< Wagalatia 6 >

1 Ndugu, kama mkimwona mtu fulani amekosea, basi, ninyi mnaoongozwa na Roho mwonyeni mtu huyo ajirekebishe; lakini fanyeni hivyo kwa upole, mkiwa na tahadhari msije nanyi wenyewe mkajaribiwa.
Ti eshwotso! ash iko morro finar b́daatsetka wotiyal shayiri ash wottswots it han naari asho maac' nefon káátswere, ernmó neewere man naari fadewots ndihrawok'o ntooko korde'e.
2 Saidianeni kubeba mizigo yenu na hivyo mtatimiza sheria ya Kristo.
Ititsi ik ikets k'oshoko kuri mango kurde'e, mank'oon Krstos nemo s'eentsitute.
3 Mtu akijiona kuwa ni kitu, na kumbe si kitu, huyo anajidanganya mwenyewe.
Asho konwor k'oshwotsiyere b́k'ants keewo b́deshawo «Taa k'oshwotsiyere bogfe» err biasabiyal b́ tookoniye b́ ant'elciri.
4 Lakini kila mmoja na aupime vizuri mwenendo wake mwenyewe. Ukiwa mwema, basi, anaweza kuona fahari juu ya alichofanya bila kuwa na sababu ya kujilinganisha na mtu mwingine.
Asho ik ikon b́took fino shu'arr fadbe'e, maniyere il b́ tooko k'oshwotsnton nohiyo b́woterawon b́ tooku s'uz bín b́ it'et keewo daatsitwe.
5 Maana kila mmoja anao mzigo wake mwenyewe wa kubeba.
Ik ik asho b́ took kuro kurdek'o bísh geyife.
6 Mwenye kufundishwa neno la Mungu na amshirikishe mwalimu wake riziki zake.
Doo shishyi aap'tso daniru asho bín daniyirwonton sheeng keew jamó kayde'e.
7 Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.
It tooko ant'elck'ayere, asho b́k'es'et b́ shooktso b́wottsotse Ik'ats kasho faleratse.
8 Apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho uzima wa milele. (aiōnios g166)
B́ meetso gene'úshosh shookirwo b́meetsatse k'iro k'es'etwe, shayiro geneúshosh shooketwo shayiratse dúre dúri kasho k'es'etwe. (aiōnios g166)
9 Basi, tusichoke kutenda mema; maana tusipolegea tutavuna mavuno kwa wakati wake.
Maac'o k'ut'dek'o no k'azetka wotiyal b́dúro b́bodor mááy katso nokakwitwotse sheeng fino finosh maawk'ayone.
10 Kwa hiyo, tukiwa bado na wakati, tuwatendee watu wote mema, na hasa ndugu wa imani yetu.
And wotts aawo nodetstsotse ash jamwotssh bítsnor amaniru ashuwotssh sheeng keewo k'alwone.
11 Tazameni jinsi nilivyoandika kwa herufi kubwa, kwa mkono wangu mwenyewe.
Aawk'o een een fidalwotsn han t kíshoon t guut'tsok'o s'iilere!
12 Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili ndio wanaotaka kuwalazimisha ninyi mtahiriwe. Wanafanya hivyo kwa sababu moja tu: kusudi wao wenyewe wasije wakadhulumiwa kwa sababu ya msalaba wa Kristo.
Gofo itametwok'o iti kic'irwots úratse sheeng araar be'ewo geyiru ashuwotsiye. Han k'alirwotswere Krstos mask'aliyatse tuutson gishewo boats b́boraawok'owa ettniye.
13 Maana, hao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki Sheria; huwataka ninyi mtahiriwe wapate kujivunia alama hiyo mwilini mwenu.
Boohe it meetsats it'osha ettni gofo itametwok'owo bogeyiri bako gof amtswotswor dab botokish nemo koratsne.
14 Lakini mimi sitajivunia kamwe chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo; maana kwa njia ya msalaba huo ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu.
Nodoonz Iyesus Krstos mask'aliyoniyere okoon k'oshon it'o tiatse wokowe, jit hanatse tuutson datso tiatse k'alewtsere, taawere datsatse k'alewtsere.
15 Kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; cha maana ni kuwa kiumbe kipya.
Mansh gof amonu gof amk'azonu eegor k'alratse, k'alitwoniyere azeets handro wotoniye.
16 Wanaoufuata mwongozo huo nawatakia amani na huruma; amani na huruma kwa Israeli—Wateule wa Mungu.
Memeri shuutso shoyiru jamwotsnat Ik'i jir wotts Isra'el ashuwotssh jeenonat mhretiyon wotowe.
17 Basi, sasa mtu yeyote asinisumbue tena, maana alama nilizo nazo mwilini mwangu ni zile za Yesu.
Ti atsatse fa'a jot'eetsi shoro Iyesusk twottsok'o b́kitsirwotse haniyak konúwor taan kic'ik'aye.
18 Ndugu, nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Kristo. Amina.
Ti eshwotso! nodoonz Iyesus Krstos s'aato it shayironton wotowe! Amen.

< Wagalatia 6 >