< Waefeso 4 >

1 Basi, mimi niliye mfungwa kwa kuwa namtumikia Bwana, nawasihi muishi maisha yanayostahili wito mlioitiwa.
Bawipa khut ka pawha phäh thawng üng ka kyumki kei naw ka ning jah nghuinak ta, Pamhnam naw a ning jah khü üng a ning jah tak pet cän nami kpha vaia xüngsei ua.
2 Muwe daima wanyenyekevu, wapole na wenye saburi; vumilianeni ninyi kwa ninyi kwa mapendo.
Angläta mlung mhnem lü hniphnawi lü mlung msaü lü ve ua. Mat ja mat püi cuneinak am nami mhläkphyanak mdan ua.
3 Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.
Dim’yenak am atänga ning jah khitkhawn khaia Ngmüimkhya naw a ning jah peta yümmatnak cän nami khyaih khawha thupei ua.
4 Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile tumaini mliloitiwa na Mungu ni moja.
Pumsa mat ja Ngmüimkhya mat ni a ve ta, Pamhnam naw a ning jah khü üng pi äpeinak mat ni a ve.
5 Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja;
Bawipa mat, jumnak mat, baptican mat ja,
6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.
khyang avana Pa ja Pamhnam mat ni a ve. Ani cun avan khana Bawia kya lü avana üngkhyüh khut bi lü avana k'uma veki.
7 Kila mmoja wetu amepewa neema kadiri ya kipimo alichojaliwa na Kristo.
Khritaw naw aphäh phäha a jah pet ktunga letsawng cun mat cim naw mi yahki.
8 Kama yasemavyo Maandiko: “Alipopaa mbinguni juu kabisa, alichukua mateka; aliwapa watu zawadi.”
Cangcim naw, “Ak’hlünga a kai üng, tamna khawhah a jah cehpüi, khyange üng letsawng pi jah peki,” a ti.
9 Basi, inaposemwa: “alipaa juu,” ina maana gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani.
Atuha “kaiki” tinak hin i ni? Tinak hlü ta a ni cun akcüka aknem säiha khawmdeka kyum lawki ni.
10 Basi, huyo aliyeshuka hapa duniani, ndiye aliyepaa juu ya mbingu zote apate kuujaza ulimwengu.
Kyum lawki cun jäng kaiki kunga kya lü khankhawea khan ja acuna thea üng pi a venak cun khawliva avan üng beki ni.
11 Ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza Habari Njema, wengine wachungaji na walimu.
Ani cun naw “khyange üng letsawnge jah peki”; ani naw avang cun ngsä he vaia a jah mcawn, akcee cun sahmae vaia, akcee cun evawnkelih saja vaia, akcee cun pasatae jah mtheimthangkiea a jah mcawna kyaki.
12 Alifanya hivyo apate kuwatayarisha watu wote wa Mungu kwa ajili ya kazi ya huduma ya Kikristo ili kuujenga mwili wa Kristo,
Khritawa pumsa cun sawngsak vaia phäha Pamhnama khyange cun khritjan kawnsang khut üng ngpüi khaia a jah pitpyang ni.
13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe.
Mi jumnak yümmatnaka k'um ja Pamhnam ksingnaka atänga mi lawki. Mimi cun xüngvai law lü Khritawa hlüngkia a pumyaw cun mi pha vaia ni.
14 Basi, hatutakuwa tena kama watoto, tukitupwa na kupeperushwa huko na huko kwa kila upepo wa mafundisho wanayozua watu wadanganyifu, ili wawapotoshe wengine kwa hila.
Khyange jah mhlei lü hlawhlepnak mtünmdawng u lü hmakatnaka jah cehpüikie khyangea mtheinak naw a jah jawnceh canaea mimi cun am ni kya ti u.
15 Ila, sisi tukisema ukweli kwa moyo wa mapendo tutakua zidi katika kila jambo kulingana na Kristo ambaye ndiye kichwa;
Acuna hnün üng lua kyaki Khritaw üng dämduh lü mhläkphyanaka Ngmüimkhya am ngthungtak cun mi pyen yah khai.
16 chini ya uongozi wake, viungo vyote vya mwili hushikamana pamoja, na mwili wote hutegemezwa kwa msaada wa viungo vyake. Basi, kila kiungo kikitekeleza kazi yake ipasavyo, mwili wote hukua na kujijenga katika upendo.
Ania upthingnaka nghngalangkia kphyeme cun atänga pumsa mat am ve u lü pumsa mat naw kphyem avan cun atänga jah mcahki. Mat cim naw a mi pawh vai pawh u lü pumsa cun mhläkphyanak am däm law lü amät cun sawngsaeiki.
17 Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: msiishi tena kama watu wasiomjua Mungu, ambao fikira zao zimekuwa upuuzi mtupu,
Pamhnam am tä lü ami cungaih pi ia am ngtähkhehki khyangea kba msu lü käh nami xün vaia Bawipa ngming ning jah mcäi lü,
18 na akili zao zimo gizani. Wako mbali na uzima wa Mungu, kwa sababu ya upumbavu ulio ndani yao na ukaidi wao.
Acuna khyange mlung cun nghmüp k'uma ni. Pamhnam naw a jah peta xünnak üng am ngpüi u, ami cun mawngcei lü ami mlung pi ngcangki.
19 Wamepotoka na hawana aibu, wamejitosa katika ufisadi; hufanya kwa pupa kila aina ya mambo ya aibu.
Ami ngkeei vai am ksing lü mtüihmlehki ja akse bilawhnak naküt üng am ngphep khawh u lü amimät ngapeikie ni.
20 Lakini ninyi hamkujifunza hivyo juu ya Kristo.
Khritawa vei ami ngthei ta acun am ni!
21 Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.
A mawng nami ngjaki, nami cun a hnu kläkea ami kya akba Jesuh üng veki ngthungtak cun nami ngtheikie ni.
22 Basi, acheni mwenendo wenu wa awali, yaani ule utu wenu wa kale uliokuwa unaangamizwa kwa tamaa zake danganyifu.
Acunakyase nami xünnak khawi, akphyüme cän jah hawihkceh lü akphyüm amät hin am dawkia hlükaweinak naw akpyak ni.
23 Jirekebisheni upya rohoni na katika fikira zenu.
Nami mlung ja cungaihnak cun akthaia avan jah pyang u,
24 Vaeni hali mpya ya utu ambayo imeumbwa kwa mfano wa Mungu na ambayo hujionyesha katika maisha ya kweli ya uadilifu na utakatifu.
lü akthai cän jah suisa u, acun hin Pamhnam am täng lü xünnak akcanga kyaki ngcim lü ngsungki tia amät naw mdan khaia mhnünmcenga kyaki ni.
25 Kwa hiyo, acheni uongo. Kila mmoja anapaswa kumwambia mwenzake ukweli, maana kila mmoja wetu ni kiungo cha mwili wa Kristo.
Käh hleihlak ti vai! Mat cim naw ngthungtak cun jumeiki akcee üng nami mtheh yah khai, isetiakyaküng, Khritawa pumsa üng mi van hin atänga akphyema mi kyaki.
26 Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae na hasira kutwa nzima.
Nami mlung a so law üng mkhyenak käh pawhsak lü a mhnüpa nami mlung käh so kawm.
27 Msimpe Ibilisi nafasi.
Khawyai üng akcün käh pe u.
28 Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na aanze kufanya kazi njema kwa mikono yake, apate kuwa na kitu cha kumsaidia mtu aliye maskini.
Nami mpyukei khawi üng mpyukeinak cän hawih lü khut bi ua, iseniti ta mpyenkseki nami jah kpüinak vai ja nami phäha akdaw lama nami yahmtang thei vaia ni.
29 Maneno mabaya hata yasisikike kamwe miongoni mwenu; kila mara maneno yenu yawe ya kufaa na ambayo hujenga na kuwasaidia wengine, ili yawaneemeshe wasikilizaji wenu.
Khyükse käh sumei lü ngdüih thawhnak vai khyü däk sumei u. Akcukba ani üngva ngjakiea phäha na pyensak daw lü jah sawngsa khai ni.
30 Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba ninyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni.
Pamhnama Ngmüimkhya Ngcim käh thüiseisak ua, Pamhnama Ngmüimkhya Ngcim naw va ning jah msing lü Pamhnam naw a ning jah mhlätnak vaia Mhnüpa phäh amahkhamkia kyaki.
31 Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele, matusi! Achaneni na kila uovu!
Mlungsonak, mlungsetnak ja am dawki hlükaweinak cun jah hawih ua. Püi cawkeinak, ngpyangpyetnak ja ng’eihnak am ve ti.
32 Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.
Acuna hnün üng mat ja mat üawm na lü Pamhnam naw Khritaw üngkhyüh aning jah mhläteia kba mat ja mat pi mhlätei ua.

< Waefeso 4 >