< Waefeso 4 >
1 Basi, mimi niliye mfungwa kwa kuwa namtumikia Bwana, nawasihi muishi maisha yanayostahili wito mlioitiwa.
Nihakuvavulyo, sina musuminwa wa Simwine, Nimi susuweza kuyenda kaku shiyama kuamana ninsuupo imu vasupwa.
2 Muwe daima wanyenyekevu, wapole na wenye saburi; vumilianeni ninyi kwa ninyi kwa mapendo.
Muhale muvukando vwakulishuwa nichisemo ni nkulonde. Mutambulane muku sakana.
3 Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.
Mupange mumuwolela kuvila hamwina muluhuho niku suminwa chenkozo.
4 Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile tumaini mliloitiwa na Mungu ni moja.
Kwina muvili umwina ni luhuho lumwina, Sina hamuvasupwa che sempo imwina mukusupwa kwenu.
5 Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja;
Imi kwina Simwine umwina, itumelo imwina, Ikolovezo imwina,
6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.
ni Ireeza umwina ni Shentu wentu. wina hewulu lyazintu zonse nikuhita muzonse nimukati kazonse.
7 Kila mmoja wetu amepewa neema kadiri ya kipimo alichojaliwa na Kristo.
Kuzumwi ni zumwi ava hewa impo ilikanelela nimpo ya Keresite.
8 Kama yasemavyo Maandiko: “Alipopaa mbinguni juu kabisa, alichukua mateka; aliwapa watu zawadi.”
Sina mwawambila mañolo; “hayenda kwiwulu, Avahindi vava hapitwe niku kava hapa. Avahi impo kuvantu”.
9 Basi, inaposemwa: “alipaa juu,” ina maana gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani.
Zitalusa chizi izii, “Ava kambami”, “konji heva avyendi muzivaka zakusi mwikanda?
10 Basi, huyo aliyeshuka hapa duniani, ndiye aliyepaa juu ya mbingu zote apate kuujaza ulimwengu.
Iye yavashetumuki muntu yoswana niya vakambameli kumawulu. Avapangi izi zintu kwizuziliza zose zintu.
11 Ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza Habari Njema, wengine wachungaji na walimu.
Keresite avahi impo ziswana nezi; ma Apostola, mapolofta, Vawambi, Balisani ni varuti.
12 Alifanya hivyo apate kuwatayarisha watu wote wa Mungu kwa ajili ya kazi ya huduma ya Kikristo ili kuujenga mwili wa Kristo,
Avapangizi ku kuza vazumine kamutendo wesevelezo, kakuzaka muvili Kerest.
13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe.
Upanga mbwiteli chitwakasika hantu hoke mwitumelo nikwiziva mwana we Reeza. u panga izi mbwiteli chitwa kula sina njavo va vasiki haku kula kumazimo a Kereste.
14 Basi, hatutakuwa tena kama watoto, tukitupwa na kupeperushwa huko na huko kwa kila upepo wa mafundisho wanayozua watu wadanganyifu, ili wawapotoshe wengine kwa hila.
Zipangahala kuti kanji tuvi sina vahwilezana. zipangahala kuti kanji tusandolwa. Zipangahala kuti kanji tuhindwa niluhuho lwamirutilo, kamano uvutali vwa kuchenga.
15 Ila, sisi tukisema ukweli kwa moyo wa mapendo tutakua zidi katika kila jambo kulingana na Kristo ambaye ndiye kichwa;
Mukuti, mutua wambe initi mwirato niku kula mwirato lyakwe iye mutwi, Kereste.
16 chini ya uongozi wake, viungo vyote vya mwili hushikamana pamoja, na mwili wote hutegemezwa kwa msaada wa viungo vyake. Basi, kila kiungo kikitekeleza kazi yake ipasavyo, mwili wote hukua na kujijenga katika upendo.
Kereste ukopanya muvili wonse wava lumeli hawina. nukwete ku kula mukuswanelela inguzu zivahewa chilama nichilama imi uzakiwa mwirato.
17 Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: msiishi tena kama watu wasiomjua Mungu, ambao fikira zao zimekuwa upuuzi mtupu,
Nihakuvavulyo niwamba ichi, imi niminyemuna mwa Simwine; Kamusiyendi sina mazwahule vayenda kevuvo lyamizezo yavo.
18 na akili zao zimo gizani. Wako mbali na uzima wa Mungu, kwa sababu ya upumbavu ulio ndani yao na ukaidi wao.
Vasilafezwe mwingana zavo. Imi venakule nivuhalo vwa Ireeza. Vazwile kuvuhalo vwa Ireeza kuvula kwiziva kwavo kevaka lyakukutuhaza ikolo zavo.
19 Wamepotoka na hawana aibu, wamejitosa katika ufisadi; hufanya kwa pupa kila aina ya mambo ya aibu.
Kavalizuwi kuswava. Vava likukutuhalisi avovene niku sachena kwamitendo, muzintu zonse zivawola.
20 Lakini ninyi hamkujifunza hivyo juu ya Kristo.
Imi kanjimona mu muvarutilwa kuamana ni Kereste.
21 Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.
Nisepa muvazuwi kuamana ni zakwe. Imi nizumina kuti muvarutwa mwali, sina vuniti havwina kwa Jesu.
22 Basi, acheni mwenendo wenu wa awali, yaani ule utu wenu wa kale uliokuwa unaangamizwa kwa tamaa zake danganyifu.
muzwise zintu ziamana nimitendo yenu yakale imwali kurunda, muntu wakale. muntu wentazi yoboliswa zintu zichenga.
23 Jirekebisheni upya rohoni na katika fikira zenu.
Muchupule muntu wentazi ilikuti muwole kubusuluswa muluhuho lwamizezo
24 Vaeni hali mpya ya utu ambayo imeumbwa kwa mfano wa Mungu na ambayo hujionyesha katika maisha ya kweli ya uadilifu na utakatifu.
yenu. Mupange vulyo mukuti muyole kuzwata muntu muhya, Chakuzwa kwa Ireeza. Zivumbitwe mukushiyama nikunjolola kweniti.
25 Kwa hiyo, acheni uongo. Kila mmoja anapaswa kumwambia mwenzake ukweli, maana kila mmoja wetu ni kiungo cha mwili wa Kristo.
Muvike kumbali zakuchenga, “Muwambe chaku shiyamisa, wumwi niwumwi niyavambene naye, “Mukuti tuvantu va hamwina.
26 Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae na hasira kutwa nzima.
“Muvenge, kono kangi mupangi chive”. “Imi kanji musiyi izuva nilimina nimusivengete,
27 Msimpe Ibilisi nafasi.
Kanjimuhi Diavulusi chivaka.
28 Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na aanze kufanya kazi njema kwa mikono yake, apate kuwa na kitu cha kumsaidia mtu aliye maskini.
Munsa kanji navoleli kwiva hape, chakuti, uswanela kuseveza. uswanera kutendisa mayaza akwe, Ilikuti awole kuliyavela nimuntu yasena.
29 Maneno mabaya hata yasisikike kamwe miongoni mwenu; kila mara maneno yenu yawe ya kufaa na ambayo hujenga na kuwasaidia wengine, ili yawaneemeshe wasikilizaji wenu.
kanji kuzwi chiwambo chivilala mu mulomo wakwe. Imi, kuzwe manzwi ashiyeme enachakuha china mutendo, kuha intuso kwavo vatekeleze.
30 Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba ninyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni.
Imi nsazi munyazelezi Luhuho lunjola lwa Ireeza. Kakuli njiyena umuvaswaiwa kali mwizuva lyepuluso imuvawani.
31 Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele, matusi! Achaneni na kila uovu!
Muvike kumbali zivava, kufilikana, kuvenga, ikani, kutukana nizose zina
32 Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.
chive. Muve nichisemo kuzumwi ni zumwi, mulizuwile inse. muliswalele, sina nji Ireeza mwa Kereste hamiswaleli.