< Waefeso 2 >
1 Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.
Ahlana nangmi cun Ngmüimkhya lama nami thiki, isetiakyaküng, pyen käh ngja lü nami mkhyekata phäh ni.
2 Wakati ule mliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu wa anga, pepo ambao huwatawala sasa watu wasiomtii Mungu. (aiōn )
Acuna kcün üng am dawkia khawmdeka lam kse läk lü khawlivaa veki ngmüimkhya johitea uknak nami jah kcangnaki. Acuna Ngmüimkhya naw Pamhnam käh kcangnak vaia khyange cun atuha jah pinmanki. (aiōn )
3 Na hata sisi sote tulikuwa kama wao; tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya tu mambo yale yaliyoipendeza miili na akili zetu. Kidunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.
Mimi pi amimi akba ve khawi lü ni mtisa hlüeia mimäta pumsae ja mlungkawea titänga mi xüng khawikie. Mi mtisa lama avana kba Pamhnama mlungsonak mi khamei khaiea mi ngkawihkie ni.
4 Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa mapendo yasiyopimika,
Lüpi Pamhnama a jah mpyeneinak nungmja lü a jah kphyanak pi dämduhki,
5 hata, ingawa tulikuwa tumekufa kwa sababu ya dhambi, alitufanya hai pamoja na Kristo. Kwa neema ya Mungu ninyi mmeokolewa.
pyen käh ngja lü Ngmüimkhya lama mkhyea phäh mi thih k'um üng ani naw Khritaw am xünnaka a jah lawpüi ni. Pamhnama bäkhäknak am küikyannak nami yahki.
6 Kwa kuungana na Kristo Yesu, Mungu alitufufua pamoja naye, tukatawale pamoja naye mbinguni.
Khritaw Jesuh üng mi yümmatnak am ani naw jah mtho be lü ani am khankhaw pea atänga mi uk khai.
7 Ndivyo alivyopenda kuonyesha kwa watu wa nyakati za baadaye, ukuu wa neema yake aliyotujalia kwa ukarimu katika kuungana kwetu na Kristo Yesu. (aiōn )
Ahin a pawh cun law khai akcün tä üng mdan lü aktäa dämduhkia a bäkhäknak cun Khritaw Jesuh üng a kphyanak jah mdanki. (aiōn )
8 Maana, kwa neema ya Mungu mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu, bali ni zawadi ya Mungu.
Pamhnama bäkhäknak üng jumnak üngkhyüh küikyannak nami yahki. Ahin cun namimäta mtunkthaeinak am kya, lüpi Pamhnam naw ajüa aning jah yet ni, acuna kyase u pi käh camcah kawm.
9 Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
10 Sisi ni viumbe vyake Mungu, na kwa kuungana na Kristo Yesu, alituumba kwa ajili ya kuishi maisha ya matendo mema aliyotutayarishia tuyatende.
Mimi cun Pamhnama sepbeia mi kya lü Pamhnam naw Khritaw Jesuh üng yümmat lü akdaw mi pawh khaia a jah mhnünmceng päng ni, mi bilawh vai kunga a jah pitpyang pet päng ni.
11 Ninyi mlio kwa asili watu wa mataifa mengine—mnaoitwa, “wasiotahiriwa” na Wayahudi ambao hujiita, “Waliotahiriwa,” (kwa sababu ya kile wanachoifanyia miili yao) —kumbukeni mlivyokuwa zamani.
Nami ngtüi law üng khyangmjükcee, Judahe naw “vun am mawiki” aning jah tinak, amimäte naw ta vun mawikia ngsuikiea (Ahin cun khyang naw pumsa üng bilawhnak) ajana ihawkba nami ve khawiki ti cun süm ua.
12 Wakati ule ninyi mlikuwa bila Kristo; mlikuwa nje ya jamii ya Israeli; mlikuwa wageni na hamkuwa na sehemu yoyote katika lile agano la zile ahadi. Mlikuwa bila matumaini Mungu hapa duniani.
Acuna kcün üng Khritaw üngkhyüh nami thuki. Nangmi cun khyangmjükcea kya lü Pamhnama a jah xü khyanga pi am kya uki. Pamhnam naw Isarele üng khyütam a jah pet ngthupet üng pi am sängei lü Pamhnam jah äpeinak käh ta lü khawmdeka nami xüng khawiki.
13 Lakini sasa, kwa kuungana na Kristo Yesu, ninyi ambao hapo awali mlikuwa mbali, mmekaribishwa kwa njia ya damu yake Kristo.
Tuh ta, ajana thuk khawi uki lüpi Khritawa thisen naw ning jah law püi lü Khritaw Jesuh üng nami yümmat law beki.
14 Maana Kristo mwenyewe ametuletea amani kwa kuwafanya Wayahudi na watu wa mataifa mengine kuwa jamii moja. Kwa mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha na kuwafanya maadui.
Khritaw amät naw dim’yenak law püi lü Judahe ja khyangmjükcee cun khyangmjü mata a jah pyan. Yea jah thawnsaki ja jah mkhyakia kpang cun amäta pumsa üng a kcimpyak ni.
15 Aliiondoa ile Sheria ya Wayahudi pamoja na amri zake na kanuni zake, ili kutokana na jamii hizo mbili aumbe jamii moja mpya katika umoja naye na hivyo kuleta amani.
Ani naw Judahea Thum, ngthupet ja ningsawe jah kpyakki, isetiakyaküng, khyangmjü nghngih cun khyang kthai mata kya lü a nih üng a jah yümmatsak. Ahikba va dimdeihnak a bi law.
16 Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu.
Ani kutlamtunga a thiha phäh üng am ami ngkhawtnak mkhyüh lü kutlamtunga phäh üng khyangmjü nghngih cun pumsa mat üng jah ngkhawsak lü Pamhnama vei a jah law püi be.
17 Basi, Kristo alikuja akahubiri Habari Njema ya amani kwenu ninyi watu wa mataifa mengine mliokuwa mbali na Mungu, na pia kwa Wayahudi ambao walikuwa karibu na Mungu.
Acuna kyase Khritaw cun law lü dimdeihnaka Thangkdaw cun ami vana vei — Pamhnam am thuki khyangmjükce ja Pamhnam am cähki Judahe vei sangki.
18 Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja.
Khritaw üngkhyüh khyangmjükce jah Judah mi van cun Ngmüimkhya mat am Pa Pamhnama maa mi law khawhki.
19 Basi, ninyi si wageni tena, wala si watu wa nje; ninyi ni raia pamoja na watu wa Mungu, na ni watu wa jamaa ya Mungu.
Acuna kyase, nangmi khyangmjükcee cun pe kce khyanga ja khina am kya ti u ki, nangmi cun Pamhnama khyange am atänga khankhaw khyanga thawn u lü Pamhnama canaa nami kyaki.
20 Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi.
Khritaw Jesuh amät cun tüneinak lunga kya lü nangmi cun tüneinaka khana ngsä he ja sahmae naw aning jah sawngsak ua kyaki.
21 Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata liwe hekalu takatifu kwa ajili ya B wana.
Ani naw im avan cun kcüng lü Pamhnam üng pet vaia dawki temple ngcima dämduhsak lü Bawipa üng a ap ni.
22 Katika kuungana naye, ninyi pia mnajengwa pamoja na wote wengine, muwe makao ya Mungu kwa njia ya Roho wake.
Ani üng yümmat lü Pamhnam cun a Ngmüimkhya üng a ve vaia nangmi cun khyang kcee am atänga ning jah sawngsaka nami kyaki.