< Ufunuo 15 >

1 Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni, kubwa na ya kushangaza. Palikuwa hapo malaika saba wenye mabaa makubwa saba ya mwisho. Kwa mabaa hayo makubwa saba, ghadhabu ya Mungu imekamilishwa.
Acunüng khana kyühkhyai phya lü cäicat vaia kyäpsawki msingnak akce ka hmuh. Acunüng Pamhnama mlungsonak anghnu säih mdankia khankhawngsä khyüh la khuikhanak khyüha kyakia, akbäihnak he cun ka jah hmuh.
2 Kisha nikaona kitu kama bahari ya kioo, imechanganywa na moto. Nikawaona pia wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake na ambaye jina lake lilitajwa kwa ile tarakimu. Watu hao walikuwa wamesimama kando ya hiyo bahari ya kioo, wakiwa na vinubi walivyopewa na Mungu.
Acunüng mei am ngcawkia tuihmanua mäih mat pi ka hmuh. Sakyung la Sakyunga juktuha, a ngming tähnak taki he pi jah nängkie cun ka jah hmuh. Pamhnam naw a jah peta tumkhawng he jah kpawmei u lü tuihmanua peia ngdüi u lü,
3 Walikuwa wakiimba wimbo wa Mose, mtumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwanakondoo: “Bwana Mungu Mwenye Uwezo, matendo yako ni makuu mno! Ewe Mfalme wa mataifa, njia zako ni za haki na za kweli!
Pamhnama m'ya Mosia ng’äi la Tomeca ng’äi, “Aw Bawipa Pamhnam, ahmäi na mkhütki, Na bilawh he hin hlüngtai u lü kyäpsawk ve u; Nang khyangmjü he naküta Sangpuxang, Na lam he cun ngsungpyun u lü ngsing ve u.
4 Bwana, ni nani asiyekucha wewe? Nani asiyelitukuza jina lako? Wewe peke yako ni Mtakatifu. Mataifa yote yatakujia na kukuabudu maana matendo yako ya haki yameonekana na wote.”
Aw Bawipa, u naw am ning kyühei lü, U naw na kyäpsawknak a sangkhap vai ma khai ni? Nang däng na ngcimcaihki; Na bilawh ngdüngdaiki he cun ami hmuh pänga kyase, Khyangmjü he naküt naw ning sawhkhah law khai he,” ti u lü ng’äiki he.
5 Baada ya hayo nikaona Hekalu limefunguliwa mbinguni, na ndani yake hema ionyeshayo kuwapo kwa Mungu.
Ahin ngpäng se khankhawa, ngcimcaihkia Samca awmnak Temple nghmawng law se ka hmuh.
6 Basi, wale malaika saba wenye mabaa saba wakatoka humo Hekaluni, wakiwa wamevaa nguo za kitani safi zenye kung'aa, na kanda za dhahabu vifuani mwao.
Temple üngka naw khuikhanak khyüh kpawmkia khankhawngsä he khyüh cun suisak akbawk kcang jah suisa u lü, ami mkyang üng xüi ksawmyüi jah vawp u lü lut lawki he.
7 Kisha, mmojawapo wa vile viumbe vinne akawapa hao malaika saba mabakuli ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, aishiye milele na milele. (aiōn g165)
Acunüng xüngseikia xüngksei kphyü üngka mat naw khankhawngsä he khyüh üng anglät se xüngseikia Pamhnama mlungsonak am bekia xüi khawt khyüh a jah pet. (aiōn g165)
8 Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu, na hakuna mtu aliyeweza kuingia Hekaluni mpaka mwisho wa mabaa makubwa saba ya wale malaika saba.
Acunüng Temple cun Pamhnama hlüngtainak la johit üngka meikhu am beki; khankhawngsä he khyüha lawpüi mkhuimkhanak khyüh am a düt hama küt üng Temple k’uma u am lut thei.

< Ufunuo 15 >