< Mathayo 15 >

1 Kisha Mafarisayo na walimu wa Sheria wakafika kutoka Yerusalemu, wakamwendea Yesu, wakamwuliza,
apara. m yiruu"saalamnagariiyaa. h katipayaa adhyaapakaa. h phiruu"sina"sca yii"so. h samiipamaagatya kathayaamaasu. h,
2 “Kwa nini wanafunzi wako hawajali mapokeo tuliyopokea kutoka kwa wazee wetu? Hawanawi mikono yao kama ipasavyo kabla ya kula!”
tava "si. syaa. h kimartham aprak. saalitakarai rbhak. sitvaa paramparaagata. m praaciinaanaa. m vyavahaara. m la"nvante?
3 Yesu akawajibu, “Kwa nini nanyi mnapendelea mapokeo yenu wenyewe na hamuijali Sheria ya Mungu?
tato yii"su. h pratyuvaaca, yuuya. m paramparaagataacaare. na kuta ii"svaraaj naa. m la"nvadhve|
4 Mungu amesema: Waheshimu baba yako na mama yako, na Anayemkashifu baba yake au mama yake, lazima auawe.
ii"svara ityaaj naapayat, tva. m nijapitarau sa. mmanyethaa. h, yena ca nijapitarau nindyete, sa ni"scita. m mriyeta;
5 Lakini ninyi mwafundisha ati mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kuwasaidia nacho baba au mama yake, lakini akasema: Kitu hiki nimemtolea Mungu,
kintu yuuya. m vadatha, ya. h svajanaka. m svajananii. m vaa vaakyamida. m vadati, yuvaa. m matto yallabhethe, tat nyavidyata,
6 basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.
sa nijapitarau puna rna sa. mma. msyate| ittha. m yuuya. m paramparaagatena sve. saamaacaare. ne"svariiyaaj naa. m lumpatha|
7 Enyi wanafiki! Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu:
re kapa. tina. h sarvve yi"sayiyo yu. smaanadhi bhavi. syadvacanaanyetaani samyag uktavaan|
8 Watu hawa, asema Mungu, huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami.
vadanai rmanujaa ete samaayaanti madantika. m| tathaadharai rmadiiya nca maana. m kurvvanti te naraa. h|
9 Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.”
kintu te. saa. m mano matto viduuraeva ti. s.thati| "sik. sayanto vidhiin nraaj naa bhajante maa. m mudhaiva te|
10 Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni na muelewe!
tato yii"su rlokaan aahuuya proktavaan, yuuya. m "srutvaa budhyadhba. m|
11 Kitu kinachomtia mtu najisi si kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho mtu najisi.”
yanmukha. m pravi"sati, tat manujam amedhya. m na karoti, kintu yadaasyaat nirgacchati, tadeva maanu. samamedhyii karotii|
12 Kisha wanafunzi wakamwendea, wakamwambia, “Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa waliposikia maneno yako?”
tadaanii. m "si. syaa aagatya tasmai kathayaa ncakru. h, etaa. m kathaa. m "srutvaa phiruu"sino vyarajyanta, tat ki. m bhavataa j naayate?
13 Lakini yeye akawajibu, “Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakuupanda, utang'olewa.
sa pratyavadat, mama svargastha. h pitaa ya. m ka ncida"nkura. m naaropayat, sa utpaavdyate|
14 Waacheni wenyewe! Wao ni vipofu, viongozi wa vipofu; na kipofu akimwongoza kipofu, wote wawili hutumbukia shimoni.”
te ti. s.thantu, te andhamanujaanaam andhamaargadar"sakaa eva; yadyandho. andha. m panthaana. m dar"sayati, tarhyubhau gartte patata. h|
15 Petro akadakia, “Tufafanulie huo mfano.”
tadaa pitarasta. m pratyavadat, d. r.s. taantamimamasmaan bodhayatu|
16 Yesu akasema, “Hata nyinyi hamwelewi?
yii"sunaa prokta. m, yuuyamadya yaavat kimabodhaa. h stha?
17 Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutupwa nje chooni?
kathaamimaa. m ki. m na budhyadhbe? yadaasya. m previ"sati, tad udare patan bahirniryaati,
18 Lakini yale yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi.
kintvaasyaad yanniryaati, tad anta. hkara. naat niryaatatvaat manujamamedhya. m karoti|
19 Maana moyoni hutoka mawazo maovu yanayosababisha uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa.
yato. anta. hkara. naat kucintaa badha. h paaradaarikataa ve"syaagamana. m cairyya. m mithyaasaak. syam ii"svaranindaa caitaani sarvvaa. ni niryyaanti|
20 Hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu najisi.”
etaani manu. syamapavitrii kurvvanti kintvaprak. saalitakare. na bhojana. m manujamamedhya. m na karoti|
21 Yesu aliondoka mahali hapo akaenda kukaa katika sehemu za Tiro na Sidoni.
anantara. m yii"sustasmaat sthaanaat prasthaaya sorasiidonnagarayo. h siimaamupatasyau|
22 Basi, mama mmoja Mkaanani wa nchi hiyo alimjia, akapaaza sauti: “Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, nionee huruma! Binti yangu anasumbuliwa na pepo.”
tadaa tatsiimaata. h kaacit kinaaniiyaa yo. sid aagatya tamuccairuvaaca, he prabho daayuuda. h santaana, mamaikaa duhitaaste saa bhuutagrastaa satii mahaakle"sa. m praapnoti mama dayasva|
23 Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi, wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, “Mwambie aende zake kwa maana anatufuatafuata akipiga kelele.”
kintu yii"sustaa. m kimapi noktavaan, tata. h "si. syaa aagatya ta. m nivedayaamaasu. h, e. saa yo. sid asmaaka. m pa"scaad uccairaahuuyaagacchati, enaa. m vis. rjatu|
24 Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”
tadaa sa pratyavadat, israayelgotrasya haaritame. saan vinaa kasyaapyanyasya samiipa. m naaha. m pre. sitosmi|
25 Hapo huyo mama akaja, akapiga magoti mbele yake, akasema, “Mheshimiwa, nisaidie.”
tata. h saa naariisamaagatya ta. m pra. namya jagaada, he prabho maamupakuru|
26 Yesu akamjibu, “Si sawa kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”
sa uktavaan, baalakaanaa. m bhak. syamaadaaya saarameyebhyo daana. m nocita. m|
27 Huyo mama akajibu, “Ni kweli, Mheshimiwa; lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka kutoka meza ya bwana wao.”
tadaa saa babhaa. se, he prabho, tat satya. m, tathaapi prabho rbha ncaad yaducchi. s.ta. m patati, tat saarameyaa. h khaadanti|
28 Hapo Yesu akamjibu, “Mama, imani yako ni kubwa; basi, ufanyiwe kama unavyotaka.” Yule binti yake akapona tangu saa hiyo wakati huohuo.
tato yii"su. h pratyavadat, he yo. sit, tava vi"svaaso mahaan tasmaat tava manobhila. sita. m sidyyatu, tena tasyaa. h kanyaa tasminneva da. n.de niraamayaabhavat|
29 Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
anantara. m yii"sastasmaat sthaanaat prasthaaya gaaliilsaagarasya sannidhimaagatya dharaadharamaaruhya tatropavive"sa|
30 Watu wengi sana wakamjia wakiwaleta vilema, vipofu, viwete, bubu na wengine wengi waliokuwa wagonjwa, wakawaweka mbele ya miguu yake, naye Yesu akawaponya.
pa"scaat jananivaho bahuun kha ncaandhamuuka"su. skakaramaanu. saan aadaaya yii"so. h samiipamaagatya taccara. naantike sthaapayaamaasu. h, tata. h saa taan niraamayaan akarot|
31 Umati ule wa watu ulishangaa sana ulipoona bubu wakiongea, waliokuwa wamelemaa wamepona, viwete wakitembea na vipofu wakiona; wakamsifu Mungu wa Israeli.
ittha. m muukaa vaakya. m vadanti, "su. skakaraa. h svaasthyamaayaanti, pa"ngavo gacchanti, andhaa viik. sante, iti vilokya lokaa vismaya. m manyamaanaa israayela ii"svara. m dhanya. m babhaa. sire|
32 Basi, Yesu aliwaita wanafunzi wake, akasema, “Nawaonea watu hawa huruma kwa sababu kwa siku tatu wamekuwa nami, wala hawana chakula. Sipendi kuwaacha waende bila kula wasije wakazimia njiani.”
tadaanii. m yii"su. h sva"si. syaan aahuuya gaditavaan, etajjananivahe. su mama dayaa jaayate, ete dinatraya. m mayaa saaka. m santi, e. saa. m bhak. syavastu ca ka ncidapi naasti, tasmaadahametaanak. rtaahaaraan na visrak. syaami, tathaatve vartmamadhye klaamye. su. h|
33 Wanafunzi wakamwambia, “Hapa tuko nyikani; tutapata wapi chakula cha kuwatosha watu wengi hivi?”
tadaa "si. syaa uucu. h, etasmin praantaramadhya etaavato martyaan tarpayitu. m vaya. m kutra puupaan praapsyaama. h?
34 Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Saba na visamaki vichache.”
yii"surap. rcchat, yu. smaaka. m nika. te kati puupaa aasate? ta uucu. h, saptapuupaa alpaa. h k. sudramiinaa"sca santi|
35 Basi, Yesu akawaamuru watu wakae chini.
tadaanii. m sa lokanivaha. m bhuumaavupave. s.tum aadi"sya
36 Akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akamshukuru Mungu, akavimega, akawapa wanafunzi, nao wakawagawia watu.
taan saptapuupaan miinaa. m"sca g. rhlan ii"svariiyagu. naan anuudya bha. mktvaa "si. syebhyo dadau, "si. syaa lokebhyo dadu. h|
37 Wote wakala, wakashiba. Kisha wakakusanya makombo, wakajaza vikapu saba.
tata. h sarvve bhuktvaa t. rptavanta. h; tadava"si. s.tabhak. sye. na sapta. dalakaan paripuuryya sa. mjag. rhu. h|
38 Hao waliokula walikuwa wanaume elfu nne, bila kuhesabu wanawake na watoto.
te bhoktaaro yo. sito baalakaa. m"sca vihaaya praaye. na catu. hsahasraa. ni puru. saa aasan|
39 Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.
tata. h para. m sa jananivaha. m vis. rjya tarimaaruhya magdalaaprade"sa. m gatavaan|

< Mathayo 15 >