< Mathayo 13 >

1 Siku hiyohiyo, Yesu alitoka katika ile nyumba, akaenda na kuketi kando ya ziwa.
Ikighono kila kila, uYesu akahuma mu nyumba jila, akaluta, akikala mulubale mu lisumbe.
2 Makundi makubwa ya watu yalimzunguka hata Yesu akapanda mashua, akaketi. Hao watu walisimama kwenye ukingo wa ziwa,
Avaanhu vinga amapugha na mapugha vakaluta, vakakong'haana pa mwene, kuhanga akalamula pikwingila mu ngalava ikikala. Avaanhu vala vakiima kunji ku lisumbe.
3 naye Yesu akawaambia mambo mengi kwa mifano. “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.
Pepano akavavuula si nyinga mu fihwanikisio akati, 'Unkesambeju jumonga alyalutile kukesa imbeju.
4 Alipokuwa akipanda, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.
Ye ikesa, Imbeju jimonga jikaghua pa sila, injuni sikiisa, sikahola.
5 Nyingine zilianguka penye mawe pasipokuwa na udongo mwingi. Zikaota mara kwa kuwa udongo haukuwa na kina.
Ijingi jikaghua pa linhalavue, jikamela ng'haning'haani. ulwakuva ilihanga lyale lidebe.
6 Jua lilipochomoza, zilichomeka; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.
ye jimelile ulujuva lukanyaanya, jikuuma, ulwakuva indela sikakunua kukwika paasi.
7 Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga.
Ijingi jikaghua pa malela gha madasia, jikamela, neke amadasia ye ghakafweta.
8 Lakini nyingine zilianguka penye udongo mzuri, zikaota, zikazaa: nyingine punje mia moja, nyingine sitini na nyingine thelathini.
Ijingi jikaghua pa lihanga ilinofu, jikamele, jukakula na kukoma vunono, jimo ifipeke kilundo, ijingi fijigho ntanda, ijingi fijigho filatu.
9 Mwenye masikio na asikie!”
Unya kupulika, apulikaghe!”
10 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
Pepano avavulanusivua vaake vakaluata vakamposia vakati, 'Kiki ghujova na vaanhu mu fihwanikisio?
11 Yesu akawajibu, “Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za Ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakujaliwa.
UYesu akavamula akati, 'Umue uNguluve avapeliile kukagula isa vusyefu uvwa vutwa vwa kukyanya, looli aveene navapelilue uluo.
12 Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa; lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
Ulwakuva umuunhu ghweni juno ali nu vakagusi vwimila uvutwa vwa Nguluve, ujuo ikwongelesivua. Looli juno nsila vakagusi uvuo, nambe uvukagusi uvudebe vuno ali navwo, ikunyua.
13 Ndiyo maana ninasema nao kwa mifano, kwa sababu wanatazama lakini hawaoni, wanasikiliza lakini hawasikii, wala hawaelewi.
Uluo lwe luno lukumhelela kujova navo mu fihwanikisio, ulwakuva vilola neke navikusivona, vipulikisia neke navipulika nambe kukusitang'hania.
14 Kwao yametimia yale aliyosema nabii Isaya: Kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; Kutazama mtatazama, lakini hamtaona.
Isi sivombeka ku veene kukwilanisia sino um'bili uYesaya alyalembile kuuti,'Kupulika, mupulikagha neke namukusitang'haniagha. Kulola, mulolagha neke namukusivonagha.
15 Maana akili za watu hawa zimepumbaa, wameyaziba masikio yao, wameyafumba macho yao. La sivyo, wangeona kwa macho yao. wangesikia kwa masikio yao, wangeelewa kwa akili zao, na kunigeukia, asema Bwana, nami ningewaponya.
Ulwakuva avaanhu ava, vasiiti kukwitika. Vadindile imbulughutu saave, vadindile amasio ghaave. Vaale valeke uluo, amasio ghaave ghaale ghilolagha, imbulughutu saave saale sipulikaghe, nagha moojo ghaave ghaale ghikulutang'haniagha. Mu uluo vaale vikusyetukila une, na juune naale nikuvapoka.'
16 “Lakini heri yenu ninyi, maana macho yenu yanaona na masikio yenu yanasikia.
“Looli mufunyilue umue, ulwakuva amaso ghiinu ghilola nasi mbulughutu siinu sipulika.
17 Kweli nawaambieni, manabii na watu wengi wema walitamani kuyaona yale mnayoyaona, wasiyaone, na kuyasikia yale mnayoyasikia, wasiyasikie.
Kyang'haani nikuvavuula kuuti kwevalyale avavili na vagholofu vinga vano valyale vilonda kukusivona sino mukusivona umue, neke navalyasivwene. Kange valyale vilonda kupulika sino mupulika umue, neke navalyasipuliika.”
18 “Basi, ninyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi.
“Lino, mupulikisie umuluvo ghwa kihwanikisio ikya nkesambeju,
19 Yeyote asikiaye ujumbe wa ufalme bila kuuelewa, ni kama zile mbegu zilizoanguka njiani; yule Mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake.
Pa sila pano imbeju jilyaghwile, ghwe muunhu juno ipuluka ilisio lya vutwa vwa Nguluve neke naikulitang'hania, uMhosi uSetano ikwisa na kutoola kino kivyalilue ghwe munkate mu mwojo ghwake.
20 Ile mbegu iliyopandwa penye mawe ni mfano wa mtu asikiaye ujumbe huo na mara akaupokea kwa furaha.
Pa linhalavue, pano imbeju jilyaghwile ghwe muunhu juno ipuluka ilisio lya Nguluve, insiki ughuo ikulyupila nu lukeelo.
21 Lakini haumwingii na kuwa na mizizi ndani yake; huendelea kuuzingatia ujumbe huo kwa kitambo tu, na wakati taabu au udhalimu vinapotokea kwa sababu ya ujumbe huo, anakata tamaa mara.
Neke ulwakuva ilisio lila lisila ndela mu mwojo ghwake, igadilila unsiki n'debe, lungavoneke ulutalamu lumonga, nambe isa kumpumusia vwimila ilisio lya Nguluve, neke nakikomaifipeke. unsiki ghughuo ye ikululekagha ulwitiko.
22 Ile mbegu iliyoanguka kati ya miti ya miiba, ni mfano wa mtu asikiaye huo ujumbe, lakini wasiwasi wa ulimwengu huu na anasa za mali huusonga ujumbe huo, naye hazai matunda. (aiōn g165)
Pa madasia pano imbeju jilyaghwile ghwe muunhu juno ipulika ilisio lya Nguluve, neke imbombo sa mu iisi, kuyasuka vwimila uvukavi vwa kyuma fifweta ilisio, neke nalikoma ifipeke, (aiōn g165)
23 Ile mbegu iliyopandwa katika udongo mzuri ni mfano wa mtu ausikiaye ujumbe huo na kuuelewa, naye huzaa matunda; mmoja mia, mwingine sitini na mwingine thelathini.”
Looli pa lihanga ilinofu pano imbeju jilyaghwile, ghwe muunhu juno ipulika ilisio lya Nguluve na kukulitang'hania. Ujuo ghwe juno ikoma ifipeke kilundo, ujunge fijigho ntanda, ujunge fijigho filatu”
24 Yesu akawaambia watu mfano mwingine: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.
UYesu akavavuula ikihwanikisio ikingi akati, “uvutwa vwa kukyanya vuhwaniine nu muunhu juno alyavyalile ingano mu mughunda ghwake.
25 Lakini watu wakiwa wamelala, adui yake akaja akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake.
Neke pakila avaanhu vooni ye vighoni, umulugu ghwake akiisa akavyala ilisoli mu ngano, akavuuka iluta.
26 Basi, mimea ilipoota na kuanza kuchanua, magugu pia yakaanza kuonekana.
Pambele fyoni fikamela. Ingano yajipongola, ilisoli likatengula pikuvonesia.
27 Watumishi wa yule mwenye shamba wakamwendea, wakamwambia, Mheshimiwa, bila shaka ulipanda mbegu nzuri katika shamba lako. Sasa magugu yametoka wapi?
Avavombi va muunhu jula unya mughunda vakaluta kukumposia vakati, 'Ghwe ntwa, tukaghwile kuuti ukanyalile ingano mu mughunda ghwako, lino ilisio lila lihumile kuughi?'
28 Yeye akawajibu, Adui ndiye aliyefanya hivyo. Basi, watumishi wake wakamwuliza, Je, unataka twende tukayang'oe
Umwene akavamula akati, “Umulugu ghwe juno avombile uluo. Avavombi vaake vakamposia vakati, 'Ghulonda tulute tukakulule ilisio ilio/
29 Naye akawajibu, La, msije labda mnapokusanya magugu, mkang'oa na ngano pia.
Umwene akati, 'ndali namungakululaghe, ulwakuva pano mukulula ilisoli ndepoonu mukulula naji ngano.
30 Acheni vikue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji: kusanyeni kwanza magugu mkayafunge mafungumafungu ya kuchomwa. Lakini ngano ikusanyeni mkaiweke ghalani mwangu.”
Muleke fyoni fikulaghe palikimo kuhanga unsiki ghwa kubena. Unsiki ughuo, nilikuvavuula vano vibena kuuti vakong'haniaghe taasi ilisoli na kupinya ifinyagha kuuti finyanyue. Neke ingano vakong'hanie na kuvuta mu kihenge kyango.
31 Yesu akawaambia watu mfano mwingine: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja, akaipanda katika shamba lake.
UYesu akavavuuka kihwanikisio ikingi akati, 'Uvutwa uvwa kukyanya vuhwanine n mbeju indebe fiijo, jino umuunhu jumonga alyatolile na kuvyala mu mughunda ghwake.
32 Yenyewe ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini ikishaota huwa kubwa kuliko mimea yote. Hukua ikawa mti, na ndege wa angani huja na kujenga viota katika matawi yake.”
Napano imbeju ijio ndebe kukila sooni, jingamele, ghuuva mmela nkome kukila amamela ghooni agha nyafu. Ghukula ghuuva mpiki, nasi njuni sitenga ifivwasu mu nhaafi saake.”
33 Yesu akawaambia mfano mwingine: “Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyotwaa mama mmoja, akaichanganya na unga pishi tatu, hata unga wote ukaumuka.”
UYesu akavavuula ikihwanikisio ikingi akati, 'Uvutwa uvwa kukyanya vuhwaniine ni kilule kino umukijuuva jumonga alyatolile, akakandila ilikandua ilya mateneka ghatatu agha vutine. Ye akandile, ikilule kia kikalusia ilikandua lyoni.'
34 Yesu aliwaambia watu hayo yote kwa mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano,
UYesu alyavavulile avaanhu isio sooni mu fihwanikisio. Naakajovagha kimonga ku veene kisila kihwanikisio.
35 ili jambo lililonenwa na nabii litimie: “Nitasema kwa mifano; nitawaambia mambo yaliyofichika tangu kuumbwa ulimwengu.”
Akavombagha uluo kukwilanisia ilisio lino alyajovile um'bili kuuti, “Nijovagha na vaanhu mu fihwanikisio. nikuvavulagha sino sifisiime kuhuma Nguluve ipela iisi.”
36 Kisha Yesu aliwaaga wale watu, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, “Tufafanulie ule mfano wa magugu shambani.”
pambele uYesu akahwesia ilipugha lila, akingila mu nyumba. Avavulanisivua vaake vakaluta pa mwene, vakajova vakati, 'Utuvuule umuluvo ghwa kihwanikisio kila ikya lisoli mu mughunda ghwa ngano.'
37 Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.
UYesu akavamula akati, “Unyakukesa ingano ghwe Mwana ghwa Muunhu.
38 Lile shamba ni ulimwengu. Zile mbegu nzuri ni watu wale ambao Ufalme ni wao. Lakini yale magugu ni wale watu wa yule Mwovu.
Umughunda je iisi, ingano ve vaanhu vano vali mu vutwavwa Nguluve, neke ilisoli ve vaanhu ava Mhosi jula.
39 Adui aliyepanda yale magugu ni Ibilisi. Mavuno ni mwisho wa nyakati na wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
Umulugu juno akavyalile ilisoli, ghwe setano. Unsiki ughwa kubena kye kighono kya vusililo vwa iisi, vano vibena ve vanyamhola. (aiōn g165)
40 Kama vile magugu yanavyokusanywa kuchomwa moto, ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati; (aiōn g165)
Lino, ndavule ilisoli vule likong'hanisivua na kunyanyua pa mwoto, fye luliiva ikighono ikya vusililo vwa iisi. (aiōn g165)
41 Mwana wa Mtu atawatuma malaika wake wawakusanye kutoka katika Ufalme wake wale wote wenye kusababisha dhambi, na wote wenye kutenda maovu,
Une ne Mwana ghwa Muunhu nilisuung'ha avanyamhola vango. vavakong'hanie avaanhu vooni mu vutwa vwango vano vipelela avange kuvomba uvuhosi na vano vivomba uvuhosi.
42 na kuwatupa katika tanuru ya moto, na huko watalia na kusaga meno.
Avanyamhola vilililagha avaanhu avuo mu mwoto ghuno naghusima lusiku. Ukuo kwe vilililagha na kugwegwenula aminio ulwakuva vali mu vuvafi uvukome.
43 Kisha, wale wema watang'ara kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Sikieni basi, kama mna masikio!
Pe avagholofu vilivalatikagha mu vutwa vwa Nhaata ghwave ndavule ilijuva. Unya kupulika, apulikaghe.
44 “Ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyofichika shambani. Mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. Alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile.
“Uvutwa uvwa kukyanya vuli ndavule ikiinu ikya ndalama nyinga kino kilyafisilue mu mughunda. Neke umuunhu jumonga akakyagha, akafisa vunono. pepano akaluta nu lukeelo kughusia ifiinu fyoni fino alyale nafyo, akaghula umughunda ghula.
45 “Tena, Ufalme wa mbinguni umefanana na mfanyabiashara mmoja mwenye kutafuta lulu nzuri.
Kange, uvutwa uvwa kukyanya vuli ndavule umughusia fiinu jumonga juno akalondagha ilulu jino jaale ja ndalama nyingi.
46 Alipopata lulu moja ya thamani kubwa, alienda akauza yote aliyokuwa nayo, akainunua lulu ile.
Ye ajaghile ilulu ijio, akaluta kughusia ifiinu fyoni fino alyale nafyo fino alyale nafyo, akaghula.
47 “Tena, Ufalme wa mbinguni unafanana na wavu uliotupwa baharini, ukanasa samaki wa kila aina.
“Kange, uvutwa uvwa kukyanya vuli ndavule ulwafu luno avalovi va samaki vakisise mu nyanja. Mu lwafu uvuo sikaghilila isamaki sino sili papinga.
48 Ulipojaa, watu waliuvuta pwani, wakaketi, wakachagua samaki wazuri wakawaweka ndani ya vikapu vyao, na wabaya wakawatupa.
Neke ulwafu ye lumemile, avalovi vakakwesela kunji ku nyanja. Pe vakikala paasi, vakakong'hania, isamaki inofu sino vavilia, vakaviika mu fisenje, neke isamaki sino navavilia, vakataagha.
49 Ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati: malaika watatokea, watawatenganisha watu wabaya na watu wema, (aiōn g165)
Fye luliiva ikighono ikya vusililo vwa iisi. Avanyamhola va Nguluve vilikwisa, vilikuvabaghula, avahosi viliiva paajo na vagholofu. (aiōn g165)
50 na kuwatupa hao wabaya katika tanuru ya moto. Huko watalia na kusaga meno.”
Avanyamhola avuo vilikuvataagha avahosi ku mwoto ghuno naghusima lusiku. Ukuo kwe vilililagha na kugwegwenula amiino ulwakuva vali mu vuvafi uvukome.”
51 Yesu akawauliza, “Je, mmeelewa mambo haya yote?” Wakamjibu, “Naam.”
pepano uyesu akavaposia avavulanisivua vaake akati, 'Asi, musitang'hinie sooni isio sino nivavulile? Aveeni vakamule vakati, “Enena, tusitang'hini.”
52 Naye akawaambia, “Hivyo basi, kila mwalimu wa Sheria aliye mwanafunzi wa Ufalme wa mbinguni anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.”
Pe akavavuula akati, “Lino, um'bulanisi ghwa ndaghilo sa moose juno m'bulanisivua mu vutwavwa kunkyanya, ali ndavule unya nyumba juno ivutula mu kihenge kyake ifiinu ifipia ni fikuulu.”
53 Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,
Uyesu ye amalile kujova ifihwanikisio ifio, akavuuka pala,
54 akaenda kijijini kwake. Huko akawa anawafundisha watu katika sunagogi hata wakashangaa, wakasema, “Huyu amepata wapi hekima hii na maajabu?
akaluta ku kikaaja kyake. Ukuo akatengula kuvulanisia avaanhu mu sinagogi jaave. Avaanhu vala vakadekha, vakaposania viiti, “Umuunhu uju avwaghile kuughi uvukagusi uvu ni ngufu isa kuvomba ifidegho ifi?
55 Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda?
Asi, uju naghwe mwana ghwa mpululambavo? Ung'ina naghwe juno itambulua Maliya? Nava vanuuna vaake naghwe Yakovo, u Yosefu, u Simoni nu Yuuda?
56 Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi amepata wapi haya yote?”
Asi, avalumbu nave vano tukukalania pa kikaaja apa? Lino, umwene asaghile kuughi sooni isi?”
57 Basi, wakawa na mashaka naye. Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi kuheshimiwa, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani mwake!”
Mu uluo vakakaana kukumwitika. Pe uYesu akavavuula akati, “Um'bili mwoghopua imbale sooni, ulwene naikwoghopua na vaanhu ava mu kikaaja kyake na mu nyumba jaake.”
58 Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.
Ulwakuva avaanhu vala navalya mwitiike, uYesu naakavomba ifidegho finga kula.

< Mathayo 13 >