< Wakolosai 2 >
1 Napenda mjue jinsi ninavyofanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, kwa ajili ya watu wa Laodikea na kwa ajili ya wote ambao hawajapata kuniona kwa macho.
Ku nsoko ndoilwe mulinge iti niiza ntuile nu lwago lidu ku nsoko anyu, ku ihi niakoli ku Laodikia nu ku ihi naza akili kihenga u usu nuane mu muili.
2 Nafanya hivi kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe.
Kituma u mulimo iti kina nkolo niao ihume kupoligwa ku kuletwa palung'wi mu ulowa nu ku ugoli wihi nua widu nua kulu kuulu nikondile nua uhuguku, ku kuulinga i kinkunku nika tai ang'wa Itunda, naiza ingi uKristo.
3 Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.
Mu ng'wenso matulyo ihi na upolo nu uhuguku upihilwe.
4 Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana.
Kuligitya izi iti kina wihi waleke kumutendeela isue ku utanantyi nu ukete upembeseelyi.
5 Maana, ingawa mimi niko mbali nanyi kwa mwili, lakini niko pamoja nanyi kwa roho, na ninafurahi kuona uthabiti kamili mnaosimama nao pamoja katika imani yenu kwa Kristo.
Ni anga ize nimutili palung'wi nu nyenye mu muili, kuiti nkoli palung'wi nu nyenye mu nkolo. Ni loile kihenga i nzila nianyu ni nziza ni ngulu nia u huiili nuanyu mung'wa Kristo.
6 Maadamu ninyi mmemkubali Kristo Yesu kuwa Bwana, basi, ishini katika muungano naye.
Anga nai mu musingiiye uKristo Mukulu, gendi mu ng'wenso.
7 Mnapaswa kuwa na mizizi ndani yake, kujijenga juu yake na kuwa imara katika imani yenu kama mlivyofundishwa. Muwe na shukrani tele.
Mukomigwe mu ng'wenso, muzengwe mu ng'wenso, mukomigwe mu uhuiili anga udu nai mumanyisigwe, nu kutungwa mi imbiilyo lidu.
8 Angalieni basi, mtu asiwapotoshe kwa udanganyifu mtupu wa hekima ya kibinadamu, ambayo chanzo chake ni mafundisho ya mapokeo ya watu na ya pepo watawala, na wala si Kristo mwenyewe!
Gozeeli nia kina muntu wihi aleke kumuambya ku ulingi ni nkani ntili nia ukongeli kuniganiila nu usingiilya nua kibina adamu, kuniganiila ni ntendo nia kinya ingu, shanga kuniganiila nu Kristo.
9 Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,
Kunsoko mu ng'wenso ukondaniili wihi nuang'wa Itunda wikiie mu muili.
10 nanyi mmepewa uzima kamili katika kuungana naye. Yeye yuko juu ya pepo watawala wote na wakuu wote.
Nu nyenye mizuigwe mu ng'wenso, uNg'wenso ingi itwe nila kila uhumi nu unyangulu.
11 Katika kuungana na Kristo ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika utu wa dhambi.
Mu ng'wenso ga ai mutwawe kidamu ni shanga kitung'wa nu bina adamu mu kuhegeligwa muili nua nyama, kuiti ingi mu kidamu nikang'wa Kristo.
12 Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo, na katika ubatizo, mlifufuliwa pia pamoja naye kwa imani yenu katika nguvu ya Mungu ambaye alimfufua Kristo kutoka wafu.
Ai muikilwe palung'wi nu ng'wenso mu wogigwa. Nu kunzila a uhuiili mu ng'wenso ai miukigwe ku uhumi nuang'wa Itunda, Nai umiukilye kupuma muashi.
13 Wakati mmoja nanyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ninyi mlikuwa watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amewapa ninyi uzima pamoja na Kristo. Mungu ametusamehe dhambi zetu zote;
Hangi nai matulaa makuza mu utumuli nuanyu nu kuhita kutalwa i kidamu mu miili anyu, ai umitumile apanga palung'wi nu ng'wenso nu ku ulekela i milandu itu ihi.
14 alifutilia mbali ile hati ya deni iliyokuwa inatukabili na masharti yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani.
Ai uputile u ukimbukiilyi nua udaigwa nai ukilisigwe, ni nzila nai yatulaa nsuta nu sese. Ai uihegilye yihi nu kuikononteela mi ikota ila mpaga.
15 Juu ya msalaba Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala na wakuu; aliwafanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuwaburuta kama mateka katika msafara wa ushindi wake.
Ai uihegilye i ngulu nu ukulu. Ai umaikile kihenga nu kituma kutula ilumbi nula ukilyi ku nzila a ikota nila mpaga nilakwe.
16 Kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya Mwezi mpya au Sabato.
Ku lulo, muntu wihi waleke kumulamula unyenye kulya ang'wi kung'wa, ang'wi kutula luhiku nula siku kuu ang'wi ng'weli ugeni, ang'wi luhiku nula kusupya.
17 Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.
Izi ingi miluli a makani napembilye, kuiti nikamukati ingi Kristo.
18 Msikubali kuhukumiwa na mtu yeyote anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee na ambaye anasisitiza juu ya unyenyekevu wa uongo na ibada kwa malaika. Mtu wa namna hiyo amepumbazika kwa fikira danganifu za kidunia
Muntu nu tuile wihi aleke kuhegeligwa ilumbi nilakwe ku kuhung'wa nsula a uliuki nu kipoelya u malaika. Muntu nua kinya iti wingilaa mu makani naza umihengile nu kupembeseeligwa ni masigo akwe na muili.
19 na amejitenga na Kristo aliye kichwa cha huo mwili. Chini ya uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo Mungu.
uNg'wenso shanga wiliambiila itwe. Ingi kupuma mu itwe kina u muili wihi kukiila nungo niakwe ni makupa ikinyinkanigwa nu kuambinkanigwa ku palung'wi; nu kukula ku ukuli nuipumigwaa nu Itunda.
20 Ninyi mmekufa pamoja na Kristo na kukombolewa kutoka nguvu za pepo watawala wa ulimwengu. Kwa nini, basi, kuishi tena kama vile mngekuwa wa ulimwengu huu? Ya nini kuwekewa masharti:
Anga itule ai ku kule palung'wi nu Kristo ku ntendo nia mihi, mbona mu kikie anga mukitumigwa ku ihi;
21 “Msishike hiki,” “Msionje kile,” “Msiguse kile!”
“Leki kuambi, ang'wi kululya, ang'wi ku kumpya”
22 Mambo hayo yote yanahusika na vitu vyenye kuharibika mara tu vinapotumiwa; hayo ni maagizo na mafundisho ya kibinadamu tu.
Aya ihi alagiigwe ku nsoko a ubipya nu upembilye nu utumili, Kupumiila nu ulagiilwa nu umanyisigwa nua ana adamu.
23 Kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.
Malagiilyo aya akete upolo nua makumbiko nazipigwe ku ing'wene nu uliuki nu lwago nula muili. Kuiti ngila anga nsailo ku nsula nia muili.