< Wahebrania 11 >

1 Kuwa na imani ni kuwa na hakika ya mambo tunayotumainia; kusadiki kabisa mambo tusiyoyaona.
Nambeambe imani yabile nga hakika yabile nayo mundu muda atarajia kilebe pulani kwa ujasiri. Ni hakika ya kilebe chabile bado bonekaniya.
2 Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao.
Kwa mana yee apindo bitu batithibitika kwa imani yabe.
3 Kwa imani sisi tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu; vitu vinavyoonekana kutoka vitu visivyoonekana. (aiōn g165)
Kwa imani twatifahamu kwamba ulimwengu waumbilwe kwa amri ya Nnongo, ili kwamba chelo chatibonekaniya chatitengenezwa kwaa bonekana ni ilebe ambayo yabile yatibonekana. (aiōn g165)
4 Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu iliyokuwa bora zaidi kuliko ile ya Kaini. Kwa imani yake alikubaliwa na Mungu kuwa mwadilifu; Mungu mwenyewe alizikubali sadaka zake. Kwa imani yake ingawa amekufa, bado ananena.
Ibile kwa mana ya imani kuwa Habili atikumtolea Nnongo sadaka ya kufaa kuliko kagapanga Kaini. Yaibile ni kwa mana yee atikusifiwa kuba mwene haki. Nnongo atikumsifu kwa mana ya zawadi yailetike. Kwa mana yoo, Habili bado abaya, ingawa atiwaa.
5 Kwa imani Henoki alichukuliwa na Mungu, asipate kufa. Hakuonekana tena kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Maandiko yasema kwamba kabla ya kuchukuliwa kwake, yeye alikuwa amempendeza Mungu.
Yaibile kwa imani kuba Enoko apotwilwe nnani na abonike kwaa kiwo.”Abonekine kwaa, kwa mana Nnongo atikuntola” kwa mana yabayilwe nnani yake kuba atikumpendeza Nnongo kabla ya kuntola kunani.
6 Basi, pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu. Kwa maana kila mtu anayemwendea Mungu ni lazima aamini kwamba Mungu yuko, na kwamba huwatuza wale wanaomtafuta.
Ntopo imani yatiwezekana kwaa kumpendeza Nnongo, kwa mana ywaisa kwa Nnongo lazima aaminiye kuba Nnongo abile nkoti ni huapatia zawadi balo bankengamite.
7 Kwa imani Noa alionywa na Mungu juu ya mambo ya baadaye ambayo hakuweza kuyaona bado. Alimtii Mungu, akajenga ile safina ambamo aliokolewa yeye pamoja na jamaa yake. Kutokana na hayo ulimwengu ulihukumiwa, naye Noa akapokea uadilifu unaotokana na imani.
Yabile kwa imani kuba Nuhu, abile akanyilwe ni Nnongo husiana na makowe ambago yaibile kwaa yatibonekine kwa heshima ya Nnongo kachuchengya safina kwaajili ya kulopwa familia yake. Kwa kupanga yee, atikuihukumu dunia ni kuba mrithi ba haki yaisa petya imani.
8 Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama.
Yaibile ni kwa imani kuwa Ibrahimu, paakemilwe alowa kueshimu no yendya pandu paapalikwa pokya kati urithi. Ayei bila yowa pandu gani pabile atiyenda.
9 Kwa imani aliishi kama mgeni katika nchi aliyoahidiwa na Mungu. Aliishi huko katika hema kama walivyoishi Isaka na Yakobo, ambao pia walishiriki ahadi ileile.
Yabile ni kwa imani yabile yatiitama mu'nnema ya ahadi kati mgeni. Atitama mu'lihema pamope ni Isaka ni Yakobo, barithi babenge ni ahadi yeyelo.
10 Maana Abrahamu alikuwa akingojea mji wenye misingi imara, mji ambao Mungu mwenyewe ndiye fundi aliyeubuni na kuujenga.
Ayee nga sababu atitarajia kuupata mji ambao ywaubuni na kuuchenga alowa pangilwa Nnongo.
11 Kwa imani hata Sara aliamini kwamba Mungu hutimiza ahadi zake, kwa hiyo akajaliwa kuchukua mimba ingawaje alikuwa amepita umri.
Yabile ni kwa imani panga Ibrahimu, na Sara mwene, wapokii ngupu ya tunga ndumbo ingawa babile apindo muno, kwa mana wamweni Nnongo kuwa mwaminifu, ywabile atiwaahidia mwana nnalome.
12 Kwa hiyo, kutoka katika mtu huyo mmoja, Abrahamu, ambaye alikuwa kama amekufa, walitokea watu wengi wasiohesabika kama vile nyota za mbinguni na mchanga wa pwani.
Kwa eyo kae boka kwa mundu yolo yumo ywaabile atikaribia kiwo batibelekwa bana babalangika kwaa. Babile banyansima kati itobdo za kumaunde kati mbeyu ya mchanga katika fukwe ga bahari.
13 Watu hawa wote walikufa wakiwa na imani. Walikufa kabla ya kupokea mambo ambayo Mungu alikuwa ameahidi, lakini kwa mbali waliyaona, wakashangilia, na kukiri wazi kwamba wao walikuwa wageni na wakimbizi duniani.
Aba bote bawile katika imani bila pokya ahadi, ila, babile baibweni ni kuikaribisha kwa kutalu, batibaya panga babile ageni na apitaji nnani ya nnema,
14 Watu wanaosema mambo kama hayo, huonyesha wazi kwamba wanaitafuta nchi yao wenyewe.
Kwa balo balongela makowe kati aga babekite bayana kuwa waipala nchi yabe bene.
15 Kama wangalikuwa wanaifikiria nchi walikotoka zamani, wangalipata nafasi ya kurudi huko.
Kwa kweli, kati babile bakiiwaza nchi ambayo babokite, babile na nafasi ya kerebuka.
16 Lakini sasa wanataka nchi iliyo bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. Ndiyo maana Mungu haoni haya wakimwita yeye Mungu wao, kwa sababu yeye mwenyewe amekwisha watayarishia mji.
Lakini kati ya ibile, batamaniya nnema waubile bora, ambayo, ni ya kumaunde. Kwa eyo Nnongo abweni kwaa kiya kemelwa Nnongo wabe, kwa mana atiutayarisha nnema kwaajili yabe.
17 Kwa imani, Abrahamu alimtoa mwanae Isaka sadaka wakati Mungu alipomjaribu. Huyo Abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi ya Mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee,
Yabile ni kwa imani panga Ibrahimu baada ya jaribiwa, atimtoa Isaka. Nga nyoo, ywatipokya kwa puraha ahadi, alimtoa mwana wake mwene,
18 ingawa Mungu alikuwa amemwambia: “Wazawa wako watatokana na Isaka.”
ambaye nnani yake atilongelwa, “Boka kwa Isaka ubeleki wako walowa kemelwa.”
19 Abrahamu aliamini kwamba Mungu anaweza kuwafufua wafu: na kwa namna fulani kweli Abrahamu alimpata tena mwanae kutoka wafu.
Ibrahimu atangite panga Nnongo abile na uwezo wa kumfufua Isaka boka mu. kiwo, na kwa longela kwa lugha ya maumbo, atimpokya.
20 Kwa imani Isaka aliwabariki Yakobo na Esau, wapate baraka zitakazokuja baadaye.
Yabile ni katika imani panga Isaka atimbariki Yakobo na Esau kuhusu makowe gaisa.
21 Kwa imani Yakobo alipokuwa karibu kufa, aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiegemea ile fimbo yake.
Ibile ni kwa imani panga Yakobo abile katika hali ya waa, atekumbarikiya kila yumo wa bana ba Yusufu. Yakobo aabudiya, kaegemeya nnani ya fimbo yake.
22 Kwa imani Yosefu alipokuwa karibu kufa, alinena juu ya kutoka kwa Waisraeli katika nchi ya Misri, na pia akawaachia maagizo kuhusu mifupa yake.
Yabile ni kwa imani panga Yusufu muda wake wa mwisho ubile papipi, alongela nnani ya boka kwa bana ba Israel Misri na kabaagiza tola pamope nabo mifupa gake.
23 Kwa imani wazazi wa Mose walimficha huyo mtoto kwa muda wa miezi mitatu baada ya kuzaliwa kwake. Walimwona kuwa ni mtoto mzuri, wala hawakuiogopa amri ya mfalme.
Ibile ni kwa imani panga Musa, paabelekilwe, atibikana kwaa muda wa miyei itatu na azazi bake kwa sababu bamweni kuwa ni mwana nchunu ywabile mzuri, na bayogopa kwaa amri ya mpwalume.
24 Kwa imani Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
Ibile ni kwa imani panga Musa paabile mundu mpindo, akani kukemwa mwana wa nwawa wa Farao.
25 Aliona ni afadhali kuteseka pamoja na watu wa Mungu kuliko kufurahia raha ya dhambi kwa kitambo kidogo.
Badala yake, achawa shiriki mateso pamope ni bandu ba Nnongo badala ya puraika ni anasa za sambi kwa muda nchunu.
26 Alitambua kwamba kuteseka kwa ajili ya Masiha kuna faida kubwa zaidi kuliko utajiri wote wa nchi ya Misri, maana alikuwa anatazamia tuzo la baadaye.
Awazile kiya ya kunkengama Kristo kuwa ni utajiri nkolo kuliko hazina za Misri kwa mana atumbwi minyo katika zawadi muda wake woisa.
27 Kwa imani Mose alihama kutoka nchi ya Misri bila kuogopa hasira ya mfalme; na wala hakurudi nyuma, kwani alikuwa kama mtu aliyemwona yule Mungu asiyeonekana.
Ibile ni kwa imani panga Musa aboka Misri. Ahofia kwaa hasira ya mpwalume, kwa mana atipumilia kwa lolekeya kwa ywabonekana kwaa.
28 Kwa imani aliadhimisha siku ya Pasaka, akaamuru damu inyunyizwe juu ya milango, ili yule Malaika Mwangamizi asiwaue wazaliwa wa kwanza wa Israeli.
Ibile ni kwa imani panga aikamwi Pasaka na kunyunyiza mwai, ili panga mharibu wa mbeleki wa kwanza aweze kwaa kubakamwa wabeleki wa kwanza analome wa baisraeli.
29 Kwa imani watu wa Israeli walivuka bahari ya Shamu, kana kwamba ilikuwa nchi kavu; lakini Wamisri walipojaribu kufanya hivyo walikufa maji.
Ibile ni kwa imani panga bapeta katika bahari ya shamu kati pannema nkavu. Muda bamisri batijaribu peta, balimezwa.
30 Kwa imani kuta za mji wa Yeriko zilianguka watu wa Israeli walipokwisha zunguka kwa muda wa siku saba.
Ibile ni kwa imani panga ukuta ba Yeriko utombwike pae, baada ya kuuzunguka kwa masoba saba,
31 Kwa imani Rahabu aliyekuwa malaya hakuangamia pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa sababu aliwakaribisha wale wapelelezi.
Ibile ni kwa imani panga Rahabu yolo kahaba aangamiya kwaa pamope ni balo babile kwaa atiifu, kwa sababu abile abapokii bapelelezi na kubahifadhi salama.
32 Basi, niseme nini zaidi? Wakati hauniruhusu kueleza juu ya Gedeoni, Baraki, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na manabii.
Nibaye namani zaidi? Mana muda utosha kwaa longela ga Gideoni, Barak, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na manabii,
33 Kwa imani hawa wote walipigana vita na wafalme, wakashinda. Walitenda mambo adili, wakapokea yale aliyoahidi Mungu. Walifunga vinywa vya simba,
ambao pitya imani batizishinda falme, bapangite haki, bapokya ahadi.
34 Walizima mioto mikali, waliepuka kuuawa kwa upanga. Walikuwa dhaifu lakini walipata nguvu. Walikuwa hodari katika vita wakashinda majeshi ya kigeni.
Baikanikya mikanwa ya imba, batizima ngupu ya mwoto, bakwepite ncha ya upanga, baponywa boka mu matamwe, babile mashujaa vitani, na catisababisha majeshi ga ageni kupiya.
35 Na, wanawake walioamini walirudishiwa wafu wao wakiwa wamefufuliwa. Baadhi yao walikataa kufunguliwa, wakateswa mpaka kufa ili wapate kufufuliwa na kuingia katika maisha bora zaidi.
Alwawa bapokii bandu ba kiwo babe kwa ndela ya ufufuo. Benge bateswile, bila yeketya kulekwa huru ili panga baweze pata uzoefu wa ufufuo ubile bora muno.
36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani.
Benge batiteswa kwa dhihaka na kwa kombwa, eloo, hata kwa tabilwa na kwa bekwa muligereza.
37 Walipigwa mawe, walipasuliwa vipandevipande, waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi, walikuwa watu maskini, walioteswa na kudhulumiwa.
Bapondwile maliwe. Batitekwanikwa ipande kwa misumeno. Batibulagwa kwa upanga. Batiyenda kwa ngozi ya ngondolo na ngozi ya mbuzi babile babapala, batiyendelya katika maumivu na mapangilwe yanoite kwaa.
38 Ulimwengu haukustahili kuwa na watu hao. Walitangatanga jangwani na mlimani, wakaishi katika mashimo na mapango ya ardhi.
(Ambayo ulimwengu wastahili kwaa kuwa nabo) batitanga tanga mmwitu, mukitombe, katika mapango na katika mashimo ga nnema.
39 Watu hawa wote walionekana kuwa mashujaa kwa sababu ya imani yao. Hata hivyo, hawakupokea yale ambayo Mungu aliwaahidia,
Ingawa bandu bote aba batiyeketiwa na Nnongo kwa sababu ya imani yabe, bapokya kwaa chaatiahidia.
40 maana Mungu alikuwa ameazimia mpango ulio bora zaidi kwa ajili yetu; yaani wao wangeufikia ukamilifu wakiwa pamoja nasi.
Nnongo atiyongolya kutupatia kilebe kibile bora. ili panga bila twenga baweza kwaa kamilishwa.

< Wahebrania 11 >