< Waefeso 5 >

1 Kwa hiyo, mwigeni Mungu, maana ninyi ni watoto wake wapenzi.
ato yuuya. m priyabaalakaa ive"svarasyaanukaari. no bhavata,
2 Upendo uongoze maisha yenu, kama vile Kristo alivyotupenda, na kwa ajili yetu akajitoa mwenyewe kama dhabihu yenye harufu nzuri na tambiko impendezayo Mungu.
khrii. s.ta iva premaacaara. m kuruta ca, yata. h so. asmaasu prema k. rtavaan asmaaka. m vinimayena caatmanivedana. m k. rtvaa graahyasugandhaarthakam upahaara. m bali nce"svaraaca dattavaan|
3 Kwa vile ninyi ni watu wa Mungu, basi uasherati, uchafu wowote ule au choyo visitajwe kamwe miongoni mwenu.
kintu ve"syaagamana. m sarvvavidhaa"saucakriyaa lobha"scaite. saam uccaara. namapi yu. smaaka. m madhye na bhavatu, etadeva pavitralokaanaam ucita. m|
4 Tena maneno ya aibu, ya upuuzi au ubishi, yote hayo hayafai kwenu; maneno ya kumshukuru Mungu ndiyo yanayofaa.
apara. m kutsitaalaapa. h pralaapa. h "sle. sokti"sca na bhavatu yata etaanyanucitaani kintvii"svarasya dhanyavaado bhavatu|
5 Jueni wazi kwamba mwasherati yeyote au mchafu au mfisadi, (ufisadi ni sawa na kuabudu sanamu), au mtu yeyote wa aina hiyo hataambulia chochote katika Utawala wa Kristo na wa Mungu.
ve"syaagaamya"saucaacaarii devapuujaka iva ga. nyo lobhii caite. saa. m ko. si khrii. s.tasya raajye. arthata ii"svarasya raajye kamapyadhikaara. m na praapsyatiiti yu. smaabhi. h samyak j naayataa. m|
6 Msikubali kudanganywa na mtu kwa maneno matupu; maana, kwa sababu ya mambo kama hayo ghadhabu ya Mungu huwajia wote wasiomtii.
anarthakavaakyena ko. api yu. smaan na va ncayatu yatastaad. rgaacaarahetoranaaj naagraahi. su loke. svii"svarasya kopo varttate|
7 Basi, msishirikiane nao.
tasmaad yuuya. m tai. h sahabhaagino na bhavata|
8 Zamani ninyi mlikuwa gizani, lakini sasa ninyi mko katika mwanga kwa kuungana na Bwana. Ishini kama watoto wa mwanga:
puurvva. m yuuyam andhakaarasvaruupaa aadhva. m kintvidaanii. m prabhunaa diiptisvaruupaa bhavatha tasmaad diipte. h santaanaa iva samaacarata|
9 maana matokeo ya mwanga ni wema kamili, uadilifu na ukweli.
diipte ryat phala. m tat sarvvavidhahitai. sitaayaa. m dharmme satyaalaape ca prakaa"sate|
10 Jaribuni kujua yale yanayompendeza Bwana.
prabhave yad rocate tat pariik. sadhva. m|
11 Msishiriki katika matendo yasiyofaa, ya giza bali yafichueni.
yuuya. m timirasya viphalakarmma. naam a. m"sino na bhuutvaa te. saa. m do. sitva. m prakaa"sayata|
12 Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.
yataste lokaa rahami yad yad aacaranti taduccaara. nam api lajjaajanaka. m|
13 Lakini mambo yale yanayotendwa katika mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;
yato diiptyaa yad yat prakaa"syate tat tayaa cakaasyate yacca cakaasti tad diiptisvaruupa. m bhavati|
14 na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema: “Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka wafu, naye Kristo atakuangaza.”
etatkaara. naad uktam aaste, "he nidrita prabudhyasva m. rtebhya"scotthiti. m kuru| tatk. rte suuryyavat khrii. s.ta. h svaya. m tvaa. m dyotayi. syati|"
15 Basi, muwe waangalifu jinsi mnavyoishi: Msiishi kama wapumbavu, bali kama wenye hekima.
ata. h saavadhaanaa bhavata, aj naanaa iva maacarata kintu j naanina iva satarkam aacarata|
16 Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya.
samaya. m bahumuulya. m ga. nayadhva. m yata. h kaalaa abhadraa. h|
17 Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.
tasmaad yuuyam aj naanaa na bhavata kintu prabhorabhimata. m ki. m tadavagataa bhavata|
18 Acheni kulewa divai maana hiyo itawaangamiza, bali mjazwe Roho Mtakatifu.
sarvvanaa"sajanakena suraapaanena mattaa maa bhavata kintvaatmanaa puuryyadhva. m|
19 Zungumzeni kwa maneno ya Zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Bwana nyimbo na zaburi kwa shukrani mioyoni mwenu.
apara. m giitai rgaanai. h paaramaarthikakiirttanai"sca parasparam aalapanto manasaa saarddha. m prabhum uddi"sya gaayata vaadayata ca|
20 Mshukuruni Mungu Baba daima kwa ajili ya yote, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
sarvvadaa sarvvavi. saye. asmatprabho yii"so. h khrii. s.tasya naamnaa taatam ii"svara. m dhanya. m vadata|
21 Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababu ya kumcha Kristo.
yuuyam ii"svaraad bhiitaa. h santa anye. apare. saa. m va"siibhuutaa bhavata|
22 Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana.
he yo. sita. h, yuuya. m yathaa prabhostathaa svasvasvaamino va"sa"ngataa bhavata|
23 Maana mume anayo mamlaka juu ya mkewe, kama vile Kristo alivyo na mamlaka juu ya kanisa; naye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili wake.
yata. h khrii. s.to yadvat samite rmuurddhaa "sariirasya traataa ca bhavati tadvat svaamii yo. sito muurddhaa|
24 Kama vile kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo, wake wawatii waume zao katika mambo yote.
ata. h samiti ryadvat khrii. s.tasya va"siibhuutaa tadvad yo. sidbhirapi svasvasvaamino va"sataa sviikarttavyaa|
25 Nanyi waume, wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa, akajitoa mwenyewe sadaka kwa ajili yake.
apara nca he puru. saa. h, yuuya. m khrii. s.ta iva svasvayo. sitsu priiyadhva. m|
26 Alifanya hivyo, ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji,
sa khrii. s.to. api samitau priitavaan tasyaa. h k. rte ca svapraa. naan tyaktavaan yata. h sa vaakye jalamajjanena taa. m pari. sk. rtya paavayitum
27 kusudi ajipatie kanisa lililo takatifu na safu kabisa, kanisa lisilo na doa, kasoro au chochote cha namna hiyo.
apara. m tilakavalyaadivihiinaa. m pavitraa. m ni. skala"nkaa nca taa. m samiti. m tejasvinii. m k. rtvaa svahaste samarpayitu ncaabhila. sitavaan|
28 Basi, waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe.
tasmaat svatanuvat svayo. siti premakara. na. m puru. sasyocita. m, yena svayo. siti prema kriyate tenaatmaprema kriyate|
29 (Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza kanisa,
ko. api kadaapi na svakiiyaa. m tanum. rtiiyitavaan kintu sarvve taa. m vibhrati pu. s.nanti ca| khrii. s.to. api samiti. m prati tadeva karoti,
30 maana sisi ni viungo vya mwili wake.)
yato vaya. m tasya "sariirasyaa"ngaani maa. msaasthiini ca bhavaama. h|
31 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Kwa hiyo, mwanamume atawaacha baba na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”
etadartha. m maanava. h svamaataapitaro parityajya svabhaaryyaayaam aasa. mk. syati tau dvau janaavekaa"ngau bhavi. syata. h|
32 Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu Kristo na kanisa lake.
etanniguu. dhavaakya. m gurutara. m mayaa ca khrii. s.tasamitii adhi tad ucyate|
33 Lakini yanawahusu ninyi pia: kila mume lazima ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe.
ataeva yu. smaakam ekaiko jana aatmavat svayo. siti priiyataa. m bhaaryyaapi svaamina. m samaadarttu. m yatataa. m|

< Waefeso 5 >