< Ufunuo 4 >

1 Baada ya hayo nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. Na ile sauti niliyoisikia pale awali ambayo ilikuwa kama sauti ya tarumbeta, ikasema, “Njoo hapa juu nami nitakuonyesha mambo yatakayotukia baadaye.”
Masigi matungda eina yengbada eigi mangda swargada thong ama hangdoktuna leiba ure. Aduga eina hanna takhiba khonjel aduna peresinggagi khonjelgumna eingonda hairak-i, “Maphamsida ka-khatlak-u, aduga masigi matungda kari thokkadage haiba adu eina nangonda uhange.”
2 Mara nikachukuliwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja.
Khudak aduda ei thawaida leirammi aduga eigi maangda swargada phambal amada kanagumba ama phamduna leirammi.
3 Huyo aliyeketi juu yake alikuwa kama almasi na jiwe zuri jekundu. Upinde wa mvua ulikuwa unang'aa kama zumaridi na ulikizunguka kiti cha enzi pande zote.
Mahakki maithong adu mamal yamlaba nung jasper amasung carneliangi masek mangalgummi, aduga emerald machugi chumthangna phambal adu koisilli.
4 Kulikuwa na duara la viti ishirini na vinne kukizunguka kiti cha enzi, na juu ya viti hivyo wazee ishirini na wanne walikuwa wameketi wamevaa mavazi meupe na taji za dhahabu vichwani.
Phambal adugi akoibada atei phambal kunmarina koisilli, aduga maduda angouba phijol setpa makokta sanagi luhup uppa ahal-laman kunmari phamlammi.
5 Umeme, sauti na ngurumo, vilikuwa vinatoka kwenye hicho kiti cha enzi. Taa saba za moto zilikuwa zinawaka mbele ya hicho kiti cha enzi. Taa hizo ni roho saba za Mungu.
Phambal adudagi nongthang kuppagi khangal nganba mangalsing, nong khakpagi amadi nong khongbagi ahouba makhol thoraklammi. Phambal adugi mamangda meira taret chaklammi. Makhoising adu Tengban Mapugi thawai taretni.
6 Mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na kitu kama bahari ya kioo, angavu kama jiwe linga'aalo sana. Katika pande zote za hicho kiti cha enzi na kukizunguka, kilikuwa na viumbe hai vinne. Viumbe hivyo vilikuwa vimejaa macho mbele na nyuma.
Phambal adugi mangda liklaigumna langba likligi samudragumba ama leirammi. Phambal adugi akoibada, maikei khudingda, maning mamang mitna pumthan thanba thawaipanba mari leirammi.
7 Kiumbe cha kwanza kulikuwa kama simba, cha pili kama ng'ombe, cha tatu kilikuwa na sura kama mtu, na cha nne kilikuwa kama tai anayeruka.
Ahanba thawaipanba adu nongsa malli, anisuba aduna sal laba malli, ahumsuba aduna mioibagi saktam manba mamai palli aduga marisuba aduna apaiba eagle malli.
8 Viumbe hivyo vinne vilikuwa na mabawa sita kila kimoja, na vilikuwa vimejaa macho, ndani na nje. Usiku na mchana, bila kupumzika huimba: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Bwana, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwako, aliyeko na anayekuja!”
Thawaipanba marimak masa taruk taruk palli aduga masasing adugi manungsu mapansu mamitna pumthan thalli. Amasung ahing nungthil animakta makhoina keidounungda isei sakpa lepte: “Asengba, asengba, asengba, nahakti leiramba, leiriba amasung lenglakkadouriba, Ingam ngamba Ibungo Tengban Mapuni.”
9 Kila mara viumbe vinne vilipoimba nyimbo za kumtukuza, kumheshimu na kumshukuru huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, ambaye anaishi milele na milele, (aiōn g165)
Thawaipanba mari aduna phambal adugi mathakta phamliba lomba naidana hingliba Ibungo adugi matik mangalgi, ikai khumnabagi amadi thagatpagi isei saklammi. Amasung makhoina asumna touba matamda, (aiōn g165)
10 wale wazee ishirini na wanne hujiangusha mbele ya huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi na kumwabudu huyo ambaye anaishi milele na milele; na huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema: (aiōn g165)
Ahal laman kunmari aduna phambaldugi mathakta phamliba Ibungo mahakki maangda tuthajaduna lomba naidana hingliba Ibungo mahakpu khurumjarammi. Makhoigi luhupsing adu phambaldugi mangda louthoktuna thamjaraga hai, (aiōn g165)
11 “Wewe ni Bwana na Mungu wetu, unastahili utukufu na heshima na nguvu; maana wewe uliumba vitu vyote, na kwa matakwa yako kila kitu kimepewa uhai na uzima.”
“Eikhoigi Ibungo, eikhoigi Tengban Mapu! Ibungo nahakti matik mangal, ikai khumnaba amasung panggal phangbada matik chabani. Maramdi Ibungo nahakna pot pumnamakpu sembire, Nahakki aningbadagi makhoibu oihanbire amasung sembire.”

< Ufunuo 4 >