< Wahebrania 12 >

1 Sisi tunalo kundi hili kubwa la mashahidi mbele yetu. Kwa hiyo tuondoe kila kizuizi kinachotuzuia, na dhambi ile inayotung'ang'ania. Tupige mbio kwa uvumilivu katika mashindano yaliyowekwa mbele yetu.
ato hetoretaavatsaak. simeghai rve. s.titaa. h santo vayamapi sarvvabhaaram aa"subaadhaka. m paapa nca nik. sipyaasmaaka. m gamanaaya niruupite maarge dhairyye. na dhaavaama|
2 Tumwelekee Yesu ambaye ndiye aliyeianzisha imani yetu na ambaye ataikamilisha. Kwa ajili ya furaha iliyokuwa inamngojea, yeye alivumilia kifo msalabani, bila kujali juu ya aibu yake, na sasa anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.
ya"scaasmaaka. m vi"svaasasyaagresara. h siddhikarttaa caasti ta. m yii"su. m viik. saamahai yata. h sa svasammukhasthitaanandasya praaptyartham apamaana. m tucchiik. rtya kru"sasya yaatanaa. m so. dhavaan ii"svariiyasi. mhaasanasya dak. si. napaar"sve samupavi. s.tavaa. m"sca|
3 Fikirini juu ya mambo yaliyompata Yesu, jinsi alivyostahimili upinzani mkubwa kwa watu wenye dhambi. Basi, msife moyo, wala msikate tamaa.
ya. h paapibhi. h svaviruddham etaad. r"sa. m vaipariitya. m so. dhavaan tam aalocayata tena yuuya. m svamana. hsu "sraantaa. h klaantaa"sca na bhavi. syatha|
4 Maana katika kupambana na dhambi, ninyi hamjapigana mpaka kiasi cha kumwaga damu yenu.
yuuya. m paapena saha yudhyanto. adyaapi "so. nitavyayaparyyanta. m pratirodha. m naakuruta|
5 Je, mmesahau yale maneno ya kutia moyo ambayo Mungu anawataja ninyi kuwa wanawe? “Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana, wala usife moyo anapokukanya.
tathaa ca putraan pratiiva yu. smaan prati ya upade"sa uktasta. m ki. m vism. rtavanta. h? "pare"sena k. rtaa. m "saasti. m he matputra na tucchaya| tena sa. mbhartsita"scaapi naiva klaamya kadaacana|
6 Maana Bwana humwadhibu kila anayempenda, humpinga kila anayekubali kuwa mwanae.”
pare"sa. h priiyate yasmin tasmai "saasti. m dadaati yat| yantu putra. m sa g. rhlaati tameva praharatyapi|"
7 Vumilieni adhabu kwani ni mafundisho; Mungu huwatendea ninyi kama wanawe. Maana ni mwana gani asiyeadhibiwa na baba yake?
yadi yuuya. m "saasti. m sahadhva. m tarhii"svara. h putrairiva yu. smaabhi. h saarddha. m vyavaharati yata. h pitaa yasmai "saasti. m na dadaati taad. r"sa. h putra. h ka. h?
8 Lakini msipoadhibiwa kama wana wengine, basi, ninyi si wanawe, bali ni wana haramu.
sarvve yasyaa. h "saastera. m"sino bhavanti saa yadi yu. smaaka. m na bhavati tarhi yuuyam aatmajaa na kintu jaarajaa aadhve|
9 Zaidi ya hayo sisi tunawaheshimu wazazi wetu waliotuzaa hata wanapotuadhibu. Basi, tunapaswa kumtii zaidi Baba yetu wa kiroho ili tupate kuishi.
aparam asmaaka. m "saariirikajanmadaataaro. asmaaka. m "saastikaari. no. abhavan te caasmaabhi. h sammaanitaastasmaad ya aatmanaa. m janayitaa vaya. m ki. m tato. adhika. m tasya va"siibhuuya na jiivi. syaama. h?
10 Wazazi wetu hapa duniani walituadhibu kwa muda, kama wao wenyewe walivyoona kuwa vema; lakini Mungu anatuadhibu kwa ajili ya faida yetu wenyewe, tupate kuushiriki utakatifu wake.
te tvalpadinaani yaavat svamano. amataanusaare. na "saasti. m k. rtavanta. h kintve. so. asmaaka. m hitaaya tasya pavitrataayaa a. m"sitvaaya caasmaan "saasti|
11 Kuadhibiwa si jambo la kufurahisha bali la kuhuzunisha. Lakini wale waliofunzwa kuwa na nidhamu mwishowe watavuna tuzo la amani kutoka katika maisha adili!
"saasti"sca varttamaanasamaye kenaapi naanandajanikaa kintu "sokajanikaiva manyate tathaapi ye tayaa viniiyante tebhya. h saa pa"scaat "saantiyukta. m dharmmaphala. m dadaati|
12 Basi, inueni mikono yenu inayolegea na kuimarisha magoti yenu yaliyo dhaifu.
ataeva yuuya. m "sithilaan hastaan durbbalaani jaanuuni ca sabalaani kurudhva. m|
13 Endeleeni kutembea katika njia iliyonyoka, ili kile kilicholemaa kisiumizwe, bali kiponywe.
yathaa ca durbbalasya sandhisthaana. m na bhajyeta svastha. m ti. s.thet tathaa svacara. naartha. m sarala. m maarga. m nirmmaata|
14 Jitahidini kuishi kwa amani na watu wote. Ishini maisha ya utakatifu, kwa sababu hakuna mtu atakayemwona Bwana bila ya maisha kama hayo.
apara nca sarvvai. h saartham ekyabhaava. m yacca vinaa parame"svarasya dar"sana. m kenaapi na lapsyate tat pavitratva. m ce. s.tadhva. m|
15 Jitahidini sana mtu yeyote asije akapoteza neema ya Mungu. Muwe waangalifu ili mti mchungu usizuke kati yenu na kuwaua wengi kwa sumu yake.
yathaa ka"scid ii"svarasyaanugrahaat na patet, yathaa ca tiktataayaa muula. m praruhya baadhaajanaka. m na bhavet tena ca bahavo. apavitraa na bhaveyu. h,
16 Jihadharini ili miongoni mwenu pasiwe na mtu mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, aliyeuza haki yake ya mzaliwa wa kwanza kwa mlo mmoja.
yathaa ca ka"scit lampa. to vaa ekak. rtva aahaaraartha. m sviiyajye. s.thaadhikaaravikretaa ya e. saustadvad adharmmaacaarii na bhavet tathaa saavadhaanaa bhavata|
17 Ninyi mnafahamu kwamba hata alipotaka kuipata tena ile baraka iliyokuwa yake, alikataliwa, maana hakupata tena nafasi ya kutubu, ingawa aliitafuta kwa machozi.
yata. h sa e. sau. h pa"scaad aa"siirvvaadaadhikaarii bhavitum icchannapi naanug. rhiita iti yuuya. m jaaniitha, sa caa"srupaatena matyantara. m praarthayamaano. api tadupaaya. m na lebhe|
18 Ninyi hamkuwasili mlimani Sinai, ambao unaweza kushikika kama walivyofanya watu wa Israeli, hamkufika kwenye moto uwakao, penye giza, tufani,
apara nca sp. r"sya. h parvvata. h prajvalito vahni. h k. r.s. naavar. no megho. andhakaaro jha nbh"sa tuuriivaadya. m vaakyaanaa. m "sabda"sca naite. saa. m sannidhau yuuyam aagataa. h|
19 mvumo wa tarumbeta na sauti ya maneno. Wale waliosikia sauti hiyo waliomba wasisikie tena neno jingine,
ta. m "sabda. m "srutvaa "srotaarastaad. r"sa. m sambhaa. sa. na. m yat puna rna jaayate tat praarthitavanta. h|
20 kwani hawakuweza kustahimili amri iliyotolewa: “Atakayegusa mlima huu, hata kama ni mnyama, atapigwa mawe.”
yata. h pa"surapi yadi dharaadhara. m sp. r"sati tarhi sa paa. saa. naaghaatai rhantavya ityaade"sa. m so. dhu. m te naa"saknuvan|
21 Hayo yote yalionekana ya kutisha mno, hata Mose akasema, “Naogopa na kutetemeka.”
tacca dar"sanam eva. m bhayaanaka. m yat muusasokta. m bhiitastraasayukta"scaasmiiti|
22 Lakini ninyi mmefika katika mlima wa Sioni, kwenye mji wa Mungu aliye hai. Mmefika Yerusalemu, mji wa mbinguni, ambapo wamekusanyika malaika elfu nyingi wasiohesabika.
kintu siiyonparvvato. amare"svarasya nagara. m svargasthayiruu"saalamam ayutaani divyaduutaa. h
23 Mmefika kwenye kusanyiko kubwa la wazaliwa wa kwanza wa Mungu, ambao majina yao yameandikwa mbinguni. Mnasimama mbele ya Mungu aliye hakimu wa wote, na mbele ya roho za watu waadilifu waliofanywa kuwa wakamilifu.
svarge likhitaanaa. m prathamajaataanaam utsava. h samiti"sca sarvve. saa. m vicaaraadhipatirii"svara. h siddhiik. rtadhaarmmikaanaam aatmaano
24 Mmefika kwa Yesu ambaye ameratibisha agano jipya, na ambaye damu yake iliyomwagika inasema mambo mema zaidi kuliko ile ya Abeli.
nuutananiyamasya madhyastho yii"su. h, apara. m haabilo raktaat "sreya. h pracaaraka. m prok. sa. nasya rakta ncaite. saa. m sannidhau yuuyam aagataa. h|
25 Basi, jihadharini msije mkakataa kumsikiliza yeye ambaye anasema nanyi. Kama wale walikataa kumsikiliza yule aliyewaonya hapa duniani hawakuokoka, sisi tutawezaje kuokoka kama tukikataa kumsikiliza yule anayetuonya kutoka mbinguni?
saavadhaanaa bhavata ta. m vaktaara. m naavajaaniita yato heto. h p. rthiviisthita. h sa vaktaa yairavaj naatastai ryadi rak. saa naapraapi tarhi svargiiyavaktu. h paraa"nmukhiibhuuyaasmaabhi. h katha. m rak. saa praapsyate?
26 Wakati ule sauti ilitetemesha nchi, lakini sasa ameahidi: “Nitatetemesha nchi tena, lakini si nchi tu bali pia mbingu.”
tadaa tasya ravaat p. rthivii kampitaa kintvidaanii. m teneda. m pratij naata. m yathaa, "aha. m punarekak. rtva. h p. rthivii. m kampayi. syaami kevala. m tannahi gaganamapi kampayi. syaami|"
27 Neno hili: “tena” linatuonyesha kwamba vitu vyote vilivyoumbwa vitatetemeshwa na kutoweka ili vibaki vile visivyotetemeshwa.
sa ekak. rtva. h "sabdo ni"scalavi. sayaa. naa. m sthitaye nirmmitaanaamiva ca ncalavastuunaa. m sthaanaantariikara. na. m prakaa"sayati|
28 Sisi basi, na tushukuru kwani tunapokea utawala usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu Mungu kwa namna itakayompendeza, kwa ibada na hofu;
ataeva ni"scalaraajyapraaptairasmaabhi. h so. anugraha aalambitavyo yena vaya. m saadara. m sabhaya nca tu. s.tijanakaruupe. ne"svara. m sevitu. m "saknuyaama|
29 maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza.
yato. asmaakam ii"svara. h sa. mhaarako vahni. h|

< Wahebrania 12 >