< Ufunuo 15 >

1 Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni, kubwa na ya kushangaza. Palikuwa hapo malaika saba wenye mabaa makubwa saba ya mwisho. Kwa mabaa hayo makubwa saba, ghadhabu ya Mungu imekamilishwa.
tata. h param aha. m svarge. aparam ekam adbhuta. m mahaacihna. m d. r.s. tavaan arthato yai rda. n.dairii"svarasya kopa. h samaapti. m gami. syati taan da. n.daan dhaarayanta. h sapta duutaa mayaa d. r.s. taa. h|
2 Kisha nikaona kitu kama bahari ya kioo, imechanganywa na moto. Nikawaona pia wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake na ambaye jina lake lilitajwa kwa ile tarakimu. Watu hao walikuwa wamesimama kando ya hiyo bahari ya kioo, wakiwa na vinubi walivyopewa na Mungu.
vahnimi"sritasya kaacamayasya jalaa"sayasyaak. rtirapi d. r.s. taa ye ca pa"sostatpratimaayaastannaamno. a"nkasya ca prabhuutavantaste tasya kaacamayajalaa"sayasya tiire ti. s.thanta ii"svariiyavii. naa dhaarayanti,
3 Walikuwa wakiimba wimbo wa Mose, mtumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwanakondoo: “Bwana Mungu Mwenye Uwezo, matendo yako ni makuu mno! Ewe Mfalme wa mataifa, njia zako ni za haki na za kweli!
ii"svaradaasasya muusaso giita. m me. sa"saavakasya ca giita. m gaayanto vadanti, yathaa, sarvva"saktivi"si. s.tastva. m he prabho parame"svara|tvadiiyasarvvakarmmaa. ni mahaanti caadbhutaani ca| sarvvapu. nyavataa. m raajan maargaa nyaayyaa. rtaa"sca te|
4 Bwana, ni nani asiyekucha wewe? Nani asiyelitukuza jina lako? Wewe peke yako ni Mtakatifu. Mataifa yote yatakujia na kukuabudu maana matendo yako ya haki yameonekana na wote.”
he prabho naamadheyaatte ko na bhiiti. m gami. syati| ko vaa tvadiiyanaamna"sca pra"sa. msaa. m na kari. syati| kevalastva. m pavitro. asi sarvvajaatiiyamaanavaa. h| tvaamevaabhipra. na. msyanti samaagatya tvadantika. m| yasmaattava vicaaraaj naa. h praadurbhaava. m gataa. h kila||
5 Baada ya hayo nikaona Hekalu limefunguliwa mbinguni, na ndani yake hema ionyeshayo kuwapo kwa Mungu.
tadanantara. m mayi niriik. samaa. ne sati svarge saak. syaavaasasya mandirasya dvaara. m mukta. m|
6 Basi, wale malaika saba wenye mabaa saba wakatoka humo Hekaluni, wakiwa wamevaa nguo za kitani safi zenye kung'aa, na kanda za dhahabu vifuani mwao.
ye ca sapta duutaa. h sapta da. n.daan dhaarayanti te tasmaat mandiraat niragacchan| te. saa. m paricchadaa nirmmala"s. rbhravar. navastranirmmitaa vak. saa. msi ca suvar. na"s. r"nkhalai rve. s.titaanyaasan|
7 Kisha, mmojawapo wa vile viumbe vinne akawapa hao malaika saba mabakuli ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, aishiye milele na milele. (aiōn g165)
apara. m catur. naa. m praa. ninaam ekastebhya. h saptaduutebhya. h saptasuvar. naka. msaan adadaat| (aiōn g165)
8 Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu, na hakuna mtu aliyeweza kuingia Hekaluni mpaka mwisho wa mabaa makubwa saba ya wale malaika saba.
anantaram ii"svarasya teja. hprabhaavakaara. naat mandira. m dhuumena paripuur. na. m tasmaat tai. h saptaduutai. h saptada. n.daanaa. m samaapti. m yaavat mandira. m kenaapi prave. s.tu. m naa"sakyata|

< Ufunuo 15 >