< Marko 7 >
1 Baadhi ya Mafarisayo na walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu walikusanyika mbele ya Yesu.
Pharise avang he la thum jah mtheiki he Jerusalem üngka naw law u lü Jesuha veia ngcun lawki he.
2 Waliona kwamba baadhi ya wanafunzi wake walikula mikate kwa mikono najisi, yaani bila kunawa.
Acunüng axüisaw he naw ami kut mtüihkheh am ei u se jah hmu u lü ami jah msing, acun cun Pharise hea kba ami kut am ami mthiheia kyaki. (
3 Maana Mafarisayo na Wayahudi wengine wote huzingatia mapokeo ya wazee wao: hawali kitu kabla ya kunawa mikono ipasavyo.
Isetiakyaüng, Pharise he la Judah he naw pupa thum läk u lü ami kut aküa am ami mthi üng ei am ami ei khawia phäha kyaki.
4 Tena hawali kitu chochote kutoka sokoni mpaka wamekiosha kwanza. Kuna pia desturi nyingine walizopokea kama vile namna ya kuosha vikombe, sufuria na vyombo vya shaba.
Jawituknak üngka naw ami lawpüi ipi am mthi lü am ei u. Pupa thum khawjah läk piling vaia ami ngai he cun khawt he, k’am he, mlikbe he la ihnak he jah mthia ngkhaw hea kyaki.)
5 Basi, Mafarisayo na walimu wa Sheria wakamwuliza Yesu, “Mbona wanafunzi wako hawayajali mapokeo tuliyopokea kwa wazee wetu, bali hula chakula kwa mikono najisi?”
Acuna Pharise he la thum jah mtheiki he naw, “Ise na xüisaw he naw pupa he naw jah mthei u lü ami jah tak hüta thum am läk u lü, ami kut mtüihkheh am ei aw sawxatki he ni?” tia, ami kthäh.
6 Yesu akawajibu, “Wanafiki ninyi! Nabii Isaya alitabiri ukweli juu yenu alipoandika: Watu hawa, asema Mungu, huniheshimu kwa maneno matupu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami.
Jesuh naw jah msang lü, “Hesajah naw nangmia hleihlaknak hinkba a pyen hin cang ve: ‘Hina khyang he naw ami m'yawng am na ngak u lü, ami mlungmthin am na thuk ta ve u.
7 Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.
Amdanga na sawkhah u lü, khyanga thum he Mhnama thum hea kba jah mtheiki he!’ a ti cen,
8 Ninyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
Pamhnama ngthupet yawk u lü khyanga thumcam nami läki,” a ti.
9 Yesu akaendelea kusema, “Ninyi mnajua kuepa kwa ujanja sheria ya Mungu kwa ajili ya kufuata mapokeo yenu.
Jesuh naw pyen be lü, “Pamhnama ngthupet nami yawknak vaia phäha namimäta thumcam nami ktung naki.
10 Maana Mose aliamuru: Waheshimu baba yako na mama yako, na, Anayemlaani baba au mama, lazima afe.
Mosi naw, ‘Na nu la na pa na jah mhlünmtai vai, u pi a nu la a pa jah ksenaki cun mkhyüh vai’ a ti
11 Lakini ninyi mwafundisha, Kama mtu anacho kitu ambacho angeweza kuwasaidia nacho baba au mama yake, lakini akasema kwamba kitu hicho ni Korbani (yaani ni zawadi kwa Mungu),
Cunsepi khyang naw a nu la a pa üng a pet vaia khawhthem ta mah mah lü, ‘hin hin Koban ni’ (Koban ti cun mhnama ka ni tinaka kyaki) ti lü,
12 basi, halazimiki tena kuwasaidia wazazi wake.
a nu pa am a jah kpüikpaknak vaia lam suiki.
13 Hivyo ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa ajili ya mafundisho mnayopokezana. Tena mnafanya mambo mengi ya namna hiyo.”
Ahinkba namimäta nami jah mtheimthangnak am Mhnama ngthu nami yawkki. Acukba am dawki nami pawh khawjah awmki,” a ti.
14 Yesu aliuita tena ule umati wa watu, akawaambia, “Nisikilizeni nyote, mkaelewe.
Acunüng Jesuh naw khyang khawjah a veia jah khü be lü, “Nami van naw na ngai u lü, ksing ua.
15 Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu toka nje ambacho chaweza kumtia mtu najisi. Lakini kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia mtu najisi.”
Nami m'yawng üng ju lutkia nami ei naw pamhnam hjawhkhahnak vaia am ning jah mtüihkhehsak ve, cunsepi nami m'yawng üng lut lawkia ngthu naw ni a ning jah mtüihkhehsak ve” a ti.
16 Mwenye masikio na asikie!
17 Alipouacha umati wa watu na kuingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza maana ya huo mfano.
Jesuh cun khyang he jah yawk lü ima lut se, axüisaw he naw acuna suilam a jah mtheh khai vaia ami kthäh.
18 Naye akawaambia, “Je, hata ninyi hamwelewi? Je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu toka nje hakiwezi kumtia unajisi,
Jesuh naw, “Nangmi pi ahikba sena am nami ngsümki aw? Am nami ksingki he aw? M'yawng üng lutkia ei naw khyang am mtüihkhehsaki tia angsinga nami ksingki.
19 kwa maana hakimwingii moyoni, ila tumboni, na baadaye hutolewa nje chooni?” (Kwa kusema hivyo, Yesu alivihalalisha vyakula vyote.)
M'yawng üng lutki cun khyanga mlungmthin k’uma am lut lü a khawnua k’uma ni a luh ve. Acunüng a pumsa üngka naw kpunga lut law bekia kyaki,” a ti. (Acun a pyenak am Jesuh naw ei avan ei vaia nglawiki a tinaka kyaki.)
20 Akaendelea kusema, “Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia najisi.
Jesuh naw pyen be lü, “Khyanga k’um üngka naw lut lawki naw va khyang mtüihkhehsak theiki.
21 Kwa maana kutoka ndani, katika moyo wa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji,
Isetiakyaüng khyanga mlungmthin k’uma am dawkia ngaihkyunak, m'yuknak, khyang hnimnak,
22 uzinzi, uchoyo, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, kashfa, kiburi na upumbavu.
khyanga khyuca katnak, khyanga ka mnaiheinak, am dawkyaki avan jah pawhmsahnak; hleihlaknak, hüipawmnak, ng’eihkyünak, pyenksenak, awhcahnak ja yunak,
23 Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu najisi.”
ahina am dawki he avan cun khyanga k’um üngka naw lut law lü khyang mtüihkhehsakia kyaki,” a ti.
24 Yesu aliondoka hapo, akaenda hadi wilaya ya Tiro. Huko aliingia katika nyumba moja na hakutaka mtu ajue; lakini hakuweza kujificha.
Acunüng Jesuh tho law lü Turah mlüh hne peia citeiki. Im mata lut lü u naw pi am a ksing vai ngaih teki, am ngthup thei.
25 Mwanamke mmoja ambaye binti yake alikuwa na pepo, alisikia habari za Yesu. Basi, akaja akajitupa chini mbele ya miguu yake.
Nghnumi mata a canu ngmüimkhya ksea awmnak Jesuha mawng a ngjak üng law lü a khaw kunga ngdäng lawki.
26 Mama huyo alikuwa Mgiriki, mwenyeji wa Sirofoinike. Basi, akamwomba Yesu amtoe binti yake pepo mchafu.
Acuna nghnumi cun Krik nghnumi, Siria khaw Phoinikia hnea hmikia khyanga kyaki. Ani naw a canu üngka khawyai Jesuh naw a ksät vaia a nghuinak.
27 Yesu akamwambia, “Kwanza watoto washibe; kwa maana si vizuri kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”
Cunsepi Jesuh naw, “Ca he jah mbei ma vai. Ca hea ei lo u lü ui he jah tawn pet vai hin am nglawiki ni,” a ti.
28 Lakini huyo mama akasema, “Sawa, Bwana, lakini hata mbwa walio chini ya meza hula makombo ya watoto.”
Nghnumi naw, “Bawipa aw, cang veki, cunsepi ui he naw pi hnasena buhkbaw mthüpei khawiki he ni,” a ti.
29 Yesu akamwambia, “Kwa sababu ya neno hilo, nenda. Pepo amemtoka binti yako!”
Acunüng Jesuh naw, “Na ngthua phäha, ima cita, canu üngka naw khawyai dawng päng se na hmu khai,” a ti.
30 Basi, akaenda nyumbani kwake, akamkuta mtoto amelala kitandani, na pepo amekwisha mtoka.
Nghnumi naw ima cit be lü a canu üngka khawyai dawng se, a canu a ihnak üng ngkaw se a hmuh.
31 Kisha Yesu aliondoka wilayani Tiro, akapitia Sidoni, akafika ziwa Galilaya kwa kupitia nchi ya Dekapoli.
Jesuh Turah üngka naw Sidon mlüh da cit lü Kalilea phaki. Mlüh Xa khe pah lü citki.
32 Basi, wakamletea bubu-kiziwi, wakamwomba amwekee mikono.
Khyang he naw khyang mat am ngthuhei thei lü a nghnga pi pangki Jesuha veia lawpüi u lü a khana a kut a taih vaia ami nghuinak.
33 Yesu akamtenga na umati wa watu, akamtia vidole masikioni, akatema mate na kumgusa ulimi.
Acunüng Jesuh naw khyang hea ngbumnak üngka naw akcea khü lü a kutpyün a nghnga khuia ktun lü, a mci am msawh lü a mlei a hneh.
34 Kisha akatazama juu mbinguni, akapiga kite, akamwambia, “Efatha,” maana yake, “Funguka.”
Acunüng Jesuh khankhaw da jeng mang lü, “Ephata,” a ti. Acun cun “Nghmawng lawa!” tinaka kyaki.
35 Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukafunguliwa, akaanza kusema sawasawa.
Acunja angxita ngja law be thei lü a mleiyüi pi daw law se angsinga ngthuhei law theiki.
36 Yesu akawaamuru wasimwambie mtu juu ya jambo hilo. Lakini kadiri alivyowakataza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari hiyo.
Acunüng Jesuh naw u üng pi ä ami mtheh vaia a jah ksük; Cunsepi jah mtheh däm däm se ami sang däm däm u.
37 Watu walishangaa sana, wakasema, “Amefanya yote vyema: amewajalia viziwi kusikia, na bubu kusema!”
Acunüng aktäa cäi law u lü, “Hin naw avan jah mdaw be ve! A nghnga kpange pi jah ngjaksak be lü angki he pi jah ngthuheisak be ve!” ami ti.