< Matendo 5 >
1 Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile.
Enoothong Ananias ngeh ih mih wasiit angta, nengnyi heh minuh Sapphira ih nyamka jaasiit sang nyuuta.
2 Lakini, mkewe akiwa anajua, Anania akajiwekea sehemu ya fedha alizopata na ile sehemu nyingine akawakabidhi mitume.
Eno nengnyi heh minuh roongwaan nyu ano ngun khooko ah tangthiin nyu ano heliphante loong asuh koh nyuuta.
3 Basi, Petro akamwuliza, “Anania, mbona Shetani ameuingia moyo wako na kukufanya umdanganye Roho Mtakatifu kwa kujiwekea sehemu ya fedha ulizopata kutokana na lile shamba?
Pitar ih Annania suh liita, “Esa Chiiala ngathong ni Soitaan ih tiim esuh tiit hu baat thuk halu ngun rukho ah tangthiin ansih no ah?
4 Kabla ya kuliuza lilikuwa mali yako, na baada ya kuliuza, bado hizo fedha zilikuwa zako uzitumie utakavyo. Kwa nini basi, uliamua moyoni mwako kufanya jambo la namna hii? Hukumdanganya mtu; umemdanganya Mungu!”
Maangsang di, nyaamka ah an lakbui angta; esang lih di ngun ah an lakbui angta. Eno, erah likhiik an tiimnge ih reelu? An ih mina tamokwaan hu—Rangte mokwaan hu!”
5 Anania aliposikia hayo, akaanguka chini, akafa. Watu wote waliosikia habari ya tukio hilo waliogopa sana.
Chaat damdam ih, Annania ah loongtiita; erah Ruurang chaatte loong ah rapne ih choota.
6 Vijana wakafika wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika.
Jaaro loong ah wangrum ano, heh mang ah thooploop rumta, eno bengkaat rumta.
7 Baada ya muda wa saa tatu hivi, mke wake, bila kufahamu mambo yaliyotukia, akaingia mle ndani.
Koonta jom lidi, heh minuh ah tiim uh lajat thang ih nop wangta.
8 Petro akamwambia, “Niambie! Je, kiasi hiki cha fedha ndicho mlichopata kwa kuuza lile shamba?” Yeye akamjibu, “Naam, ni kiasi hicho.”
Pitar ih erah nuh asuh we banchengta, “Baat thaak hang, set soomiwah ih hah sang tansih thaang ah erah than ju nih angta?” “Em,” “thoontang erah thanju angta” Erah nuh rah ih ngaak baatta.
9 Naye Petro akamwambia, “Mbona mmekula njama kumjaribu Roho wa Bwana? Sikiliza! Wale watu waliokwenda kumzika mume wako, sasa wako mlangoni na watakuchukua wewe pia.”
Erah thoidi Pitar ih erah nuh asuh liita, “Set soomiwah ih Teesu Chiiala ah tiim esuh thaak taari hansih? An miwah mang bengkaatte loong ah kaalu thong ni chapla, neng ih an uh dokpi ih kaat ho!”
10 Mara Safira akaanguka mbele ya miguu ya Petro, akafa. Wale vijana walipoingia, walimkuta amekwisha kufa; hivyo wakamtoa nje, wakamzika karibu na mume wake.
Lakdamdam di Sapphira ah Pitar lak khoni loongtiita. Jaaro loong ah nopwang rum adi, heh mang ah japtup rum ano heh miwah reeni bengkaat suh dokpi kaat rumta.
11 Kanisa lote pamoja na wote waliosikia habari ya tukio hilo, waliogopa sana.
Arah Ruurang chaatte nyia Kristaan loong ah rapne ih cho rumta.
12 Mitume walifanya miujiza na maajabu mengi kati ya watu. Waumini walikuwa wakikutana pamoja katika ukumbi wa Solomoni.
Kaamwah loong ah mih dung ni paatjaajih loong ah rapne ih mokah rumta. Kristaan loong Solomon nokka ngeh men rumta adi khoontong rumta.
13 Mtu yeyote mwingine ambaye hakuwa mwamini hakuthubutu kujiunga nao. Hata hivyo, watu wengine wasiokuwa wa imani hiyo waliwasifu.
Neng damdi wahote o uh tanaan roongtong rumta, erabah uh miloong ah ih neng tiit rapne ih seebaat rumta.
14 Idadi ya watu waliomwamini Bwana, wanaume kwa wanawake, iliongezeka zaidi na zaidi.
Enoothong minuh miwah, ehanhan ih jaat rum ano Teesu rangsoomte ih hoon rumta.
15 Kwa sababu hiyo, watu walikuwa wakipeleka wagonjwa barabarani na kuwalaza juu ya vitanda na mikeka ili Petro akipita, walau kivuli chake kiwaguse baadhi yao.
Kaamwah loong ah ih paatjaajih loong noisok rum kano, khoisatte loong ah lam ni piikaat rumta, rukho ah juptheng ni rukho ah dam ni jupthiin wan rumta, erah langla lam nah Pitar daankhoom adoh heh laaphaang ih toom wiithuk ah ngeh ih thiinwan rumta.
16 Watu wengi walifika kutoka katika miji ya kando kando ya Yerusalemu, wakiwaleta wagonjwa wao na wale waliokuwa na pepo wachafu, nao wote wakaponywa.
Jerusalem ko nawa miloong ah ih, khoisatte loong nyia chiithih laakhah ih paklakta loong ah deesiit suh siitwan rum taha.
17 Kisha, Kuhani Mkuu na wenzake waliokuwa wa kikundi cha Masadukayo wa mahali hapo, wakawaonea mitume wivu.
Enoothong Romwah phokhothoon nyia heh joon loong, neng damdi Sadusi nok hah roop rum ano kaamwah loong ah rapne ih miksuk rumta.
18 Basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu.
Eno kaamwah loong ah phaatak ni josak rumta.
19 Lakini usiku malaika wa Bwana aliifungua milango ya gereza, akawatoa nje, akawaambia,
Erah rangphe adi Teesu rangsah ih paakaalu ah daap kah ano kaamwah loong ah dokkhoom kaat thuk rum ano phanbaat rumta,
20 “Nendeni mkasimame Hekaluni na kuwaambia watu kila kitu kuhusu maisha haya mapya.”
“Rangteenok nah kah anno miloong asuh roidong tiit ah baatkaat an”
21 Mitume walitii, wakaingia Hekaluni asubuhi na mapema, wakaanza kufundisha. Kuhani Mkuu na wenzake walipofika, waliita mkutano wa Baraza kuu, yaani halmashauri yote ya wazee wa Wayahudi halafu wakawatuma watu gerezani wawalete wale mitume.
Heh jeng ah kap rum ano kaamwah loong ah ih rangkhano di Rangteenok ni phang nyootsoot karumta. Romwah Phokhothoon nyia heh joon loong ah ih Jehudi nok hah dowa mihak phokhoh loong ah Nokwah ngoongthum theng ni thumpoon rumta; eno kaamwah loong ah phaatak nawa poonwang thuk rumta.
22 Lakini hao watumishi walipofika huko hawakuwakuta mle gerezani. Hivyo walirudi, wakatoa taarifa mkutanoni,
Enoothong neng toonsiitte loong ah taatkah rum ano, kaamwah loong ah phaatak ni amuh ang rumta, erah thoidi Nokwah ngoongthum theng ni ngaak baatkaat rumta.
23 wakisema, “Tulikuta gereza limefungwa kila upande na walinzi wakilinda milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani.”
“Phaataak ni thok eno, kaasak ah rapniine ih sak arah angta, bante loong ah uh paakaalu ni chap rumta; eno kaalu ah daapsok eno nokmong ni o uh tajeeta!”
24 Mkuu wa walinzi wa Hekalu na makuhani wakuu waliposikia habari hiyo wakawa na wasiwasi, wasijue yaliyowapata.
Erah ruurang ah chaat rum ano Romwah phokhoh nyia rangsoomnok dowa saahaap loong ah kaamwah loong ah tiim angla ngeh ih paatja rumta.
25 Akafika mtu mmoja, akawaambia, “Wale watu mliowafunga gerezani, hivi sasa wamo Hekaluni, wanawafundisha watu.”
Erah di mih wasiit wang ano baat rumta, “Boichaat thaak an! Phaataak ni sak tan loong ah ih bah Rangteenok ni nyootsoot rumha!”
26 Hapo mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na watu wake walikwenda Hekaluni, akawaleta. Lakini hawakuwakamata kwa kutumia nguvu, maana waliogopa kwamba watu wangewapiga mawe.
Erah raangtaan ih saahaap wasiit ih heh mina loong ah siit ano kaamwah loong ah ngaak toonsiit kata. Mih ih jong ih pat ra cho ih, kaamwah loong ah labuthom thang ih siitwan rumta.
27 Basi, wakawapeleka, wakawasimamisha mbele ya Baraza. Kuhani Mkuu akawaambia,
Kaamwah loong ah Nokwah reeni siitwan rum ano, neng ngathong ni toonchap thuk rumta, eno Romwah Phokhoh ih cheng rumta.
28 “Tuliwakatazeni waziwazi kufundisha kwa jina la mtu huyu; sasa mmeyaeneza mafundisho yenu pote katika Yerusalemu na mnakusudia kutuwekea lawama ya kifo cha mtu huyo.”
“Sen suh heh mendoh nakkah nyootsoot an ngeh ih baat choi,” eno we dopjengta; “sokthaaak an sen loong ah ih tiimjih hoon han! Sen ih nyootsoot han ah Jerusalem hah noongrep ni puupa thuk lan, eno Jisu tek haat ah seng mat ih joot thuk suh liihan!”
29 Hapo Petro, akiwa pamoja na wale mitume wengine, akajibu, “Lazima tumtii Mungu, na siyo binadamu.
Pitar nyia heh kaamwah loong ah ih ngaakli rumta, “Seng ih Rangte jengkhaap kap theng, mina jengkhaap tah angka.
30 Mungu wa babu zetu alimfufua Yesu baada ya ninyi kumwua kwa kumtundika msalabani.
Jisu bangphak khoni tekrapbot tan lini, sengte sengwah Rangte ih tek nawa ngaakthing ih thukta.
31 Huyu ndiye yule aliyekwezwa na Mungu mpaka upande wake wa kulia, akawa kiongozi na Mwokozi, ili awawezeshe watu wa Israeli watubu, wapate kusamehewa dhambi zao.
Rangte ih ngaak saatsiit ano Lamsiitte nyia mina Pangte toom ang ah ngeh ih jaawah ko ih tong thukla, eno Jerusalem mina loong suh neng rangdah sekthun thuksuh nyia biin anaan chosuh saapootse koh rumha.
32 Sisi ni mashahidi wa tukio hilo, naye Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii, anashuhudia pia tukio hilo.”
Esa Chiiala nyia seng loong ah arah tiit haaki kotte—Esa Chiiala ah heh jeng boichaatte loong raangtaan ih Rangte lakkot.”
33 Wajumbe wote wa lile Baraza waliposikia hayo, wakawaka hasira, hata wakaamua kuwaua.
Ngoongthumte loong ah erah jeng ah chaat rum ano rapne ih khadah rumta, kaamwah loong ah tek haat etheng ngeh ih li rumta.
34 Lakini Mfarisayo mmoja aitwaye Gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa Sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama mbele ya lile Baraza, akataka wale mitume watolewe nje kwa muda mfupi.
Enoothong neng dung ni, Pharisi nok hah Gamaliel ngeh ih wasiit angta, erah wah ah Hootthe nyootsootte, nyia warep ih phoongpha arah mih angta, eno Nokwah dung dowa heh toonchapta. Heh ih baat rumta, kaamwah loong ah pootsiit than doksiit kaat thaak an,
35 Kisha akawaambia wale wajumbe wa Baraza, “Wananchi wa Israeli, tahadhari kabla ya kutekeleza hicho mnachotaka kuwatenda watu hawa!
erah lih adi Nokwah suh li rumta, “Ijirel phoh ano loong, arah miloong ah damdoh sokthun samthun ih re theng.
36 Zamani kidogo, kulitokea mtu mmoja jina lake Theuda, akajisema kuwa mtu wa maana na watu karibu mia nne wakajiunga naye. Lakini aliuawa, kisha wafuasi wake wote wakatawanyika na kikundi chake kikafa.
Taat samthun thaak an ehakdi Theudas ah ngah thoonrak lang liite dongta eno chaabaji mih heliphante uh wakdong eta. Eno heh teewah ah tek haat kano, heliphante loong ah saapsoon e rumta, heh ruurang ah uh tikmat eta.
37 Tena, baadaye, wakati ule wa kuhesabiwa watu, alitokea Yuda wa Galilaya. Huyu naye, aliwavuta watu wakamfuata; lakini naye pia aliuawa, na wafuasi wake wakatawanyika.
Erah lih adi, mih khoh rookwet tokdi, Galili nok hah Judas dongkhoom taha, heh mih hantek siitta, erah uh tek haat eta eno heliphante loong uh saapsoon e rumta.
38 Na sasa pia mimi nawaambieni, msiwachukulie watu hawa hatua yoyote; waacheni! Kwa maana, ikiwa mpango huu au shughuli hii yao imeanzishwa na binadamu, itatoweka yenyewe.
Erah likhiik doh, ngah ih baat rumhala, arah miloong asuh tiim uh lali theng. Neng tongtong toom ih rum ah! Tiim re rumla, tiim thun rum ha mina mongtham ang ah bah hetik matmat ih ah,
39 Lakini kama imeanzishwa na Mungu, siyo tu kwamba hamtaweza kuwashinda, bali mtajikuta mnapigana na Mungu.” Basi, wakakubaliana naye.
enoothong Rangte mongtham ang abah sen ih tiim uh tajen ekan, senteewah Rangte damdoh rookmui anrah ba tup an!” Gamaliel ih renbaat rumta jengkhaap ah Nokwah ih kap erumta.
40 Hivyo wakawaita wale mitume, wakaamuru wachapwe viboko na kuwaonya wasifundishe tena kwa jina la Yesu; kisha wakawaacha waende zao.
Kaamwah loong ah noppoon wanrum ano, ruh ih buh rumta, arah dowa ih Jisu mendoh mabah uh nakkah baattaan an ngeh ih baat rum ano daap haat rumta.
41 Basi, mitume wakatoka nje ya ule mkutano wa halmashauri wakiwa wamejaa furaha, kwani walistahili kuaibishwa kwa ajili ya jina la Yesu.
Kaamwah loong ah Ngoongthum theng nawa tenroon woksoon ih doksoon karumta, tiimnge liidi, Jisu thoilam doh neng loong ah ih cham anaang ah jen naan ih rum ah ngeh ih Rangte ih danje arah ang rumta.
42 Wakaendelea kila siku kufundisha na kuhubiri Habari Njema ya Kristo, Hekaluni na nyumbani mwa watu.
Eno Rangteenok ni nyia nok rookweh ni neng loong ah ih Ruurang Ese tiit nyia Jisu Kristo tiit ah nyootsoot roh ih rumta.