< Ufunuo 4 >
1 Baada ya hayo nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. Na ile sauti niliyoisikia pale awali ambayo ilikuwa kama sauti ya tarumbeta, ikasema, “Njoo hapa juu nami nitakuonyesha mambo yatakayotukia baadaye.”
След това видях, и ето врата отворени на небето; и предишният глас, който бях чул да говори с мене като тръба, казваше: Възлез тук, и ще ти покажа това, което трябва да стане подире.
2 Mara nikachukuliwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja.
Начаса се намерих в изстъпление чрез Духа, и, ето, престол беше поставен на небето, и на престола седеше Един.
3 Huyo aliyeketi juu yake alikuwa kama almasi na jiwe zuri jekundu. Upinde wa mvua ulikuwa unang'aa kama zumaridi na ulikizunguka kiti cha enzi pande zote.
И седналият приличаше на камък яспис и сардис; имаше около престола и дъга, наглед като смарагд.
4 Kulikuwa na duara la viti ishirini na vinne kukizunguka kiti cha enzi, na juu ya viti hivyo wazee ishirini na wanne walikuwa wameketi wamevaa mavazi meupe na taji za dhahabu vichwani.
И около престола имаше двадесет и четири престола, и видях, че на престолите седяха двадесет и четири старци, облечени в бели дрехи, и на главите им златни корони.
5 Umeme, sauti na ngurumo, vilikuwa vinatoka kwenye hicho kiti cha enzi. Taa saba za moto zilikuwa zinawaka mbele ya hicho kiti cha enzi. Taa hizo ni roho saba za Mungu.
И от престола излизаха светкавици и гласове и гърмежи. И пред престола горяха седем огнени светила, които са седемте Божии духове.
6 Mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na kitu kama bahari ya kioo, angavu kama jiwe linga'aalo sana. Katika pande zote za hicho kiti cha enzi na kukizunguka, kilikuwa na viumbe hai vinne. Viumbe hivyo vilikuwa vimejaa macho mbele na nyuma.
И пред престола имаше като стъклено море, подобно на кристал, а всред престола и около него четири живи същества, пълни с очи и отпред и отзад.
7 Kiumbe cha kwanza kulikuwa kama simba, cha pili kama ng'ombe, cha tatu kilikuwa na sura kama mtu, na cha nne kilikuwa kama tai anayeruka.
Първото живо същество приличаше на лъв, второто приличаше на теле, третото имаше като човешко лице, и четвъртото живо същество приличаше на летящ орел.
8 Viumbe hivyo vinne vilikuwa na mabawa sita kila kimoja, na vilikuwa vimejaa macho, ndani na nje. Usiku na mchana, bila kupumzika huimba: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Bwana, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwako, aliyeko na anayekuja!”
И четирите живи същества, имащи по шест крила, бяха пълни с очи изоколо и извътре; и те не престават денем и нощем да казват: Свят, свят, свят е Господ Бог Всемогъщий, Който бе и Който е, и Който ще бъде.
9 Kila mara viumbe vinne vilipoimba nyimbo za kumtukuza, kumheshimu na kumshukuru huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, ambaye anaishi milele na milele, (aiōn )
И когато живите същества принасят слава, почит и благодарение на Този, Който седи на престола и живее до вечни векове, (aiōn )
10 wale wazee ishirini na wanne hujiangusha mbele ya huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi na kumwabudu huyo ambaye anaishi milele na milele; na huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema: (aiōn )
двадесетте и четири старци падат пред седещия на престола, и се кланят на Онзи, Който живее до вечни векове, и полагат короните си пред престола, казвайки: (aiōn )
11 “Wewe ni Bwana na Mungu wetu, unastahili utukufu na heshima na nguvu; maana wewe uliumba vitu vyote, na kwa matakwa yako kila kitu kimepewa uhai na uzima.”
Достоен си, Господи наш и Боже наш, да приемеш, слава, почит и сила; защото Ти си създал всичко, и поради твоята воля всичко е съществувало и е било създадено.