< Wagalatia 1 >
Bulus, Una kadure daki wa nu ba anyimo anu ba, senke anyimo Yeso vana Asere nan Asere acoo sa ma hirza nan me mu cau.
2 na ndugu wote walio pamoja nami, tunayaandikia makanisa yaliyoko Galatia. Mimi nimepata kuwa mtume si kutokana na mamlaka ya binadamu, wala si kwa nguvu ya mtu, bali kwa uwezo wa Yesu Kristo na wa Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka wafu.
Vat anu henu me nan me, a ti denge ta Asere agalatiya.
3 Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo.
Urunta nan ti cukum ti humā u watu ugomo Asere acoo aru nan Yeso vana Asere.
4 Kristo alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu mbaya wa sasa. (aiōn )
Sama nya nice ni meme barki madini maru barki ma buri duru anyimo uganiya uburu ugeme guu a beki wa Asere nan acoo. (aiōn )
5 Kwake yeye uwe utukufu milele! Amina. (aiōn )
Ahira amame ni nonzo na vat, ni cukuno anime. (aiōn )
6 Nashangaa kwamba muda mfupi tu umepita, nanyi mnamwasi yule aliyewaita kwa neema ya Kristo, mkafuata Habari Njema ya namna nyingine.
Makunna imum ibiya saya kumi ceki me debe sa ma titi shi anyimo una Asere. Ma kunna biyau saya gamirka atize tiso sas.
7 Lakini hakuna “Habari Njema” nyingine. Ukweli ni kwamba wako watu wanaowavurugeni, watu wanaotaka kuipotosha Habari Njema ya Kristo.
Adake agu dire tize tiso tini tige ba, senke aye sa wa nyara duru abanga, u niyara u gamirka tize ta Asere.
8 Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni Habari Njema tofauti na ile tuliyowahubirieni sisi, basi huyo na alaaniwe!
Ko haru nani u katuma ka sere anyimo asesere madi buki si tire tizo satizi sas nan tiru me, na ma curno me.
9 Tulikwisha sema, na sasa nasema tena: kama mtu yeyote anawahubirieni Habari Njema ya aina nyingine, tofauti na ile mliyokwisha pokea, huyo na alaaniwe!
Gu ubuka uru me anna me makuri ma guna, ''inka uye ma buka si tire tize tiso sa tizi sas nan tige sa ya kabi, na ma curno me,''
10 Sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka kuwapendeza watu? Kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa Kristo.
Barki mi in zinnu nyara anabu nani Asere? in zinni nyara anu wa kunna urunta? inka in daza unnu nya anu cas, mi urere wa Asere mani ba.
11 Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Habari Njema niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.
Barki in nyara irusi nihenu, tize tiso sa ma nya dāti nubu tini ba.
12 Wala mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.
Daki ma kem in ahira annu ba, nani ma bezizi si barki anime, apaki mani a tari ti Yeso tini.
13 Bila shaka mlikwisha sikia jinsi nilivyokuwa ninaishi zamani kwa kuzingatia dini ya Kiyahudi, na jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kupita kiasi na kutaka kuliharibu kabisa.
Ya kunna tanta dumo anyimo uyahudanci, gu uhuza anu tarsa tize ta Asere sa dake a bative ba, ma zin nu sō in cari ini vat.
14 Naam, mimi niliwashinda wengi wa wananchi wenzangu wa rika langu katika kuizingatia dini ya Kiyahudi, nikajitahidi sana kuyashika mapokeo ya wazee wetu.
Ma kem ure age ahira ayahudawa, anu gwardang anyimo u cara um, anu sa wazo me anyimo ba. Iney ya wuna izin ni eru ni gwarndag, mazi uwatu u tanda wa coo am.
15 Lakini Mungu, kwa neema yake, alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita nimtumikie.
Senke Asere sama in kim awatu u indei anyimo apuru urizo umeme.
16 Mara tu alipoamua kunifunulia Mwanae kusudi niihubiri Habari Njema yake kwa watu wa mataifa mengine, bila kutafuta maoni ya binadamu,
Ma kunna urunta ma paaki vana umeme anyimo am, barki anime indi bezi si Asere anyimo anu ta'ame Asere, daa ma dusa ini wuza imum anipum nan maye ba.
17 na bila kwenda kwanza Yerusalemu kwa wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza Arabia, kisha nikarudi tena Damasko.
Daa ma nyene urshalima ahira anu sa wa agizan ba, barki anime mahaa u arabiya in benne ma kuriudamaskus.
18 Ilikuwa tu baada ya miaka mitatu, ndipo nilipokwenda Yerusalemu kuonana na Kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano.
Sa tiwe ti taru ta aki ma dusa urshalima barki inka iso kepas makuri in cukuno nan me, tiye tinu akurin annu ciibi.
19 Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
Ira barki Asere inda wuza we moco ba, eh mi ge sa man nyetike um ba.
20 Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
Ma nyetitke shi, ma buka shi a muhenu ma Asere, daki ma buki mocho.
21 Baadaye nilikwenda katika tarafa za Siria na Kilikia.
Sa maha a manyanga mu siriya nan silisiya.
22 Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea.
Daki a rusim anyimo a tidenge ta Asere u yahudiya anyimo u vana Asere.
23 Walichokuwa wanajua ni kile tu walichosikia: “Mtu yule aliyekuwa akitutesa hapo awali, sasa anaihubiri imani ileile aliyokuwa anajaribu kuiangamiza.”
Wa kunna ini cas, ''unu sa ma yomo duru mazin, ana mazin nu bezi tize ta Asere, sama nyara u cara me.
24 Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.
Wa nonzo Asere barki mi.