< Yohana 3 >

1 Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo.
YA guaja un taotao Fariseo na naanña si Nicodemo, prinsipe y Judiosija.
2 Siku moja alimwendea Yesu usiku, akamwambia, “Rabi, tunajua kwamba wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, maana hakuna mtu awezaye kufanya ishara unazozifanya Mungu asipokuwa pamoja naye.”
Este mato gui as Jesus gui puenge ya ilegna nu güiya: Rabi, jame intingo na jago maestro guine as Yuus, sa taya siña fumatinas este sija na señat, ni unfatitinas, yaguin ti sumisija yan Yuus.
3 Yesu akamwambia, “Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa upya hataweza kuuona ufalme wa Mungu.”
Ynepe as Jesus ya ilegña nu güiya: Magajet ya magajet y jusangane jao, na y ti mafañago talo, ti siña jalie y raenon Yuus.
4 Nikodemo akamwuliza, “Mtu mzima awezaje kuzaliwa tena? Hawezi kuingia tumboni mwa mama yake na kuzaliwa mara ya pili!”
Ylegña nu güiya si Nicodemo: Jafa muna siña y taotao mafañago yaguin este biju; siña güe jumalom dos biaje, talo gui jalom y tiyan nanaña ya umafañago?
5 Yesu akamjibu, “Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa kwa maji na Roho, hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu.
Ynepe as Jesus: Magajet ya magajet jusangane jao, na y ti mafañago ni janom yan ni iyon Espiritu, ti siña jumalom gui raenon Yuus.
6 Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.
Todo y mafañago ni guine catne, catneja güe; ya y mafañago guine Espiritu, espirituja güe.
7 Usistaajabu kwamba nimekwambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya.
Chamo ninamamanman ni jusangane jao: Y nesesita jamyo na mafañago talo.
8 Upepo huvuma kuelekea upendako; waisikia sauti yake, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda. Ndivyo ilivyo kwa mtu aliyezaliwa kwa Roho.”
Y manglo manguaefe mano malagoña, ya unjungog y bengbengña, lao ti untungo guine manu mague, ni tampoco para manu guato. Taegüenao todo ayo y manmafañago guine Espiritu.
9 Nikodemo akamwuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”
Si Nicodemo manope ya ilegña: Jafa muna siña este?
10 Yesu akamjibu, “Je, wewe ni mwalimu katika Israel na huyajui mambo haya?
Ynepe as Jesus ya ilegña nu güiya: Jago un maestro guiya Israel ya ti untungo este?
11 Kweli nakwambia, sisi twasema tunayoyajua na kushuhudia tuliyoyaona, lakini ninyi hamkubali ujumbe wetu.
Magajet ya magajet jusangane jao, Y tatungo, tasangan; ya y talie tadeclara, ya ti inresibe y testimoniota.
12 Ikiwa nimewaambieni mambo ya kidunia nanyi hamniamini, mtawezaje kuamini nikiwaambieni mambo ya mbinguni?
Yaguin jusangane jao güinajan tano, ya ti unjonggue, jafa taemano unjonggue yaguin jusangane jao güinajan langet?
13 Hakuna mtu aliyepata kwenda juu mbinguni isipokuwa Mwana wa Mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni.
Ya taya cajulo gui langet, güiyaja y tumunog guine y langet, güiya matungo, y Lajin taotao ni y gaegue gui langet,
14 “Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo,
Ya jaf taemanoja si Moises janacajulo y serpiente gui desierto, taegüijeja na nesesita na y Lajin taotao umanacajulo.
15 ili kila anayemwamini awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Para todo ayo y jumonggue güe, ti siña malingo, ya guaja linâlâña na taejinecog. (aiōnios g166)
16 Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Sa taegüenao na jaguaeya si Yuus y tano, janae ni linilisja Lajiña y para todo ayo y jumonggue güe, ti siña malingo, ya guaja linâlâña na taejinecog. (aiōnios g166)
17 Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu.
Sa ti jatago si Yuus y Lajiña guato gui tano, para usapit y tano, lao para y tano unalibre pot güiya.
18 “Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
Y jumonggue güe, ti umasapit; ayo y ti jumonggue güe ayo umasapit, sa ti manjonggue ni naan unoja na Lajin Yuus.
19 Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu.
Ya este na sinapit, na y inina malag y tano, ya y taotao sija gaonñija y jemjom qui y inina, sa y finatinasñija taelaye.
20 Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe.
Sa todo ayo y fumatinas y taelaye, chatlie y inina, ya ti malag y inina, sa y chechoña no sea umareprende.
21 Lakini mwenye kuuzingatia ukweli huja kwenye mwanga, ili matendo yake yaonekane yametendwa kwa kumtii Mungu.”
Ayo y fumatinas y magajet, malag y inina, para y unamatungo finatinasña, sa y finatinasña guine as Yuus.
22 Baada ya hayo, Yesu alifika mkoani Yudea pamoja na wanafunzi wake. Alikaa huko pamoja nao kwa muda, akibatiza watu.
Despues di estesija, mato si Jesus yan y disipuluña sija, gui un tano Judea ya gaegue güije yan sija managpange.
23 Yohane pia alikuwa akibatiza watu huko Ainoni, karibu na Salemu, maana huko kulikuwa na maji mengi. Watu walimwendea, naye akawabatiza.
Managpapange locue si Juan, guiya Enon, jijot guiya Salim, sa gaegue güije megae na janom: ya sija manmamaela, ya manmatagpange.
24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)
Sa si Juan trabia ti mapopolo gui catset.
25 Ubishi ulitokea kati ya baadhi ya wanafunzi wa Yohane na Myahudi mmoja kuhusu desturi za kutawadha.
Ya guaja un inaguaguat entre sija yan y disipulon Juan yan y Judio sija pot y guinasgas.
26 Basi, wanafunzi hao wakamwendea Yohane na kumwambia, “Mwalimu, yule mtu aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani na ambaye wewe ulimshuhudia, sasa naye anabatiza, na watu wote wanamwendea.”
Ya manmato gui as Juan, ya ilegñija nu güiya: Rabi, ayo y gaegue güije guinin iya jago, gui otro banda Jordan ni unnae testimonio, estagüe! na jatagpange, yan y todo y taotao manmato guiya güiya.
27 Yohane akawaambia, “Mtu hawezi kuwa na kitu asipopewa na Mungu.
Manope si Juan ilegña: Ti siña y taotao manresibe jafa, yaguin ti manae guine y langet.
28 Nanyi wenyewe mwaweza kushuhudia kuwa nilisema: Mimi siye Kristo, lakini nimetumwa ili nimtangulie!
Jamyoja innae testimonio na guinin jusangan: Ti guajo si Jesucristo, lao guajo matago gui menaña.
29 Bibiarusi ni wake bwanaarusi, lakini rafiki yake bwana arusi, anayesimama na kusikiliza, hufurahi sana anapomsikia bwana arusi akisema. Ndivyo furaha yangu ilivyokamilishwa.
Ya guaja asaguaña, güiya y nobio locue; lao amigon nobio, ni y tomotojgue ya jajujungogja, ya magof dangculo pot y sinangan y nobio. Taegüine pues este minagofjo esta macumple.
30 Ni lazima yeye azidi kuwa maarufu, na mimi nipungue.
Güiya siempre, lumálamodong; ya guajo manaladiquique.
31 “Anayekuja kutoka juu ni mkuu kuliko wote; atokaye duniani ni wa dunia, na huongea mambo ya kidunia. Lakini anayekuja kutoka mbinguni ni mkuu kuliko wote.
Y guinin jila mague, güiya mas taquilo qui todo; ya y iyon y tano, tanoja güe, ya iyon y tanoja jasasangan; ya y mamaela guine langet, güiya iyajululo.
32 Yeye husema yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna mtu anayekubali ujumbe wake.
Tanae testimonio, nu y lumie ya jajungog, ya taya rumesibe y testimonioña.
33 Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.
Ya y rumesibe y testimonioña, este sumeyo na si Yuus, güiya magajet.
34 Yule aliyetumwa na Mungu husema maneno ya Mungu, maana Mungu humjalia mtu huyo Roho wake bila kipimo.
Sa y tinago as Yuus, y fino Yuus jasangan; sa si Yuus ti mannanae güe ni y Espiritu pot medida.
35 Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.
Sa y tata yaña y Lajiña ya todo y güinaja japolo gui canaeña.
36 Anayemwamini Mwana anao uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatakuwa na uzima wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake.” (aiōnios g166)
Y jumonggue y Lajiña guaja taejinecog na linâlâ; ya ayo y ti manjonggue y Lajiña, ti ulie linâlâ, lao y binibon Yuus gaegue gui jiloña. (aiōnios g166)

< Yohana 3 >