< Mathayo 14 >
1 Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.
Uganiya me ugomo hiridus antitas makunna abanga a yeso.
2 Basi, akawaambia watumishi wake, “Mtu huyu ni Yohane mbatizaji, amefufuka kutoka wafu; ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake.”
Magun nanu aka tuma kameme yohana ubaptisma mani. A hirza me a hira ani wono, ine ini ya wuna mazin una bari u wuza uti mum tidandand.
3 Herode ndiye aliyekuwa amemtia Yohane nguvuni, akamfunga minyororo na kumtia gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake. Sababu hasa ni
I rusa hiridus mā meki yohana ma tirzizi me ma han me akura ani rer barki hirudiya, unee u henu u filibus.
4 kwamba alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuishi na huyo mwanamke!”
Barki sa mā buki me idda rizi me ma wuzi anya nan Hirudiya ba usuro u, inko utize.
5 Herode alitaka kumwua Yohane, lakini aliogopa watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii.
Hiridus ma nyari uhuna ume, ma kunna biyau barki sa anu wa ziki me unu kurzuzo utize ta Asere mani.
6 Katika sherehe za sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya wageni. Herode alifurahiwa,
Sa uwui uyo uhiridus wa kete uca u hirudiya ma wuzi morso anyumo anu Hiridus ma kunna urunta kang.
7 hata akaahidi kwa kiapo kumpa huyo msichana chochote atakachoomba.
Ma inki me tize nan itono agi madi nyame vat imum me sa ma ikmo.
8 Naye, huku akichochewa na mama yake, akaomba, “Nipe papahapa katika sinia kichwa cha Yohane mbatizaji.”
A ino me gun uca me ma nyame nice yohana unu baptisma a'ana me ayumo iso.
9 Mfalme alihuzunika, lakini kwa sababu ya kile kiapo chake na kwa sababu ya wale wageni karamuni, akaamuru apewe.
Ugomo ma wu apuru abid, barki itono sa mamu wuza anyimo anu ma gu anyame.
10 Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.
Ma tuburko akura anirere me a ha aka yoro nice ni yohana.
11 Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.
A en nice me anyumo iso a nya uca me maka nya a ino me.
12 Wanafunzi wa Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu.
Anu tarsa ume me wa ziki ikizi me waka vatti wa ha wa ka buka yeso.
13 Yesu alipopata habari hiyo, aliondoka mahali pale kwa mashua, akaenda mahali pa faragha peke yake. Lakini watu walipata habari, wakamfuata kwa miguu toka mijini.
Sa yeso makunna ani me ma ribe uzirgi umei ma kata a ara hira sa madi cukuno in sisin me. Anu ati pinpin sassas wa tarsi me ati buna.
14 Basi, aliposhuka pwani, aliona umati mkubwa wa watu, akawaonea huruma, akawaponya wagonjwa wao.
Sa ma tuno uzirgi me ma iri anu wa orno gbardang ma kunna ugogoni uwe ma hunzan are ana tikoni.
15 Kulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, na saa zimepita. Basi, uwaage watu ili waende vijijini wakajinunulie chakula.”
Sa uwunjoro wawuna anu tarsa ume me wa ka kem me wa gun me uwui wa mara ceki anu wa ka nyara ace awe imum yare ati hihira.
16 Yesu akawaambia, “Si lazima waende, wapeni ninyi chakula.”
Yeso magu, “Dakiya cukunnu gbass wa dusa ba, nyani we ire ium wa dusa ba, nyari we ire imum wari.”
17 Lakini wao wakamwambia, “Tunayo mikate mitano tu na samaki wawili.”
Wa gun me ubiredi unu cibi uni tizin nan icere ini ire cass.
18 Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”
Yeso ma gu nyani mi.
19 Akawaamuru watu waketi katika nyasi. Kisha akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu. Halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.
Yeso ma gun nanu me wa cuku ati kpe. Ma ziki ubiredi unu cibi nan ni cere ini ire me, ma yese aje aseseri ma ringirka ma pussi ubiredi me ma nya anu tarsa ume me wa nya niura na nume.
20 Watu wote wakala, wakashiba. Kisha wanafunzi wakakusanya mabaki, wakajaza vikapu kumi na viwili.
Vat wa re wa tii, wa orre ukasi me umyinca mugira belum.
21 Jumla ya waliokula ilikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.
Anu sa wa re wa biki aru cibi ahana aruma sarki ane nan ahana.
22 Mara, Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie ng'ambo ya ziwa wakati yeye anawaaga watu.
Sa wa mara yeso ma wu anu tarsa umeme wa ribe uzirgi mei bati wa kuri nikira, ma tonno bati ma gun we wa dusa.
23 Baada ya kuwaaga, alipanda mlimani peke yake kusali. Ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake,
Sa ma gunna we wa dusa ma nyene ani pana in nice nume uwuna ubiringara. A hira abee a me abini me in sisin me.
24 na wakati huo ile mashua ilikwishafika karibu katikati ya ziwa, lakini ilikuwa inakwenda mrama kwa sababu upepo ulikuwa unaipinga.
Uganiya me sa uzirgi me wa biki atii uraba udandang, i barka imei nun zuro uzirgime, upebu in nishina nan we.
25 Usiku, karibu na mapambazuko, Yesu aliwaendea wanafunzi akitembea juu ya maji.
In na rumu a taru aniye wa iri yeso ma haka asesere a mei me tantu aye ukem uwe.
26 Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji waliingiwa na hofu, wakasema, “Ni mzimu!” Wakapiga kelele kwa hofu.
Sa anu tarse umeme wa ira me in tannu asesere amei wa kunna biyau wa gu, “Imoli ini,” barki biyau wa wu uhunu.
27 Mara, Yesu akasema nao, “Tulieni, ni mimi. Msiogope!”
Yeso ma buki we tize dibedibe ma gun we, “Katti ikunna biyau ba in mani natani muruba.”
28 Petro akamwambia, “Bwana, ikiwa ni wewe kweli, amuru nitembee juu ya maji nije kwako.”
Bitrus ma kabirka ma gun me “Ingi homani ugomo Asere wuna in ee ikem we asesere amei me.
29 Yesu akasema, “Haya, njoo.” Basi, Petro akashuka kutoka ile mashua, akatembea juu ya maji, akamwendea Yesu.
Yeso ma gun me, “Aye.” Sa Bitrus ma suro anumo uzirgi me, ma tunguno tanu asesere amei tantu ka kem u yeso.
30 Lakini alipouona ule upepo, aliogopa, akaanza kuzama; akalia kwa sauti, “Bwana, niokoe!”
Sa Bitrus ma ira upebu me ma kunna biyau ma tubi upirsa ma wu uhunu ma gun, ''Ugomo Asere buram.”
31 Hapo, Yesu akaunyosha mkono wake, akamshika na kumwambia, “Ewe mwenye imani haba! Kwa nini uliona shaka?”
Yeso ma witti tari, dibedibe ma meki me ma gun me'' Hu unu hem ucin nyanini ya wuna we uhara iruba?
32 Basi, wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.
Sa yeso nan Bitrus wa rube uzirgi me upebu me u tunno.
33 Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, “Hakika wewe ni Mwana wa Mungu.”
An de sa wa rani uzirgime wa nonzo Yeso wa gun me, “Kadundura hu vana Asere mani.”
34 Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti.
Sa wa kafa wa tu a manyanga mu jansarat.
35 Watu wa huko walipomtambua, wakaeneza habari pote katika sehemu hizo. Basi, wakamletea Yesu wagonjwa wote,
Sa ana nipin me wa rusa yeso mani wa tuni vat ana nyaga me a een na nu ati koni.
36 wakamwomba awaruhusu waguse tu pindo la vazi lake; wote waliomgusa walipona.
Wa ikki me ca w dari udibi ume me, vat de sa maz dāri ma huma.