< Ufunuo 2 >
1 “Kwa malaika wa kanisa la Efeso andika hivi: “Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye ashikaye nyota saba katika mkono wake wa kulia, na ambaye hutembea katikati ya vinara saba vya taa vya dhahabu.
“Hwa ntumi bhe kanisa elya Efeso simba: 'Ege mazu egola ya khatilie zila entondwe saba hikhono gwakwe olelo. Omwene yajenda mwinara vyedhahabu evye tala saba ayanga eshi, “
2 Najua mambo yako yote; najua bidii yako na uvumilivu wako. Najua kwamba huwezi kuwavumilia watu waovu, na kwamba umewapima wale wanaojisemea kuwa mitume na kumbe sio, ukagundua kwamba ni waongo.
“'Emenye zyobhombile adigane hwaho mbombo navumilile hwaho hasa naje howezizye, ahonvwawe nabhobhalibha bhibhi, naobhalenjele wonti wabhawikwizya bhatumwa kumbesebhabho bhabhoneshe bhilenka.
3 Wewe unayo saburi, umestahimili taabu nyingi kwa ajili ya jina langu, wala hukuvunjika moyo.
Emenye aje ulige ngolo navumilile, na oshiliye minji husababu witawa lyane, solitili osele.
4 Lakini ninayo hoja moja juu yako: wewe hunipendi tena sasa kama pale awali.
Lelo ili lyalyelyo lyendinalyo mhati mwaho, oleshile oluganano waho owahwande.
5 Basi, pakumbuke pale ulipokuwa kabla ya kuanguka, ukayaache madhambi yako, na kufanya kama ulivyofanya pale awali. La sivyo, naja kwako na kukiondoa kinara chako mahali pake.
Eshi izuha poha gwiye, otowe na bhombe embombo gohabhombaga afume hale. Nkashele sotowa embahwenzu huliwe nahwefwe eshinara shao afume apene.
6 Lakini nakusifu juu ya kitu kimoja: wewe unayachukia wanayoyatenda Wanikolai kama ninavyoyachukia mimi.
Lelo olinelo ogavitwa gala galagabhagambile Awanikolai gabhabhombile hatanene engavitwa.
7 “Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! “Wale wanaoshinda nitawapa haki ya kula matunda ya mti wa uzima ulioko ndani ya bustani ya Mungu.
Nkashile olinikutu, tejezya gala ege Mpepo gegabhozya amakanisa nolayagamena. Embahupele eshibali eshalye afume mwikwi elyehwomi wauli humwanja wa Ngolobhe.'
8 “Kwa malaika wa kanisa la Smurna andika hivi: “Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye wa kwanza na wa mwisho, ambaye alikufa na akaishi tena.
“Wantumwa wikanisa lya Smirna na simba: 'Ega mazugola yali wahwande na malishile yafwiye nabhe mwomi nantele:
9 Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani.
'“Engamenye amayemba gao nope na waho (lelo awe oli tajili), ni lenka hwabhala bhabhawikwizya bhayahudi (lelo siyo - sebhebho sinagogi lya shetani).
10 Usiogope hata kidogo yale ambayo itakulazimu kuteseka. Sikiliza! Ibilisi anataka kuwajaribu kwa kuwatia baadhi yenu gerezani; nanyi mtapata dhiki kwa muda wa siku kumi. Muwe waaminifu hata mpaka kufa, nami nitawapeni taji ya uzima.
Osahogope namayemba gagahumwaje. Enya! Oshetani alwabhataje badhi yenyu hwijela aje mlegwe napate amayemba hunsiku kumi. Mbhanje bhaminifu paka afwe, na nitawapa taji ya uzima.
11 “Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! “Wale wanaoshinda hawataumizwa na kifo cha pili.
Nkashile olinikutu, tejeleza Ompepo sagabhozya amakanisa. Olayagamena sabhapate amadhara eyefwa yabhele.'
12 “Kwa malaika wa kanisa la Pergamoni andika hivi: “Huu ndio ujumbe wake yeye aliye na upanga mkali wenye kuwili.
“Hwa ntumi ebhe kanisa lya Pergamo simba: 'Ega gayanga oyo yalinipanga ikyali, wawiwoji wonti wonti hubhele.
13 Najua unakoishi: Wewe unaishi kwenye makao makuu ya Shetani! Lakini bado unashikilia jina langu; hukuikana imani yako kwangu hata siku zile Antipa shahidi wangu mwaminifu, alipouawa pale mahali anapoishi Shetani.
'“Emenye pokhala -papali itengo elye shemwene haesho. Awe walita sana itawalyane, nasagaoikulila zya Antipasi oketiwane, omwaminifu wane, yafwiye mwamlanamwe epo papepo Setani pakhala.
14 Lakini ninayo machache dhidi yako: baadhi yenu ni wafuasi wa Balaamu aliyemfundisha Balaki kuwatega wana wa Israeli wale vyakula vilivyotambikiwa sanamu za kufanya uzinzi.
Lelo endi nenongwa nyishe nawe: olina bhantu bhabhakhata efundizyo ya Baalamu, omwene yafundizizye o Balaki abheshe oluvisyo witagalila lya bhana bha Israeli, aje bhalye vyavifumiziwe sadaka humangolobhe na hwilongo.
15 Vivyo hivyo, wako pia miongoni mwenu watu wanaofuata mafundisho ya Wanikolai.
Huhali yeyo hatawewe olinabho bhashe bhabha khata enfundizyo ya Wanikolai.
16 Basi, achana na madhambi yako. La sivyo, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu hao kwa upanga utokao kinywani mwangu.
Basi towa! Nkashele sobhomba esho, iwenza nanali, naneembabhombe ibho hwabhene hwipanga afume hwilomu lyane.
17 “Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! “Wale wanaoshinda nitawapa ile mana iliyofichika. Nitawapa pia jiwe jeupe lililoandikwa jina jipya ambalo hakuna mtu aliyelijua isipokuwa tu wale wanaolipokea.
Nkashele ohonvwa onvwa Ompepo zabhabhozya amakanisa. Ola yabhamene, embalumpele, badhi ya ela imana yehafisilwe, itawa lyashele nomo yalimenye esipokuo yoyo yaliposhela.'
18 “Kwa malaika wa kanisa la Thuatira andika hivi: “Huu ndio ujumbe wa Mwana wa Mungu, ambaye macho yake yametameta kama moto, na miguu yake inang'aa kama shaba iliyosuguliwa.
“Hwa utumi wikanisa elya Thiatira simba: “Ega ga mazu aga Mwana wa Ngolobhe, omwene yalinamaso gakwe nashi omele gwe mwoto, ne nyayo nashi eshaba yesuhuliwe sana:
19 Najua mambo yako yote. Najua upendo wako, imani yako, utumishi wako na uvumilivu wako. Wewe unafanya vizuri zaidi sasa kuliko pale awali.
““Emenye lyobhombile - olugano lwale no lweteho nehuduma no vumilivu waho tee, aje hala hahabhombile eshisheshi zawadi yahala hohabhombile pahwande.
20 Lakini nina hoja moja juu yako: wewe unamvumilia yule mwanamke Yezabeli anayejiita nabii wa Mungu. Yeye huwafundisha na kuwapotosha watumishi wangu wafanye uzinzi na kula vyakula vilivyotambikiwa sanamu.
Lelo endinalyo elihuliwe: ohuvumilila oshe oYezebeli yahwikwizya yoyookuwashee. Hunfundizyo zyakwe, abhatezya asontezo bhane azini na alye eshalye shashele shifumizie sadaka hu sanamu.
21 Nimempa muda wa kutubu dhambi zake, lakini hataki kuachana na uzinzi wake.
Ehapie ensiku ezya hweteshe, lelo sagali tayali aweteshe embibhi zyakwe.
22 Sikiliza! Sasa namtupa kitandani ambapo yeye pamoja na wote waliofanya uzinzi naye watapatwa na mateso makali. Naam, nitafanya hivyo, kama wasipotubu matendo yao mabaya waliyotenda naye.
Enya embahutaje pashita eshembina, na bhala bhabhabhomba omalaya bhape humayemba amakhali, olwenje bheteshe habhombile.
23 Tena nitawaua wafuasi wake, ili makanisa yote yatambue kwamba mimi ndiye ninayechunguza mioyo na fikira za watu.
Embabha khome abhana bhabho bhafwe namakanisa gonti bhamanye aje anene hwenya amawazo netama. Embahupele kila omo wenyu shila zyabhomba hwakwe.
24 “Lakini ninyi wengine mlioko huko Thuatira ambao hamfuati mafundisho yake Yezabeli, na ambao hamkujifunza kile wanachokiita Siri ya Shetani, nawaambieni kwamba sitawapeni mzigo mwingine.
Lelo bhamohulimwe mwamsageye hu Thiatira, mwenti mwashele semkhata nfundizyo eli, na mwashele semmenye hala hahali malibho ga Setani, eyanga hulimwe, 'sembabheshe pamwanya palimwe izigo lyolyonti.'
25 Lazima mzingatie yale mliyo nayo sasa mpaka nitakapokuja.
Wijambo lyonti, lazima mbhengangali pakaehayenza.
26 “Wanaoshinda, na wale watakaozingatia mpaka mwisho kutenda ninayotaka, nitawapa mamlaka juu ya mataifa.
Yayanti yagamena nabhombe hala shila shenshibhombile paka amalishile wamwene embahupele adalaka pamwanya epensi.
27 Naam, nitawapa uwezo uleule nilioupokea kwa Baba: yaani, watayatawala mataifa kwa fimbo ya chuma na kuyavunjavunja kama chombo cha udongo.
'Ayibhatowala hundesa eyeijela, nashi embakuli ezyilongo, abhabhabudulanye vipisi vipisi.'
28 Tena nitawapa nyota ya asubuhi.
Nashi sehaposheye afume hwa Baba wane, embahupele nantele entondwe eyasapwiti.
29 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!
Nkoli nikutu, tejezya lila lyashele Ompepo agabhola amakanisa.'