< Yohana 5 >

1 Baada ya hayo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akaenda Yerusalemu.
Baada yepo hwali neshikulukulusha Yahudi no Yesu alizubhile abhale hu Yelusalemu.
2 Huko Yerusalemu, karibu na mlango uitwao Mlango wa Kondoo, kulikuwa na bwawa la maji liitwalo kwa Kiebrania Bethzatha, ambalo lilikuwa na baraza tano zenye matao.
Hula hu Yelusalemu hwali ni birika pandyango gwe ngole, lyalyalihwetwa hu lugha yeShiabrania hu Bethzatha, lyape lili na matao gasanu.
3 Humo barazani mlikuwa na wagonjwa wengi wamekaa: vipofu, viwete na waliopooza. Walikuwa wakingojea maji yatibuliwe,
Abhantu bhinji abhinu bhahali, ampofu, avewete, bhabhahomele bhali bhagonile mumatao ego. (Khatililaga: Amazu ge sitali 3 segabhoneha mu nakala enyinza zi mwaha. “Bhagolezezye amenze avwalanganye.”') Hwa hali owakati umo ohalozelu muhati ya Gosi na vwalanganye menze.
4 maana mara kwa mara malaika alishuka majini nyakati fulani na kuyatibua. Mtu yeyote aliyekuwa wa kwanza kuingia majini baada ya maji kutibuliwa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao.
Ola wa hali wa kwanza ahwinjile muhati amenze nagavwalanganywa oyo abhanga mwomi afumilane na hahonti hahali ha khetwe omuda ogwo.
5 Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.
No muntu wali abhinile humaha thelathini na nane wli mhati ye matao.
6 Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo, akatambua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, “Je, wataka kupona?”
O Yesu nalolile agonile mhati ye matao nawamanya aje agonile pala omuda gwinji oYesu abhozya, “Ajile ohwanza abhe mwomi?”
7 Naye akajibu, “Mheshimiwa, mimi sina mtu wa kunipeleka majini wakati yanapotibuliwa. Kila nikijaribu kuingia, mtu mwingine hunitangulia.”
Ola abhinu ajile, “Gosi sendi no muntu wambeshe mwi birika omuda amenze nagavwalanganywa. Lwelenga ahwinjile omuntu owenje antangulila.”
8 Yesu akamwambia, “Inuka, chukua mkeka wako utembee.”
O Yesu wabhozya, “Bhoha ayeje igodolo lya ho obhalaje.”
9 Mara huyo mtu akapona, akachukua mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato.
Omuntu ola wapona, wega eshitala shakwe na wabhala. Isiku elyo lyali lisiku lye Sabato.
10 Kwa hiyo baadhi ya Wayahudi wakamwambia huyo mtu aliyeponywa, “Leo ni Sabato, si halali kubeba mkeka wako.”
Ayahudi bhabhozya omuntu ola waponyiziwe, “Sanyono lisiku lya Sabato, solohusiwa abebe igodoro lyaho.”
11 Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: Chukua mkeka wako, tembea.”
Omwene ajile waponiziwe yayoyo wambozezye, “Ege igodoro lyaho bhalaga.”
12 Nao wakamwuliza, “Huyo mtu aliyekwambia: Chukua mkeka wako, tembea, ni nani?”
Bhabhozezye, “Wenu wabhozyezye 'Ege igodoro lyaho bhalaga?'”
13 Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.
Haha nkashe ola waponile sagamenye, afwatanaje oYesu ali asogoye shi siri. Afuatanaje hwali awantu winji esehemu eyo.
14 Basi, baadaye Yesu alimkuta huyo aliyeponywa Hekaluni, akamwambia, “Sasa umepona; usitende dhambi tena, usije ukapatwa na jambo baya zaidi.”
Pamande yakwe oYesu amweje ola umuntu mshibhanza na hubhozye, “Enya, aponole! “Uganje abhombe mbibhi nantele ogakhomana ni jambo ibhibhi sana.”
15 Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya.
Omuntu ola abhalile abhabhozye Ayahudi aje oYesu wamponezye.
16 Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu.
Eshi, afuatanaje amambo ego Ayahudi bhayemvezye oYesu, afuatanaje abhombile amambo ega isiku lye Sabato.
17 Basi, Yesu akawaambia, “Baba yangu anafanya kazi daima, nami pia nafanya kazi.”
O Yesu wabhabhozya, “Odaada wane abhomba embombo paka esalezi nane ebhomba embombo.”
18 Kwa sababu ya maneno haya, viongozi wa Wayahudi walizidi kutafuta njia ya kumwua Yesu: si kwa kuwa aliivunja Sheria ya Sabato tu, bali pia kwa kuwa alisema kwamba Mungu ni Baba yake, na hivyo akajifanya sawa na Mungu.
Hunamuna eye Ayahudi bhahendeleye azidi bhahanzaga aje sababu yanankanye eSabato, ila hukwizye Ongolobhe oDaada wakwe, alihweshele sawa no Ngolobhe.
19 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, Mwana hawezi kufanya kitu peke yake; anaweza tu kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya Baba, Mwana hukifanya vilevile.
O Yesu ajile, “Etesheli, etesheli, Omwana sagabhomba ahantu hahonti ila hala halolile Oise wakwe abhomba, afuatanaje hahonti habhomba Oise haheho hanzabhombe Omwana.
20 Baba ampenda Mwana, na humwonyesha kila kitu anachokifanya yeye mwenyewe, tena atamwonyesha mambo makuu kuliko haya, nanyi mtastaajabu.
Afuatanaje oDaada agene Omwana, na ahulanga kila hantu habhomba na ahaulanga amambo amagosi ashile ega ili nkamuswigage.”
21 Kama vile Baba huwafufua wafu na kuwapa uzima, vivyo hivyo naye Mwana huwapa uzima wale anaopenda.
Afuatanaje nanshi shila oDaada nafufula awafwe na abhapele owomi, sheshesho Omwana wope ahupele wowonti wagene.
22 Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote ya hukumu amemkabidhi Mwana,
Afuatane naje oDaada sahulonga wowonti, ila apiye Omwana alonje hwonti
23 ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba ambaye amemtuma.
ili bhonti bhamwogope Omwana sebhahu mwogopa oDaada. Umwene wasihumwogopa Omwana sahamwogope no Daada wantumile.
24 “Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima. (aiōnios g166)
Eteshela, eteshela, omwene wahonvwa izu lyane na humweteshele wantumile ali no womi we wilawila na sagailongwa. Yaani ashilile afume hunfwa ahwinjile huwomi. (aiōnios g166)
25 Kweli nawaambieni, wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wafu wataisikia sauti ya Mwana wa Mungu, nao watakaoisikia, wataishi.
Eteshela, eteshela, embabhozya ensiku zihwenza na zihweli lula abhafwe nabhayovnwa izu lyakwe Omwana wa Ngolobhe, na bhonti bhabhayonvwa waikhala.
26 Kama vile Baba alivyo asili ya uhai, ndivyo pia alivyomjalia Mwanawe kuwa asili ya uhai.
Nanshi shila oDaada shali nowomi mhati yakwe yoyo,
27 Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.
shesho apiye Omwana abhe no womi wope oDaada apiye Omwana amamlaka ili aje alongaje afuatanaje Mwana wa Adamu.
28 Msistaajabie jambo hili; maana wakati unakuja ambapo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake,
Munganje shangale hweli afuatanaje zihwenza ensiku abhafwe hbonti bhabhali mumakaburi bhayonvwa izu lyakwe
29 nao watafufuka: wale waliotenda mema watafufuka na kuishi, na wale waliotenda maovu watafufuka na kuhukumiwa.
na bhope bhaifuma hunze: hwabhabhombaga enyinza ulyovyosyolwe womi, bhabhabhombaga embibhi oluvyosnsyo lwa longwe.
30 “Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.
Sengabhomba ahantu hahonti afume huline nene. Nanshi shehovwa, shesho shelola alonje na alonje hwane hwe lyoli afuatanaje sehwanza she songwa ane, ila shasongwa omwane wantumile.
31 Nikijishuhudia mimi mwenyewe, ushahidi wangu hauwezi kukubaliwa kuwa wa kweli.
Nkashe ehwihakikisya nene, luhakikisyo lwane selwabhanga lwe lyoli.
32 Lakini yuko mwingine ambaye hutoa ushahidi juu yangu, nami najua kwamba yote anayosema juu yangu ni ya kweli.
Ahweli wamwabho wahakikisya ahusuane emanya aje lyoli uluhakikisho lwa hakikisizya ane we lyoli.
33 Ninyi mlituma ujumbe kwa Yohane naye aliushuhudia ukweli.
Mutumile hwa Yohana wope ahakikisizye lyoli.
34 Si kwamba mimi nautegemea ushahidi wa wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa.
Hata sheshi ulihakikisyo lwenduposhela selufuma hwa bhantu. Ninayasema haya ili kwamba mweze kuokolewa.
35 Yohane alikuwa kama taa iliyokuwa ikiwaka na kuangaza, nanyi mlikuwa tayari kufurahia mwanga huo kwa kitambo.
O Yohana ali lukhozyo lwalwa hahaga, na khozye mwahali tayari aisongwe huu muda ododo olukhozyo lwakwe.
36 Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma.
Ulwetesho lwendi nalwo gosi ashile lula lwa Yohana, humbombo zila Odaada yza mpiye azikamilisye, anzyo embombo zyezibhomba zibhonesya aje Odaada antumile.
37 Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake,
Odaada wantumile yoyo ahakikisizye ahusu ane. Semuwaile ahomvwe izu lyakwe au alole obele gwakwe omuda gwagwonti.
38 na ujumbe wake haukai ndani yenu maana hamkumwamini yule aliyemtuma.
Semulinalyo izu lyakwe nkalikhale muhati afuatanaje semwamwetesheye omwene wantumile.
39 Ninyi huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uzima wa milele; na kumbe maandiko hayohayo yananishuhudia! (aiōnios g166)
Mugenyelezya amazu msewa aje muhati yakwe muli owomi wewila wila, gego amazu gahakikisya ehabari zyane (aiōnios g166)
40 Hata hivyo, ninyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima.
semuhwanza ahwenez huline nkampate owomi wewilawila.
41 “Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.
Siposhela huhwhiyonvwe afume hwa wantu,
42 Lakini nawajua ninyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni mwenu.
ehwelewa aje nalumo olugano lwa Ngolobhe muhati yenyu.
43 Mimi nimekuja kwa mamlaka ya Baba yangu, lakini hamnipokei; bali mtu mwingine akija kwa mamlaka yake mwenyewe, mtampokea.
Enenzele hwitawa lya Daada wane, semwamposheye. Nkashe owenje ayenze hwitawa lyakwe handamwaposheye.
44 Mwawezaje kuamini, hali ninyi mnapenda kupokea sifa kutoka kwenu ninyi wenyewe, wala hamtafuti sifa kutoka kwake yeye aliye peke yake Mungu?
Aje mwahenzaga ahweteshele amwe mwamposhela esifa afume hwa kila muntu wenyu ila semuhwanza esifa yefuma hwa Ngolobhe mwene?
45 Msifikiri kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba. Mose ambaye ninyi mmemtumainia ndiye atakayewashtaki.
Msagaje ane embabhatake hwitazi lya Daada. Wabhataka amwe yo Musa, ambayo mubheshele ategemele hwa mwa hale.
46 Kama kweli mngemwamini Mose, mngeniamini na mimi pia; maana Mose aliandika juu yangu.
Mugali aje mhumweteshele oMusa, handamunetesheye nane afuatanaje ahaandishe ahusu ane.
47 Lakini hamuyaamini yale aliyoandika, mtawezaje basi, kuamini maneno yangu?”
Nkase muhwetehsele bhole amazu gane?

< Yohana 5 >