< Ufunuo 19 >

1 Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati wa watu wengi mbinguni ikisema, “Haleluya! Ukombozi, utukufu na nguvu ni mali yake Mungu wetu!
След това чух като-че-ли силен глас от голямо множество на небето, който казваше: Алилуя! Спасение, слава и сила принадлежат на нашия Бог;
2 Maana hukumu yake ni ya kweli na ya haki. Amemhukumu yule mzinzi mkuu ambaye alikuwa ameipotosha dunia kwa uzinzi wake. Amemwadhibu kwa sababu ya kumwaga damu ya watumishi wake!”
защото са истинни и праведни Неговите съдби; понеже Той осъди великата блудница, която е разтляла земята с блудството си, и даде върху нея възмездие за кръвта на Своите слуги.
3 Wakasema, “Asifiwe Mungu! Moshi wa moto unaoteketeza mji huo utapanda juu milele na milele!” (aiōn g165)
И втори път рекоха: Алилуя! И димът й се издига до вечни векове. (aiōn g165)
4 Na wale wazee ishirini na wanne, na vile viumbe hai vinne, wakajitupa chini, wakamwabudu Mungu aliyeketi juu ya kiti cha enzi wakisema, “Amina! Asifiwe Mungu!”
И двадесетте и четири старци и четирите живи същества паднаха, та се поклониха на Бога, Който седи на престола, и казаха: Амин! Алилуия!
5 Kisha kukatokea sauti kwenye kiti cha enzi: “Msifuni Mungu enyi watumishi wake wote, nyote mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.”
И от престола излезе глас, който казваше: Хвалете нашия Бог, всички Негови слуги, вие, които Му се боите, малки и големи.
6 Kisha nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa wa watu na sauti ya maji mengi na ya ngurumo kubwa, ikisema, “Haleluya! Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Uwezo ni Mfalme!
И чух като глас от силни гърмежи, които казваха: Алилуия! Защото Господ, нашият Бог, Всемогъщият, царува.
7 Tufurahi na kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa arusi ya Mwanakondoo umefika, na bibi arusi yuko tayari.
Нека се радваме и се веселим и нека отдадем Нему слава: защото дойде сватбата на Агнето, и Неговата жена се е приготвила.
8 Amepewa uwezo wa kujivalia nguo ya kitani safi, iliyotakata na yenye kung'aa!” (Nguo hiyo ya kitani safi ni matendo mema ya watu wa Mungu.)
И на нея се позволи да се облече в светъл и чист висон; защото висонът; е праведните дела на светиите.
9 Kisha malaika akaniambia, “Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwanakondoo!” Tena akaniambia, “Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu.”
И каза ви: Напиши: Блажени тия, които са призвани на сватбената вечеря на Агнето. И казва ми: Тия думи са истинни божи думи.
10 Basi, mimi nikaanguka kifudifudi mbele ya miguu yake nikataka kumwabudu. Lakini yeye akaniambia, “Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako; sote tunauzingatia ukweli ule alioufunua Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ukweli alioufunua Yesu ndio unaowaangazia manabii.”
Тогава аз паднах пред нозете му да му се поклоня; но той ми рече: Недей; аз съм съслужител на тебе и на братята ти, които държат свидетелството за Исуса; поклони се Богу; защото духът на пророчеството е да свидетелствуваме за Исуса.
11 Kisha nikaona mbingu zimefunguliwa; na huko alikuwako farasi mmoja mweupe, na mpanda farasi wake aliitwa “Mwaminifu” na “Kweli”. Huyo huhukumu na kupigana kwa ajili ya haki.
След това видях небето отворено, и ето бял кон, и Оня, Който яздеше на него, се наричаше Верен и Истинен, и съди и воюва праведно.
12 Macho yake ni kama mwali wa moto, na alikuwa amevaa taji nyingi kichwani. Alikuwa ameandikwa jina ambalo hakuna mtu alijuaye isipokuwa tu yeye mwenyewe.
Очите Му бяха огнен пламък, на главата Му бяха много корони и носеше написано име, което никой не знаеше, а само Той;
13 Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu.”
и беше облечен в дреха, попръскана с кръв; и името Му беше Божието слово.
14 Majeshi ya mbinguni yalimfuata yakiwa yamepanda farasi weupe na walikuwa wamevaa mavazi ya kitani, meupe na safi.
И небесните войски, облечени в бял и чист висон, следваха подир Него на бели коне.
15 Upanga mkali hutoka kinywani mwake, na kwa upanga huo atawashinda mataifa. Yeye ndiye atakayetawala kwa fimbo ya chuma na kuikamua divai katika chombo cha kukamulia zabibu za ghadhabu kuu ya Mungu Mwenye Uwezo.
Из устата Му излизаше остър меч, за да порази с него народите; и Той ще ги управлява с желязна тояга и ще стъпче лина на лютия гняв на Бога Всемогъщий.
16 Juu ya vazi lake, na juu ya mguu wake, alikuwa ameandikwa jina: “Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.”
И на дрехата и на бедрото Му имаше написано име: Цар на царете, и Господ на господарите.
17 Kisha nikamwona malaika mmoja amesimama katika jua. Akapaaza sauti na kuwaambia ndege wote waliokuwa wanaruka juu angani, “Njoni! Kusanyikeni pamoja kwa karamu kuu ya Mungu.
После видях един ангел, стоящ в слънцето; и, извиквайки със силен глас, каза на всички птици, които летят посред небето: Дойдете, събирайте за великата Божия вечеря,
18 Njoni mkaitafune miili ya wafalme, ya majemadari, ya watu wenye nguvu, ya farasi na wapanda farasi wao; njoni mkaitafune miili ya watu wote: walio huru na watumwa, wadogo na wakubwa.”
за да ядете месата на царе и месата на хилядници, месата на юнаци и месата на коне и на ония, които яздят на тях, дори месата на всичките човеци, свободни роби, малки и големи.
19 Kisha nikaona yule mnyama pamoja na mfalme wa dunia na askari wao wamekusanyika pamoja kusudi wapigane na yule aliyekuwa ameketi juu ya farasi, pamoja na jeshi lake.
И видях звяра и земните царе и войските им събрани да воюват против яздещия на коня и против Неговото воинство.
20 Lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka, pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (Kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake.) Huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
И звярът биде уловен, и с него лъжепророка, който бе извършил пред него знаменията, с които измами ония, които бяха приели белега на звяра, и които се покланяха на неговия образ; та двамата бидоха хвърлени живи в огненото езеро, което гори с жупел. (Limnē Pyr g3041 g4442)
21 Majeshi yao yaliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa yule anayepanda farasi. Ndege wote wakajishibisha kwa nyama zao.
А останалите бидоха набити с меча на яздещия на коня, с меча, който излизаше от устата Му. И всичките птици се наситиха от месата им.

< Ufunuo 19 >