< Luka 9 >

1 Yesu aliwaita wale kumi na wawili, akawapa uwezo juu ya pepo wote, na uwezo wa kuponya wagonjwa.
akavakemhela avavvulanisivua kijigho na vavili palikimo. akavapela uvutavulilua uvwa kudaga amapepo amalamafu mu vwakusosia inhamu.
2 Halafu akawatuma waende kuhubiri Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.
akavasung'a valute kupulisia iMhola isa Vutwa vwa Nguluve napikuvasosia avatamu.
3 Akawaambia, “Mnaposafiri msichukue chochote: msichukue fimbo, wala mkoba, wala chakula, wala fedha, wala hata koti la ziada.
akavavuula akati, mulekaghe pipinda kimonga nambe ulukwegho nambe inyambe nambe unkate nambe indalama nambe umwenda ughwa kukwandula.
4 Nyumba yoyote mtakayoingia na kukaribishwa, kaeni humo mpaka mtakapoondoka katika kijiji hicho.
inyumba jino kyande mukwingila mukalaghe mumuo kuhanga pano muvuka mulikaha ilio.
5 Watu wakikataa kuwakaribisha, tokeni katika mji huo, nanyi mnapotoka kung'uteni mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao.”
neke kuvano navamwupile, pano muhuma mulikaja ilio muhumaghe napikung'uana ulung'unde mu maghulu ghinu kuva kivalilo kuvanave.
6 Basi, wakaanza safari, wakapitia vijijini wakihubiri Habari Njema na kuponya wagonjwa kila mahali.
vakavuka nakuluta mumakaja kukilila mumakaja, napikilila iMhola inofu napisosia avatamu poni pano vakalutagha.
7 Sasa, mtawala Herode, alipata habari za mambo yote yaliyokuwa yanatendeka, akawa na wasiwasi kwa vile walikuwa wakisema: “Yohane amefufuka kutoka wafu!”
lino uHelode untemi akapulike ghoni ghano ghalyale ghihumila alyapumwike kyongo, ulwakuva jilyajovilue na vaanhu vamonga kuuti, uYohani mwofughi asyukile kuhuma kuvafue.
8 Wengine walisema kwamba Eliya ametokea, na wengine walisema kwamba mmojawapo wa manabii wa kale amerudi duniani.
na ghamonga kuuti, uElia ahumiile nakuvange kwiti ghwejumo na vavili avakuulu kange ahumila kuvafue.
9 Lakini Herode akasema, “Huyo Yohane nilimkata kichwa; sasa ni nani huyu ninayesikia habari zake?” Akawa na hamu ya kumwona.
uHelode akati, “une nilyan'dumwile uYohani, neke ujuo ghwe veni juno nipulika imhola ja mwene? naju Helode akalonda isila ija kumwagha uYesu.
10 Wale mitume waliporudi, walimweleza yote waliyoyafanya. Yesu akawachukua, wakaenda peke yao mjini Bethsaida.
ye vakagomwike avasung'ua, vakampangila sino valyavombile akavatola akaluta palikimo na vene. akaluta mwene mu likaaja lya Betsaida.
11 Lakini wale watu walipojua alikokwenda, walimfuata. Yesu akawakaribisha akawazungumzia juu ya Ufalme wa Mungu, akawaponya wale waliohitaji kuponywa.
neke avaanhu vinga yevapilike imhola iji vakam'bingilila, akavupila akajova navoimhola ja Vutwa vwa Nguluve, kange avasosia vano vakalondagha kusooka.
12 Jua lilipokuwa linaanza kutua, wale kumi na wawili walimwendea wakamwambia, “Waage watu waende kwenye vijiji na mashamba ya karibu, wakajipatie chakula na mahali pa kulala, kwa maana hapa tulipo ni nyikani.”
ye vwilileavavulanisivua vaake kijigho na vavili vakaluta kwa mwene vakati, uvatavule avaanhu valute mumakaaja ghano ghalipipi nu mpulo vakalonde ikyakulia, napa kughona ulwakuva apa tuli palunyika.
13 Lakini Yesu akawaambia, “Wapeni ninyi chakula.” Wakamjibu, “Hatuna chochote ila mikate mitano na samaki wawili. Labda twende wenyewe tukawanunulie chakula watu wote hawa!”
neke akavavula, “umue muvapelagha ikyakulia.” vakati tulivasila kinu ikyakulia pamo amakate ghahano ni swi iviili pamo lwale tulute kughula kumpulo kuhanaga nu vwinga vwa vaanhu.”
14 (Walikuwepo pale wanaume wapatao elfu tano.) Basi, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waambieni watu waketi katika makundi ya watu hamsinihamsini.”
pwevalyale na vaghosi imbilima ihananopala. akavavula avavulanisivua vake akati, “muvakasie paasi mufipugha fipugha vave ifijigho fihaano ifipugha fyoni.
15 Wanafunzi wakafanya walivyoambiwa, wakawaketisha wote.
pe vakavomba ndikio na vaanhu vakikala paasi.
16 Kisha Yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu, akavimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu.
akatola amakate ghahaano ni swi ivili pe akalola kukyanya akaghasumila akamenyulania akavapela avavulanisivua vaake kuuti, vavike kuvulongolo kulipugha lya vaanhu.
17 Wakala wote, wakashiba; wakakusanya makombo ya chakula, wakajaza vikapu kumi na viwili.
vooni vakalia vakikuta ni fimenyulila fya makate fino fisighile nakaholania na kukufivika mu ndilo sikamema kijigho ni fivili.
18 Siku moja, Yesu alikuwa anasali peke yake, na wanafunzi wake walikuwa karibu. Basi, akawauliza, “Eti watu wanasema mimi ni nani?”
neke lulyale kuti, uYesu alyale kuvusyefu ye ikufunya mwene. avavulanisivua vake valyale palikimo nu mwene, akavaposia akati, “avaanhu viiti une nene veni?
19 Nao wakamjibu, “Wengine wanasema kuwa wewe ni Yohane mbatizaji, wengine wanasema wewe ni Eliya, hali wengine wanasema kuwa wewe ni mmoja wa manabii wa kale ambaye amefufuka.”
vakamwamula vakati, “Yohani umwofughi. neke avange vati Elia na vange viiti veve jumo mwene na vavili avakuulu asyukile kange”.
20 Hapo akawauliza, “Na ninyi je, mwasema mimi ni nani?” Petro akajibu, “Wewe ndiwe Kristo wa Mungu.”
akavavula,” neke umue muti nene veni? akamula uPeteli akati, “Kilisite kuhuma kwa Nguluve”.
21 Halafu Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hiyo.
neke uYesu akavavula akati, namungam'bulaghe umuunhu ghweni ku ulu,
22 Akaendelea kusema: “Ni lazima Mwana wa Mtu apate mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa Sheria; atauawa, lakini siku ya tatu atafufuliwa.”
uYesu akati, umwana ghw nyamuunhu lunoghiile kupumusivua kughano minga nakukanua na vaanhu avagojo na vatekesi avavaha na vavulanisi vandaghilo nakubudua nikighono kya vutatu isyuka.
23 Kisha akawaambia watu wote, “Mtu yeyote akitaka kuwa mfuasi wangu, ni lazima ajikane nafsi yake, auchukue msalaba wake kila siku, anifuate.
akavavula vooni, “akajova umuunhu” ghweni juno ilonda pikum'bingilila. avuleke uvugho no vwake neke itwike ikikovekano kyake, neke am'bingilile.
24 Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza; lakini atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayaokoa.
ghweni juno ighela pikuluusia uvwumi vwake isofia. neke ghweni juno isofia uvwumi vwake vwimila une ujuo alakulusia.
25 Je, kuna faida gani mtu kuupata utajiri wote wa dunia kwa kujipoteza au kujiangamiza yeye mwenyewe?
pe ivumbulila kiki umuunhu, nave ipelua iisi jooni, neke akasofia nambe am'busie uvwumi vwake?
26 Mtu akinionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu wake na wa Baba na wa malaika watakatifu.
ghweni juno ikum'bonela soni une na masio ghango, kwa mwene jujuo umwana ghwa muunhu alam'bonela isoni pano alava pa vwimike vwake nu vwimike vwa Nhhata na vanyaMhola avimike.
27 Nawaambieni kweli, kuna wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu.”
neke nijova isakyang'haani kwevale mukipugha kinu vano vimile apa navalalola uvufue kuhanga vavuvone uvutwa vwa Nguluve”.
28 Yapata siku nane baada ya kusema hayo, Yesu aliwachukua Petro, Yohane na Yakobo, akaenda nao mlimani kusali.
ye fifikile ifighono lekela kwooni kuhuma uYesu ijova amasio aghuo kuuti, avatoola palikimo nu mwene Peteli, uYohani nu Yakovo vakatogha kukidunda kukufunya.
29 Alipokuwa akisali, sura yake ilibadilika, mavazi yake yakawa meupe na kung'aa sana.
ye alikukufunya uluvonesio ku maaso ghake lukanduka, naghamhenda ghake ghakava mavalafu ghimulika.
30 Na watu wawili wakaonekana wakizungumza naye, nao ni Mose na Eliya,
pevalyale avakinhaata vavili vakajovagha naghwo valyale uMoose nu Elia,
31 ambao walitokea wakiwa wenye utukufu, wakazungumza naye juu ya kifo chake ambacho angekikamilisha huko Yerusalemu.
valyavonike kuvwimike valyajovile isa kuvuka kwa mwene alyale pipi kughelanisia kuYelusalemu.
32 Petro na wenzake walikuwa wamelemewa na usingizi mzito, hata hivyo waliamka, wakauona utukufu wake, wakawaona na wale watu wawili waliokuwa wamesimama pamoja naye.
lino uPeteli navala vano valyale palikimo nu mwene valyale vanyatulu inyinga. neke ye vasisimwike, valyavuvwene uvwimike vwake navakibaba vavili vano valyimile nu mwene.
33 Basi, watu hao wawili walipokuwa wakiondoka, Petro alimwambia Yesu, “Bwana, ni vizuri kwamba tupo hapa: basi, tujenge vibanda vitatu: kimoja chako, kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.” —Kwa kweli hakujua anasema nini.
lulyahumile kuuti, ye vivuuka kwa Yesu, uPeteli akam'bula,” Mutwa, lunofu kulyusue kukukala bahapa kange lunoghile tujenge ifyeve fitatu kino kive kyako, kimo kive kya Moose, ni kingi kimo kive kya Eliya”, nalyakagwile kio ijova.
34 Petro alipokuwa akisema hayo, mara wingu likatokea na kuwafunika; na wingu hilo lilipowajia, wale wanafunzi waliogopa sana.
ye ijova aghuo, likisa ilifunde likavakupikila. vakoghopa ye vavwene ilifunde livasyungutile.
35 Sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu: “Huyu ndiye Mwanangu niliyemchagua, msikilizeni.”
ilisio likapulikika lihuma mumafunde liiti, “uju ghwe mwanango umwimikua. mumpulikisiaghe umwene”.
36 Baada ya hiyo sauti kusikika, Yesu alionekana akiwa peke yake. Wanafunzi walikaa kimya juu ya tukio hilo, na wakati ule hawakumwambia mtu yeyote mambo hayo waliyoyaona.
ilisio ye lijikile uYesu alyale mwene. vaki kalile kimie, na fiighono ifio navalyam'bulile nambe jumo lyolyoni mughano valyaghavwene.
37 Kesho yake walipokuwa wakishuka kutoka kule mlimani, kundi kubwa la watu lilikutana na Yesu.
ikighono ikya vuvili, ye ahumile kukidunda ilipugha lya vaanhu viinga vakatang'ana naghwo.
38 Hapo, mtu mmoja katika lile kundi akapaaza sauti, akasema, “Mwalimu! Ninakusihi umwangalie mwanangu—mwanangu wa pekee!
lolagha! umukinhaata kuhuma mulipugha alyakolile fiijo, akati, “ghwe m'bulanisi nisuuma usoosie umwango. ulwakuva ghwe mwanango jujuo.
39 Pepo huwa anamshambulia, na mara humfanya apige kelele; humtia kifafa, na povu likamtoka kinywani. Huendelea kumtesa sana, asimwache upesi.
ghulola amapepo amalamafu ghikun'kola, kange yee ikolagha kange ghikumpelela kuhasing'ana na pihumia ilitotofulo mumulomo lyope lyope lihuma kuvuvafi fiijo lyelimpeliile uvuvafi.
40 Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”
nivasuumile avavulanisivua vake vope vakunilue”.
41 Yesu akasema, “Enyi kizazi kisicho na imani, kilichopotoka! Nitakaa nanyi na kuwavumilia mpaka lini?” Kisha akamwambia huyo mtu, “Mlete mtoto wako hapa.”
uYesu akamula akati, umue mwekisikina ikisila lwitiko kange kino kili nu vuhosi, nilikukala numue un'siki ghuliku neke musikagule mulete umwanako apa.
42 Wakati mtoto huyo alipokuwa anamjia Yesu, yule pepo alimwangusha chini na kumtia kifafa. Lakini Yesu akamkemea yule pepo mchafu akamponya mtoto na kumkabidhi kwa baba yake.
unsoleka ye ikwisa amapepo amalamafu ghakamughwisia paasi napikunsukania na kugiila neke uYesu akalidalikila ilipepo ililamafu, akansoosia unsoleka. napikuntwala kwa viise.
43 Watu wote wakashangazwa na uwezo mkuu wa Mungu. Wale watu walipokuwa bado wanashangaa juu ya mambo yote aliyofanya, Yesu aliwaambia wanafunzi wake,
vooni valyadeghile nu vuvaha vwa Nguluve. neke ye videgha ku ghano ghalyahumile ghano alyavombile, akati kuvavulanisi vake.
44 “Tegeni masikio, myasikie mambo haya: Mwana wa Mtu anakwenda kutiwa mikononi mwa watu.”
amasio agha mughakole fiijo mumbughulutu siinu, ulwakuva umwana ghwa muunhu itavuulua mumavoko gha vaanhu.
45 Lakini wao hawakuelewa maana ya usemi huo. Jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu ya msemo huo.
neke navalyasitaghinie ulukangasio lwa masio aghuo, kange alyaghavisile pa maaso ghave, neke valeke pikusikagula. vakooghopa pikumposia vwimila ilisio ilio.
46 Kukatokea majadiliano kati ya wale wanafunzi kuhusu nani kati yao aliyekuwa mkuu zaidi.
bahuo vakatengula kulwaana vavuo veni juno ave m'baha.
47 Yesu aliyajua mawazo yaliyokuwa mioyoni mwao; basi akamchukua mtoto mdogo akamweka karibu naye,
neke uYesu ye akagwile sino viposesania munumbula saave. akantola umwana un'debe na kukum'bika ulubale lwa mwene.
48 akawaambia, “Mtu yeyote anayempokea mtoto huyu mdogo kwa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anampokea yule aliyenituma. Maana yule aliye mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkubwa kuliko wote.”
pe akajova,”ndeve umuunhu ghwoghwoni angamwupile umwana un'debe ndavule uju mu mulitavua lyango, ujuo kange iiva anyupile une, kange ghweni anganyupile une kange iiva amwupile juno anisung'ile, ulwakuva juno ndebe kulyumue mweni ghwejuno m'baha.
49 Yohane alidakia na kusema, “Bwana, tumemwona mtu mmoja akitoa pepo kwa kulitumia jina lako nasi tukajaribu kumkataza kwa kuwa yeye si mmoja wetu.”
uYohani akamwamula akati, Mutwa tukam'wene umuunhu akaleidaga amapepo kulitavua lyako neke tun'kanile, ulwakuva nan'jiitu”.
50 Lakini Yesu akamwambia, “Msimkataze; kwani asiyepingana nanyi yuko upande wenu.”
neke uYesu akam'bula akati, “muleka pikun'kana, juno ali ulubale lwinu ujuo ghwinu.
51 Wakati ulipokaribia ambapo Yesu angechukuliwa juu mbinguni, yeye alikata shauri kwenda Yerusalemu.
lulyahumile kuuti, kulingana ni fighono fifikile ifya kutogha kukyanya, kulukangasio alyalungime amaaso ghake kuluta kuYelusalemu.
52 Basi, akawatuma wajumbe wamtangulie, nao wakaenda wakaingia kijiji kimoja cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali.
akavasung'a avaanhu kuluta mu likaaja lya vasamalia neke vanosekesie pamonga.
53 Lakini wenyeji wa hapo hawakutaka kumpokea kwa sababu alikuwa anaelekea Yerusalemu.
neke avaanhu kula navakamwupila ulwakuva alyalungime amaaso ghake ku Yelusalemu.
54 Basi, wanafunzi wake, kina Yohane na Yakobo, walipoona hayo, wakasema, “Bwana, wataka tuamuru moto ushuke kutoka mbinguni uwateketeze?”
avavulanisivua vaake uYakovo nu Yohani ye valivwene ili vakati, “Mutwa ghulonda tusukulile umwoto ghwike paasi kuhuma kukyanya ghuvamalisie?
55 Lakini yeye akawageukia, akawakemea akasema, “Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo;
neke akavasyetukila akavadalikila.
56 kwa maana Mwana wa Mtu hakuja kuyaangamiza maisha ya watu, bali kuyaokoa.” Wakatoka, wakaenda kijiji kingine.
neke vakaluta kulikaaja ilinge.
57 Walipokuwa wakisafiri njiani, mtu mmoja akamwambia Yesu, “Nitakufuata kokote utakakokwenda.”
ye viluta vighenda musila umuunhu jumo akam'bula akati,” nikukuvingilila kwoni kuno ghuluta.
58 Yesu akasema, “Mbweha wana mapango, na ndege wana viota; lakini Mwana wa Mtu hana mahali pa kupumzikia.”
uYesu akam'bula akati, “ing'heve sili namiina, injuni isa kukyanya sili ni fivwasu neke umwana ghwa muunhu nsila napakuvika umutu ghwake?
59 Kisha akamwambia mtu mwingine, “Nifuate.” Lakini huyo akasema, “Bwana, niruhusu kwanza niende kumzika baba yangu.”
pe pano akam'bula umuunhu ujunge akati, “um'bingililaghe” neke umwene akati “Mutwa unavule taasi nilute ninsyile ubaba ghwango.”
60 Yesu akamwambia, “Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze Ufalme wa Mungu.”
neke umwene akam'bula akati, “valeke avaue vavasyile avafue vaave, looli uve ulute kupulisia uvutwa vwa Nguluve pooni
61 Na mtu mwingine akamwambia, “Nitakufuata, lakini niruhusu kwanza nikawaage wale walio nyumbani kwangu.”
kange umuunhu ujunge akati, “nikukuvingila, Mutwa lino nisuuma unavule taasi nikavalaghe muvano vali munyumba jango”.
62 Yesu akamwambia, “Yeyote anayeshika jembe tayari kulima na huku anaangalia nyuma, hafai kwa Ufalme wa Mungu.”
neke uYesu akam'bula akati “nakwale muunhu juno itavwile amavooko ghake kulima nakulola kumbele ghwe anoghile kuvutwa vwa Nguluve.

< Luka 9 >