< Matendo 4 >

1 Petro na Yohane walipokuwa bado wanawahutubia watu, makuhani na mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na Masadukayo walifika.
Kambo Btrus kange Yuwanna cin yi nubo kero tiyeu nii wabeu kange, nii durko kuwabeu, kange Sadukiyawa cin bou dor cer.
2 Walikasirika sana, maana hao mitume walikuwa wanawahubiria watu kwamba Yesu alifufuka, jambo ambalo linaonyesha wazi kwamba wafu watafufuka.
kwomci bichom wori Bitrus kange Yuwana merang nubo nenti dor Yesu, la ci ne fulen kwenka cekoti buwareu.
3 Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake.
La cin tam ci cin kuken ci lo kuka na finin celum. wori men dom.
4 Lakini wengi kati ya wale waliosikia ujumbe wao waliamini, na idadi ya waumini ikawa imefika karibu elfu tano.
La nubo buro nuwa tomange ciyeu cin ne bilenker kilaka nubeko nabarobbo bikate nung wuro ne bilenkere.
5 Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na walimu wa Sheria, walikusanyika pamoja huko Yerusalemu.
Celfini ceri nubo tam ki ciyeu kange nubo durko kange nob merangkab cin mwerkangi wurcalima.
6 Walikutana pamoja na Anasi, Kayafa, Yohane, Aleksanda na wengine waliokuwa wa ukoo wa Kuhani Mkuu.
Ana nii wabe durko wi wi, kange kayafas, kange Yuwana, kange Alexanderi, kange nob naniya nii wabeko durko.
7 Waliwasimamisha mitume mbele yao, wakawauliza, “Ninyi mmefanya jambo hili kwa nguvu gani na kwa jina la nani?”
Kambo ci bou ki Bitrus kange Yuwana tiber cer la ci me ci ki bi kwando wini kaka dendo wini ka mam woticike?
8 Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, “Viongozi na wazee wa watu!
La Bitrus dim ki yuwa tangbe kwama yi ci, “Kom ko tam ki nobeu kange nubo dur nubero.
9 Ikiwa mnatuuliza leo juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima,
Na nyo duwen kom ki me nyo ker nagenero kendo ma niwo nuwa bo lumanineu-Lama nyi nii wo yilam kwamere?
10 basi, ninyi na watu wote wa Israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake Yesu wa Nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini Mungu akamfufua kutoka wafu.
la kom kange nubo Israila la wuro a yilam nyam nyome kimen wo nii wo tim fou ka kom kwamer mor dene Yesu Kiriti wo nazaret deu, wo ka kulkenceu, la kwama kungum co bwar.
11 Huyu ndiye ambaye Maandiko Matakatifu yanasema: Jiwe mlilokataa ninyi waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
Yesu kiriti cou tero wo culang kuwekeu wo kom nob mukabo ka koweu la co yilam tero culang kuweke.
12 Wokovu haupatikani kwa mtu mwingine yeyote, kwa maana duniani pote, binadamu hawakupewa jina la mtu mwingine ambaye sisi tunaweza kuokolewa naye.”
Fuloka mani nii kange nen wori dendo kange mani dimer di Kwama wo ci ne niffire na fiya fuloka kercere.”
13 Hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.
Kambo ci to bikwan nerer Bitrus kange Yuwana ri cin nyumom fuwai nube koni ma bo kiye ka. La citi nyumangi la cin nyumom Bitrus kange Yuwana cin yii wi kange Yesu.
14 Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.
La cin to nii wo ci twabeu tim kange ci, la ci fue ki diker tokkar.
15 Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.
La kambo ciyi nob tomange a dubangum fiye yime nub dirlorembedi. La ci tokkangi bwiti ci.
16 Wakaulizana, “Tufanye nini na watu hawa? Kila mtu anayeishi Yerusalemu anajua kwamba mwujiza huu wa ajabu umefanyika, nasi hatuwezi kukana jambo hilo.
Ba ma nubo buro nyi? kwaka nerer man, nangen nyumankar mani kang chek. La nyumom nyume nubo yim wurcalima nin gwam. La be man kibi kwan do ba kanagum tiye.
17 Lakini ili tupate kuzuia jambo hili lisienee zaidi kati ya watu, tuwaonye wasiongee na mtu yeyote kwa jina la Yesu.”
La kati ta ca kaba ti ki wakako mor nobe labo yi cikero ki nyial, ci a tokre ker kange nii dor denerowo.
18 Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.
La cin co Pita kange Yuwana mor cin yi ci kero ki yial cia tokre ker kaka merangka gwam kiden Yesur.
19 Lakini Petro na Yohane wakawajibu, “Amueni ninyi wenyewe kama ni haki mbele ya Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii yeye.
La Bitrus kange Yuwana yici keno dong dong nuwe kwama na nyo bwnangten kom la'a kwamari, kom warkero.
20 Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Mani nya dob tokka kerti dor dikero nya tomeu, kange wonya nuwameu.
21 Basi, hao wazee wa Baraza wakawaonya kwa ukali zaidi, halafu wakawaacha huru. Hawakuweza kuwapa adhabu kwa sababu watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa sababu ya tukio hilo.
Bwiko ci yiten Bitrus kange Yuwana kero ki nyialri, la cin dob ci cin cu'u. Lafiya bo nure wo ci a tam citi ki kang keu. wori nubo gwam duktang kwama ti ki dikewo bwiyeu.
22 Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arobaini.
Nii wo ki nyumka dukumero wo ki fulokau, chor cero kwini naar.
23 Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.
kambo ci nyamkan cineneri, Bitrus kange Yuwana bou nubo lo cinin la ci yii ci dike liya nob wabebo kange nubo durko yi ciyeu gwam.
24 Waliposikia habari hiyo waliungana pamoja katika kumwomba Mungu wakisema, “Bwana, wewe ni Muumba wa mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo!
La cin nuwa ri cin kung dir ciyero wari kwama nen cin toki “Teluwe” mo wo mo ma dii kwama moma dor bitinereu, kange caji kange dike more ceu.
25 Ndiwe uliyemfanya mtumishi wako, babu yetu Daudi, aseme kwa nguvu ya Roho Mtakatifu: Kwa nini mataifa yameghadhibika? Mbona watu wamefanya mipango ya bure?
Mon tok kero ki yuwa tangbek nyi canga mwe tee nye Dauda, yebwi nubo yim kumtacile? fwingan ti nye la nubo ki kwa kan dikero bwir.
26 Wafalme wa dunia walijiweka tayari, na watawala walikutana pamoja, ili kumwasi Bwana na Kristo wake.
Mon yiki “Liyabbo dor bitinereu mwer kangum dor cer wari la nubo dur cero mwerum na ci ma kiye kange Teluwe”.
27 “Maana, kwa hakika, ndivyo Herode, Pontio Pilato, watu wa Israeli na watu wa mataifa walivyokutanika papa hapa mjini, kumpinga Yesu Mtumishi wako Mtakatifu ambaye umemtia mafuta.
Bichom Hiridus kange Pontius Bilatus kange kumta cileyeu kange nubo Israila cin mwerkangi fo mor cinan lor na cin kwobkangi kange canga mweu wucakeu Yesu, wo corten nuwageu.
28 Naam, walikutana ili wafanye yale ambayo ulikusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako.
Cin mwerkangum wari nacin mam dike kang mweko kange namweko amatiye.
29 Lakini sasa, ee Bwana, angalia vitisho vyao. Utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
Na weu mo teluwe to kercero ki nyial ne cangab mwebo bi kwan tokka kerek mweko.
30 Nyosha mkono wako uponye watu. Fanya ishara na maajabu kwa jina la Yesu Mtumishi wako Mtakatifu.”
Ta'aru kang mweko na twam la na ne diker yiromer kange diker nyumangkar a mani ki den canga mwe wucakkeu Yesu.
31 Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.
Kambo ci dim kwob ka dilokeri, fiye ci mwerum wiyeu muka, cin dim ki yuwa tangbe kwamak cin tok ker kwamaro ki bikwan.
32 Jumuiya yote ya waumini ilikuwa moyo mmoja na roho moja. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na kitu chochote akakiweka kuwa mali yake binafsi, ila waligawana vyote walivyokuwa navyo.
Nubo ducce ne bilekereu dor ciro mwerum mwere. la kange nii yi bo ki diker cer na ce la nyeu dike na ciyeu win.
33 Mitume walishuhudia kwa nguvu nyingi kufufuka kwa Bwana Yesu, naye Mungu akawapa baraka nyingi.
Ki bikwan nob tomangebo ma kwaka diyek warkerer ciyero dor kwenka teluwe “bwareu, luma ko dur wo dorciyere.
34 Hakuna mtu yeyote aliyetindikiwa kitu, maana waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wanaviuza
Nii kange mani wo fiyabo dikere wo ci buni kange dikere. wori nubo ki tang kini kange loni miyerangum la bou ki kyemer dikero wo ci miyeu.
35 na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
La cin yotina nob tomangeu nen, la kabkang nubo nen gwam dong dong kange dike ci cwiyeu.
36 Kulikuwa na Mlawi mmoja, mzaliwa wa Kupro, jina lake Yosefu, ambaye mitume walimwita jina Barnaba (maana yake, “Mtu mwenye kutia moyo”).
Yusufu wo nob tomangeb coti Barsaba (bwe bika nerek) Balewi nii Kubrus.
37 Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.
Miyem take wo na ceu la bou ki kyemero yoti na'a nob tomange nen.

< Matendo 4 >