< Wakolosai 3 >
1 Basi, ikiwa mmefufuka pamoja na Kristo, panieni mambo ya juu, kule Kristo aliko, ameketi upande wa kulia wa Mungu.
Gode da dili bu gaheabolo esalusu lama: ne, Yesu Gelesu defele wa: lesili uhinisi. Amaiba: le Yesu Gelesu da Ea Fisuga Gode Ea lobodafadili fibiba: le, dilia Hebene diasuga doaga: musa: , mae beba: le, dilia dogo ganodini Hebene liligi fawane dawa: musa: ilegema!
2 Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani.
Dilia asigi dawa: su ganodini, osobo bagade liligi mae dawa: le, Hebene ganodini hou fawane dawa: musa: ilegema!
3 Maana ninyi mmekufa na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
Bai dilia da fedege agoane bogoi dagoi. Gode da dilia esalusu ouligima: ne, gilisili Yesu Gelesu amola wamolegei dagoi.
4 Uzima wenu halisi ni Kristo, na wakati atakapotokea ndipo nanyi pia mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
Dilia esalusudafa ea bai da Yesu Gelesu. E da Ea hadigi lai dagoiwane bu masea, dilia amola da Ea hadigi lai dagoiwane, E gilisili ba: mu.
5 Basi, komesheni kabisa kila kitu kilicho ndani yenu ambacho chahusika na mambo ya kidunia: uasherati, uchafu, shauku, tamaa mbaya na uchu (ambao ni sawa na kuabudu sanamu).
Amaiba: le, dilia da: i hodo hanai osobo bagade hou wali dilia dogo ganodini hawa: hamonanebe, amo bogoma: ne fane legema. Amo osobo bagade hou da wadela: i uda lasu hou, hou eno dunu ilia ba: beba: le gogosiasu hou, inia uda amola muni liligi amoma gasawane hanai hou amola uasu hou, (uasu mudasu da loboga hamoi ‘gode’ liligi ilima hanaiwane sia: ne gadosu hou defele gala).
6 Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.
Hame nabasu dunu da amo hou hamonanebeba: le, Gode Ea ougi gia: i bagade agoane ba: mu.
7 Wakati mmoja ninyi pia mliishi kufuatana na mambo hayo, mlipotawaliwa nayo.
Musa: , amo liligi da dilima ouligisuwane esalebeba: le, dilia amo hou hamosu.
8 Lakini sasa mnapaswa kuachana na mambo haya yote: hasira, tamaa, uovu; kufuru au maneno yasiyofaa yasitoke kamwe vinywani mwenu.
Be wali amo hou huluane (ougi hou, uda eno lamu hanai hou amola eno dunuma higasu hou) dilia fadegale fasima. Dilia lafidili, eno dunu wadela: ma: ne mae sia: ma. Wadela: i sia: amola uda fofosu sia: maedafa sia: ma.
9 Msiambiane uongo, kwani ninyi mmekwisha vua ule utu wa kale pamoja na matendo yake yote,
Dilia musa: hou gadofo agoane dilia alalo houga: i dagoiba: le, enoma enoma mae ogogoma.
10 mkavaa utu mpya. Huu unaendelea kurekebishwa na Mungu, Muumba wake, kadiri ya mfano wake, ili mpate kumjua Mungu kwa ukamilifu.
Dilia gaheabolo hou da dilia gaheabolo gadofo fedege agoane ba: sa. Amo hou da gaheabolo dunu agoane. Gode da amo gaheabolo dunu hahamoi dagoi. Amola Gode da eso huluane, gaheabolo dunu da Ea hou huluane noga: le dawa: ma: ne, gaheabolo hou ea dogo ganodini hamonana.
11 Katika hali hii, hakuna tena tofauti kati ya Mgiriki na Myahudi, aliyetahiriwa na asiyetahiriwa, msomi na asiye msomi, mtumwa na mtu aliye huru. Kristo ni kila kitu, na yumo katika yote.
Amaiba: le, wali Dienadaile amola Yu dunu da hame afafai. Gadofo damui amola hame damui da hame afafai. Iwilaga esalu dunudafa, udigili hawa: hamosu dunu amola halegale lalebe dunu, da hame afafai. Yesu Gelesu da Baidafa amola E da dunu huluane amo ganodini esala.
12 Ninyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
Dilia da Gode Ea fidafa esala. Gode da dili ba: beba: le amola dilima asigiba: le, Ea fi ganodini esaloma: ne, dili ilegei. Amaiba: le, asigi hou, enoma fidisu hou, fonoboi hou amola gebewane hamosu hou abula agoane idiniginisima.
13 Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe ninyi.
Eno dunu ea giadofai amoma hedolo mae ougima. Eno dunu da dima wadela: le hamosea, hedolowane gogolema: ne olofoma. Hina Gode da dilia hou gogolema: ne olofoi, amo defele dilia eno dunu ilia hou gogolema: ne olofoma.
14 Zaidi ya hayo yote, zingatieni upendo kwani upendo huunganisha kila kitu katika umoja ulio kamili.
Asigi hou da liligi huluane afadafa olofole hamomusa: gilisisa. Amaiba: le eno hou ida: iwane huluane amoma asigi hou gilisima.
15 Nayo amani ya Kristo itawale mioyoni mwenu; maana kwa ajili hiyo ninyi mmeitwa katika mwili huo mmoja. Tena muwe na shukrani!
Yesu Gelesu da dilima olofosu iaha. Gode da amo olofosu olelemusa: , dilima wele sia: nanu, dili huluane fi afadafa hamoi. Ea hawa: hamobeba: le, nodone dawa: ma.
16 Ujumbe wa Kristo ukae ndani yenu pamoja na utajiri wake wote. Fundishaneni na kushauriana kwa hekima yote. Imbeni zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Mungu mioyoni mwenu kwa shukrani.
Yesu Gelesu Ea Sia: Ida: iwane gala dilia dogo ganodini dialumu da defea. Dilia dawa: iwane enoma enoma olelema. Gesami Hea: su dedei amola Gode gesami hea: ma. Dilia dogo ganodini nodone dawa: beba: le, Godema nodone gesami hea: ma.
17 Na, kila mfanyacho kwa neno au tendo, fanyeni vyote kwa jina la Bwana Yesu na kumshukuru Mungu Baba kwa njia yake.
Dilia Yesu Gelesu Ea Dioba: le, Ada Godema nodone sia: sea, dilia hawa: hamosu amola dilia sia: huluane, Hina Gode Yesu Gelesu Ea Dioba: le hamoma.
18 Enyi akina mama, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana.
Uda! Diligua ilia sia: nabawane hamoma! Yesu Gelesu Ea hou lalegaguiba: le, amo hou hamomu da defea.
19 Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
Dunu! Dilia uda ili se nabasa: besa: le, ilima mae ougima. Ilima asigima!
20 Enyi watoto, watiini wazazi wenu daima maana hiyo humpendeza Bwana.
Mano dilia! Dilia Yesuma fa: no bobogebeba: le, dilia ada amola ame, ela sia: nabawane hamoma. Bai Gode da amo hou hahawane ba: sa.
21 Nanyi wazazi, msiwachukize watoto wenu, la sivyo watakata tamaa.
Ame amola ada! Dilia mano da baligiliwane da: i diosa: besa: le, ilima udigili ougili mae sia: ma.
22 Enyi watumwa, watiini wakuu wenu wa kidunia katika mambo yote, na si tu wakati wanapowatazama kwa kuwa mnataka kujipendekeza kwao; ila fanyeni hivyo kwa moyo wote, kwa sababu ya kumcha Bwana.
Udigili hawa: hamosu dunu dilia! Dilia osobo bagade ouligisu dunu ilia sia: nabawane hamoma. Ilia siga hahawane ba: ma: ne fawane hame, be dilia dogo ganodini dilia da moloiwane Godema nodonanebeba: le, noga: le hamoma.
23 Kila mfanyalo, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya Bwana na si kwa ajili ya mtu.
Dilia dogoga hanaiwane hawa: hamoma. Dilia osobo bagade dunu ba: ma: ne hame, be dilia Hina Gode Ea hawa: hamosu hamonanebeba: le, amo defele noga: le hawa: hamoma.
24 Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana!
Mae gogolema! Hina Gode da Ea fi dunuma ima: ne, bidi ida: iwane ilegei. Amo E da dilima imunuyo. Dilia hawa: hamosu Hinadafa da Yesu Gelesu.
25 Atendaye mabaya atalipwa kufuatana na ubaya wake; Mungu hana ubaguzi.
Be wadela: i hou hamosu dunu da ea wadela: i hou defele bidi lamu. Gode da dunu huluanedafa defele ba: lalu fofada: sa.