< Marko 3 >
1 Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
Acunüng Jesuh Sinakoka khuia a luh be üng, acuia a kut vang lam xokia khyang mat awmki.
2 Humo baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki.
Ami mkateinak vaia, Sabbath üng akxo a mdaw law be täng täng la am a mdaw law be k’et u lü ami teng.
3 Yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, “Njoo hapa katikati.”
Acunüng Jesuh naw akutxo üng, “Ngdüi lü maa lawa,” a ti.
4 Kisha, akawauliza, “Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?” Lakini wao hawakusema neno.
Acunüng khyang he üng, “Mi thum naw Sabbath üng i ti vai ni a jah mtheh? Kpüi vai aw, mkhuimkha vai aw? Khyanga xünnak küikyan vai aw, mkhyüh vai aw?” ti lü jah kthäh se, I pi am pyen be u.
5 Hapo akawatazama wote kwa hasira, akaona huzuni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao. Kisha akamwambia huyo mtu, “Nyosha mkono wako!” Naye akaunyosha mkono wake, ukawa mzima tena.
Jesuh naw jah teng hü lü aktäa a mlung soki, cunsepi ami mlung nghlang lü ami kata phäha a pukseki. Acunüng akxo üng, “Na kut sänga,” ti se, akutxo naw a kut a säng la daw law beki.
6 Mara Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri pamoja na watu wa kikundi cha Herode jinsi ya kumwangamiza Yesu.
Acunüng pharise he Sinakok ceh ta u lü, Heroda khyang he am nghmu u lü Jesuh ami mkhyühnak vaia cengki he.
7 Yesu aliondoka hapo pamoja na wanafunzi wake, akaenda kando ya ziwa, na umati wa watu ukamfuata. Watu hao walikuwa wametoka Yerusalemu, Yudea,
Jesuh la axüisaw he Kalile tuilia cit u se khyang khawjah naw ami läk. Acuna khyang he cun Kalile khaw, Judah khaw,
8 Idumea, ng'ambo ya mto Yordani, Tiro na Sidoni. Watu hao wengi walimwendea Yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda.
Jerusalem mlüh, Idume khaw, Jordan pipei üngka he, Turah la Sidon mlüh hea pipei üngka naw law hüki he. Acun he cun Jesuh naw a bilawh he khawjah ami ngjaka phäha a veia lawkia kyaki he.
9 Yesu akawaambia wanafunzi wake wamtayarishie mashua moja, ili umati wa watu usije ukamsonga.
Khyang aktäa adaa phäha a hama mlawngca ami nghängsak thüp thüp vaia axüisaw he a jah mtheh. Acun cun khyang he naw am ami net vaia phäha kyaki.
10 Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
Khyang khawjah jah m’yai bekia kyase, ami hneh vaia ami ngcun law si.
11 Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu walipomwona, walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti, “Wewe ni Mwana wa Mungu!”
Khawyai hea awmnaka khyang he naw ami hmuh üng a maa kawp u lü, ngpyang u lü, “Nang Mhnama Capa!” ami ti.
12 Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.
Jesuh naw khawyai he üng a unak ä ami pyen hü vaia a jah ksük.
13 Yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. Basi, wakamwendea,
Acunüng Jesuh mcunga khana kai lü amäta ngaih he, a veia jah khü se lawki he.
14 naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri
Acunüng, ngsä hea a jah sui a xü xaleinghngih he jah xü lü, “Ka veia nami ve khaia ka ning jah xüki” ti lü a jah mtheh. “Ngthu nami sang hü khaia ka ning jah tüi khai,
15 na wawe na mamlaka ya kuwafukuza pepo.
acunüng khawyai he nami jah ksät khaia ana nami ta khai,” a ti.
16 Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),
A jah xüa xaleinghngih he cun: Sihmon, (Jesuh naw Pita a sui);
17 Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo (Yesu aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge, maana yake “wanangurumo”),
Zebedea capa xawi Jakuk la Johan, (Jesuh naw Boneraketa a jah sui, acun cun, “Mkyeka capa xawi”); tinaka kyaki.
18 Andrea na Filipo, Batholomayo, Mathayo, Thoma, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkanani na
Andru, Philip, Batolame, Mahte, Thomah, Alaphaha capa Jakuk, Thade, Zelot Sihmon
19 Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.
la Judah Iskarot, Jesuh cengkia khyanga kyaki he.
20 Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.
Acunüng, Jesuh ima citki. Khyang khawjah ngcun law be u se, Jesuh la axüisaw he ami ei pi am ei hlawt u.
21 Basi, watu wa jamaa yake walipopata habari hiyo wakatoka kwenda kumchukua maana walikuwa wanasema kwamba amepatwa na wazimu.
Khyang he naw, “Hin hin yaw lawki va ni mäih ja,” ami ti a khuiim kyawnglawng naw sim u lü ngdumsak khai hea büki he.
22 Nao walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, “Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo.”
Thum mtheiki he avang Jerusalem üngka naw lawki he naw, “Hina k’uma Beelzebul um ve! acuna khawyai hea mkhawnga ana am ni khawyai he a jah ksät ve,” ami ti.
23 Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
Acunüng, Jesuh naw a veia jah khü lü, msuimcäpnak am, “Ihawkba Khawyam naw Khawyam ksät thei khai?
24 Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopigana, utawala huo hauwezi kudumu.
Ia pung pi amimät ngtung’atki he cun khawvei am khäng u naw.
25 Tena, ikiwa jamaa moja imegawanyika makundimakundi yanayopingana, jamaa hiyo itaangamia.
Ia khuiim kyawnglawng pi amimät ngtung’atiki he cun ngkyangtai khai he ni.
26 Ikiwa basi, utawala wa Shetani umegawanyika vikundivikundi hauwezi kudumu, bali utaangamia kabisa.
Acunakyase Khawyam khaw ahnga hnga a ngkyangtai üng khawvei am khäng lü düt khai.
27 “Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake.
“U naw khyang kyana im akcüka amät am a pinpawk ma küt üng a ima lut lü a khawhthem am yut thei naw. Acunakyase, im mah akyan cun khit ma khai.
28 “Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;
“Akcanga ka ning jah mthehki, nghnicim khyanga ca hea katnak avan la Mhnam pyetsenaka katnakavan cun mhläta kya khai.
29 lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele.” (aiōn , aiōnios )
Cunsepi, Ngmüimkhya Ngcim pyetseki cun itia pi mhläta am kya. Isetiakyaküng acun cun anglät katnaka kyaki,” a ti. (aiōn , aiōnios )
30 (Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”)
(Jesuh naw acun cun, “Hin naw khawyai a k’uma ta ve,” ami tia phäha a pyena kyaki.)
31 Mama yake Yesu na ndugu zake walifika hapo, wakasimama nje, wakampelekea ujumbe kutaka kumwona.
Acunüng, Jesuha nu la a bena he pha lawki he. Kpunga ngdüi u lü khyang mat tüi u lü ami va khüsak.
32 Umati wa watu ulikuwa umekaa hapo kumzunguka. Basi, wakamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kukuona.”
Khyang he a peia ngawki he naw, “Tenga, na nu la na bena he kpunga ve u lü ning sui ve u,” ami ti.
33 Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”
Jesuh naw jah msang lü, “U ni ka nu? Ue ni ka bena he?” a ti.
34 Hapo akawatazama watu waliokuwa wamemzunguka, akasema, “Tazameni! Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.
A peia ngawki he ngvei lü jah tengki naw, “Teng u! hin he hin ka nu la ka bena he ni!
35 Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu.”
U pi Mhnama a ngjakhlü tiki avan cun ka bena, ka cina la ka nua kyaki he ni,” a ti.