode (E da Fisu da: iya fibi) Ea lobodafa ganodini gagui, amo lai.
8 Mara tu alipokwisha twaa hicho kitabu, vile viumbe hai vinne pamoja na wale wazee ishirini na wanne walianguka kifudifudi mbele ya Mwanakondoo. Kila mmoja, alikuwa na kinubi na bakuli za dhahabu zilizojaa ubani, ambao ni sala za watu wa Mungu.
E agoane hamonanebe, esalebe liligi biyaduyale gala amola asigilai dunu 24, da Sibi Mano Ema beguduli diasa: i. Ilia afae afae sani baidama amola ofodo gabusiga: manoma amoga nabai, gagui dialebe ba: i. Gabusiga: manoma da fedege agoane, Gode Ea fi dunu ilia sia: ne gadosu.
9 Basi, wakaimba wimbo huu mpya: “Wewe unastahili kukitwaa hicho kitabu na kuivunja mihuri yake. Kwa sababu wewe umechinjwa, na kwa damu yako umemnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, lugha, jamaa na taifa.
Ilia da gaheabolo gesami hea: su amane hea: i, “Di da amo meloa bioi lale, gobele ga: su liligi fadegamu amo Di da defele esala. Bai Di da eno dunuga medole legei. Di bogobeba: le, Di da fifi asi gala, sia: hisu, fi hisu amola ouligisu hisu huluanedafa, dunu mogili Godema oule misa: ne bidi lai dagoi.
10 Wewe umewafanya wawe ufalme wa makuhani wamtumikie Mungu wetu nao watatawala duniani.”
Di da amo dunu gobele salasu ouligisu fi Gode ea hawa: hamomusa: gini hamoi dagoi. Ilia da osobo bagadega ouligisu hawa: hamomu!”
11 Kisha nikatazama, nikasikia sauti ya malaika wengi sana, idadi isiyohesabika, maelfu na maelfu. Walikuwa wamekaa kuzunguka kiti cha enzi, vile viumbe hai vinne na wale wazee;
Na da bu ba: beba: le, a:igele dunu osea: idafa, idimu hamedei amo nabi dagoi. Ilia da Fisu, esalebe liligi biyaduyale gala amola asigilai dunu, amo sisiga: le leluwane,
12 wakasema kwa sauti kuu: “Mwanakondoo aliyechinjwa anastahili kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, utukufu na sifa.”
amane gesami hea: i, “Sibi Mano medole legei, Ema dunu huluane da Ea Hinadafa Hou, gasa bagade hou, bagade gagui hou amola bagade dawa: su hou amo dawa: le, Ema eso huluane nodonanumu da defea!”
13 Nikasikia viumbe vyote mbinguni, duniani, chini kuzimuni na baharini—viumbe vyote ulimwenguni—vikisema: “Kwake yeye aketiye katika kiti cha enzi, na kwa Mwanakondoo, iwe sifa na heshima na utukufu na enzi milele na milele.” (aiōn , questioned)
Amola liligi huluane Hebene ganodini, osobo bagadega, hagudu soge amoga esala liligi huluanedafa gesami hea: lalebe na da amane nabi, “Dunu huluane da Fisu da: iya fibi Gode amola Sibi Mano amoma mae yolesili, nodonanumu da defea!” (aiōn )
14 Na vile viumbe vinne hai vikasema, “Amina!” Na wale wazee wakaanguka kifudifudi, wakaabudu.
Esalebe liligi biyaduyale gala da “Ama” sia: i. Asigilai dunu da gudu diasa: ili, nodone sia: ne gadoi.