< Luka 23 >
1 Kisha, wote kwa jumla, wakasimama, wakampeleka Yesu mbele ya Pilato.
तैखन तैना सब तैट्ठां उठे ते यीशुए पिलातुसे कां घिन्तां जे।
2 Wakaanza kumshtaki wakisema: “Tulimkuta mtu huyu akiwapotosha watu wetu, akipinga kulipa kodi kwa Kaisari na kujiita ati yeye ni Kristo, Mfalme.”
ते तैस जो एन ज़ोइतां ए इलज़ाम लांने लगे, “कि ए इश्शे लोकन भड़काते ते महाराज़े जो धड़त देनेरे लेइ ठाकते, ते अपने आपे जो मसीह राज़ो ज़ोते।”
3 Pilato akamwuliza Yesu, “Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.”
तैखन पिलातुसे यीशुए पुच़्छ़ू, “तू यहूदी केरो राज़ोस?” यीशु तैस जुवाब दित्तो, “तू एप्पू ज़ोतस!”
4 Pilato akawaambia makuhani wakuu na umati wa watu, “Sioni kosa lolote katika mtu huyu.”
पिलातुसे प्रधान याजकन ते लोकन सेइं ज़ोवं, “कि अवं एस मैन्हु मां कोई कसूर न लेई।”
5 Lakini wao wakasisitiza wakisema: “Anawachochea watu kwa mafundisho yake katika nchi yote ya Yudea; alianza Galilaya, na sasa yuko hapa.”
पन तैना बड़े घमण्डे सेइं ज़ोने लगे, “ए यहूदियारे इलाके करां गलील इलाके तगर बल्के इड़ी तगर लोकन अपनि शिक्षाई सेइं भड़काते।”
6 Pilato aliposikia hayo, akauliza, “Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?”
ज़ैखन पिलातुसे एन शुनू त तैनी पुच़्छ़ू, “कुन ए मैन्हु भी गलील इलाकेरो आए।”
7 Alipojua kwamba Yesu alikuwa chini ya utawala wa Herode, akampeleka kwa Herode, ambaye wakati huo alikuwa Yerusalemu.
ते ज़ेरो तैस पतो लगो, कि ए हेरोदेसेरे इलाकेरो रानेबालोए, त पिलातुसे तै हेरोदेस कांजो भेज़ो। किजोकि तैस वक्ते मां तै एप्पू भी यरूशलेम नगरे मां थियो।
8 Herode alifurahi sana alipomwona Yesu. Alikuwa amekwisha sikia habari zake, na hivyo alikuwa anatazamia kwa muda mrefu kumwona kwa macho yake mwenyewe. Zaidi ya hayo, alikuwa anatumaini kumwona Yesu akitenda mwujiza.
ज़ैखन हेरोदेसे यीशु लाव त बड़ो खुशी भोव। किजोकि तैस च़रोक्नी देंती यीशु हेरनेरी इच्छा थी। तैनी तैसेरे बारे मां बेड़ि गल्लां शुनोरी थी, ते तैस बड़ी उमीद थी, कि यीशुएरो कोई चमत्कार हेरे।
9 Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno.
तैनी यीशुए बड़ू किछ पुच़्छ़ू, पन यीशुए तैस कोई जुवाब न दित्तो।
10 Makuhani wakuu na walimu wa Sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.
पन याजक ते प्रधान याजक ते कने शास्त्री लोक बड़े ज़ोरे शोरे सेइं यीशु पुड़ इलज़ाम लांने लगे।
11 Basi, herode pamoja na maaskari wake, wakamwaibisha Yesu na kumfanyia mzaha; kisha wakamvika vazi la kifalme, wakamrudisha kwa Pilato.
तैखन हेरोदेस भी अपने सैथन सेइं मिलतां यीशुएरी तुहीन की, ते तैसेरी हासी बनाई फिरी तैस अक चमकतो कुरतो लुवेइतां पिलातुसे कां वापस भेज़ो।
12 Herode na Pilato, ambao hapo awali walikuwa maadui, tangu siku hiyo wakawa marafiki.
पेइले पिलातुस त हेरोदेस दुश्मन थिये, तैस दिहाड़े तैना दोस्त बेनि जे।
13 Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,
तैखन पिलातुसे प्रधान याजक ते सरदार ते होरे लोक अकोट्ठे किये।
14 akawaambia, “Mmemleta mtu huyu kwangu mkisema kwamba alikuwa anawapotosha watu. Sasa sikilizeni! Baada ya kuchunguza jambo hilo mbele yenu, sikumpata na kosa lolote kuhusu mashtaka yenu juu yake.
“ते पिलातुसे तैन सेइं ज़ोवं तुसेईं ए मैन्हु मीं कां एन ज़ोंतो आनोरोए कि, ए लोकन भड़काते ते मिमी एसेरी पुछ़ गन की, पन ज़ैस जुर्मेरो दोष तुस एस पुड़ लातथ, अवं एल्हेरो एसमां कोई कसूर न लेईं।
15 Wala si mimi tu, bali hata Herode hakuona kosa lolote, kwa maana amemrudisha kwangu. Ni dhahiri kwamba mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya kifo.
ते न हेरोदेस ज़ैनी ए असन कां भेज़ोरोए तैस भी कोई दोष न मैल्लो, ते असन कां एरू कोई सबूत बराँमद न भोवं, ज़ैस सेइं ए कत्ल कियो गाए।
16 Hivyo, nitaamuru apigwe viboko, halafu nitamwachilia.”
तैल्हेरेलेइ अवं एस कोड़ेइं बाएतां छ़ैडी देताईं।”
17 Kila sikukuu ya Pasaka, ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja.
पिलातुस यहूदी केरे फ़सह तिहारेरे मौके पुड़ अक कैदी हथरां छ़डतो थियो।
18 Lakini wote wakapiga kelele pamoja: “Mwondoe huyo, utufungulie Baraba!”
तैना सारे लोक चिन्डां लगे मारने, “कि एस मैन्हु सज़ा देथ ते बरअब्बा इश्शे लेइ हथरां छ़ड्डा।”
19 (Baraba alikuwa ametiwa ndani kwa kusababisha uasi katika mji na pia kwa sababu ya kuua.)
बरअब्बा नगर मां गड़बड़ी केरनेरे ते कतलेरे बारे मां पाबंद भोरो थियो।
20 Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;
पिलातुसे यीशु हथरां छ़डनेरे इरादे सेइं लोकन दुबारू पुच़्छ़ू।
21 lakini wao wakapiga kelele: “Msulubishe, msulubishe!”
पन तैना लोक मना चिन्डां लगे मारने, “कि तू एस क्रूसे पुड़ च़ाढ़ एस क्रूस पुड़ च़ाढ़।”
22 Pilato akawaambia mara ya tatu, “Amefanya kosa gani? Sioni kosa lolote kwake linalomstahili auawe; kwa hiyo nitampiga viboko, halafu nimwachilie.”
तैखन पिलातुसे तैन ट्लेइयोवं फेरे फिरी ज़ोवं, “किजो आखर एनी कुन जुर्म कियोरोए? हेरा एसमां एरू कोई सबूत बराँमद न भोवं, कि ए मौतरे सज़ारो हकदार भोए, तैल्हेरेलेइ अवं एस कुटेइतां छ़ैडी देताईं।”
23 Lakini wao wakazidi kupiga kelele kwa nguvu sana, kwamba Yesu ni lazima asulubiwe. Mwishowe, sauti zao zikashinda.
पन तैना चिन्डां मैरी-मैरी ज़ोने लगे, ए क्रूसे पुड़ च़ाढ़ोरो लोड़ते, ते तैन केरि चिन्डां मारनेरी उमीद पूरी भोइ।
24 Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.
बस्सा, पिलातुसे ज़ोवं कि तैन केरे मेरज़रे मुताबिक कियूं गाए।
25 Akamfungua kutoka gerezani yule waliyemtaka, ambaye alikuwa ametiwa gerezani kwa sababu ya uasi na kuua; akamtoa Yesu kwao, wamfanyie walivyotaka.
ते ज़ै मैन्हु हुकुमतरे खलाफ ते खूनेरे जुर्मे मां कैद थियो, ते ज़ैस हथरां छ़डनेरे लेइ तैनेईं दरखुवास कियोरी थी, तै हथरां छ़ड्डो पन यीशु तैन केरि मेर्ज़ी सेइं सिपाही केरे हवाले कियो।
26 Walipokuwa wakimpeleka, walikutana na mtu mmoja, aitwaye Simoni wa Kurene, aliyekuwa anatoka shambani. Basi, walimkamata, wakamtwika ule msalaba auchukue nyuma ya Yesu.
ज़ैखन तैना यीशु नेइतां च़लोरे थियो, त तैनेईं शमौन कुरेनी ज़ै एक्की ड्लोंवेरां ओरो थियो, ट्लातो ते क्रूस तैस कां छ़ूने जो दित्तू, कि तू ई क्रूसे छ़ुइतां यीशु पत्ती च़ला।
27 Watu, umati kwa umati, walimfuata; miongoni mwao wakiwemo wanawake waliokuwa wanaomboleza na kumlilia.
ते बड़े लोक तैस पत्ती च़लोरे थिये ते किछ कुआन्शां भी थी ज़ैना यीशुएरे लेइ शौग बनैती थी।
28 Yesu akawageukia, akasema, “Enyi kina mama wa Yerusalemu! Msinililie mimi, ila lieni kwa ajili yenu wenyewe na kwa ajili ya watoto wenu.
यीशुए तैन केरे पासे मुड़तां ज़ोवं, “हे यरूशलेम नगरेरी कुइयाव मेरे लेइ लेरां न देथ, बल्के अपने बच्चां केरे लेइ लेरां देथ।
29 Maana, hakika siku zitakuja ambapo watasema: Heri yao wale walio tasa, ambao hawakupata kuzaa wala kunyonyesha watoto!
किजोकि तैना मुशकिल दिहाड़े एजने बालेन ज़ैखन लोक एन ज़ोले कि, ‘धन आन तैना कुआन्शां ज़ैना बेऔलादन ते बच्चे न पाले।’”
30 Wakati huo, ndipo watu wataanza kuiambia milima: Tuangukieni! na vilima, Tufunikeni!
“तैस वक्ते लोक पहाड़न सेइं ज़ोले, ‘असन उन्ढे बिछ़ड़ा ते उच्ची ठारन जो ज़ोले, कि असन छ़पाथ।’
31 Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?”
किजोकि ज़ैखन तैनेईं सब्ज़ बुट्टे सेइं एन केरू, त शुक्कोरे बुट्टे सेइं कुन न केरेले?”
32 Waliwachukua pia watu wengine wawili, wahalifu, wauawe pamoja naye.
ते सिपाहेईं दूई होरे मुर्ज़म भी यीशु सेइं साथी च़लवरे थिये ताके तैन भी मारन।
33 Walipofika mahali paitwapo, “Fuvu la Kichwa,” ndipo wakamsulubisha Yesu pamoja na wale wahalifu wawili, mmoja upande wake wa kulia na mwingine upande wake wa kushoto.
ज़ैखन तैना तैस ठैरी पुज़े ज़ैस जो “खोपड़ी” ज़ोतन त तैड़ी यीशु क्रूसे पुड़ च़ाढ़ो, ते तैना दूई मुर्ज़मन भी एक्की यीशुएरे देइने पासे ते होरि बांए पासे क्रूसे पुड़ च़ाढ़े।
34 Yesu akasema, “Baba, uwasamehe kwa maana hawajui wanalofanya.” Kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.
यीशु ज़ोवं, “हे बाजी एन माफ़ करां एन न ज़ानन् कि एना कुन लोरेम केरने।” ते तैनेईं तैसेरे लिगड़ां केरे लेइ पेरची छ़ेडतां शर्त रख्खू ते एप्पू मांमेइं बंटां।
35 Watu wakawa wamesimama pale wakitazama. Nao viongozi wakamdhihaki wakisema: “Amewaokoa wengine; sasa na ajiokoe mwenyewe, kama yeye ndiye Kristo, mteule wa Mungu!”
लोक खड़खड़े एन सब किछ हेरने लोरे थिये ते सरदार ज़ोरे-ज़ोरे सेइं ज़ोते थिये, “एनी होरे त बच़ाए ते अगर ए मसीहे ते परमेशरेरो च़ुनोरे त अपने आपे किजो न बच़ाए।”
36 Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki
सिपाही भी तैस कां एइतां तैसेरी हासी बनाने लगे (किजोकि तै अपनो आप राज़ो बनातो थियो), ते घटया दाछ़ारो रस पीनेरे लेइ तैस देने लगे।
37 wakisema: “Kama kweli wewe ni Mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe.”
“ते ज़ोते थिये तू अगर यहूदी केरो राज़ोस त अपनो आप बच़ा!”
38 Vilevile maandishi haya yalikuwa yameandikwa na kuwekwa juu yake: “Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.”
ते तैस क्रूसे पुड़ यानी यीशुएरे दोग्गे करां बहा अक पखड़ी लिखतां लेवरी थी, ते तैस पुड़ एन लिखेरू थियूं, “ए यहूदी केरो राज़ आए।”
39 Mmoja wa wale wahalifu waliotundikwa msalabani, alimtukana akisema: “Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo? Basi, jiokoe mwenyewe, utuokoe na sisi pia.”
तैन दूई डैकू ज़ैना मारे जे तैन मरां एक्के यीशु जो तुहीन केरतां ज़ोवं, “अगर तू मसीह आस त एप्पू भी बंच़ ते असन भी बच़ा।”
40 Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake akisema: “Wewe humwogopi Mungu hata kidogo? Wewe umepata adhabu hiyohiyo.
पन होरे दुइयोवं डैके तैस जो झ़िड़कतां ज़ोवं, “तीं परमेशरेरो भी डर नईं? ज़ै सज़ा तैस मैलने लावरी तीं भी त तैए सज़ा मैलने लोरीए।
41 Wewe na mimi tunastahili, maana haya ni malipo ya yale tuliyotenda. Lakini mtu huyu hakufanya chochote kibaya.”
असन त इन्साफेरे मुताबिक अपने बुरे कम्मां केरि सज़ा मैलने लोरी पन एनी त कोई गलत कम नईं कियेरू।”
42 Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako.”
तैखन तैनी ज़ोवं, “हे यीशु ज़ैखन तू अपने राज़्ज़े मां एज्जेलो त मीं भी याद केरां।”
43 Yesu akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami peponi.”
यीशुए तैस जो ज़ोवं, “अवं तीं सेइं सच़ ज़ोताईं कि तू अज़े मीं सेइं साथी स्वर्गे मां भोलो।”
44 Ilikuwa yapata saa sita mchana; jua likaacha kuangaza, giza likafunika nchi yote mpaka saa tisa,
दीसारे 12 बज़ेई सारे मुलखे मां आंधरू भोवं, त ट्लेइ बज़न तगर रावं।
45 na pazia lililokuwa limetundikwa Hekaluni likapasuka vipande viwili.
दिहाड़ो भी कालो भोव ते मन्दरेरो पड़दो बां देंता बुन तगर फेटतां दूई टुक्ड़े भोइ जे।
46 Yesu akalia kwa sauti kubwa: “Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako.” Alipokwisha sema hayo, akakata roho.
यीशुए बड़े ज़ोरे सेइं ज़ोवं, “हे बाजी अवं अपनि आत्मा तेरे हथ्थे मां सोंफताईं,” ते एन ज़ोइतां यीशुए प्राण दित्ते।
47 Hapo, yule jemadari alipoona yaliyotukia akamsifu Mungu akisema: “Hakika huyu alikuwa mtu mwema.”
ज़ैखन रोमी सूबेदारे एन सब हेरू त परमेशरेरी तारीफ़ केरते ज़ोवं, “ए मैन्हु सच़्च़े धर्मी थियो।”
48 Watu wale wote waliokuwa wamekusanyika hapo kwa ajili ya tukio hilo, walipoona hayo yaliyotukia, walirudi makwao wakijipiga vifua kwa huzuni.
ते सारे लोक ज़ैना तैड़ी थिये ए अनर्थ हेरतां छाती पिट्टते च़ले जे।
49 Marafiki zake wote pamoja na wale wanawake walioandamana naye kutoka Galilaya, walisimama kwa mbali kutazama tukio hilo.
पन यीशुएरे सारे दोस्त ते तैना कुआन्शां ज़ैना गलील इलाके मरां यीशुए पत्पती ओरी थी दूर ज़ेरे खेड़ोइतां, ज़ैन किछ भोइ रावरू थियूं सब किछ हेरी रेवरी थी।
50 Kulikuwa na mtu mmoja jina lake Yosefu, mwenyeji wa kijiji kimoja cha Wayahudi kiitwacho Armathaya. Alikuwa mtu mwema anayeheshimika;
अक मैन्हु थियो, ज़ेसेरू नवं यूसुफ थियूं, तै यहूदी केरि आदालतरो अक मुलाज़म भी थियो, ते अक बड़ो नेक ते धर्मी मैन्हु थियो।
51 Alikuwa akitazamia kuja kwa Ufalme wa Mungu. Ingawa alikuwa mmoja wa Baraza kuu la Wayahudi, hakuwa amekubaliana nao katika kitendo chao.
तै बेड्डी आदालत अफसरां केरे फैसलेरे हके मां न थियो। तै यहूदी केरे नगर अरिमतियाह रानेबालो थियो, ते परमेशरेरे राज़्ज़ेरे तलाशी मां थियो।
52 Basi, yeye alikwenda kwa Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu.
तैनी पिलातुसे कां गेइतां यीशुएरी लाश मगी।
53 Kisha, akaushusha mwili huo kutoka msalabani, akauzungushia sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limetumika.
ते लाश क्रूसे पुड़ेरां ओसैलतां मलमलेरे कपड़े मां पलेटतां ते एक्की कब्री मां रख्खी, ज़ै एक्की शफ़ड़ी मां बनेवरी थी, तैस कब्री मां पेइले कोई लाश न थी रखोरि।
54 Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.
तै तियेरारी दिहाड़ी थी ज़ै आरामेरी दिहाड़ी शुरू भोने बाली थी।
55 Wale wanawake walioandamana na Yesu kutoka Galilaya walimfuata Yosefu, wakaliona lile kaburi na jinsi mwili wake Yesu ulivyowekwa
ते तैना दूई कुआन्शां ज़ैना गलील इलाके मरां यीशुए पत्पती ओरी थी, यूसुफे पत्पती जेई ते तैनेईं तै कब्र हेरी, कि यीशुएरी लाश एसमां केन्च़रे सेइं रखोरीए।
56 Halafu, walirudi nyumbani, wakatayarisha manukato na marashi kuyapaka mwili wa Yesu. Siku ya Sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria.
तैखन तैना अपने घरे वापस आए, ते खुशबूदार चीज़ां ते इत्र तियार कियो ते आरामेरे दिहाड़े मूसेरे कानूनेरे मुताबिक आराम कियो।