< Ufunuo 13 >
1 Na likajisimamia ukingoni mwa bahari. Kisha nikaona mnyama mmoja akitoka baharini. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kila pembe ilikuwa na taji. Jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo.
In stal sem na pesku morskem; in videl sem iz morja zver vzhajajočo, ki je imela sedem glav in rogov deset; in na rogovih njenih deset dijademov in na glavah njenih ime preklinjanja.
2 Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu.
In zver, katero sem videl, bila je enaka pardalu, in noge njene kakor medvedove in usta njena kakor usta levova. In dal ji je zmaj moč svojo in prestol svoj in oblast veliko.
3 Kichwa kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona. Dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata.
In videl sem eno izmed glav njenih kakor zaklano na smrt; in rana smrtna njena se je ozdravila, in čudila se je vsa zemlja zad za zverjo.
4 Watu wote wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. Wakamwabudu pia huyo mnyama wakisema, “Nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana naye?”
In molili so zmaja, kateri je bil dal oblast zveri, in molili so zver, govoveč: Kdo zveri enak? Kdo more vojskovati se z njo?
5 Kisha huyo mnyama akaruhusiwa kusema maneno ya kujigamba na kumkufuru Mungu; akaruhusiwa kuwa na mamlaka kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
In dala so se ji usta govoreča stvari velike in preklinjanja. In dala se ji je oblast napraviti vojsko štirideset mesecev in dva;
6 Basi, akaanza kumtukana Mungu, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni.
In odprla je usta svoja v preklinjanje proti Bogu, preklinjati ime njegovo in šator njegov in prebivalce v nebesih.
7 Aliruhusiwa kuwapiga vita na kuwashinda watu wa Mungu. Alipewa mamlaka juu ya watu wa kila kabila, ukoo, lugha na taifa.
In dalo se ji je napraviti vojsko sè svetniki in premagati jih; in dala se ji je oblast nad vsemi rodovi in jeziki in narodi.
8 Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale ambao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo aliyechinjwa.
In molili jo bodo vsi, ki prebivajo na zemlji, katerih imena niso zapisana v knjigi življenja jagnjeta zaklanega od ustanovitve sveta.
9 “Aliye na masikio, na asikie!
Če ima kdo uho, naj sliši.
10 Waliokusudiwa kuchukuliwa mateka lazima watatekwa; waliokusudiwa kuuawa kwa upanga lazima watauawa kwa upanga. Kutokana na hayo ni lazima watu wa Mungu wawe na uvumilivu na imani.”
Če kdo robstvo vodi, v robstvo hodi. Če bode kdo z mečem moril, mora umoriti se z mečem. Tukaj je stanovitnost in vera svetnikov.
11 Kisha nikamwona mnyama mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe za kondoo, na aliongea kama joka.
In videl sem drugo zver vzhajajočo iz zemlje; in imela je dva rogova, enaka jagnjetu, in govorila je kakor zmaj;
12 Alikuwa na mamlaka kamili kutoka kwa yule mnyama wa kwanza, na akautumia uwezo huo mbele ya huyo mnyama. Akailazimisha dunia yote na wote waliomo humo kumwabudu huyo mnyama wa kwanza ambaye alikuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona.
In vso oblast prve zveri dela pred njo; in dela zemljo in prebivalce njene, da naj molijo prvo zver, kateri se je bila ozdravila rana smrti njene;
13 Basi, huyu mnyama wa pili akafanya miujiza mikubwa hata akasababisha moto kutoka mbinguni ushuke duniani mbele ya watu.
In dela znamenja velika, da napravi tudi, da pada ogenj z neba na zemljo pred ljudmi.
14 Aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. Aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
In slepí prebivalce na zemlji sè znamenji, katera ji je bilo dano delati pred zverjo, rekoč prebivalcem na zemlji, naj naredé podobo zveri, katera ima rano od meča in je oživela.
15 Kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua watu wote ambao hawakuiabudu.
In dano ji je bilo dati duh podobi zveri, da naj tudi govori podoba zveri in storí, da naj se umoré, kateri ne molijo podobe zveri.
16 Aliwalazimisha wote, wadogo na wakubwa, matajiri na maskini, watu huru na watumwa, watiwe alama juu ya mikono yao ya kulia au juu ya paji za nyuso zao.
In storí, da se vsem malim ter vélikim, in bogatim ter ubogim, in svobodnim ter hlapcem dá znamenje na desno njih roko, ali na njih čela.
17 Akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la yule mnyama au tarakimu ya jina hilo.
In da naj nihče ne more kupovati ali prodajati, razen kdor ima znamenje, ali ime zveri, ali število imena njenega.
18 Hapa ni lazima kutumia ujasiri! Mwenye akili anaweza kufafanua maana ya tarakimu ya mnyama huyo, maana ni tarakimu yenye maana ya mtu fulani. Tarakimu hiyo ni mia sita sitini na sita.
Tukaj je modrost. Kdor ima razum, izračuni naj število zveri; kajti število je človeško; in število njegovo šest sto šest in šestdeset.