< Ufunuo 2 >

1 “Kwa malaika wa kanisa la Efeso andika hivi: “Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye ashikaye nyota saba katika mkono wake wa kulia, na ambaye hutembea katikati ya vinara saba vya taa vya dhahabu.
“Ephet sangcim üng khankhawngsäa veia hinkba yua: ‘Hin cun A kut kpat lam üng aisi khyüh kpawm lü xüi meiim taknak he khyüha ksunga cit hükia becük ni;
2 Najua mambo yako yote; najua bidii yako na uvumilivu wako. Najua kwamba huwezi kuwavumilia watu waovu, na kwamba umewapima wale wanaojisemea kuwa mitume na kumbe sio, ukagundua kwamba ni waongo.
‘I na bilo pängki ti ka ksingki; Ihlawka na khüihkhawm la na dunei thei päng pi ka ksingki. Khyangkse he am na jah ngjakhlü ka ksingki. Ngsäa am kya kphei u lü ngsäa nghmünei kyuki he jah ksing lü hleihlaki he ti na jah ksing päng pi ka ksingki.
3 Wewe unayo saburi, umestahimili taabu nyingi kwa ajili ya jina langu, wala hukuvunjika moyo.
Na duneiki, ka ngminga phäha khamei lü am na pyaiki.
4 Lakini ninayo hoja moja juu yako: wewe hunipendi tena sasa kama pale awali.
Na hmanak ka pyen vai mat awmki. Acun cun akcüka na na na jawngnaka mäiha tukbäi am na na jawngnak cen ni.
5 Basi, pakumbuke pale ulipokuwa kabla ya kuanguka, ukayaache madhambi yako, na kufanya kama ulivyofanya pale awali. La sivyo, naja kwako na kukiondoa kinara chako mahali pake.
Ihlawka akthuka na kyukngtängki ti cen ng'ngaia! Na katnak he jah nghlat ta lü akcüka na bilawh he cen jah bilo bea. Na katnak he am na jah nghlat tak üngta na veia law lü na meiim taknak a awmnak üngka naw ka lo khai.
6 Lakini nakusifu juu ya kitu kimoja: wewe unayachukia wanayoyatenda Wanikolai kama ninavyoyachukia mimi.
Acunsepi na dawnak awm ve: Nikolah khyang hea bilawh am ka ngjakhlüa kba nang naw pi am na ngjakhlü hnga cen.
7 “Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! “Wale wanaoshinda nitawapa haki ya kula matunda ya mti wa uzima ulioko ndani ya bustani ya Mungu.
Ngmüimkhya naw Sangcim hea veia i a pyen ni ti cen nami nghnga a awm üng ngai ua! Ngnängki he üng Pamhnama Ngvawng k’uma awmkia xünnak thing ktheih einak thei ka jah pe khai” a ti.
8 “Kwa malaika wa kanisa la Smurna andika hivi: “Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye wa kwanza na wa mwisho, ambaye alikufa na akaishi tena.
“Samunah Sangcim üng khankhawngsäa veia hinkba yua: ‘Hin cun Akcük säih la anghnu säih, thi lü xüng bekia becük ni:
9 Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani.
‘Na khuikhanak ka ksingki; na m'yenkseki cunsepi na bawimangki! Judah khyang kcang am niki he naw Judah khyanga mäiha am dawkia ami ning pyen ka ksingki; acun he cun Khawyama khyanga kyaki he.
10 Usiogope hata kidogo yale ambayo itakulazimu kuteseka. Sikiliza! Ibilisi anataka kuwajaribu kwa kuwatia baadhi yenu gerezani; nanyi mtapata dhiki kwa muda wa siku kumi. Muwe waaminifu hata mpaka kufa, nami nitawapeni taji ya uzima.
Na khamei vai ä kyüha. Ngaia! Khawyai naw a ning jah mhnüteinak vaia avang thawngim üng ning jah khyum khai, khawmhmüp xa nami khuikha khai. Nami thihnak vai üng pi ka veia sitih ua, nami ngnängnaka ngkhenga xünnak ka ning jah pe khai.
11 “Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! “Wale wanaoshinda hawataumizwa na kifo cha pili.
Nami nghnga a awm üng Ngmüimkhya naw Sangcim hea veia a pyen ngai ua. Ngnängki naküt anghngihnaka thihnak naw ikba pi am jah pawh thei’ ti ve” a ti.
12 “Kwa malaika wa kanisa la Pergamoni andika hivi: “Huu ndio ujumbe wake yeye aliye na upanga mkali wenye kuwili.
“Perakamun Sangcim üng khankhawngsäa veia hinkba yua: ‘Hin cun hnuma akpat cang kcim ksaü takia becük ni:
13 Najua unakoishi: Wewe unaishi kwenye makao makuu ya Shetani! Lakini bado unashikilia jina langu; hukuikana imani yako kwangu hata siku zile Antipa shahidi wangu mwaminifu, alipouawa pale mahali anapoishi Shetani.
Khawyama bawingawhnak a awmnaka na awmki ti ka ksingki. Khawyama awmnaka, ka sitih saksi Antipas ami hnima kcün üng pi ka veia khäng lü na jumeinak am na yawkki ti cun ka ksingki.
14 Lakini ninayo machache dhidi yako: baadhi yenu ni wafuasi wa Balaamu aliyemfundisha Balaki kuwatega wana wa Israeli wale vyakula vilivyotambikiwa sanamu za kufanya uzinzi.
Acunsepi Isarel khyang he juktuh hea veia ngkengnak meh ei u lü, hüipawm khai hea jah katkawng saki Balak mtheimthangkia Balaama tuilam läklamki avang nami ksunga a aawma phäha na katnak a jaw ka hmuki.
15 Vivyo hivyo, wako pia miongoni mwenu watu wanaofuata mafundisho ya Wanikolai.
Acukba nang pi Nikolah khyang hea mtheimthangnak läklamki he na ksunga avang na jah awmpüiki.
16 Basi, achana na madhambi yako. La sivyo, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu hao kwa upanga utokao kinywani mwangu.
Atuh na katnak he jah nghlat ta! Am acunüng angxita law lü acun he cun ka mka üngka naw lut lawkia kcim am ka jah tu law khai.
17 “Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! “Wale wanaoshinda nitawapa ile mana iliyofichika. Nitawapa pia jiwe jeupe lililoandikwa jina jipya ambalo hakuna mtu aliyelijua isipokuwa tu wale wanaolipokea.
Nami nghnga a awm üng Ngmüimkhya naw Sangcim hea veia a pyen ngai u. Ngnängki naküt üng thupa manah avang ka pe khai. Yahki dänga thea u naw pi am a kheh thei vaia ngming kthai ng’yukia lung kbawk pi ka jah pe khai’ ti ve” a ti.
18 “Kwa malaika wa kanisa la Thuatira andika hivi: “Huu ndio ujumbe wa Mwana wa Mungu, ambaye macho yake yametameta kama moto, na miguu yake inang'aa kama shaba iliyosuguliwa.
“Tuhtirah üng Sangcim khankhawngsäa veia hinkba yua: ‘Hin cun Pamhnama Capa, meikdäia mäiha däiki mik na lü a khawpha mthimsawia mäiha cakia becük ni:
19 Najua mambo yako yote. Najua upendo wako, imani yako, utumishi wako na uvumilivu wako. Wewe unafanya vizuri zaidi sasa kuliko pale awali.
Na bilawh ka ksingki. Na jawngnak, na sitihnak, na khüihkhawm la na duneinak ka ksingki. Akcüka na bilawha kthaka atuh na ktha na bawki ti ka ksingki.
20 Lakini nina hoja moja juu yako: wewe unamvumilia yule mwanamke Yezabeli anayejiita nabii wa Mungu. Yeye huwafundisha na kuwapotosha watumishi wangu wafanye uzinzi na kula vyakula vilivyotambikiwa sanamu.
Pamhnama ngsäa ngsuiei kyukia nghnumi Jezebelah nami ksunga nami awm saka phäha nang üng hmanak ka hmuki. Ani naw a jah mtheimthangnak am ka m'ya he hüipawmnak la juktuh he üng peta buh jah eiawk saki.
21 Nimempa muda wa kutubu dhambi zake, lakini hataki kuachana na uzinzi wake.
A katnak hea phäh a ngjutnak vaia kcün ka pet päng, cunsepi hüipawmnak üngka naw a nghlat law be vai am yäng.
22 Sikiliza! Sasa namtupa kitandani ambapo yeye pamoja na wote waliofanya uzinzi naye watapatwa na mateso makali. Naam, nitafanya hivyo, kama wasipotubu matendo yao mabaya waliyotenda naye.
Acunakyase ani am hüipawm u lü kakawngki he am atänga aknuia khuikha khai hea, ihnaka khana ka tawn law khai. Ani am atänga katnak ami pawh cen am ami ngjut be üngta tukbäi ahin ka pawh law khai.
23 Tena nitawaua wafuasi wake, ili makanisa yote yatambue kwamba mimi ndiye ninayechunguza mioyo na fikira za watu.
Ani läki he pi ka jah hnim khai. Acunüng sangcim avan naw kei cun khyang naküta ngaihkyunak la hlüei ka ksing bäihki ti ksing khai he. Nami bilawh cun nami vana bilawha kba ka ning jah thung law khai.
24 “Lakini ninyi wengine mlioko huko Thuatira ambao hamfuati mafundisho yake Yezabeli, na ambao hamkujifunza kile wanachokiita Siri ya Shetani, nawaambieni kwamba sitawapeni mzigo mwingine.
Acunsepi Tuhtiraha awmkia nangmi avang he naw ahina am dawkyakia mtheimthangnak am läk u lü; avang naw ‘Khawyama ngthu ngthup’ ami ti cen pi am nami ngtheingthangki. Phüi k’yüh akce nami khana i am ka mtaih khai ti hin ning jah mtheh veng.
25 Lazima mzingatie yale mliyo nayo sasa mpaka nitakapokuja.
Acunsepi am ka pha law hama küt üng nami tak cen akhänga kpawm kheng yeng ua.
26 “Wanaoshinda, na wale watakaozingatia mpaka mwisho kutenda ninayotaka, nitawapa mamlaka juu ya mataifa.
Upi ngnäng lü, ka ngjak'hlü adütnak cäpa biloki he cun ka Pa üngka ka yaha ana ka jah pe khai: Khyangmjü he mthicung am jah uk lü, mdek k’ama mäiha amte mtea jah ak sak khai hea ana ka jah pe khai. Thaike pi ka jah pe khai.
27 Naam, nitawapa uwezo uleule nilioupokea kwa Baba: yaani, watayatawala mataifa kwa fimbo ya chuma na kuyavunjavunja kama chombo cha udongo.
28 Tena nitawapa nyota ya asubuhi.
29 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!
Nami nghnga a awm üng Ngmüimkhya naw Sangcim hea veia a pyen ngai u’ ti ve” a ti.

< Ufunuo 2 >