< Yohana 17 >
1 Yesu alipokwisha sema hayo, alitazama juu mbinguni, akasema, “Baba, saa imefika! Mtukuze Mwanao ili naye Mwana apate kukutukuza.
穌講完了這些話,便舉目向天說:「父啊!時辰來到了,求你光榮你的子,好叫子也光榮你:
2 Maana ulimpa Mwanao mamlaka juu ya watu wote ili awape uzima wa milele wote hao uliompa. (aiōnios )
因為你賜給了他權柄掌管凡有血肉的人,是為叫他將永生賜給一切你所賜給他的人。 (aiōnios )
3 Na uzima wa milele ndio huu: kukujua wewe uliye peke yako Mungu wa kweli, na kumjua Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios )
永生就是:認識你,唯一的真天主,和你所派遣來的耶穌基督。 (aiōnios )
4 Mimi nimekutukuza hapa duniani; nimeikamilisha ile kazi uliyonipa nifanye.
我在地上,已光榮了你,完成了你所委託我所作的工作。
5 Sasa, Baba, nitukuze mbele yako kwa ule utukufu niliokuwa nao kabla ya kuumbwa ulimwengu.
父啊! 現在,在你面前光榮我罷!賜給我在世界未有以前,我在你前所有的光榮罷!」
6 “Nimekufanya ujulikane kwa watu wale ulionipa kutoka duniani. Walikuwa watu wako, nawe ukanipa wawe wangu; nao wamelishika neno lako.
「我已將你的名,顯示給那些你由世界中所賜給我的人。他們原屬於你,你把他們托給了我,他們也遵守了你的話。
7 Sasa wanajua kwamba kila ulichonipa kimetoka kwako.
現在他們已知道:凡你賜給我的,都是由你而來的,
8 Mimi nimewapa ule ujumbe ulionipa nao wameupokea; wanajua kwamba kweli nimetoka kwako, na wanaamini kwamba wewe ulinituma.
因為你所授給我的話,我都傳給了他們;他們也接受了,也確實知道我是出於你,並且信是你派遣了我。
9 “Nawaombea hao; siuombei ulimwengu, ila nawaombea hao ulionipa, maana ni wako.
我為他們祈求,不為世界祈求,只為你賜給我的人祈求,因為他們原是屬於你的。
10 Yote niliyo nayo ni yako, na yako ni yangu; na utukufu wangu umeonekana ndani yao.
我的一切都是你的,你的一切都是我的: 因他們已受到了光榮。
11 Na sasa naja kwako; simo tena ulimwenguni, lakini wao wamo ulimwenguni. Baba Mtakatifu! Kwa nguvu ya jina lako ulilonipa, tafadhali uwaweke salama ili wawe kitu kimoja kama sisi tulivyo mmoja.
從今以後,我不在世界上了,但他們仍在世界上,我卻到你那裏去。聖父啊! 求你因你的名,保全那些你所賜給我的人,使他們合而為一,正如我們一樣。
12 Nilipokuwa nao, mimi niliwaweka salama kwa nguvu ya jina lako ulilonipa. Mimi nimewalinda, wala hakuna hata mmoja wao aliyepotea, isipokuwa yule aliyelazimika kupotea ili Maandiko Matakatifu yapate kutimia.
當我和他們同在時,我因你的名,保全了你所賜給我的人,護衛了他們,其中除了那喪亡之子,沒有喪亡一個,這是應驗經上的話。
13 Basi, sasa naja kwako, na nimesema mambo haya ulimwenguni, ili waweze kushiriki kikamilifu furaha yangu.
但如今我到你那裏去,我在世上講這話,是為叫他們的心充滿我的喜樂。
14 Mimi nimewapa neno lako, nao ulimwengu ukawachukia, kwa sababu wao si wa ulimwengu kama vile nami nisivyo wa ulimwengu.
我己將你的話授給了他們,世界卻憎恨他們,因為他們不屬於世界,就如我不屬於世界一樣。
15 Siombi uwatoe ulimwenguni, bali naomba uwakinge na yule Mwovu.
我不求你將世界上撤去,只求你保護他們脫免邪惡。
16 Wao si wa ulimwengu, kama vile nami nisivyo wa ulimwengu.
他們不屬於世界,就如我不屬於世界一樣。
17 Waweke wakfu kwa ukweli; neno lako ni ukweli.
求你以真理祝聖他們,你的話就是真理。
18 Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni;
就如你派遣我到世界上來,照樣我也派遣他們到世界上去。
19 na kwa ajili yao mimi mwenyewe najiweka wakfu ili nao pia wafanywe wakfu katika ukweli.
我為他們祝聖我自己,為叫他們也因真理而被祝聖。」「
20 “Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao.
我不但為他們祈求,而且也為那些因他們的話而信從我的人祈求。
21 Naomba ili wote wawe kitu kimoja. Baba! Naomba wawe ndani yetu kama vile wewe ulivyo ndani yangu nami ndani yako. Naomba wawe kitu kimoja kusudi ulimwengu upate kuamini kwamba wewe ulinituma.
願眾人都合而為一! 父啊! 願他們在我們內合而為一,就如內你在我內,我在你內,為叫世界相信是你派遣了我。
22 Mimi nimewapa utukufu uleule ulionipa mimi, ili wawe kitu kimoja kama nasi tulivyo mmoja;
我將你賜給我的光榮賜給了他們,為叫他們合而為一,就如我們原為一體一樣。
23 mimi niwe ndani yao, nawe uwe ndani yangu; naomba wakamilishwe na kuwa kitu kimoja, ili ulimwengu upate kujua kwamba wewe ulinituma, na kwamba unawapenda wao kama unavyonipenda mimi.
我在他們內,你在我內,使他們完全合而為一,為叫世界知道是你派遣了我,並且你愛了他們,如愛了我一樣。
24 “Baba! Nataka wao ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, ili wauone utukufu wangu ulionipa; kwa kuwa ulinipenda kabla ya kuumbwa ulimwengu.
父啊! 你所賜給我的人,我願我在那裏,他們也同我在一起,使他們享見你所賜給我的光榮,因為你在創世之前,就愛了我。
25 Baba Mwema! Ulimwengu haukujui, lakini mimi nakujua. Hawa nao wanajua kwamba wewe ulinituma.
公義的父啊! 世界沒有認識你,我卻認識了你,這些人也知道是你派遣了我。
26 Nimekufanya ujulikane kwao na nitaendelea kufanya hivyo, ili upendo ulio nao kwangu uwe ndani yao, nami niwe ndani yao.”
我已將你的名宣示給他們了,我還要宣示,好使你愛我的愛,在他們內,內我也在他們內。」