< Yohana 6 >

1 Baada ya hayo, Yesu alivuka ziwa Galilaya (au Ziwa Tiberia).
Maniyereokon Iyesus Gelil aats k'aroniye bak'ets b́kimi, manwere T'ibriyados aats k'aroniye.
2 Umati mkubwa wa watu ulimfuata kwa sababu watu hao walikuwa wameona ishara alizokuwa akifanya kwa kuwaponya wagonjwa.
Ay ashuwots Iyesus shodtswotsi kashit b́k'alts adits keewo bobek'tsosh b́shuutso shoy dek't bosha'i.
3 Yesu alipanda mlimani, akaketi pamoja na wanafunzi wake.
Iyesus guri abaats kesht manoke b́ danifwotsnton beeb́dek'i.
4 Sikukuu ya Wayahudi iitwayo Pasaka ilikuwa imekaribia.
Ayhudiwots fazigi baaliyo manoor t'intni b́tesh.
5 Basi, Yesu na alipotazama na kuona umati wa watu ukija kwake, alimwambia Filipo, “Tununue wapi mikate ili watu hawa wapate kula?”
Manoor Iyesus ay asho b́maants b́waafe dambaan kawdek't s'iilt Filp'ossh, «Jam ashaansh bodet misho eewkneya keewosh nofaliti?» bí et.
6 (Alisema hivyo kwa kumjaribu Filipo, kwani alijua mwenyewe atakalofanya.)
Iyesus man b́ keew Filip'osi fadbek'osha bako b́k'alitwok'o bí b́tookon danfee b́tesh.
7 Filipo akamjibu, “Mikate ya denari mia mbili za fedha haiwatoshi watu hawa hata kama ila mmoja atapata kipande kidogo tu!”
Flip'oswere «Botook tookosh mishi tiish tisho dab imosh git bal Dinariyon misho keewere boosh boratse» ett bíaaniy.
8 Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia,
B́ danifuwotsitse iko Sim'on P'et'ros eshu Indriyas hank'o bíet,
9 “Yupo hapa mtoto mmoja aliye na mikate mitano ya shayiri na samaki wawili; lakini hivi vyatosha nini kwa watu wengi kama hawa?”
«Uts geshi mishonat git mus' detsts na'a iko hanoke fa'e bíeti, ernmó han jam ashaansh awukoneya b́ bodeti?»
10 Yesu akasema, “Waketisheni watu.” Palikuwa na nyasi tele mahali hapo. Basi, watu wakaketi, jumla yapata wanaume elfu tano.
Iyesuswere «Ashuwotsi beezwore» bíet. Manoke ay mooc'o fa'e b́tesh, ashuwotswere be bodek', botaawonúwere nungushi aano úts kumok'o bornke botesh.
11 Yesu akaitwaa ile mikate, akamshukuru Mungu, akawagawia watu waliokuwa wameketi; akafanya vivyo hivyo na wale samaki, kila mtu akapata kadiri alivyotaka.
Maniyere hakon Iyesus mishman k'a'udek't b́údiyakon beyiru ashuwotssh b́ kayi. Mank'o mus'uwotsi boosh b́ kayi, jametsuwots boosh b́ bodetuwok'owo bodaatsi.
12 Watu waliposhiba Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande vilivyobaki visipotee.”
Jametswots maat boworiyakon Iyesus b́ danifuwotssh, «Ik jago dats oorar bíawasherawk'o mishifed'o kakwere» bíet.
13 Basi, wakakusanya vipande vya mikate ya shayiri walivyobakiza wale watu waliokula, wakajaza vikapu kumi na viwili.
Bowere ash ashuwots maat bo eree ortso útś geshi mishi tishuwots fed'o kakudek't tatse git mishimaron s'eentsbok'ri.
14 Watu walipoiona ishara hiyo aliyoifanya Yesu, wakasema, “Hakika huyu ndiye nabii anayekuja ulimwenguni.”
Ashuwots Iyesus b́ fints aditsman bo bek'tsok'on, «Datsats weetwo nebiyiyo ariko haniye!» bo eti.
15 Yesu akajua ya kuwa watu walitaka kumchukua wamfanye mfalme, akaondoka tena, akaenda mlimani peke yake.
Ashuwotsmó angnon de'amr bín nugús woshosh gawbok'rtsok'o dank'rat aani Iyesus bí'al guri abaats k'azbiami.
16 Ilipokuwa jioni wanafunzi wake waliteremka hadi ziwani,
Datso b́ iltsok'on b́ danifuwots aats k'aro maants k'az bo'ot'.
17 wakapanda mashua ili wavuke kwenda Kafarnaumu. Giza lilikuwa limeingia, na Yesu alikuwa hajawafikia bado.
Jelbats kinddek't K'frnahom maants bo tuwi, manoori sa'atonuwere t'aluwtsere b́tesh, Iyesuswere book warafa'e b́ tesh.
18 Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
Jong kup'o b́ jongefere b́ teshtsotse, aatsi k'aro giwu b́wutsi.
19 Wanafunzi walipokuwa wamekwenda umbali wa kilomita tano au sita, walimwona Yesu akitembea juu ya maji, anakaribia mashua; wakaogopa sana.
B́ danifuwots wee útso wee shirt kilo metrok'o jelbu jook dek't boama'iyakon Iyesus aatsatse sha'efere jelbu maants b́ t'infere bek't shatboguts.
20 Yesu akawaambia, “Ni mimi, msiogope!”
Bímó «Taane! shatk'ayere!» bíet.
21 Walifurahi kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walipokuwa wanakwenda.
Bowere gene'uwat bí jelbuts b́kindituwok'o bo geyi, manorowere jelbu boamiru datsats ambodbwtsi.
22 Kesho yake umati wa watu wale waliobaki upande wa pili wa ziwa walitambua kwamba kulikuwa na mashua moja tu pale, na Yesu hakuingia katika mashua pamoja na wanafunzi wake, ila wanafunzi hao walikuwa wamekwenda zao peke yao.
Yatsok'on aats k'aroniyere bak'etse oorat teshts ashuwots, aats k'aratse jelbu ik s'uz b́teshtsok'onat manoknowere b́ danifuwots s'uz boamtsok'o, Iyesusmó bonton jelbuts b́ kindrawok'o bek'tni botesh.
23 Mashua nyingine kutoka Tiberia zilifika mahali hapo watu walipokula ile mikate, Bwana alipokwisha mshukuru Mungu.
Wotowa eree k'osh jelbuwots T'bryadositse tuut Iyesusi údon Ik' b́ k'ontsokonat ash asho mish bomaatsok boweyi.
24 Basi, hao watu walipogundua kwamba Yesu na wanafunzi wake hawakuwapo mahali hapo, walipanda mashua, wakaenda Kafarnaumu wakimtafuta.
Ash ashuwots Iyesus wotowa b́ danifwots manoke bo aaltsok'o bo bek'tsok'on jelb manotsits kind dek't Iyesusi geyo K'frnahom maants boami.
25 Wale watu walipomkuta Yesu ng'ambo ya pili wa ziwa walimwuliza, “Mwalimu, ulifika lini hapa?”
Aats k'aronye bak'etse bín bodatstsok'on, «Danifono, hanok awure nweyi?» bo et.
26 Yesu akawajibu, “Kweli nawaambieni, mnanitafuta si kwa kuwa mmeona ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.
Iyesuswere hank'o ett boosh bíaaniy, «Arikon, arikoniye itsh ti'etiriye, it taan it geyirye misho maat it wortsosha bako adits keewo it bek'tsoshaliye.
27 Msikishughulikie chakula kiharibikacho; kishugulikieni chakula kidumucho kwa ajili ya uzima wa milele. Mwana wa Mtu ambaye Baba amemthibitisha atawapeni chakula hicho.” (aiōnios g166)
T'afit mishosh fink'ayere, maniyere Ik'o niho arikon daniyosh matabon b́ togts ash na'o b́ imet dúre dúri kash wotit mishosh finore.» (aiōnios g166)
28 Wao wakamwuliza, “Tufanye nini ili tuweze kuzitenda kazi za Mungu?”
Ash ashuwotsuwere «Beree, Ik'i fino finosh eeg k'ale geyiti nosha?» boeti.
29 Yesu akawajibu, “Hii ndiyo kazi anayotaka Mungu muifanye: kumwamini yule aliyemtuma.”
Bíwere «Ik'i finoniyere Ik'o b́ woshtson amanee» ett boosh bíaaniy.
30 Hapo wakamwambia, “Utafanya ishara gani ili tuione tupate kukuamini? Utafanya kitu gani?
Bowere bísh hank'owa boet, «Be'er neen noamanish adits keewo finitwiya? Eebi nfinitwo fa'oni?
31 Wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo Maandiko: Aliwalisha mkate kutoka mbinguni.”
‹Bomeetuwok'o darotse misho boosh imre› ett guut'etsok'on, no nihots worwotse darotse oot'ts meno maarne.»
32 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, Mose hakuwapeni mkate kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye ninyi mkate halisi kutoka mbinguni.
Manoor Iyesus hank'owa boosh bíeti, «Arikon arikoniye itsh tietiriye, darotse oot'ts misho itsh imtso Museyiyaliye, arik wotts misho darotse itsh imetwo t nihiye,
33 Maana mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na aupaye ulimwengu uzima.”
Ik'i misho darotse ood'r datsansh kash imetwo bíne.»
34 Basi, wakamwambia, “Mheshimiwa, tupe daima mkate huo.”
Mansh ashuwots «Doonzono! man naari misho úni aawo noosh ime» bo eti.
35 Yesu akawaambia, “Mimi ndimi mkate wa uzima. Anayekuja kwangu hataona njaa; anayeniamini hataona kiu kamwe.
Iyesuswere hank'o boosh bíet, «Kashi misho taane, tiyok weetuwo b́ jamon k'ak'eratse, taan amanitwo b́ jamon shashweratse,
36 Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.
Itiyere taan bek'rte ernmó taan amaneratste etirwe.
37 Wote anaonipa Baba watakuja kwangu; nami sitamtupa nje yeyote anayekuja kwangu,
Niho taash b́ imetu jamo tiyok weetwe, tiyok wetwono b́ jamon taa úromaants gisheratse.
38 kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa yangu, ila kutimiza matakwa ya yule aliyenituma.
Taa darotse oot'at t waa taan woshtso bí ettso k'alosha bako t shuntso k'alishaliye.
39 Na matakwa ya yule aliyenituma ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho.
Taan woshtso b́ shuntsonye taash b́ imts jamotse dab ikunor t t'afirawo dúris'uwi aawots k'irotse t tuzitwok'owe
40 Maana anachotaka Baba yangu ndicho hiki: kila amwonaye Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele; nami nitamfufua Siku ya mwisho.” (aiōnios g166)
Ee! t nih b́ shuntsoniye naayo be'er bín amanitu jamo dúre dúri kasho b́ datsitwok'owe, taawere dúri s'uwi aawots k'irotse bín tuuzitwe.» (aiōnios g166)
41 Basi, Wayahudi wakaanza kunung'unika kwa kuwa alisema: “Mimi ni mkate ulioshuka kutoka mbinguni.”
«Darotse oot'tso misho taane» Iyesus bí ettsotse ayhudiwots bíatsats bo mumundi,
42 Wakasema, “Je, huyu si mwana wa Yosefu? Tunawajua baba yake na mama yake! Basi, anawezaje kusema kwamba ameshuka kutoka mbinguni?”
Hank'o bo eti «Han Yosef naay Iyesusi woshna? B́ nihnat b́ indn danefonoshna? Eshe and aawuk'oneya ‹Darotse oot're› bíetiri?»
43 Yesu akawaambia, “Acheni kunung'unika ninyi kwa ninyi.
Iyesuswere hank'o ett boosh bíaaniy, «It ats atseyo mumundk'ayere,
44 Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, Baba aliyenituma asipomvuta kwangu; nami nitamfufua mtu huyo Siku ya mwisho.
Taan woshtso niho b́ getstsoniyere okoon t maants woo falituwo konwor aaliye, t maants wetwonowere dúri s'úwi aawots k'irotse tuuzitwe.
45 Manabii wameandika: Watu wote watafundishwa na Mungu. Kila mtu anayemsikia Baba na kujifunza kutoka kwake, huja kwangu.
Nebiywots mas'aafotse ‹Ash jametswots Ik'oke danetwotsi wotitune› ett guut'ere, manshe nihoke shisht dants jametso tiyok weetwe.
46 Hii haina maana kwamba yupo mtu aliyemwona Baba, isipokuwa yule aliyetoka kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba.
Man etonwere niho bek'ts asho fa'e etoshaliye, niho bek'tsoniye Ik'oke waatsos'uziye.
47 Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios g166)
Ariko arikoniye itsh ti etiriye, taan amants asho dúre dúri kasho detsfe. (aiōnios g166)
48 Mimi ni mkate wa uzima.
Taaye kashi mish taane.
49 Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.
It nihots worwotse meno bo meyi, ernmó k'ire bok'iri.
50 Huu ndio mkate kutoka mbinguni; mkate ambao anayekula hatakufa.
Darotse oot'ts misho haniye, eshe mishman meetwo b́jamon k'irratse.
51 Mimi ni mkate hai ulioshuka kutoka mbinguni. Mtu yeyote akila mkate huu ataishi milele. Na mkate nitakaompa ni mwili wangu ninaoutoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn g165)
Darotse oot'tso kasho imet mishoniye taane, mish man meetu jamo dúre dúroshe b́ beeti, daatsosh kash b́wotitwok'o taa t imetwo misho t meetsoniye.» (aiōn g165)
52 Ndipo Wayahudi wakaanza kubishana kati yao:
Manoor ayhudiwots «Ashaan b́ meetso nometwok'o aawk'o k'alde'eniya noosh imo b́faliti?» ett boatsatsewo bo mooshi.
53 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, msipokula mwili wa Mwana wa Mtu na kunywa damu yake, hamtakuwa na uzima ndani yenu.
Mansh Iyesus boosh hank'o bí eti, «Arikon, arikoniye itsh t keewiri Ash na'o meetso moo itk'azal, b́ s'atso úsho it k'azal kasho deshatste.
54 Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anao uzima wa milele nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
Tmeets meetuwonat ts'ats úshetu jamo dúre dúri kasho detsfe, taawere dúris'uwi aawots k'irotse bín tuuzitwe. (aiōnios g166)
55 Maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli.
T meetso ari mishe, t s'atsonwere ari úshe.
56 Aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, akaa ndani yangu, nami nakaa ndani yake.
T meets meetwonat s'aats úshetu jamo taantoniye b́ beetiye, taawere bíntoniye tbeetiye.
57 Baba aliye hai alinituma, nami naishi kwa sababu yake; vivyo hivyo anilaye mimi ataishi pia kwa sababu yangu.
Beyar beetwo niho taan b́woshtsok'onat bí atse tuutson taawor beyar beetwo twottsok'on mank'o t meets meetu jamo ti'atse tuutso beyar beetwo wotitwe.
58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zetu, wakafa. Aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn g165)
Eshe darotse oot'tso misho haniye, bíwere it nihots bo maatsi naaraliye, mishman maatswotsiye k'irrne, misháán metwotsiye dúre dúroshe bobeti.» (aiōn g165)
59 Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.
Iyesus han b́ keewu K'frnahomitse ayhudi Ik' k'oni mootse b́ daniyore.
60 Basi, wengi wa wafuasi wake waliposikia hayo, wakasema, “Haya ni mambo magumu! Nani awezaye kuyasikiliza?”
B́danifuwotsitse ayuwotsi man boshishtsok'on, «Aap'an mange, kone fal k'ebeti?» bo et.
61 Yesu alijua bila kuambiwa na mtu kwamba wanafunzi wake walikuwa wananung'unika juu ya jambo hilo, akawauliza, “Je, jambo hili linawafanya muwe na mashaka?
B́danifwots keewan jango bo mumdtsok'o b́ gitsotse dandek't boosh hank'o bíeti, «Keewan itsh t'ugeya b́ wotiti?
62 Itakuwaje basi, mtakapomwona Mwana wa Mtu akipanda kwenda kule alikokuwa kwanza?
Ash na'o b́beyok aanar b́kesho it bek'or eege it eteti?
63 Roho ndiye atiaye uzima; binadamu peke yake hawezi. Maneno niliyowaambieni ni Roho, ni uzima.
Kasho imetwo Ik'i shayire, ash angonmó egoshoru woteratse, taa itsh t aap'tso shayire, manwere kashe,
64 Hata hivyo, wako baadhi yenu wasioamini.” (Yesu alisema hivyo kwani alijua tangu mwanzo ni kina nani wasioamini, na pia ni nani atakayemsaliti.)
Ernmó ititsere amanerawu ik ikwots fa'ane, » Iyesuswere han b́ keewoniyere shinon bín amanerawwots konotsi bowottsok'onat bín beshide imetwo koni b́wottsok'o b́dantsotsne.
65 Kisha akasema, “Ndiyo maana niliwaambieni kwamba hakuna awezaye kuja kwangu asipowezeshwa na Baba yangu.”
Manats dabt Iyesus «Ik'o nihoke alo bísh imeyala bako tiyok wóósh falitwo aaliye tiet manshe» bíet.
66 Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma wasiandamane naye tena.
Hanatse tuutson b́ danifwotsitse aywots jiik'omand k'az bo aani, manortson Iyesus shuutso sha'o k'azbok'ri.
67 Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”
Mansh, «Itwere aanar amo geefteya?» ett Iyesus b́ danifuwotssh bíaati.
68 Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tutakwenda kwa nani? Wewe unayo maneno yaletayo uzima wa milele. (aiōnios g166)
Manoor S'im'on P'et'ros hank'o ett bíaani, «Doonzono! kon maantse noameti? Nee dúre dúri kashi aap'o detsfne. (aiōnios g166)
69 Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu.”
Nooyere amanerone, S'ayino Ik'o naayi nwottsok'o danrone.»
70 Yesu akawaambia, “Je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? Hata hivyo, mmoja wenu ni Ibilisi!”
Iyesuswere, «Tatse gitetswotsi itn galdek'rosha? ernmó ititse iko Dabilosiye» boosh bí eti.
71 Yesu alisema hayo juu ya Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti; maana huyu alikuwa ndiye atakayemsaliti, ingawa alikuwa mmoja wa wale kumi na wawili.
Manowere bíetir Simon naay Ask'rwot dats asho Yihud jangosha b tesh, Yihud b́ danif tatse gitwotsitse iko wotb́jinalor Iyesusi beshide imetwo bín b́wottsotsna.

< Yohana 6 >