< Ufunuo 20 >
1 Kisha nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
Hanchu invân renga vântîrton juong chum a kuta khurmongboi chabi le Zingjirûi lienpa chôi ku mua. (Abyssos )
2 Akalikamata lile joka—nyoka wa kale, yaani Ibilisi au Shetani—akalifunga kwa muda wa miaka elfu moja.
Dragon, tienlâia rûlpui, maha Diabol, aninônchu Soitan hah a sûra, kum isâng khat rangin a khitbel zoi.
3 Malaika akalitupa Kuzimu, akaufunga mlango wa kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka elfu moja itakapotimia. Lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi tu. (Abyssos )
Vântîrton'n khurmongboia han a mathâk paia, a khâra, kum isâng ahek mâka chu namtinngei a huong khâi loina rangin a kalrap zoi. Masuole chu ama hah chomolte rangin mojôk ngêt nîng atih. (Abyssos )
4 Kisha nikaona viti vya enzi na watu walioketi juu yake; watu hao walipewa mamlaka ya hukumu. Niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya kumtangaza Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawa hawakumwabudu yule mnyama na sanamu yake, wala hawakupigwa alama yake juu ya paji za nyuso zao, au juu ya mikono yao. Walipata tena uhai, wakatawala pamoja na Kristo kwa muda wa miaka elfu moja.
Hanchu rêngsukmunngei ku mua, a chunga ânsungpu ngei hah roijêk thei rangin rachamneina pêkin an oma. Jisua'n chongtak a phuong le Pathien chong an misîr sika an lutana omngei rathangei khom ku mu sa. Anni ngei han sarâng le arimil chubaimûk mak ngeia, sarâng sînthona khom an machalngeia mo, aninônchu an kutngeia mo khom dôn uol mak ngei. Anni ngei hah an hong ringa, male Khrista leh rêngngei anghan kum isâng roijêk rangin an om zoi.
5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka elfu moja itimie.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.
(Mithi dangngei hah chu kum isâng ahek mâka chu la ring mak ngei.) Mahi thina renga inthoinôkna masatak ani.
6 Wameneemeka sana, tena heri yao wote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, na watatawala pamoja naye kwa miaka elfu moja.
Ma inthoinôkna masataka inchelpu ngei chu ânthieng le vânsa tatak an ni. Thi inikna han an chunga rachamnei khâi maka; anni ngei hah Pathien le Khrista ochaingei nîng an ta, male ama leh kum isâng khat roijêk an tih.
7 Wakati miaka elfu mia moja itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.
Kum isâng ahek suole chu, Soitan hah ân tângna renga mojôk nîng a ta,
8 Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. Shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.
male ama han namtinngei rammuol pumpui chunga chekinchâingei huong rangin sêng a ta, Gog le Magog. Soitan'n râlbuola rangin anni ngei hah hong mintûp ngei a ta, an tamtie chu tuikhanglien panga sietsai tamdôr nîng an tih.
9 Walitawanyika katika nchi yote, wakaizunguka kambi ya watu wa Mungu na mji wa Mungu aupendao. Lakini moto ulishuka kutoka mbinguni, ukawaangamiza.
Pilchung pumpuia an inzara male Pathien mingei rubuk le khopuilien a lungkham ngâi hah an huola. Aniatachu invân renga mei ajuong chuma anni ngei hah akâng minmang ngei zoi.
10 Ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
Hanchu Diabol, anni ngei huongpu, hah sarâng le dêipu dikloi an lei vôrpaina mei le kât dîla han an vôrpai zoia; male anni ngei hah tuonsôt tuonsôtin sûn le jân dûkphenêng bitin om an tih. (aiōn , Limnē Pyr )
11 Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena.
Hanchu rêngsukmun ngoi lienpa inkhat le a chunga ânsung ngâipu hah ku mua. Amakung renga han pilchung le invân an rotpaivinga, male mu nôk nikhâi mak ngei.
12 Kisha nikawaona watu wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kiti cha enzi, na vitabu vikafunguliwa. Halafu kitabu kingine, yaani kitabu cha uzima, kikafunguliwa pia. Wafu wakahukumiwa kadiri ya matendo yao, kama ilivyoandikwa ndani ya vitabu hivyo.
Male mithi ngei, alien achîn ân-angsarin, rêngsukmun motona an indingin ku mua. Lekhabungei ânphara, male lekhabu dang ringna lekhabu khom ânphar sa. Mithi ngei hah an sin lei tho dungjûiin, lekhabungeia achuong anghan an roijêkin an om zoi.
13 Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake. (Hadēs )
Hanchu tuikhanglien han asûnga mithi omngei hah ahong mojôk paia. Thina le mithi khuon an sûnga mithi omngei hah an hong mojôk ngei sa. Male anrêngin an sin lei tho dungjûiin an roijêkin an om zoi. (Hadēs )
14 Kisha kifo na kuzimu vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili. (Hadēs , Limnē Pyr )
Hanchu thina le mithi khuo ngei hah meidîla vôrpaiin an om zoi. (Hi meidîl hih thi inikna ani.) (Hadēs , Limnē Pyr )
15 Mtu yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto. (Limnē Pyr )
Tukhom ringna lekhabua an rimingngei mizieka omloipu ngei kai chu meidîla han an vôrpai ngei zoi. (Limnē Pyr )