< Mathayo 19 >

1 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka Galilaya, akaenda katika mkoa wa Yudea, ng'ambo ya mto Yordani.
Ahe ni wa Yesu a hla tre biyi kle a, wa a wlu ni Galili hi nklan u Yuhudiya ni ko gran inne urdu.
2 Watu wengi walimfuata huko, naye akawaponya.
Gbugbu ndi baka hu, u wa a den ba.
3 Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?”
Farisawa baye tsrawu nda mye wu, A he tu nkon ndu lilon ga gran ni wa ma ni tu kpye?
4 Yesu akawajibu, “Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke,
Yesu a saa nda tre din “Bani kra ndi wawu wa atie ba rji ni mumla a tie ba lilon mba wa na?
5 na akasema: Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?
Wawu wa atie mba a tre ngame din 'A nitu tre yi mba lilon ni kaa tiema ni yima don nda kabi ni wama u baba harli ba ba kati kpa ri.
6 Kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe.”
Bana la harli ngana bahi kpa ririi. Tikima ikpye wa Rji kau kabia ndu ndjio ri gawu tie nkan na.
7 Lakini wao wakamwuliza, “Kwa nini basi, Mose alituagiza mwanamke apewe hati ya talaka na kuachwa?”
U baka hla niwu, U ni tu ngye mba Musa a hla ridu ta nno imbe u gagran ndi la zu wa?
8 Yesu akawajibu, “Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu.
A hla ni bawu, “Ahe ni tu gbegbe sron mbi mba Musa a ndu yi zu mbambi, rji ni mumla ana he tokima na.
9 Lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo. Basi nawaambieni, yeyote atakayemwacha mke wake isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, akaoa mke mwingine, anazini.”
Mi hla yiwu, indi wa a zu wamaa, u wama he nitu wa lilon na, nda hi kagran ndji ri a tielatre u tie kan.
10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa.”
Mrli koh ba baka hla ni Yesu din “Ani ta he towa ni tu lilon mba wama, ka anabi ndu ndji gran na”
11 Yesu akawaambia, “Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu.
U Yesu ka hla bawu, “Ana ndji wawuu ba kpa tre yi na, se biwa ba kpa nyme ni bawu ndu ba kpa.
12 Maana kuna sababu kadhaa za kutoweza kuoa: wengine ni kwa sababu wamezaliwa hivyo, wengine kwa sababu wamefanywa hivyo na watu, na wengine wameamua kutooa kwa ajili ya Ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea fundisho hili na alipokee.”
Bari ba he wa ba ngrji hama ni krju'a u indji bari ba ka kpamba tie bi krju'a kimba ni tu mulki u shulu. I wa ani to kpa itsro yi a.
13 Kisha watu wakamletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono na kuwaombea. Lakini wanafunzi wakawakemea.
Nikima baka nji kpran mrli bari ye ndu sawo nda tie aduwa ni bawu u mrli kolo maa baka zu ba.
14 Yesu akasema, “Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie; maana Ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama watoto hawa.”
Yesu a hla, “Don kpran mrli ba ndi ni zu ba ni ye ni mena, e mulki u shulu ahi u bibi mba yi”
15 Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.
A kawo ma sa ni tu mba nda wlu ni kima hi kpama.
16 Mtu mmoja alimjia Yesu, akamwuliza, “Mwalimu, nifanye kitu gani chema ili niupate uzima wa milele?” (aiōnios g166)
U indji ri aye ni Yesu nda tre, “Mala ayi ngye zizi wa ahi gbigbi ndu mi tiewu ni kpa son u kasese? (aiōnios g166)
17 Yesu akamwambia, “Mbona unaniuliza kuhusu jambo jema? Kuna mmoja tu aliye mwema. Ukitaka kuingia katika uzima, shika amri.”
Yesu a tre din, “A ni tu ngye rli u mye me ikpye u zizi? Ahi ririyi megyen ahi zizi u ani ta ndi wu wa uri ni son kase, uka hu doka ba”
18 Yule mtu akamwuliza, “Amri zipi?” Yesu akasema, “Usiue, usizini, usiibe, usitoe ushahidi wa uongo,
Igua ka hla wu “Doka bari me?” Yesu hla wu na y'ba wo na tie kan na, na y'bi na, na klri ni gon ndji nice na.
19 waheshimu baba yako na mama yako; na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”
Wo tieme mba yime ndi son vayi me towa u son kpame a
20 Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia tangu utoto wangu; sasa nifanye nini zaidi?”
U vrenze a hla niwu “Ikpyi bayi mi tie ba wawuu ye. Ahi ngye rli don mu?”
21 Yesu akamwambia, “Kama unapenda kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali yako uwape maskini hiyo fedha, nawe utakuwa na hazina mbinguni, kisha njoo unifuate.”
Yesu a hiawu, U tina son ku nyren na uka hi vu kpyi me le ndi kpa klen a nnobi ya tokima u he ni kpyi ni shulu.
22 Huyo kijana aliposikia hayo, alienda zake akiwa mwenye huzuni, maana alikuwa na mali nyingi.
U wa vrenze'a wo kpye wa Yesu trea a k'ma hi kpama gbo dodo me ni tu wa ahe ni kpyi gbugbuwu.
23 Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni, itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.
Yesu ka treni mrli koh ma ba “Njanjimu mi hla ni yiwu ahe ni dii ndu ndji u wo ndu ri ni igbu chu u shulu.
24 Tena nawaambieni, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.”
Mi hla yiwa ngarli, Ani he dii ni ndji u wo ndu ri ni gbu u chu shulu zan wa lakrumi ka ri ni ndo nnro”
25 Wale wanafunzi waliposikia hivyo walishangaa, wakamwuliza, “Ni nani basi, awezaye kuokoka?”
Niwa mrli kohma ba wo tokima baka manji ma wakran nda tre “Wa nha mba ni j'bu?”
26 Yesu akawatazama, akasema, “Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote huwezekana.”
Yesu aya ba nda tre, “Ni ndji ana ti tu u ni Rji ikpi wawu mba wu ba tie tu”
27 Kisha Petro akasema, “Na sisi je? Tumeacha yote tukakufuata; tutapata nini basi?”
Nikiyi Bitru ka saa nda tre niwu “To kie ka ko ngyeri don ndi huu. A ngyeri mba ki he wu?”
28 Yesu akawaambia, “Nawaambieni kweli, Mwana wa Mtu atakapoketi katika kiti cha enzi cha utukufu wake katika ulimwengu mpya, ninyi mlionifuata mtaketi katika viti kumi na viwili mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
Yesu a tre ni mba “Njanjimu mi hla yiwu ni ngyrji u saa ni nton wa Ivren Ndji ni son ni ruron ma u chua biyi wa bi hume a bi son ni ruron chu tso ndi tron igrji tso u Israila.
29 Na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uzima wa milele. (aiōnios g166)
Iwa aka ba koh, mrli vayi lilon, vayi mrli mba, itie, iyi, imrli, ka ba rju ni tu nde mu, ani kpa mla nkpu se wlon nda son kasese. (aiōnios g166)
30 Lakini walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.
U gbugbu wu wa ba bi u mumla ba k'ma tie bi klekle u bi klekle a ba katiebi mumla.

< Mathayo 19 >