< Filemoni 1 >
1 Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
Bulu fucuna ker yeecu kriti kange yiice Timoti a ne Filimon ma cuiti cuiye farnge kange far nangene nye kange.
2 na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.
Afiya nin korya nye kange Akifuc far nangene tarkwene, yaciko nubo bwantan kwama ti mwer kanti lo mwe.
3 Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.
Luma kange fwor nered fiye kwama tebe, kange teluwe yeecu kriti luma kange for nered ayi kange mo wuro fiye kwama tebe kange teluwe kriti
4 Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu
Kir kir mi bũ kwama nin kanti. mi yo komti mor dilo mi kwobtiye.
5 maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu.
Min nuwa fulen cwikanka mweko kange bileng ke mwe mo ciko mor teluwe yeecu kange gwam yitobbo wo bwan cinen tiye.
6 Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo.
Mi kwob dilo tibilen ker mwero ayilam dike abou ti ki mũka nymka dikero gwam yoryore more bemor kriti.
7 Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.
Min nuwa fornered ducce, take min fiya birum nere morcuika mweko, nyori ner nubo bwam kwama nin tiye dãken fiye mu wiye yice.
8 Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
Na wo nyeu nomin wi ki bi kwan nered mor kriti na yi nen ki nyial na ma diko wo mwa. matiye,
9 Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake.
La ker cuikar makeng nen tiye mo bulu cẽle kange nii fucuna ker kriti yeecu.
10 Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.
Mi ken nen ti dor bi bwemi onicimu wo ma yilam tẽ kange nii bwaka,
11 Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.
Fiye cuwo ci kebo ni ken munen, caneu conken munen kange mo.
12 Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.
Min twom co munen nii nyimom ner mire.
13 Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.
Nomi cuiti na yoken co na tikanye nanger mwero ki kwama wo mi fucuna ker fulen kered kwama.
14 Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.
La macuibo ma dike kange kebo ki cuika mwek ma cuibo dikemu mati yoryore ayilam na mui ci ki ciyaka mwek.
15 Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima. (aiōnios )
Nyeu co ma tikagum co kange mwe buri, no mo fiye coyilauri ayi kange mo diki. (aiōnios )
16 Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.
Maca yila caga ti tak, con la canga yii mwe ken mo cuitiyẽ, la nyo ma fiye mo wiyeu. mor bwiye kanye mor teluwe be.
17 Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.
No mon tũye min far nangene mweri, yuwo co na mwi muki yuwo mo.
18 Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.
No ma mwen dike yorberi kaka no mu bwan cinen ten diker tiri, tuken na mwi co ma fiye mi wiye.
19 Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.)
Mo bulu ma mulang wo ki kang mike man biya nen. ma yibo miki man yinen mi ma bwan mwen cend doremwe ti.
20 Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.
Min ciya yice cii ye mor teluwebe yob men nermor kriti,
21 Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.
Mi ki bi kwang mor neremi, ki neka dore mweko mi mulang mwenti min nyimom mwan ma dike wo lawo mi kennenti na mane.
22 Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.
Fiye cuwo win, ywl men luwe. mi yo ner ti mor dilo mwe man bou fiye mu wiye.
23 Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.
Ebabara far nangene yeecu kubwaka yarmum nen ti.
24 Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu.
Nyo Marku kange Aritaku kange Dima, kange luka farb nangene mi
25 Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Luka teluwe be yeecu a kange yuwa tangbe ce ayi bi nen a titinyo