< Wahebrania 5 >

1 Kila kuhani mkuu huchaguliwa kutoka miongoni mwa watu kwa ajili ya kumtumikia Mungu kwa niaba yao, kutolea zawadi na tambiko kwa ajili ya dhambi zao.
Albowiem każdy najwyższy kapłan z ludzi wzięty, za ludzi bywa postanowiony w tych rzeczach, które do Boga należą, to jest, aby ofiarował dary i ofiary za grzechy.
2 Maadamu yeye mwenyewe yu dhaifu anaweza kuwaonea huruma wale wasiojua kitu na wanaofanya makosa.
Który by mógł, jako przystoi, użalić się nieumiejętnych i błądzących, będący sam obłożony krewkością.
3 Na kwa vile yeye mwenyewe ni dhaifu, anapaswa kutolea dhabihu si tu kwa ajili ya watu, bali pia kwa ajili ya dhambi zake.
A dla tej jest powinien, jako za lud, tak i sam za się ofiarować za grzechy.
4 Hakuna mtu awezaye kujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu. Kila mmoja huteuliwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kama alivyokuwa Aroni.
A nikt sobie tej czci nie bierze, tylko ten, który bywa powołany od Boga jako i Aaron.
5 Hali kadhalika naye Kristo hakujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu, bali Mungu alimwambia: “Wewe ni Mwanangu; mimi leo nimekuwa baba yako.”
Tak i Chrystus nie sam sobie tej czci przywłaszczył, aby się stał najwyższym kapłanem; ale ten, który mu rzekł: Syn mój jesteś ty, jam cię dziś spłodził.
6 Alisema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.” (aiōn g165)
Jako i na inszem miejscu mówi: Tyś jest kapłanem na wieki według porządku Melchisedekowego. (aiōn g165)
7 Yesu alipokuwa anaishi hapa duniani, kwa kilio kikuu na machozi, alisali na kumwomba Mungu ambaye alikuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka kifo; naye alisikilizwa kwa sababu ya kumcha Mungu.
Który za dni ciała swego modlitwy i uniżone prośby do tego, który go mógł zachować od śmierci, z wołaniem wielkiem i ze łzami ofiarował, i wysłuchany jest dla uczciwości.
8 Lakini, ingawa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso.
A choć był Synem Bożym, wszakże z tego, co cierpiał, nauczył się posłuszeństwa.
9 Na alipofanywa mkamilifu, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wale wote wanaomtii, (aiōnios g166)
A tak doskonałym będąc, stał się wszystkim sobie posłusznym przyczyną zbawienia wiecznego, (aiōnios g166)
10 naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.
Nazwany będąc od Boga kapłanem najwyższym według porządku Melchisedekowego.
11 Tunayo Mengi ya kusema juu ya jambo hili, lakini ni vigumu kuwaelezeni, kwa sababu ninyi si wepesi wa kuelewa.
O którym wiele by się miało mówić i trudnych rzeczy do wyłożenia; aleście się wy stali leniwi ku słuchaniu.
12 Sasa mngalipaswa kuwa tayari walimu, lakini mnahitaji bado mtu wa kuwafundisheni mafundisho ya mwanzo ya ujumbe wa Mungu. Badala ya kula chakula kigumu, mnapaswa bado kunywa maziwa.
Albowiem mając być nauczycielami względem czasu, zasię potrzebujecie, aby was uczono, które są pierwsze początki mów Bożych, i staliście się jako mleka potrzebujący, a nie twardego pokarmu.
13 Kila anayepaswa kunywa maziwa huyo ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.
Bo każdy, co się tylko mlekiem karmi, ten nie jest powiadomy mowy sprawiedliwości: (gdyż jest niemowlątkiem),
14 Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu waliokomaa, ambao wanaweza kubainisha mema na mabaya.
Aleć doskonałym należy twardy pokarm, to jest tym, którzy przez przyzwyczajenie mają zmysły wyćwiczone ku rozeznaniu dobrego i złego.

< Wahebrania 5 >