< Yohana 14 >

1 Yesu aliwaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia.
Utekilisha omutima gwao okunyaka. Omumwikilisha Nyamuanga nyikilisha nanye.
2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; la sivyo ningalikwisha waambieni. Sasa nakwenda kuwatayarishieni nafasi.
Munyumba ya Lata yani bhulimo obwikalo bhafu bho kwiyanja; alibha itali kutyo, nakakubwila, enigenda okubhachumila obhwikalo kulwawe.
3 Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi.
Alabha nikagenda okubhachumila obwikalo, enija lindi okubhakalibhisha kwanye, anu nili nemwe ona mubheo.
4 Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.”
Omumenya injila enuenigenda.”
5 Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”
Tomaso namubwila Yesu ati,”Lata bhugenyi, chitakumenya eyo ouja; Mbe! Echitulatiki okuimenya injila?
6 Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uzima. Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu.
Yesu namubwila ati,”Nanye injila, nechimali no bhuanga; atalio unu katula okuja ku Lata atalabhile kwanye.
7 Ikiwa mnanijua mimi mnamjua na Baba yangu pia. Na tangu sasa, mnamjua, tena mmekwisha mwona.”
Alabha mumenyele anye, mwakamumenyele na Lata wani ona; Okusoka woli nokugendelela mumenyele na mwamulolele mwene.”
8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuonyeshe Baba, nasi tutatosheka.”
Philipo namubwila Yesu ati.”Latabhugenyi, choleleshe Lata na kutyo ebhichimala.”
9 Yesu akamwambia, “Filipo, nimekaa nanyi muda wote huu, nawe hujanijua? Aliyekwisha niona mimi amemwona Baba. Unawezaje basi, kusema: Tuonyeshe Baba?
Yesu namubwila ati,” muli amwi anye mwanya bhafu, kutya utakumenya anye, Philipo? wona oyo alolele anye amulolele Lata Niki chinu owaika ati,' choleshe Lata'?
10 Je, huamini kwamba mimi niko ndani ya Baba, naye Baba yuko ndani yangu? Maneno ninayowaambieni nyote siyasemi kwa mamlaka yangu; Baba aliye ndani yangu anafanya kazi yake.
Mtakwikilisha kubha anye ndi mu Lata, na Lata ali mwanye? Emisango jinu enibhabwila kwemwe nitakwaika kwo bhutulo bhanila; nawe ni Lata unu ekaye mwanye oyokakola emilimu jaye.
11 Mnapaswa kuniamini ninaposema kwamba mimi niko ndani ya Baba naye Baba yuko ndani yangu. Ama sivyo, aminini kwa sababu ya mambo ninayofanya.
Nyikilisha anye, ati nili mu Lata, na Lata ali amwi nanye; Nyikilisha anye kwe emilimu jani.
12 Kweli nawaambieni, anayeniamini atafanya mambo ninayofanya mimi; naam, atafanya hata makuu zaidi, maana nakwenda kwa Baba.
Nichimali, chimali, nabhabwila ati, oyo kanyikilisha, anye nimilimu, ejoenikola, kajikola emilimu jinu ona; na kakola nolwo emilimu minene kwo kubha enilagenda ku Lata.
13 Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.
Chona chona mulisabwa kwa lisina lyani, enikola koleleki Lata akusibwe ku mwana.
14 Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.
Alabha mukasabwa echinu chonachona kwisina lyani elyo enikola.
15 “Mkinipenda mtazishika amri zangu.
Alabha mukanyenda, mulagwataga ebhilagilo byani.
16 Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele. (aiōn g165)
Na ndimusabwa Lata, abhayane Omusilisha oundi atule okwikala amwi nemwe kajanende, (aiōn g165)
17 Yeye ni Roho wa kweli. Ulimwengu hauwezi kumpokea kwa sababu hauwezi kumwona wala kumjua. Lakini ninyi mnamjua kwa sababu anabaki nanyi na yu ndani yenu.
Omwoyo we chimali. unu isi inu itakutula kumwikilisha omwene kwo kubha itakumulola, itakumumenya omwene. nolwo kutyo emwe, mumumenyele omwene, kubha ekaye amwi nemwe na alibhaga amwi nemwe.
18 “Sitawaacha ninyi yatima; nitakuja tena kwenu.
Nitalibhasiga bhene; enisubha kwemwe.
19 Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini ninyi mtaniona; na kwa kuwa mimi ni hai, nanyi pia mtakuwa hai.
Ku mwanya mutoto, isi itakundola lindi, nawe emwe omundola. Okubha anye ndi muanga, nemwe mulibha bhaanga ona.
20 Siku ile itakapofika mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba, nanyi mko ndani yangu, nami ndani yenu.
Ku lusiku olwo mulimenya ati anye ndi mu Lata, nemwe muli mwanye, nanye nili mwemwe
21 Azipokeaye amri zangu na kuzishika, yeye ndiye anipendaye. Naye anipendaye mimi atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.”
Wona wona oyokagwata ebhilagilo byani no kujikola, niwe umwi unu kanyenda anye; oyo kanyenda anye kendwa na Lata wani, enimwenda eniyelesha anye kumwene kwaye.”
22 Yuda (si yule Iskarioti) akamwambia, “Bwana, itawezekanaje wewe kujidhihirisha kwetu na si kwa ulimwengu?”
Yuda (atali Iskariyote) namubwila Yesu ati,”Lata bhugenyi, Mbe! nanye echisokelela ati owiyolesha omwene kweswe na atali kusi?
23 Yesu akamjibu, “Mtu akinipenda atashika neno langu, na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa naye.
Yesu nasubya naika ati,”Alabha wona wona akanyenda, aligwata omisango gwani. Lata wani alimwenda, nechija kweye na chilikola obwikalo bweswe amwi nage.
24 Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni lake Baba aliyenituma.
Wona wona unu atakunyenda anye, atakugwata misango jani. Omusango gunu ogwomwogwa gutali gwani nawe Lata unu antumile.
25 “Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi
Nagaika ganu kwemwe, omwanya guchali nikaye kwemwe.
26 lakini Msaidizi, Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisheni kila kitu na kuwakumbusheni yote niliyowaambieni.
Nolwo kutyo omusilisha, Omwoyo mwelu, onu Lata antumile kwa lisina lyaye, alibheigisha emisango jona na alibhakola na alibhechusha jona ejo naikile kwemwe.
27 “Nawaachieni amani; nawapeni amani yangu. Siwapi ninyi kama vile ulimwengu ufanyavyo. Msiwe na wasiwasi, wala msifadhaike.
Omulembe nabhayana omulembe gwani anye. Nitakubhana lwa isi kutyo eibhayana. Mutakola emitima jemwe kulumwalumwa no kubhaya.
28 Mlikwisha sikia nikiwaambieni: Ninakwenda zangu, kisha nitarudi tena kwenu. Kama mngalinipenda mngalifurahi kwa sababu ninakwenda kwa Baba, maana yeye ni mkuu kuliko mimi.
Mwoguwe ganu nabhabwiliye ati,'Enigenda jani, nenisubha kwemwe.'alabha muchisanga munyendele anye, bhakabheye na likondelelwa okubha enigenda ku Lata, okubha ni mukulu kukila amwe.
29 Nimewaambieni haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini.
Woli namalile okubhabwila ati alibha chabhao koleleki, chibheo mwikilishe.
30 Sitasema nanyi tena mambo mengi, maana mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Kwangu mimi hawezi kitu;
Nitachaika nemwe emisango mwafu, okubha omukulu wa isi inu kaja. Omwene atali na managa ingulu yani,
31 lakini ulimwengu unapaswa kujua kwamba nampenda Baba, na ndiyo maana nafanya kila kitu kama Baba alivyoniamuru. Simameni, tutoke hapa!”
Nawe koleleki isi ibhone okumenya ati namwendele Lata, enikola chinu Lata andagiliye anye, kutyo anaye ebhilagilo. Mwimuke na chisoke anu.

< Yohana 14 >