< Yohana 5 >
1 Baada ya hayo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akaenda Yerusalemu.
Maniye hakon ayhudiwots worowoti bali aaw b́ wottsotse Iyesus Iyerusalem maants bíami.
2 Huko Yerusalemu, karibu na mlango uitwao Mlango wa Kondoo, kulikuwa na bwawa la maji liitwalo kwa Kiebrania Bethzatha, ambalo lilikuwa na baraza tano zenye matao.
Iyerusalemn mererwots fengeshi ganoke, Ibrayist'i noonon Betezata eteets ikok kakts atso fa'e b́tesh, b́gúratsnowere bí tookatse ipdetsts boweeron besheefwots fa'ano botesh.
3 Humo barazani mlikuwa na wagonjwa wengi wamekaa: vipofu, viwete na waliopooza. Walikuwa wakingojea maji yatibuliwe,
Ayidek't ay shodetswots, aaw dogwots, duruwotsnat shoklirwots b́ beshiru werats k'edek'tni botesh. Ashmanots aatsman b́ giwoni bokotfo botesh,
4 maana mara kwa mara malaika alishuka majini nyakati fulani na kuyatibua. Mtu yeyote aliyekuwa wa kwanza kuingia majini baada ya maji kutibuliwa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao.
Besh beshr Doonzo melakiyo aats kakots ood'r aatsman b́ giwshfoni, aats giwmaniye okoon shino aats kakmanits kindtso b́ shodts shodinar jamatse kashefe b́ tesh.
5 Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.
Manoknowere shaashe shimt nat jamosh shodts ash iko fa'e b́tesh.
6 Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo, akatambua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, “Je, wataka kupona?”
Iyesus ashman manoke b́ k'eefere bek't ayduroniye shintson b́shodok'o dant, «Kasho geefi?» bíet.
7 Naye akajibu, “Mheshimiwa, mimi sina mtu wa kunipeleka majini wakati yanapotibuliwa. Kila nikijaribu kuingia, mtu mwingine hunitangulia.”
Shodetsonuwere «Doonzono! aatso b́ giwtsok'on taan de'amr aats kakmanits gedet asho deshatse, taa amoosh tietor k'osh asho taayere shino oot'b́wtsiriye» bíet.
8 Yesu akamwambia, “Inuka, chukua mkeka wako utembee.”
Iyesuswere «Tuuwe! ni es'o kurde'er amee!» bíet.
9 Mara huyo mtu akapona, akachukua mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato.
Ashmanwere manoor kashb́gutsi, b́ es'onowere kurdek't bíami. Han b́wotwere sanbati aawone.
10 Kwa hiyo baadhi ya Wayahudi wakamwambia huyo mtu aliyeponywa, “Leo ni Sabato, si halali kubeba mkeka wako.”
Mansh Ayhudi naash naashuwots kashts ashmansh «Hambets sanbat b́wottsotse ni es'o nkuritwok'o neesh eekeratse» boet.
11 Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: Chukua mkeka wako, tembea.”
Bímó, «Taan kashits asho ‹nies'o kurde'e amee› ett taash keewre» bíet.
12 Nao wakamwuliza, “Huyo mtu aliyekwambia: Chukua mkeka wako, tembea, ni nani?”
Bowere, «Ni es'o kurde' amee neesh ettso kone bí?» ett bo aati.
13 Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.
Ashmanmó ashasho bí aytsotsnat Iyesus manoke okaan t'iindek't b́teshtsotse bín kashitso koni b́wottsok'o danatse b́tesh.
14 Basi, baadaye Yesu alimkuta huyo aliyeponywa Hekaluni, akamwambia, “Sasa umepona; usitende dhambi tena, usije ukapatwa na jambo baya zaidi.”
Maniye hakon Iyesus ashman Ik' mootse daatsdek't, «Hamb, and kasherne, haniye bog keewo niats b́borawok'o haniye hakon morro fink'aye» bíet.
15 Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya.
Ashmanwere amt bín kashitso Iyesusi b́wottsok'o ayhudiyi naashwotssh keewb́k'ri.
16 Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu.
Keew man sanbati aawots b́ fintsotse Ayhudi naashwots Iyesusi gisho dek't botwi.
17 Basi, Yesu akawaambia, “Baba yangu anafanya kazi daima, nami pia nafanya kazi.”
Iyesusmó «T nih andish b́borfetso fine b́finiri, taawere finirwe» ett boosh bíaaniy.
18 Kwa sababu ya maneno haya, viongozi wa Wayahudi walizidi kutafuta njia ya kumwua Yesu: si kwa kuwa aliivunja Sheria ya Sabato tu, bali pia kwa kuwa alisema kwamba Mungu ni Baba yake, na hivyo akajifanya sawa na Mungu.
Man boshishtsosh Ayhudi naashuwots Iyesusi boúd'itwok'o iki boon tuzb́k'ri, man b́wotu bíye sanbato b́gaaktso s'uzsh b́ woterawo, «Ik'o t nihiye» eton b́ tooko Ik'onton b́nutsitsoshe.
19 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, Mwana hawezi kufanya kitu peke yake; anaweza tu kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya Baba, Mwana hukifanya vilevile.
Iyesus hank'o ett boosh bíaaniy, «Arikon arkoniye itsh ti etiriye, Niho b́ finefere b́bek'tso finoniye okoon naayo b́took alon eegor fino falratse. Niho b́ k'alirwok'o naayonwere b́ k'aliri.
20 Baba ampenda Mwana, na humwonyesha kila kitu anachokifanya yeye mwenyewe, tena atamwonyesha mambo makuu kuliko haya, nanyi mtastaajabu.
Niho naayo b́shuntsosh b́ finiru jamo bísh kitsitwe, itwere it aditwok'o haniye bog finonor bísh kitsitwe.
21 Kama vile Baba huwafufua wafu na kuwapa uzima, vivyo hivyo naye Mwana huwapa uzima wale anaopenda.
Niho k'irtsuwotsi b́ tuuzituwok'onat kashonowere boosh b́imetuwok'owa, naayonúwe mankowa b́ shunts ashosh kasho b́ imeti.
22 Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote ya hukumu amemkabidhi Mwana,
Niho konatsor angshratse, ernmó angsh jamo naayosh imk'rere.
23 ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba ambaye amemtuma.
Hanowere b́ k'alir ash jamwots niho bomangitwok'o, aaninwere naayo no bomangitwok'owa, naayo mangirawo, naayman woshts niho mangiratse.
24 “Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima. (aiōnios )
«Ariko aroniye itsh tietiri, t aap'tso k'ewur taan woshtsono amanitwo dúre dúri beyo detsfe, bíye k'irotse kashomand k'az b́ kimtsotse bíats angsheratse. (aiōnios )
25 Kweli nawaambieni, wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wafu wataisikia sauti ya Mwana wa Mungu, nao watakaoisikia, wataishi.
Ariko arikoniye itsh keewirwe, k'irts ashuwots Ik'o naay k'aaro boshishet aawo fa'e, b́dúronúwere andee, bín shishetu jamwotswere kashon beetune.
26 Kama vile Baba alivyo asili ya uhai, ndivyo pia alivyomjalia Mwanawe kuwa asili ya uhai.
Niho b́tookon kash t'uup'o b́wottsotse, b́naaywere kash t'uup'o b́wotitwok'o woshre.
27 Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.
Ashna'a b́ wottsotsnowere angsho bíangshitwok'o alo bísh imre.
28 Msistaajabie jambo hili; maana wakati unakuja ambapo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake,
Keewan jangatse adk'ayere, dowootse fa'a jametswots b́ k'ááro boshishet aawo weetwe.
29 nao watafufuka: wale waliotenda mema watafufuka na kuishi, na wale waliotenda maovu watafufuka na kuhukumiwa.
Sheeng fintswots dootse keewarr kashon beetune, gond fintswotsemó dowootse keer boere boats angshetwe.
30 “Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.
«Taa t took alon eegor k'alo falratse, ernmó nihoke t shishtso angshitwe, taan woshtso b́ geyirwok'owa bako t geyirwok'o t angshrawotse t angsho kááwe.
31 Nikijishuhudia mimi mwenyewe, ushahidi wangu hauwezi kukubaliwa kuwa wa kweli.
Taa t took jangosh t gawitk wotiyal t gawts gawo arikaliye.
32 Lakini yuko mwingine ambaye hutoa ushahidi juu yangu, nami najua kwamba yote anayosema juu yangu ni ya kweli.
Ernmó t jangosh gawitwo k'osho fa'e, bíwere t jangosh b́gawit gawo arik b́ wotitwok'o danfee.
33 Ninyi mlituma ujumbe kwa Yohane naye aliushuhudia ukweli.
Itiye Yohans maants wosho amtsuwotsi woshatniye it teshi, bíwere aro gawere.
34 Si kwamba mimi nautegemea ushahidi wa wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa.
Han tietiriye it kashitwok'owa bako taash ash gawo b́geyitsoshaliye.
35 Yohane alikuwa kama taa iliyokuwa ikiwaka na kuangaza, nanyi mlikuwa tayari kufurahia mwanga huo kwa kitambo.
Yohans aat'at c'eshts c'eshok'oyiye b́ teshi, it were muk' aawosh b́ sháánits sháánon gene'osh itgeyi.
36 Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma.
Ernmó taa Yohans gawtsoniyere bog gawo detsfe, t gawonúwere t nih tfinitwok'o taash b́'imts finoniye, t finit finmanwere niho taan b́wooshtsok'o t jango gawitwe.
37 Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake,
Taan woshts Niho b́ tookon t jango gawere, itmó b́ k'aaro b́jamon shiyatste, bíaronowere b́ jamon be'atste.
38 na ujumbe wake haukai ndani yenu maana hamkumwamini yule aliyemtuma.
Bí b́woshtso it amanerawotse b́ aap'o itnibots geratste.
39 Ninyi huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uzima wa milele; na kumbe maandiko hayohayo yananishuhudia! (aiōnios )
It S'ayin mas'aafwotsitse dúre dúri kasho it daatsitwok'o itsh bí'artsotse boon p'ec'at its'iliri, boowere t jangosh gawirwotsiye. (aiōnios )
40 Hata hivyo, ninyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima.
Ernmó it kashu daatsosh t maants woo geratste.
41 “Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.
Taa mango ashoke geeratse.
42 Lakini nawajua ninyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni mwenu.
It it nibotse Ik'o shunawwotsi it wottsok'o danfee.
43 Mimi nimekuja kwa mamlaka ya Baba yangu, lakini hamnipokei; bali mtu mwingine akija kwa mamlaka yake mwenyewe, mtampokea.
Taa t nih shútson waare, itmó taan de'atste, ernmó k'osho b́took shútson b́waal b́ín dek'etute.
44 Mwawezaje kuamini, hali ninyi mnapenda kupokea sifa kutoka kwenu ninyi wenyewe, wala hamtafuti sifa kutoka kwake yeye aliye peke yake Mungu?
It atsatseyosh mango geyirwots Ik' ikoke daatset mangonmó gerawwots, awuk'o k'alrniya amanosh it faliti?
45 Msifikiri kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba. Mose ambaye ninyi mmemtumainia ndiye atakayewashtaki.
Taa t nih shinatse itn t s'aamitwok'o ark'aya itsha, iti s'amitwo bín it jangirwo Museyiye.
46 Kama kweli mngemwamini Mose, mngeniamini na mimi pia; maana Mose aliandika juu yangu.
Museyi amaneerte wotink'e bí tjango b́ guut'tsotse taanor amaniyank'te b́tesh.
47 Lakini hamuyaamini yale aliyoandika, mtawezaje basi, kuamini maneno yangu?”
Bí b́ guut'tso amaneratste wotiyal t aap'o awuk'o k'alrniya it amaniti?»