< Marko 16 >

1 Baada ya siku ya Sabato, Maria Magdalene, Salome na Maria mama yake Yakobo walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.
Pakivwilile ye jisilile iSabahati, umhuma mu likaaja ilya Magidila, uSalome nu Maliya ung'ina ghwa Yakovo, vakaghula amafuta amanono kuuti vakaghupake um'bili ghwa yesu.
2 Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, jua lilipoanza kuchomoza, walienda kaburini.
Ikighonoko ikya kwasia mu mulungu, palwakilo ilijuva ye lidibula, vakaluta ku mbiipa.
3 Nao wakawa wanaambiana, “Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?”
Ye vali mu sila vakijovasyagha veene viiti, “Veeni juno kyaikutuvusikisia ilivue lila pa mulyiango ghwa mbiipa?
4 Lakini walipotazama, waliona jiwe limekwisha ondolewa. (Nalo lilikuwa kubwa mno.)
Ilivue lyale likome kyongo. Ye afikile, vakavona ilivue libilusivue.
5 Walipoingia kaburini, walimwona kijana mmoja aliyevaa vazi jeupe, ameketi upande wa kulia; wakashangaa sana.
Vakingila mu mbiipa, umuo vakamwagha unsoleka afwalile umwenda um'blafu, ikalile ulubale lwa kundio, pe vakakenyemuka kyongo.
6 Lakini huyo kijana akawaambia, “Msishangae. Mnamtafuta Yesu wa Nazareti aliyesulubiwa. Amefufuka, hayumo hapa. Tazameni mahali walipokuwa wamemlaza.
Umwene unsokela ujuo akavavuula akati, “Namungakenyemukaghe. Mukumulnda uYesu ughwa ku Nasaleti juno akomelilupa kikovekano? Asyukile, na pwale apa! Lola pano vakam'bikile.
7 Nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni.”
Mulute muvavuule avavulanisivua vaaake, kyongo uPeteli kuuti, alongwile ku Galilaya. Uko muluta mukum'bona ndavule alyavavulile.”
8 Basi, wakatoka pale kaburini mbio, maana walitetemeka kwa hofu na kushangaa. Hawakumwambia mtu yeyote kitu, kwa sababu waliogopa mno.
Ye vapuliike isio, vakadegha na kutetema, vakahuma kunji, vakavuuka pa mbiipa vikimbila. Navakapanga kwa munhuunulwakuva vakava vikwoghopa.
9 (note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) Yesu alipofufuka mapema Jumapili, alijionyesha kwanza kwa Maria Magdalene, ambaye Yesu alikuwa amemtoa pepo saba.
(note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) UYesu ye asyukile palwakilo ikighono ikya kwasia mu mulungu, akihufia taasi kwa Maliya umhuma mu likiaaja ilya Magidala, juno alyam'busisie amapepo lekelalubale.
10 Maria Magdalene akaenda, akawajulisha wale waliokuwa pamoja na Yesu, na wakati huo walikuwa wanaomboleza na kulia.
UMaliya akaluta kukuvapangila vano vakam'bingililagha uYesu, unsiki ughuno vakajiighe vasukuniile, vilila ifiua. Ye
11 Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini.
vapuliike kwa Maliya kuuti uYesu mwumi, kange am'bwene, navakitika'
12 Baadaye Yesu aliwatokea wanafunzi wawili akiwa na sura nyingine. Wanafunzi hao walikuwa wanakwenda shambani.
Pambele, uYesu akihufia ku vavulanisivua vavili mu kihwani ikingi. Avavulanisivua avuo valyahumil ku Yelusalemu, vakalutagha ku kikaaja ikya pa vupiipi.
13 Nao pia wakaenda wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.
Voope vakaluta vakavapangila avajanave, pooope navakitika.
14 Mwishowe, Yesu aliwatokea wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa pamoja mezani. Akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini kwao na ukaidi wao, maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka.
Kange, uYesu akihufia ku vavulanisivua kijigho na jumo, unsiki ughuno vakava vilia. Akavadalikila ulwakuva valyale kukwitika uvwolesi vwa vano valyam'bwene ye asyukile.
15 Basi, akawaambia, “Nendeni ulimwenguni kote mkahubiri Habari Njema kwa kila mtu.
Pepano uYesu akavalaghila avavulanisivua vaake akati, “Mulutaghe muiisi jooni mupulisayaghe iMhola iNofu ku vaanhu vooni.
16 Anayeamini na kubatizwa ataokolewa; asiyeamini atahukumiwa.
Juno ikwitika na kukwofughua, ujuo alakuluka. Neke juno naikwitika, alahighua.
17 Na ishara hizi zitaandamana na wale wanaoamini: kwa jina langu watatoa pepo na watasema kwa lugha mpya.
Kange vanoviitike, vivombagha ifidegho ifi: mu litavua lyano vidagagha amapepo, kange vijovagha mu njovele imhia.
18 Wakishika nyoka au wakinywa kitu chochote chenye sumu, hakitawadhuru. Watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.”
Vangakole injoka, nambe vanganyue inyambikila, navangafue. kange vivikagha amavoko ghaave pa vatamu, avatamu visokagha.”
19 Basi, Bwana Yesu alipokwisha sema nao, akachukuliwa mbinguni, akaketi upande wa kulia wa Mungu.
UMutwa uYesu ye ajovile navo, pe akatolua kuluta kukyana, akava nuvutavulilua palikimo nu Nguluve.
20 Wanafunzi wakaenda wakihubiri kila mahali. Bwana akafanya kazi pamoja nao na kuimarisha ujumbe huo kwa ishara zilizoandamana nao.
Pepano avavulanisivua vaake vakalutagha kupulisia kwoni iMhola iNofu. UMutwa akavombagha imbombo palikimo na veene, akavapelagha ingifu isa kuvomba ifidegho fino fyale fivalilo kuhufia kuuti iMhola iNofu jino vipulisia ja kyang'haani.

< Marko 16 >