< Wahebrania 8 >

1 Basi, jambo muhimu katika hayo tunayosema ni hili: sisi tunaye Kuhani Mkuu wa namna hiyo, ambaye anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Mwenyezi Mungu mbinguni.
Голова ж сказаного - Такого маємо Архиєрея, що сїв по правиції престола величчя на небесах,
2 Yeye hutoa huduma ya Kuhani Mkuu katika Mahali Patakatifu sana, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu.
служителя святинї і скинї істинної, котру поставив Господь, а не чоловік.
3 Kila Kuhani Mkuu ameteuliwa kumtolea Mungu vipawa na dhabihu, na hivyo Kuhani Mkuu wetu lazima pia awe na kitu cha kutolea.
Всякий бо архиєрей поставляєть ся, щоб приносити дари і жертви; тим треба й Сьому що мати, щоб принести.
4 Kama yeye angekuwa wa hapa duninani, asingekuwa kamwe kuhani, kwani wako makuhani wengine wanaotoa sadaka kufuatana na Sheria.
Бо коли б Він був на землї, не був би священиком, (де) в священики, що приносять по закону дари,
5 Huduma zao za kikuhani ni mfano tu na kivuli cha yale yaliyoko mbinguni. Ndivyo pia ilivyokuwa kwa Mose. Wakati alipokuwa karibu kuitengeneza ile hema, Mungu alimwambia: “Tengeneza kila kitu kufuatana na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani.”
котрі служать образу і тїнї небесного, яко ж глаголано Мойсейові, як хотїв зробити скиню. "Гледи бо", рече, "зроби все по взору, показаному тобі на горі."
6 Lakini sasa Yesu amepewa huduma ya kikuhani iliyo bora zaidi kuliko yao, kama vile agano alilothibitisha kati ya watu na Mungu ni bora zaidi, kwani lina msingi wake katika ahadi za mambo yaliyo bora zaidi.
Тепер же (Христос) лучче знарядив служеннє, на скілько Від посередник луччого завіту, котрий на луччих обітницях узаконив ся.
7 Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili.
Бо коли б первий той був без пороку, не шукалось би місця другому.
8 Lakini Mungu aliwalaumu watu wake aliposema: “Siku zinakuja, asema Bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na kabila la Yuda.
Докоряючи бо їх глаголе: "Ось ідуть днї, глаголе Господь, і зроблю з домом Ізраїлевим і з домом Юдовим завіт новий,
9 Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na babu zao siku ile nilipowaongoza kwa mkono kutoka nchi ya Misri. Hawakuwa waaminifu kwa agano langu; na hivyo mimi sikuwajali, asema Bwana.
не по завіту, що вробив я з отцями вашими, того дня, як узяв я їх за руку, щоб вивести їх із землі Єгипецької: бо вони не пробували в завітї моїм, і я занедбав їх, глаголе Господь.
10 Na hili ndilo agano nitakalofanya na watu wa Israeli siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu akilini mwao, na kuziandika mioyoni mwao. Mimi nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
Тим се завіт, котрий: зроблю дому Ізраїлевому по тих днях, глаголе Господь: Давши закони мої в думку їх, і на серцях їх напишу їх, і буду їм Бог, а вони будуть мені народ.
11 Hakuna mtu atakayemfundisha mwananchi mwenzake, wala atakayemwambia ndugu yake: Mjue Bwana. Maana watu wote, wadogo na wakubwa, watanijua mimi.
І не вчити ме кожен ближнього свого, і кожен брата свого, говорячи: Познай Господа; бо всї знати муть мене від малого та й до великого між ними.
12 Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”
Тим що милостив буду на неправди їх, і гріхів їх і беззаконий їх не згадувати му більше."
13 Kwa kusema juu ya agano jipya, Mungu alilichakaza lile la kwanza; na chochote kinachochakaa na kuwa kikuukuu kitatoweka karibuni.
А що глаголе: "новий", то обветшив первого; що ж обветшало і зстарілось, те близьке зотлїння.

< Wahebrania 8 >