Aionian Verses
Lakini mimi nawaambieni, yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. Anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. Anayemwita ndugu yake: Pumbavu atastahili kuingia katika moto wa Jehanamu. (Geenna )
But I say to you, Whoever is angry with his brother without a cause, shall be liable to the sentence of the judges. And whoever shall say to his brother, Worthless fellow, shall be liable to the sentence of the Sanhedrin. But who ever shall say, Impious wretch, shall be in danger of hell-fire. (Geenna )
Basi, kama jicho lako la kulia linakukosesha, ling'oe ukalitupe mbali. Afadhali zaidi kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako, kuliko mwili wako wote kutupwa katika moto wa Jehanamu. (Geenna )
If, then, your right eye ensnare you, tear it out, and throw it from you; for it is profitable for you that one of your members should perish, and not that your whole body should be thrown into hell. (Geenna )
Na kama mkono wako wa kulia unakukosesha, ukate ukautupe mbali. Afadhali zaidi kupoteza kiungo kimoja cha mwili, kuliko mwili wako wote uende katika moto wa Jehanamu. (Geenna )
And if your right hand ensnare you, cut it off, and throw it from you; for it is profitable for you that one of your members should perish, and not that your whole body should be thrown into hell. (Geenna )
Msiwaogope wale wauao mwili, lakini hawawezi kuiua roho. Afadhali zaidi kumwogopa yule awezaye kuuangamiza mwili pamoja na roho katika moto wa Jehanamu. (Geenna )
And fear not them that kill the body, but are not able to kill the soul. But rather fear him who is able to destroy both soul and body in hell. (Geenna )
Na wewe Kafarnaumu, je, utajikweza mpaka mbinguni? Utaporomoshwa mpaka Kuzimu! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule Sodoma, mji huo ungalikuwako mpaka hivi leo. (Hadēs )
And thou, Capernaum, that hast been exalted to heaven, shalt be brought down to hades. For if the mighty works which have been done in thee had been done in Sodom, it would have remained till this day. (Hadēs )
Tena, asemaye neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa, lakini yule asemaye neno la kumpinga Roho Mtakatifu, hatasamehewa, wala katika ulimwengu huu, wala katika ulimwengu ujao. (aiōn )
And whoever shall speak a word against the Son of man, it shall be forgiven him: but whoever shall speak against the Holy Spirit, it shall not be forgiven him, either in the present age, or in that which is to come. (aiōn )
Ile mbegu iliyoanguka kati ya miti ya miiba, ni mfano wa mtu asikiaye huo ujumbe, lakini wasiwasi wa ulimwengu huu na anasa za mali huusonga ujumbe huo, naye hazai matunda. (aiōn )
He that received seed among the thorns, is he that hears the word; and the cares of this age, and the deceitfulness of riches choke the word, and it becomes unfruitful. (aiōn )
Adui aliyepanda yale magugu ni Ibilisi. Mavuno ni mwisho wa nyakati na wavunaji ni malaika. (aiōn )
the enemy that sowed them is the devil; the harvest is the end of the age; and the reapers are angels. (aiōn )
Kama vile magugu yanavyokusanywa kuchomwa moto, ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati; (aiōn )
As, therefore, the tares are collected and burned in fire, so shall it be in the end of this age. (aiōn )
Ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati: malaika watatokea, watawatenganisha watu wabaya na watu wema, (aiōn )
So shall it be in the end of the age: the angels shall come forth and separate the wicked from among the just, (aiōn )
Nami nakwambia: wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala kifo chenyewe hakitaweza kulishinda. (Hadēs )
And I say to you, That you are Peter, and on this rock I will build my church: and the gates of hades shall not prevail against it. (Hadēs )
“Kama mkono au mguu wako ukikukosesha, ukate na kuutupa mbali nawe. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima bila mkono au mguu, kuliko kutupwa katika moto wa milele ukiwa na mikono miwili na miguu yako miwili. (aiōnios )
If, then, your hand or your foot ensnares you, cut it off, and throw it from you. It is better for you to enter into life lame or maimed, than, having two hands or two feet, to be thrown into the eternal fire. (aiōnios )
Na kama jicho lako likikukosesha, ling'oe na kulitupa mbali nawe. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa chongo, kuliko kutupwa katika moto wa Jehanamu ukiwa na macho yako yote mawili. (Geenna )
And if your eye ensnares you, pull it out, and throw it from you. It is better to enter into life with one eye, than, having two eyes, to be thrown into hell-fire. (Geenna )
Mtu mmoja alimjia Yesu, akamwuliza, “Mwalimu, nifanye kitu gani chema ili niupate uzima wa milele?” (aiōnios )
And behold, one came and said to him: Good teacher, what good thing must I do that I may have eternal life? He said to him: (aiōnios )
Na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uzima wa milele. (aiōnios )
And every one that has left houses, or brothers, or sisters, or father, or mother, or wife, or children, or lands, for my name’s sake, shall receive a hundred-fold, and shall inherit eternal life. (aiōnios )
Akauona mtini mmoja kando ya njia, akauendea; lakini aliukuta hauma chochote ila majani matupu. Basi akauambia, “Usizae tena matunda milele!” Papo hapo huo mtini ukanyauka. (aiōn )
and seeing a fig-tree on the road, he went to it, and found nothing on it but leaves; and he said to it: Let no fruit grow on you henceforth forever. And the fig-tree immediately withered. (aiōn )
“Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumpata mtu mmoja afuate dini yenu. Mnapompata, mnamfanya astahili maradufu kwenda katika moto wa Jehanamu kuliko ninyi wenyewe. (Geenna )
Alas for you, scribes and Pharisees, hypocrites! for you traverse sea and land to make one proselyte; and when he is made, you make him twofold more a child of hell than yourselves. (Geenna )
Enyi kizazi cha nyoka wenye sumu! Mnawezaje kuiepa hukumu ya moto wa Jehanamu? (Geenna )
Serpents, generation of vipers, how can you escape the condemnation of hell? (Geenna )
Yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa Mizeituni, wanafunzi walimwendea faraghani, wakamwuliza, “Twambie mambo haya yatatukia lini? Ni ishara gani itakayoonyesha kuja kwako na mwisho wa nyakati?” (aiōn )
And as he was sitting upon the mount of Olives, the disciples came to him privately, and said: Tell us, when shall these things be? and what shall be the sign of thy coming, and of the end of the age? (aiōn )
“Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, Ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa! Nendeni katika moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi na malaika wake. (aiōnios )
Then will he say to those on his left hand: Depart from me, you cursed, into the eternal fire, prepared for the devil and his angels. (aiōnios )
Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uzima wa milele.” (aiōnios )
And these shall go away into eternal punishment, but the righteous into eternal life. (aiōnios )
Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati.” (aiōn )
teaching them to observe all things whatever I have commanded you: and lo; I am with you all the days, even to the end of the age. (aiōn )
lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele.” (aiōn , aiōnios )
but whoever will speak impiously against the Holy Spirit shall never have forgiveness, but is subject to eternal condemnation. (aiōn , aiōnios )
lakini wasiwasi wa ulimwengu huu, anasa za mali na tamaa za kila namna huwaingia na kulisonga hilo neno, nao hawazai matunda. (aiōn )
and the anxieties of this age, and the deceitfulness of riches, and desires for other things enter in and choke the word, and it becomes unfruitful. (aiōn )
Mkono wako ukikukosesha, ukate! Afadhali kuingia kwenye uzima bila mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili na kwenda katika moto wa Jehanamu. (Geenna )
And if your hand ensnare you, cut it off: it is better for you to enter maimed into life, than having two hands to go away into hell, into the fire that is not quenched, (Geenna )
Na mguu wako ukikukosesha, ukate! Afadhali kuingia katika uzima bila mguu mmoja, kuliko kuwa na miguu yote miwili na kutupwa katika moto wa Jehanamu. (Geenna )
And if your foot ensnare you, cut it off: it is better for you to enter into life lame, than having two feet to Be thrown into hell, into the fire that is not quenched, (Geenna )
Na jicho lako likikukosesha, ling'oe! Afadhali kuingia katika utawala wa Mungu ukiwa na jicho moja tu, kuliko kuwa na macho yako yote mawili na kutupwa katika moto wa Jehanamu. (Geenna )
And if your eye ensnare you, pull it out: it is better for you to enter into the kingdom of God with one eye, than having two eyes to be thrown into hell-fire, (Geenna )
Yesu alipoanza tena safari yake, mtu mmoja alimjia mbio, akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, “Mwalimu mwema, nifanyeje ili niupate uzima wa milele?” (aiōnios )
And as he was going forth into the road, one ran and bowed the knee to him, and asked him: Good Teacher, what shall I do that I may inherit eternal life? (aiōnios )
atapokea mara mia zaidi wakati huu wa sasa nyumba, ndugu, dada, mama, watoto na mashamba pamoja na mateso; na katika wakati ujao atapokea uzima wa milele. (aiōn , aiōnios )
who shall not receive a hundred-fold, now in this time, houses and brothers and sisters and mothers and children and lands, with persecutions; and in the age to come, eternal life. (aiōn , aiōnios )
Hapo akauambia mtini, “Tangu leo hata milele mtu yeyote asile matunda kwako.” Nao wanafunzi wake walisikia maneno hayo. (aiōn )
And he answered and said to it: No more may any one ever eat fruit from you. And his disciples heard it. (aiōn )
Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” (aiōn )
and he shall reign over the house of Jacob forever, and of his kingdom there shall be no end. (aiōn )
Kama alivyowaahidia wazee wetu Abrahamu na wazawa wake hata milele.” (aiōn )
by remembering his mercy to Abraham and to his posterity forever. (aiōn )
Aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu, (aiōn )
(as he spoke by the mouth of all his holy prophets of ancient times, ) (aiōn )
Hao pepo wakamsihi asiwaamuru wamtoke na kwenda kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos )
And they be sought him, that he would not command them to go away into the abyss. (Abyssos )
Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu.” (Hadēs )
And thou, Capernaum, who hast been exalted to heaven, shalt be brought down to hades. (Hadēs )
Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, “Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios )
And, behold, a certain lawyer stood up to tempt him, and said: Teacher, what shall I do to inherit eternal life? (aiōnios )
Nitawaonyesheni yule ambaye ni lazima kumwogopa: mwogopeni yule ambaye baada ya kuua ana uwezo wa kumtupa mtu katika moto wa Jehanamu. Naam, ninawaambieni, mwogopeni huyo. (Geenna )
But I will show you whom you shall fear: Fear him who, after he has killed, has authority to cast into hell; yes, I say to you, Fear him. (Geenna )
“Basi, yule bwana akamsifu huyo karani asiye mwaminifu, kwa kuwa alitumia busara. Kwa maana watu wa dunia hii wana busara zaidi na mambo yao kuliko watu wa mwanga.” (aiōn )
And the lord commended the unjust steward, because he acted prudently. For the children of this age are more prudent toward their generation than the children of light. (aiōn )
Naye Yesu akaendelea kusema, “Nami nawaambieni, jifanyieni marafiki kutokana na mali ya dunia, ili zitakapowaishieni, mweze kupokewa nao katika makao ya milele. (aiōnios )
And I say to you, Make for yourselves friends with the unrighteous riches, that when you fail, you may be received into the everlasting habitations. (aiōnios )
Huyo tajiri, alikuwa na mateso makali huko kuzimu, akainua macho yake, akamwona Abrahamu kwa mbali na Lazaro karibu naye. (Hadēs )
and in hades he lifted up his eyes, being in torments, and saw Abraham afar off, and Lazarus in his bosom. (Hadēs )
Kiongozi mmoja, Myahudi, alimwuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niweze kuupata uzima wa milele?” (aiōnios )
And a certain ruler asked him, saying: Good Teacher, what shall I do to inherit eternal life? (aiōnios )
atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na kupokea uzima wa milele wakati ujao.” (aiōn , aiōnios )
who shall not receive manifold more in this time, and in the age to come, eternal life. (aiōn , aiōnios )
Yesu akawaambia, “Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa; (aiōn )
And Jesus answered and said to them: The children of this age marry, and are given in marriage. (aiōn )
lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa. (aiōn )
But those who shall be accounted worthy to attain that age, and the resurrection from the dead, neither marry, nor are given in marriage. (aiōn )
ili kila anayemwamini awe na uzima wa milele. (aiōnios )
that whoever believes on him may not perish, but have eternal life. (aiōnios )
Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (aiōnios )
For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whoever believes on him should not perish, but have eternal life. (aiōnios )
Anayemwamini Mwana anao uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatakuwa na uzima wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake.” (aiōnios )
He that believes on the Son has eternal life. But he that believes not the Son, shall not see life, but the wrath of God remains on him. (aiōnios )
Lakini atakayekunywa maji nitakayompa mimi, hataona kiu milele. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji ya uzima na kumpatia uzima wa milele.” (aiōn , aiōnios )
but whoever drinks of the water that I will give him, shall never thirst. But the water that I will give him, shall be in him a fountain of water springing up in order to eternal life. (aiōn , aiōnios )
Mvunaji anapata mshahara wake, na anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele; hivyo mpandaji na mvunaji watafurahi pamoja. (aiōnios )
And he that reaps receives wages, and gathers fruit for life eternal; that he that sows, and he that reaps, may rejoice together. (aiōnios )
“Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima. (aiōnios )
Verily, verily I say to you, He that hears my word, and believes on him that sent me, has eternal life, and comes not into condemnation, but has passed from death into life. (aiōnios )
Ninyi huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uzima wa milele; na kumbe maandiko hayohayo yananishuhudia! (aiōnios )
You search the scriptures, because in them you think you have eternal life; and these are they which testify concerning me: (aiōnios )
Msikishughulikie chakula kiharibikacho; kishugulikieni chakula kidumucho kwa ajili ya uzima wa milele. Mwana wa Mtu ambaye Baba amemthibitisha atawapeni chakula hicho.” (aiōnios )
Labor not for the food that perishes, but for the food that endures to life eternal, which the Son of man will give you; for him has God the Father attested. (aiōnios )
Maana anachotaka Baba yangu ndicho hiki: kila amwonaye Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele; nami nitamfufua Siku ya mwisho.” (aiōnios )
For this is the will of him that sent me, that every one who sees the Son, and believes on him, may have eternal life; and I will raise him up at the last day. (aiōnios )
Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios )
Verily, verily I say to you, He that believes on me has eternal life. (aiōnios )
Mimi ni mkate hai ulioshuka kutoka mbinguni. Mtu yeyote akila mkate huu ataishi milele. Na mkate nitakaompa ni mwili wangu ninaoutoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn )
I am the bread that lives, which came down from heaven. If any one eat of this bread, he shall live forever. And the bread that I will give is my flesh, which I will give for the life of the world. (aiōn )
Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anao uzima wa milele nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
He that eats my flesh and drinks my blood, has eternal life, and I will raise him up at the last day; (aiōnios )
Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zetu, wakafa. Aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn )
This is the bread that came down from heaven; not as your fathers ate the manna, and died; he that eats this bread shall live forever. (aiōn )
Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tutakwenda kwa nani? Wewe unayo maneno yaletayo uzima wa milele. (aiōnios )
Simon Peter answered him: Lord, to whom shall we go? Thou hast the words of eternal life; (aiōnios )
Mtumwa hana makao ya kudumu nyumbani, lakini mwana anayo makao ya kudumu. (aiōn )
The servant continues not in the house forever; but the Son continues forever. (aiōn )
Kweli nawaambieni, anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele.” (aiōn )
Verily, verily I say to you, if any one will keep my word, he shall never see death. (aiōn )
Basi, Wayahudi wakasema, “Sasa tunajua kweli kwamba wewe ni mwendawazimu! Abrahamu alikufa, na manabii pia walikufa, nawe wasema ati, Anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele! (aiōn )
Then said the Jews to him: Now we know that you have a demon. Abraham is dead, and the prophets; and you say, If a man keep my word, he shall never taste of death. (aiōn )
Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
Since the beginning it has not been heard that any one opened the eyes of one who had been born blind. (aiōn )
Mimi nawapa uzima wa milele; nao hawatapotea milele, wala hakuna mtu atakayeweza kuwatoa mkononi mwangu. (aiōn , aiōnios )
and I give them eternal life; and they shall never perish, and no one shall take them out of my hand. (aiōn , aiōnios )
na kila anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?” (aiōn )
and he that lives and believes on me, shall never die. Do you believe this? (aiōn )
Anayependa maisha yake, atayapoteza; anayeyachukia maisha yake katika ulimwengu huu, atayaweka kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios )
He that loves his life shall lose it; and he that hates his life in this world shall keep it to eternal life. (aiōnios )
Basi, umati huo ukamjibu, “Sisi tunaambiwa na Sheria yetu kwamba Kristo atadumu milele. Wawezaje basi, kusema ati Mwana wa Mtu anapaswa kuinuliwa? Huyo Mwana wa Mtu ni nani?” (aiōn )
The multitude answered him: We have heard out of the law, that the Christ remains forever: and how say you that the Son of man must be lifted up? Who is this Son of man? (aiōn )
Nami najua kuwa amri yake huleta uzima wa milele. Basi, mimi nasema tu yale Baba aliyoniagiza niyaseme.” (aiōnios )
And I know that his commandment is life eternal. What things I speak therefore, as the Father has said to me, so I speak. (aiōnios )
Petro akamwambia, “Wewe hutaniosha miguu kamwe!” Yesu akamjibu, “Nisipokuosha hutakuwa na uhusiano nami tena.” (aiōn )
Peter said to him: Thou shalt never wash my feet. Jesus answered him: Unless I wash you, you have no part with me. (aiōn )
Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele. (aiōn )
and I will pray the Father, and he will give you another Paraclete, that he may dwell with you forever; (aiōn )
Maana ulimpa Mwanao mamlaka juu ya watu wote ili awape uzima wa milele wote hao uliompa. (aiōnios )
as thou hast given him authority over all flesh, that he may give eternal life to all that thou hast given him. (aiōnios )
Na uzima wa milele ndio huu: kukujua wewe uliye peke yako Mungu wa kweli, na kumjua Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios )
And this is life eternal, to know thee, the only true God, and Jesus Christ whom thou has sent. (aiōnios )
kwa kuwa hutaiacha roho yangu katika kuzimu, wala kumruhusu mtakatifu wako aoze. (Hadēs )
because thou wilt not leave my soul in hades, nor suffer thy Holy One to see corruption. (Hadēs )
Daudi aliona kabla mambo yatakayofanywa na Mungu na hivyo akasema juu ya ufufuo wa Kristo wakati aliposema: Hakuachwa kuzimu, mwili wake haukuoza. (Hadēs )
foreseeing this, he spoke of the resurrection of the Christ, that his soul was not left in hades, nor did his flesh see corruption. (Hadēs )
Ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama Mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani. (aiōn )
whom heaven must retain, till the time for restoring all things that God has spoken by the mouth of his holy prophets of ancient times. (aiōn )
Hata hivyo, Paulo na Barnaba waliongea kwa uhodari zaidi, wakasema, “Ilikuwa ni lazima neno la Mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, basi, tunawaacheni na kuwaendea watu wa mataifa mengine. (aiōnios )
But Paul and Barnabas, speaking boldly, said: It was necessary that the word of God should be spoken to you first: but since you reject it, and judge yourselves unworthy of eternal life, lo! we turn to tho Gentiles. (aiōnios )
Watu wa mataifa mengine waliposikia jambo hilo walifurahi, wakausifu ujumbe wa Mungu; na wale waliokuwa wamechaguliwa kupata uzima wa milele, wakawa waumini. (aiōnios )
When the Gentiles heard this they rejoiced, and glorified the word of the Lord; and as many as were determined to obtain eternal life, believed. (aiōnios )
Ndivyo asemavyo Bwana, aliyefanya jambo hili lijulikane tangu kale. (aiōn )
Known to God from eternity are all bis works. (aiōn )
Tangu Mungu alipoumba ulimwengu, uwezo wake wa milele na uungu wake, ingawa havionekani kwa macho, vinafahamika wazi. Watu wanaweza kuyajua mambo hayo kutokana na vitu hivyo alivyoumba Mungu. Kwa hiyo hawana njia yoyote ya kujitetea! (aïdios )
(for, since the creation of the world, his attributes, which are invisible, are clearly seen, being perceived through the things that are made, both his eternal power and divinity, ) that they may be without excuse; (aïdios )
Wanaubadili ukweli juu ya Mungu kwa uongo; wanaheshimu na kuabudu kiumbe badala ya Muumba mwenyewe, ambaye ndiye astahiliye sifa milele! Amina. (aiōn )
who exchanged the truth of God for a lie, and worshiped and served the creature more than the Creator, who is blessed forever. Amen. (aiōn )
Wale wanaozingatia kutenda mema, kutafuta utukufu na heshima ya Mungu na kutokufa, watapata uzima wa milele. (aiōnios )
to those who, by patient continuance in good works, seek for glory and honor and incorruptibility, eternal life: (aiōnios )
Kama vile dhambi ilivyotawala kwa kifo, kadhalika neema inatawala kwa njia ya uadilifu, na kuleta uzima wa milele kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios )
that as sin has reigned, ending in death, so might grace reign by justification, ending in life eternal, through Jesus Christ our Lord. (aiōnios )
Lakini sasa, mmekwisha kombolewa kutoka utumwa wa dhambi na mmekuwa watumishi wa Mungu; faida mliyo nayo sasa ni utakatifu, na matokeo yake ni uzima wa milele. (aiōnios )
But now, since you have been made free from sin, and have become servants to God, you have your fruit to holiness, and the end, eternal life. (aiōnios )
Kwa maana mshahara wa dhambi ni kifo; lakini zawadi anayotoa Mungu ni uzima wa milele katika kuungana na Kristo Yesu, Bwana wetu. (aiōnios )
For the wages of sin is death; but the gift of God is eternal life in Christ Jesus our Lord. (aiōnios )
Wao ni wajukuu wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! Amina. (aiōn )
to whom belong the fathers, and of whom is the Christ, as it respects the flesh, who is over all, God blessed forever. Amen. (aiōn )
wala usiseme: Nani atashuka mpaka Kuzimu (yaani, kumleta Kristo kutoka kwa wafu).” (Abyssos )
or, Who shall descend into the abyss? that is, to bring Christ again from the dead. (Abyssos )
Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi wao ili wapate kuwahurumia wote. (eleēsē )
For God has delivered them all over to unbelief, that he may have mercy on them all. (eleēsē )
Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, vyote vipo kwa uwezo wake na kwa ajili yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina. (aiōn )
For from him, and by him, and for him, are all things. To him be glory through the ages! Amen. (aiōn )
Msiige mitindo ya ulimwengu huu, bali Mungu afanye mabadiliko ndani yenu kwa kuzigeuza fikira zenu. Hapo ndipo mtakapoweza kuyajua mapenzi ya Mungu, kutambua jambo lililo jema, linalompendeza na kamilifu. (aiōn )
And be not conformed to this age, but be transformed by the renewing of your mind, that you may learn what the will of God is―the good, and the acceptable, and the perfect. (aiōn )
Basi, sasa na tumsifu Mungu! Yeye anaweza kuwaimarisheni katika ile Habari Njema niliyohubiri juu ya ujumbe wa Yesu Kristo, na katika ile siri iliyofunuliwa na ambayo ilikuwa imefichika kwa karne nyinyi zilizopita. (aiōnios )
Now to him who is able to strengthen you according to my gospel, even the preaching of Jesus Christ, according to the revelation of the mystery which was concealed during the times of the ages, (aiōnios )
Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya Mungu wa milele umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii. (aiōnios )
but is now made manifest, and through the scriptures of the prophets, according to the commandment of the eternal God, made known among all nations for the obedience of faith, (aiōnios )
Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina. (aiōn )
to the only wise God, through Jesus Christ, be glory throughout the ages. Amen. (aiōn )
Yu wapi basi, mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa mabishano wa nyakati hizi yuko wapi? Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu. (aiōn )
Where is the wise man? Where is the scribe? Where is the disputer of this age? Has not God made foolish the wisdom of this world? (aiōn )
Hata hivyo, sisi tunatumia lugha ya hekima kwa wale waliokomaa kiroho; lakini hekima hiyo si ya hapa duniani, wala si ya watawala wa dunia hii ambao wako katika mkumbo wa kupotea. (aiōn )
Yet we speak wisdom among the perfect; but not the wisdom of this age, nor of the rulers of this age, who are brought to nought: (aiōn )
Hekima tunayotumia ni hekima ya siri ya Mungu, hekima iliyofichika, ambayo Mungu aliiazimia tangu mwanzo kwa ajili ya utukufu wetu. (aiōn )
but we speak God’s wisdom in a mystery, even that which had been hidden, which God predestined before the ages, for our glory, (aiōn )
Ni hekima ambayo watawala wa dunia hii hawakuielewa; maana wangalielewa, hawangalimsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn )
which none of the rulers of this age knew; for, had they known it, they would not have crucified the Lord of Glory. (aiōn )
Msijidanganye! Mtu yeyote miongoni mwenu akijidhania mwenye hekima mtindo wa kidunia, heri awe mjinga kusudi apate kuwa na hekima ya kweli. (aiōn )
Let no one deceive himself: if any one among you is considered as wise in this age, let him become a fool, that he may be wise. (aiōn )
Kwa hiyo, ikiwa chakula husababisha kuanguka kwa ndugu yangu, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya ndugu yangu aanguke katika dhambi. (aiōn )
For which reason, if meat cause my brother to fall, I will never eat meat, lest I cause my brother to fall. (aiōn )
Basi, mambo hayo yaliyowapata wao ni kielelezo kwa wengine, na yaliandikwa ili kutuonya sisi, ambao mwisho wa nyakati unatukabili. (aiōn )
Now all these things happened to them as examples, and they are written for the instruction of us, upon whom the ends of the ages have come. (aiōn )
“Kifo, ushindi wako uko wapi? Uwezo wako wa kuumiza uko wapi?” (Hadēs )
O Death, where is thy sting? O Hades, where is thy victory? (Hadēs )
Hao hawaamini kwa sababu yule mungu wa ulimwengu huu amezitia giza akili zao wasipate kuuona wazi mwanga wa Habari Njema ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano kamili wa Mungu. (aiōn )
whose unbelieving minds the god of this age has darkened, so that the light of the glorious gospel of Christ, who is the image of God, should not shine to them. (aiōn )
Taabu tunayopata ni kidogo, tena ya muda tu: lakini itatupatia utukufu upitao matazamio yote, utukufu ambao hauna mwisho. (aiōnios )
For our present light affliction works out for us an eternal fullness of glory, excelling all excellence, (aiōnios )
Hivyo tunatazamia kwa makini si vitu vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Maana vinavyoonekana ni vya muda tu; lakini vile visivyoonekana ni vya milele. (aiōnios )
while we look not at the things that are seen, but at the things that are not seen: for the things seen are temporal; but the things not seen are eternal. (aiōnios )
Maana tunajua kwamba hema hii ambayo ndani yake tunaishi sasa hapa duniani, yaani mwili wetu, itakapong'olewa, Mungu atatupa makao mengine mbinguni, nyumba ya milele isiyotengenezwa kwa mikono. (aiōnios )
For we know that if our earthly house, which is but a tent, should be destroyed, we have a building from God, a house not made with hands, eternal in the heavens. (aiōnios )
Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini, wema wahudumu milele.” (aiōn )
as it is written: He has scattered abroad; he has given to the poor; his righteousness remains forever. (aiōn )
Mungu na Baba wa Bwana Yesu—jina lake litukuzwe milele—yeye anajua kwamba sisemi uongo. (aiōn )
The God and Father of our Lord Jesus Christ, who is blessed for ever, knows that I do not lie. (aiōn )
Kristo alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu mbaya wa sasa. (aiōn )
who gave himself for our sins, that he might deliver us from this present evil age, according to the will of our God and Father, (aiōn )
Kwake yeye uwe utukufu milele! Amina. (aiōn )
to whom be glory from age to age. Amen. (aiōn )
Apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho uzima wa milele. (aiōnios )
For he that sows for his flesh shall from the flesh, reap corruption; but he that sows for his spirit shall from the Spirit reap life eternal. (aiōnios )
Huko, Kristo anatawala juu ya kila tawala, mamlaka, enzi na ukuu; anatawala juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao. (aiōn )
high above every principality and authority and power and dominion, and every name that is named, not only in this age, but also in that which is to come; (aiōn )
Wakati ule mliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu wa anga, pepo ambao huwatawala sasa watu wasiomtii Mungu. (aiōn )
in which you formerly walked according to the course of this world, according to the prince of the power of the air, the spirit that is actively at work in the sons of disobedience: (aiōn )
Ndivyo alivyopenda kuonyesha kwa watu wa nyakati za baadaye, ukuu wa neema yake aliyotujalia kwa ukarimu katika kuungana kwetu na Kristo Yesu. (aiōn )
that he might show, in the ages to come, the exceeding riches of his grace by his kindness to us in Christ Jesus. (aiōn )
tena niwaangazie watu wote waone jinsi mpango wa Mungu uliofichika unavyotekelezwa. Mungu aliye Muumba wa vitu vyote alificha siri hiyo yake tangu milele, (aiōn )
and enlighten all men with respect to the plan of the mystery, which was concealed from the ages in God, who created all things; (aiōn )
Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Bwana wetu. (aiōn )
according to the arrangement of the ages, which he established by Christ Jesus our Lord, (aiōn )
kwake Mungu uwe utukufu katika kanisa na katika Kristo Yesu, nyakati zote, milele na milele! Amina. (aiōn )
to him be glory in the church by Christ Jesus, throughout all the generations of the age of ages. Amen. (aiōn )
Maana vita vyenu si vita kati yetu na binadamu, bali ni vita dhidi ya jeshi ovu la ulimwengu wa roho; tunapigana na watawala, wakuu na wenye nguvu wanaomiliki ulimwengu huu wa giza. (aiōn )
for our conflict is not with flesh and blood, but with the principalities, with the authorities, with the rulers of the darkness of this world, with the wicked spirits in the heavenly regions. (aiōn )
Philippians 4:20
(parallel missing)
Now to God, even our Father, be glory from age to age. Amen. (aiōn )
ambao ni siri aliyowaficha binadamu wote tangu milele, lakini sasa amewajulisha watu wake. (aiōn )
the mystery which was concealed from the ages and the generations, but is now made manifest to his saints, (aiōn )
Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu, (aiōnios )
these shall suffer punishment in that day, even eternal destruction, far from the presence of the Lord, and from the glory of his power, (aiōnios )
Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda, na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios )
Now may our Lord Jesus Christ himself, and God, even our Father, who has loved us, and given us eternal consolation and good hope through grace, (aiōnios )
lakini Mungu alinionea huruma, ili Kristo aonyeshe uvumilivu wake wote kwangu mimi, kama mfano kwa wale wote ambao baadaye watamwamini na kupokea uzima wa milele. (aiōnios )
But for this reason I obtained mercy, that in me first Jesus Christ might show all long-suffering, for an example to those who might afterward believe on him in order to life eternal. (aiōnios )
Kwake yeye aliye Mfalme wa milele na asiyekufa, yeye aliye Mungu pekee—kwake viwe heshima na utukufu milele na milele! Amina. (aiōn )
Now to the King of the ages, the incorruptible, invisible, only wise God, be honor and glory from age to age. Amen.) (aiōn )
Piga mbio kadiri uwezavyo katika shindano la mbio za imani, ukajipatie tuzo la uzima wa milele, uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios )
Fight the good fight of the faith; lay hold on eternal life, to which you have been called, and for which you confessed the good confession before many witnesses. (aiōnios )
Yeye peke yake anaishi milele, katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina. (aiōnios )
who alone has immortality, dwelling in light unapproachable, whom no man has seen, nor can see, to whom be honor and power eternal. Amen. (aiōnios )
Waamuru watu walio matajiri katika mambo ya maisha ya sasa, wasijivune, wasiweke tumaini lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee Mungu, ambaye kwa ukarimu hutupatia vitu vyote tuvifurahie. (aiōn )
Charge those who are rich in this age, that they be not proud, nor trust in uncertain riches, but in the living God, who gives us all things richly for our enjoyment, (aiōn )
Yeye alituokoa, akatuita tuwe watu wake yeye mwenyewe, si kwa sababu ya matendo yetu wenyewe bali kwa sababu ya kusudi lake na neema yake. Alitujalia neema hiyo katika Kristo Yesu kabla mwanzo wa nyakati; (aiōnios )
who has saved us, and called us with a holy calling, not according to our works, but according to his own purpose and grace, which was given us in Christ Jesus before the times of the ages, (aiōnios )
na hivyo navumilia kila kitu kwa ajili ya wateule wa Mungu, ili wao pia wapate ukombozi upatikanao kwa njia ya Yesu Kristo, na ambao huleta utukufu wa milele. (aiōnios )
For this reason I endure all things for the sake of the elect, that they also may obtain the salvation that is in Christ Jesus, with eternal glory. (aiōnios )
Dema ameupenda ulimwengu huu akaniacha na kwenda zake Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia, na Tito amekwenda Dalmatia. (aiōn )
for Demas has forsaken me, having loved the present age; and he has gone to Thessalonica, Crescens to Galatia, Titus to Dalmatia. (aiōn )
Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika Utawala wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina. (aiōn )
And the Lord will deliver me from every evil work, and bring me safe to his heavenly kingdom. To him be glory from age to age. Amen. (aiōn )
ambayo msingi wake ni tumaini la kupata uzima wa milele. Mungu ambaye hasemi uongo, alituahidia uzima huo kabla ya mwanzo wa nyakati, (aiōnios )
in hope of eternal life, which God, who can not lie, promised be fore the times of the ages, (aiōnios )
Neema hiyo yatufunza kuachana na uovu wote na tamaa za kidunia; tuwe na kiasi, tuishi maisha adili na ya kumcha Mungu katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn )
teaching us, that denying ungodliness and worldly desires, we should live soberly and righteously and godly in the present age; (aiōn )
ili kwa neema yake tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na kuupokea uzima wa milele tunaoutumainia. (aiōnios )
that, being justified by his grace, we might become heirs according to the hope of eternal life. (aiōnios )
Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima. (aiōnios )
Perhaps, indeed, lie departed for a short time for this reason, that you might receive him forever; (aiōnios )
lakini siku hizi za mwisho, amesema nasi kwa njia ya Mwanae. Yeye ndiye ambaye kwa njia yake Mungu aliumba ulimwengu na akamteua avimiliki vitu vyote. (aiōn )
whom he has appointed heir of all things, by whom, also, he made the ages; (aiōn )
Lakini kumhusu Mwana, Mungu alisema: “Utawala wako ee Mungu, wadumu milele na milele! Wewe wawatawala watu wako kwa haki. (aiōn )
But to the Son: Thy throne, O God, is from age to age: a scepter of rectitude is the scepter of thy kingdom. (aiōn )
Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.” (aiōn )
as he says also in another place, Thou art a priest forever, after the order of Melchisedec. (aiōn )
Na alipofanywa mkamilifu, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wale wote wanaomtii, (aiōnios )
and, having been made perfect, he became the author of eternal salvation to all that obey him, (aiōnios )
mafundisho juu ya ubatizo na kuwekewa mikono; ufufuo wa wafu na hukumu ya milele. (aiōnios )
of the teaching with respect to immersions, and of the laying on of hands, of the resurrection of the dead, and of eternal condemnation. (aiōnios )
walikwisha onja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao, (aiōn )
and have tasted the good word of God, and the powers of the coming age, (aiōn )
Yesu ametangulia kuingia humo kwa niaba yetu, na amekuwa kuhani mkuu milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki. (aiōn )
whither a forerunner for us has gone, even Jesus, who is made a high priest forever after the order of Melchisedec. (aiōn )
Maana Maandiko yasema: “Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.” (aiōn )
Thou art a priest forever after the order of Melchisedec. (aiōn )
Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa, wala hataigeuza nia yake: Wewe ni kuhani milele.” (aiōn )
(for those priests were made such without an oath, but this one with an oath, by him that said to him, The Lord swore, and will not repent, Thou art a priest forever after the order of Melchisedec; ) (aiōn )
Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake. (aiōn )
But this man, because he continues forever, has an unchangeable priesthood. (aiōn )
Sheria ya Mose huwateua watu waliokuwa dhaifu kuwa makuhani wakuu; lakini ahadi ya Mungu aliyoifanya kwa kiapo na ambayo imefika baada ya sheria imemteua Mwana ambaye amefanywa mkamilifu milele. (aiōn )
For the law makes men high priests, who have infirmity; but the word of the oath, which was after the law, makes the Son, who is perfected forever. (aiōn )
Yeye aliingia Mahali Patakatifu mara moja tu, tena hakuwa amechukua damu ya mbuzi wala ng'ombe, bali aliingia kwa damu yake yeye mwenyewe, akatupatia ukombozi wa milele. (aiōnios )
entered, not by the blood of goats and calves, but by his own blood, once for all, into the most holy, having obtained eternal redemption. (aiōnios )
Lakini, kwa damu ya Kristo, mambo makuu zaidi hufanyika! Kwa nguvu za Roho wa milele, Kristo alijitolea mwenyewe dhabihu kamilifu kwa Mungu. Damu yake itatutakasa dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo kifo, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai. (aiōnios )
how much more will the blood of the Christ, who, through the eternal Spirit, offered himself without spot to God, cleanse your conscience from dead works, in order that you may serve the living God? (aiōnios )
Kwa hiyo, Kristo ndiye aliyeratibisha agano jipya ili wale walioitwa na Mungu wazipokee baraka za milele walizoahidiwa. Watazipata, kwani kifo kimetokea ambacho huwakomboa watu kutoka yale makosa waliyofanya wakati wa lile agano la kale. (aiōnios )
And for this reason, he is the mediator of the new covenant: that, since his death has taken place for the redemption of transgressions that were under the former covenant, those who are called may receive the promise of the eternal inheritance. (aiōnios )
maana ingalikuwa hivyo, Kristo angalipaswa kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa ulimwengu. Lakini sasa nyakati hizi zinapokaribia mwisho wake, yeye ametokea mara moja tu, kuondoa dhambi kwa kujitoa yeye mwenyewe dhabihu. (aiōn )
for then, he must have suffered often since the foundation of the world. But now once in the end of the ages, he has appeared in order to put away sin by the sacrifice of himself. (aiōn )
Kwa imani sisi tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu; vitu vinavyoonekana kutoka vitu visivyoonekana. (aiōn )
By faith we understand that the ages were set in order by the word of God, so that the things which are seen, have not come into being from things that appear. (aiōn )
Yesu Kristo ni yuleyule, jana, leo na milele. (aiōn )
Jesus Christ is the same yesterday, and to-day, and forever. (aiōn )
Mungu amemfufua Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ni Mchungaji Mkuu wa kondoo kwa sababu ya kumwaga damu yake iliyothibitisha agano la milele. (aiōnios )
Now may the God of peace, who brought again from the dead our Lord Jesus Christ, the great Shepherd of the sheep, through the blood of the eternal covenant, (aiōnios )
Mungu wa amani awakamilishe katika kila tendo jema ili mtekeleze mapenzi yake; yeye na afanye ndani yetu kwa njia ya Kristo yale yanayompendeza mwenyewe. Utukufu uwe kwake, milele na milele! Amina. (aiōn )
perfect you in every good work, in order that you may do his will, working in you that which is acceptable in his sight, through Jesus Christ, to whom be glory from age to age. Amen. (aiōn )
Hali kadhalika ulimi ni kama moto. Umejaa maovu chungu nzima, unayo nafasi yake katika miili yetu na hueneza ubaya katika nafsi zetu zote. Huteketeza maisha yetu yote kwa moto utokao Jehanamu kwenyewe. (Geenna )
And the tongue is a fire, the world of iniquity. So is the tongue placed among our members, defiling the whole body, setting on fire the course of life, and being set on fire by hell. (Geenna )
Maana kwa njia ya neno hai la Mungu, ninyi mmezaliwa upya, si kama watoto wa baba awezaye kufa, bali baba asiyekufa milele. (aiōn )
having been begotten again, not with corruptible seed, but with incorruptible, by the word of God, which lives and abides forever. (aiōn )
Lakini neno la Bwana hudumu milele.” Neno hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu. (aiōn )
but the word of the Lord abides forever: and this is the word which has been preached as gospel to you. (aiōn )
Anayesema kitu, maneno yake na yawe kama maneno ya Mungu; anayetumika anapaswa kutumikia kwa nguvu anayojaliwa na Mungu, ili katika mambo yote, Mungu atukuzwe kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu na nguvu ni vyake milele na milele! Amina. (aiōn )
If any man speaks, let him speak as the oracles of God: if any man acts as a deacon, let him do this as from the strength which God supplies; that in all things God may be glorified through Jesus Christ, to whom be glory and strength from age to age. Amen. (aiōn )
Lakini mkisha teseka muda mfupi, Mungu aliye asili ya neema yote na ambaye anawaiteni muushiriki utukufu wake wa milele katika kuungana na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisheni na kuwapeni uthabiti, nguvu na msingi imara. (aiōnios )
But may the God of all grace, who has called us to his eternal glory by Christ Jesus, after you have suffered a while, make you perfect, establish, strengthen, confirm you. (aiōnios )
Kwake uwe uwezo milele! Amina. (aiōn )
To him be glory and dominion from age to age. Amen. (aiōn )
Kwa namna hiyo mtafaulu kupewa haki kamili ya kuingia katika Utawala wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios )
For thus will an entrance be given you abundantly into the eternal kingdom of our Lord and Savior Jesus Christ. (aiōnios )
Malaika walipotenda dhambi, Mungu hakuwahurumia, bali aliwatupa katika moto wa Jehanamu ambako wamefungwa wakingojea Siku ile ya Hukumu. (Tartaroō )
For if God spared not the angels that sinned, but cast them down to Tartarus, and delivered them over to chains of darkness, to be kept for judgment; (Tartaroō )
Lakini endeleeni kukua katika neema na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu uwe kwake, sasa na hata milele! Amina. (aiōn )
But grow in grace, and in the knowledge of our Lord and Savior Jesus Christ. To him be glory both now and to the day of eternity. Amen. (aiōn )
Uzima huo ulipotokea sisi tuliuona na sasa tunasema habari zake na kuwaambieni juu ya uzima huo wa milele uliokuwa kwa Baba na uliodhihirishwa kwetu. (aiōnios )
(the life also was manifested, and we have seen, and do testify, and declare to you that eternal life, which was with the Father, and was manifested to us; ) (aiōnios )
Ulimwengu pamoja na vitu vyake vyote vyenye kutamanika unapita; lakini mtu atendaye atakalo Mungu, anaishi milele. (aiōn )
And the world and its desire passes away: but he that does the will of God, abides forever. (aiōn )
Na ahadi aliyotuahidia sisi ndiyo hii: uzima wa milele. (aiōnios )
And this is the promise which he has promised us, even eternal life. (aiōnios )
Kila anayemchukia ndugu yake ni muuaji; nanyi mnajua kwamba muuaji yeyote yule hana uzima wa milele ndani yake. (aiōnios )
Whoever hates his brother, is a murderer: and you know that no murderer has eternal life abiding in him. (aiōnios )
Na, ushahidi wenyewe ndio huu: Mungu alitupatia uzima wa milele, na uzima huo uko kwa Bwana. (aiōnios )
And this is the testimony, that God has given us eternal life: and this life is in his Son. (aiōnios )
Nawaandikieni mpate kujua kwamba mnao uzima wa milele ninyi mnaoamini kwa jina la Mwana wa Mungu. (aiōnios )
I have written these things to you that believe on the name of the Son of God, that you may know that you have eternal life, and that you may believe on the name of the Son of God. (aiōnios )
Twajua pia kwamba Mwana wa Mungu amekuja, akatupa elimu ili tumjue Mungu wa kweli; tuishi katika muungano na Mungu wa kweli—katika muungano na Mwanae, Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na huu ndio uzima wa milele. (aiōnios )
And we know that the Son of God has come, and has given us understanding, that we may know him that is true: and we are in him that is true, in his Son Jesus Christ. This is the true God, and life eternal. (aiōnios )
kwa sababu ukweli unakaa nasi milele. (aiōn )
we all love you, on account of the truth that dwells in us, and which will be with us forever: (aiōn )
Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu. (aïdios )
The angels also that kept not their own dominion, but left their proper habitation, he has reserved, in eternal chains under darkness, to the judgment of the great day. (aïdios )
Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote. (aiōnios )
So Sodom and Gomorrah, and the cities which were about them, in like manner giving themselves over to lewdness, and following after other flesh, are set forth as an example, suffering the punishment of eternal fire. (aiōnios )
Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu. (aiōn )
raging waves of the sea, foaming up their own shame: wandering stars, for whom the blackness of darkness is reserved forever. (aiōn )
na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake. (aiōnios )
keep yourselves in the love of God, looking for the mercy of our Lord Jesus Christ, in order to eternal life. (aiōnios )
kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina. (aiōn )
to the only God our Savior, be glory and majesty, strength and authority, both now and throughout all the ages. Amen. (aiōn )
akatufanya sisi kuwa ufalme wa makuhani, tumtumikie Mungu, Baba yake. Kwake Yesu Kristo uwe utukufu na nguvu, milele na milele! Amina. (aiōn )
and has made us a kingdom, priests to his God and Father; to him be glory and might from age to age. Amen. (aiōn )
Mimi ni yeye aliye hai! Nilikuwa nimekufa, lakini, tazama, sasa ni mzima milele na milele. Ninazo funguo za kifo na Kuzimu. (aiōn , Hadēs )
and I am he that lives; and I was dead, and behold, I am alive from age to age: and I have the keys of hades and of death. (aiōn , Hadēs )
Kila mara viumbe vinne vilipoimba nyimbo za kumtukuza, kumheshimu na kumshukuru huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, ambaye anaishi milele na milele, (aiōn )
And when the living creatures give glory and honor and thanks to him that sits on the throne, who lives from age to age, (aiōn )
wale wazee ishirini na wanne hujiangusha mbele ya huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi na kumwabudu huyo ambaye anaishi milele na milele; na huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema: (aiōn )
the twenty-four elders fall down before him that sits on the throne, and worship him that lives from age to age, and throw their crowns before the throne, saying: (aiōn )
Nikasikia viumbe vyote mbinguni, duniani, chini kuzimuni na baharini—viumbe vyote ulimwenguni—vikisema: “Kwake yeye aketiye katika kiti cha enzi, na kwa Mwanakondoo, iwe sifa na heshima na utukufu na enzi milele na milele.” (aiōn , questioned)
And every creature that is in heaven, and on the earth, and under the earth, and such as are on the sea, even all that are in them, I heard saying: To him that sits on the throne, and to the Lamb, be blessing and honor and glory and strength from age to age. (aiōn )
Nami nikatazama, na kumbe alikuwapo farasi mmoja hapo, rangi yake kijivu. Na jina la mpanda farasi wake lilikuwa kifo, na Kuzimu alimfuata nyuma. Hao walipewa mamlaka juu ya robo moja ya dunia, wawaue watu kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs )
And I saw, and behold, a pale horse; and the name of him that sat upon him was Death: and Hades followed with him. And authority was given to him over the fourth part of the earth, to kill with the sword, and with famine, and with death, and with the beasts of the earth. (Hadēs )
wakisema, “Amina! Sifa, utukufu, hekima, shukrani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu, milele na milele! Amina!” (aiōn )
saying, Amen: blessing and glory and wisdom and thanks and honor and power and strength be to our God from acre to acre. Amen. (aiōn )
Kisha malaika wa tano akapiga tarumbeta yake. Nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka juu ya nchi kutoka mbinguni. Nayo ikapewa ufunguo wa shimo la Kuzimu. (Abyssos )
And the fifth angel sounded; and I saw a star fall from heaven to the earth; and there was given to him the key of the pit of the abyss; (Abyssos )
Basi, nyota hiyo ikafungua shimo la Kuzimu, kukatoka moshi wa tanuru kubwa. Jua na anga vikatiwa giza kwa moshi huo wa Kuzimu. (Abyssos )
and he opened the pit of the abyss; and there arose a smoke out of the pit, like the smoke of a great furnace; and the sun and the air were darkened by the smoke of the pit. (Abyssos )
Tena wanaye mfalme anayewatawala, naye ndiye malaika wa kuzimu; jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kigiriki ni Apolioni, yaani mwangamizi. (Abyssos )
And they had over them a king, the angel of the abyss: his name, in Hebrew, is Abaddon, and, in Greek, he has the name Apollyon. (Abyssos )
akaapa kwa jina la Mungu aishiye milele na milele, Mungu aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, bahari na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo. Akasema, “Wakati wa kusubiri zaidi umekwisha! (aiōn )
and swore by him that lives from age to age, who created the heaven and the things that are in it, and the earth and the things that are in it, and the sea and the things that are in it, That time should no longer intervene, (aiōn )
Lakini wakisha maliza kutangaza ujumbe huo, mnyama atokaye shimoni kuzimu atapigana nao, atawashinda na kuwaua. (Abyssos )
And when they shall have finished their testimony, the beast that ascends out of the abyss will make war with them, and overcome them, and kill them. (Abyssos )
Kisha malaika wa saba akapiga tarumbeta yake. Na sauti kuu zikasikika mbinguni zikisema, “Sasa utawala juu ya ulimwengu ni wa Bwana wetu na Kristo wake. Naye atatawala milele na milele!” (aiōn )
And the seventh angel sounded; and there were great voices in heaven, saying: The kingdom of the world has become our Lord’s and his Christ’s, and he shall reign from age to age. (aiōn )
Kisha nikamwona malaika mwingine anaruka juu angani akiwa na Habari Njema ya milele ya Mungu, aitangaze kwa watu wote waishio duniani, kwa mataifa yote, makabila yote, watu wa lugha zote na rangi zote. (aiōnios )
And I saw another angel flying in mid-heaven, having the eternal gospel to preach to those who dwell on the earth, even to every nation and tribe and tongue and people; (aiōnios )
Moshi wa moto unaowatesa kupanda juu milele na milele. Watu hao waliomwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kutiwa alama ya jina lake, hawatakuwa na nafuu yoyote usiku na mchana.” (aiōn )
and the smoke of their torment ascends from age to age: and they who worship the beast and his image, and whoever receives the mark of his name, have no rest day or night. (aiōn )
Kisha, mmojawapo wa vile viumbe vinne akawapa hao malaika saba mabakuli ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, aishiye milele na milele. (aiōn )
And one of the four living creatures gave to the seven angels seven golden cups full of the wrath of God, who lives from age to age. (aiōn )
Huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. Wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena! (Abyssos )
The beast that you saw, was, and is not, and will come out of the abyss, and go to perdition; and those who dwell on the earth, whose names were not written in the book of life from the foundation of the world, will wonder, when they see the beast that was, and is not, though he is yet present. (Abyssos )
Wakasema, “Asifiwe Mungu! Moshi wa moto unaoteketeza mji huo utapanda juu milele na milele!” (aiōn )
And again they said: Alleluia; and her smoke rises up from age to age. (aiōn )
Lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka, pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (Kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake.) Huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti. (Limnē Pyr )
And the beast was taken, and the false prophet that was with him, who did signs in his presence, with which he deceived those who received the mark of the beast, and those who worshiped his image. These two were thrown alive into the lake of fire, which burns with brimstone. (Limnē Pyr )
Kisha nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
And I saw an angel come down from heaven, having the key of the abyss, and a great chain in his hand. (Abyssos )
Malaika akalitupa Kuzimu, akaufunga mlango wa kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka elfu moja itakapotimia. Lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi tu. (Abyssos )
and threw him into the abyss, and shut him up, and set a seal upon him, that he should deceive the nations no more, till the thousand years should be completed: and after this he must be loosed for a little while. (Abyssos )
Ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
And the devil who deceived them was thrown into the lake of fire and brimstone, where the beast and the false prophet are: and they shall be tormented day and night from age to age. (aiōn , Limnē Pyr )
Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake. (Hadēs )
And the sea gave up the dead that were in it; and death and hades gave up the dead that were in them; and they were judged, every one according to his works. (Hadēs )
Kisha kifo na kuzimu vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili. (Hadēs , Limnē Pyr )
And death and hades were cast into the lake of fire: this is the second death. (Hadēs , Limnē Pyr )
Mtu yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto. (Limnē Pyr )
And if any one was not found written in the book of life, he was thrown into the lake of fire. (Limnē Pyr )
Lakini watu waoga, wasioamini, wapotovu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, mahali pao patakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto na kiberiti; hicho ndicho kifo cha pili.” (Limnē Pyr )
But the fearful, and the unbelieving, and the detestable, and murderers and lewd persons and sorcerers and idolaters and all liars, shall have their part in the lake that burns with fire and brimstone, which is the second death. (Limnē Pyr )
Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, maana Bwana Mungu atawaangazia, nao watatawala milele na milele. (aiōn )
And there shall be no more night; and they have no need of the lamp, nor of the light of the sun: for the Lord God will give them light: and they shall reign from age to age. (aiōn )
Lakini hakupatikana mtu yeyote mbinguni, wala duniani, wala chini Kuzimu, aliyeweza kukifungua hicho kitabu au kukitazama ndani. ()