< Filemoni 1 >

1 Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
khrii. s.tasya yii"so rbandidaasa. h paulastiithiyanaamaa bhraataa ca priya. m sahakaari. na. m philiimona. m
2 na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.
priyaam aappiyaa. m sahasenaam aarkhippa. m philiimonasya g. rhe sthitaa. m samiti nca prati patra. m likhata. h|
3 Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.
asmaaka. m taata ii"svara. h prabhu ryii"sukhrii. s.ta"sca yu. smaan prati "saantim anugraha nca kriyaastaa. m|
4 Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu
prabhu. m yii"su. m prati sarvvaan pavitralokaan prati ca tava premavi"svaasayo rv. rttaanta. m ni"samyaaha. m
5 maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu.
praarthanaasamaye tava naamoccaarayan nirantara. m mame"svara. m dhanya. m vadaami|
6 Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo.
asmaasu yadyat saujanya. m vidyate tat sarvva. m khrii. s.ta. m yii"su. m yat prati bhavatiiti j naanaaya tava vi"svaasamuulikaa daana"siilataa yat saphalaa bhavet tadaham icchaami|
7 Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.
he bhraata. h, tvayaa pavitralokaanaa. m praa. na aapyaayitaa abhavan etasmaat tava premnaasmaaka. m mahaan aananda. h saantvanaa ca jaata. h|
8 Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
tvayaa yat karttavya. m tat tvaam aaj naapayitu. m yadyapyaha. m khrii. s.tenaatiivotsuko bhaveya. m tathaapi v. rddha
9 Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake.
idaanii. m yii"sukhrii. s.tasya bandidaasa"scaivambhuuto ya. h paula. h so. aha. m tvaa. m vinetu. m vara. m manye|
10 Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.
ata. h "s. r"nkhalabaddho. aha. m yamajanaya. m ta. m madiiyatanayam onii. simam adhi tvaa. m vinaye|
11 Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.
sa puurvva. m tavaanupakaaraka aasiit kintvidaanii. m tava mama copakaarii bhavati|
12 Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.
tamevaaha. m tava samiipa. m pre. sayaami, ato madiiyapraa. nasvaruupa. h sa tvayaanug. rhyataa. m|
13 Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.
susa. mvaadasya k. rte "s. r"nkhalabaddho. aha. m paricaarakamiva ta. m svasannidhau varttayitum aiccha. m|
14 Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.
kintu tava saujanya. m yad balena na bhuutvaa svecchaayaa. h phala. m bhavet tadartha. m tava sammati. m vinaa kimapi karttavya. m naamanye|
15 Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima. (aiōnios g166)
ko jaanaati k. sa. nakaalaartha. m tvattastasya vicchedo. abhavad etasyaayam abhipraayo yat tvam anantakaalaartha. m ta. m lapsyase (aiōnios g166)
16 Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.
puna rdaasamiva lapsyase tannahi kintu daasaat "sre. s.tha. m mama priya. m tava ca "saariirikasambandhaat prabhusambandhaacca tato. adhika. m priya. m bhraataramiva|
17 Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.
ato heto ryadi maa. m sahabhaagina. m jaanaasi tarhi maamiva tamanug. rhaa. na|
18 Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.
tena yadi tava kimapyaparaaddha. m tubhya. m kimapi dhaaryyate vaa tarhi tat mameti viditvaa ga. naya|
19 Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.)
aha. m tat pari"sotsyaami, etat paulo. aha. m svahastena likhaami, yatastva. m svapraa. naan api mahya. m dhaarayasi tad vaktu. m necchaami|
20 Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.
bho bhraata. h, prabho. h k. rte mama vaa nchaa. m puuraya khrii. s.tasya k. rte mama praa. naan aapyaayaya|
21 Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.
tavaaj naagraahitve vi"svasya mayaa etat likhyate mayaa yaducyate tato. adhika. m tvayaa kaari. syata iti jaanaami|
22 Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.
tatkara. nasamaye madarthamapi vaasag. rha. m tvayaa sajjiikriyataa. m yato yu. smaaka. m praarthanaanaa. m phalaruupo vara ivaaha. m yu. smabhya. m daayi. sye mameti pratyaa"saa jaayate|
23 Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.
khrii. s.tasya yii"saa. h k. rte mayaa saha bandiripaaphraa
24 Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu.
mama sahakaari. no maarka aari. s.taarkho diimaa luuka"sca tvaa. m namaskaara. m vedayanti|
25 Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
asmaaka. m prabho ryii"sukhrii. s.tasyaanugraho yu. smaakam aatmanaa saha bhuuyaat| aamen|

< Filemoni 1 >